KANISA LA YESU KRISTO

KUHUSU KITABU HIKI

Kitabu hiki kimeandikwa na Pastor Isaac Simbiri.Ni kitabu kinachomrudisha mtu katika njia sawa tukisubiri kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo.

Kanisa la Yesu Kristo litanyakuliwa wakati wowote kuanzia sasa,kwa hivyo hiki kitabu ambacho kimeandikwa na Isaac Simbiri ni kwa ajili ya kuandaa kila mmoja ulimwenguni ambaye Yesu anamwokoa na kumwingiza katika kanisa lake.Yesu hakuji kuchukua dhehebu lolote,bali anakuja kuwachukua wamwaminio na kufanya mapenzi yake ambalo ndilo kanisa lake.Kitabu hiki kisitumike kibiashara,kipeanwe bure bila malipo.Una uhuru wa kusambaza habari hii bila kubadilisha ujumbe

Contents

Kuzaliwa na masomo. 3

KUTAHIRIWA NA KUFUNDISHWA UCHAWI. 4

KUOKOKA NA UPONYAJI WANGU. 6

UONGOZI NA UPINZANI  NILIOKUTANA NAO.. 7

MUNGU ALINIEPUSHA NA KIFO CHA MAPEMA. 10

MAFUNDISHO JUU YA IMANI/UPONYAJI/MIUJIZA NA ISHARA. 11

KUTOKWA DAMU/MIUJIZA WA MTOTO. 12

KUMWITA ALIYE MBALI. 14

KITABU CHA PILI 16

FAMILIA YA MKRISTO.. 16

WATOTO WACHANGA.. 16

WATOTO/VIJANA.. 17

MUME_Methali 18;22. 18

MKE.. 19

KUKAA BILA KUOA.. 19

Ndoa isiyokubalika. 21

NDOA “talaka”. 22

MUME KUOA ZAIDI YA MKE MMOJA_Kumbukumbu 17:17. 23

Fanya kazi 24

BIBILIA INA WALE WALIOFANYA KAZI –waefeso 4:28. 24

11CHAKULA NA KANISA.. 25

KARIBISHA WAGENI-Wahebrania 13:2. 26

KIFO  (ZAB 146:3-4) 28

UTASa Zaburi 113:9. 28

Sababu ya utasa. 29

OMBEA JAMII YAKO.. 30

MTUMIKIE BWANA NA JAMII YAKO Yoshua 24:15. 31

KUVAA/ KUJIPAMBA KWA MKRISTO.. 32

YATIMA /MJANE/MASKINI/MGENI.Yakobo 1:27. 33

(a)YATIMA.. 34

(b)WAJANE.. 34

(c) MASKINI. 35

(e).MGENI. 36

WAGONJWA.. 36

MAELEZO ZAIDI. 36

KITABU CHA TATU.. 41

KIONGOZI WA KANIsa. 41

Viongozi wa kanisa,,, 41

VIONGOZI KANISANI (HUDUMA TANO)Waefeso 4:11-12. 41

·       MZEE WA KANISA. 43

HUDUMA ZINGINE NDANI YA KANISA.. 44

UINJILISTI. 45

Mambo anayofaa kufanya muinjlisti katika kuhubiri 47

KIONGOZI WA SIFA MBAYA KANISANI. 53

USINUNUE AU KUUZA KIPAWA.. 55

MATUMIZI YA NENO LA MUNGU KIBIASHARA SIKU HIZI. 56

E.SOMA NENO.. 57

VIONGOZI   KANISANI. 58

KIFO  (ZAB 146:3-4) 61

(13) MAVAZI. 62

(14) MIPAKA.. 62

(15) KUABUDU MIUNGU.. 63

(16) VILE MIUNGU HUABUDIWA.. 63

(17)IBADA ISIYOFAA.. 64

(18) INJILI ISIYOFAA. 64

(19)SALAMU YA BUSU TAKATIFU. 64

(20)KUPAKWA MAFUTA. 64

(21)KUFUNIKWA KICHWA. 64

(22)KUOSHA MIGUU.. 64

(23)KUWEKA HEKA LU WAKFU. 64

(24)WATOTO KUWEKWA WAKFU. 64

(25) MAJINA YA MUNGU.. 65

26.MAJINA YA YESU. 66

27. MAJINA YA ROHO MTAKATIFU.. 67

FANYA KAZi  2wathesalonike 3:7. 68

BIBILIA INA WALE WALIOFANYA KAZI –waefeso 4:28. 69

KITABU CHA NNE(TAFUTA  UKWELI) 71

KANISA LA YESU KRISTO.. 71

MAHALI PA KUABUDIA KANISA LA YESU KRISTO. 71

MADHEHEBU.. 74

KUTOA-LUKA 6:38. 77

UBATIZO WA MAJI. 80

b)MFANO WA WALE WALIOBATIZWA. 81

KUKEMEA DHAMBI KANISANI 1kor5:9-13,Tito 3:10. 84

MIZIGO MIZITO  NA SIFA ZA DUNIA  1 Yohana 2;15-17,Yakobo 4:4. 85

KUFUNGA,KUOMBA,KUTOA  mt 6:16,6:5,6:2. 86

TEMBEA NA NENO.. 93

LAANA.. 94

KUSAMEHE.. 96

UPENDO.. 97

KUJITENGA NA DHAMBI. 102

KURUDI KWA YESU NA HUKUMU YA MWISHO.. 103

KIFO  NA HUKUMU YA MWISHO (ZAB 146:3-4) 109

Kuzimu: 110

DHAMBI 112

MAJARIBU.. 114

HISTORIA FUPI YA MWANDISHI ISAAC SIMBIRI. 121

Kuzaliwa na masomo.

Nilizaliwa 11/9/1971 katika kijiji cha buruga(Mgumu) Tanzania –sehemu ambayo baba alikuwa amehamia akitokea gambogi(karibu na Kisumu-kenya).Niliwekwa wakfu 18/06/1972 na pastor Almasa katika Burunga pentecostal Assemblies of God(Tanzania),wazazi wangu walikuwa na juhudi sana katika mambo ya dini na baba alikuwa mchungaji –na alikuwa na vitabu vingi ambavyokila mmoja ndani ya hii familia angejisomea .Wazazi wangu walirudi Kenya katika mwaka wa 1976 na kukaa Mukuyu (Migori) niliingizwa  shule ya msingi pale Mukuyu 1977 na kufikia mwaka wa 1978 wazazi wangu waliamia Kamin-olewe-kule Kajulu(Kanyamkago) nikaendelea na shule ya msingi pale Oyani

 KUTAHIRIWA NA KUFUNDISHWA UCHAWI

Nilifanya mtihani wa darasa la nane1989 katika shule ya msingi pale oyani.Katika shule ya msingi ya Oyani.Nilipofikisha miaka 18 ,(mwaka huo wa 1989),niliambiwa kuwa  wakati wangu wa kutahiriwa umefika ,niliombewa kisha nilipelekwa mahali ambapo  vijana  waliokuwa wanaenda kutahiriwa  walikusanywa msituni  mahali hakuna mwanamke  yeyote au msichana aliruhusiwa kuenda.Tulitolewa nguo .Tukabaki uchi ,tukanyolewa nywele yote kwa wembe kisha watu waliokuwa pale walianza kutuambia  tupige magoti chini na kuangalia juuna masharti ya kuangalia juu  ni kuwa macho yetu  yabaki wazi wala kope za macho  zisitikisike bali macho yote yatulie katika kuangalia juu na ikiwa kwa bahati mbaya ungechoka kuangalia juu na jicho likageuka kuangalia upande hii au ile ,tungechapwa kofi  tano mfululizo  mpaka macho yetu yawe na utiifu(kuangalia juu).Tulidhani yakuwa hili zoezi  litachukuwa dakika chache  kwa sababu si jambo rahisi kuangalia mahali pamoja na hasa juu bila kupindua  macho lakini ajabu ni kwamba hii zoezi lilianza saa nne asubuhi  na kila wakati jicho moja lingepinduka  kuangalia kulia au kushoto ndivyo tulichapwa kofi  mpaka jioni machozi yalitoka mpaka yakaisha ,tulilia bila kutoa sauti  mpaka tukazoea hii hali ya kuangalia juu kama tumepiga magoti  yetu chini na tuko  uchi.Tulipewa chakula kisha wakaendelea  kututesa hadi jioni.

 Ndipo umati mkubwa wa wazee na vijana wengi wakakusanyika  wakitaka kucheza ngoma wakiimba nyimbo za kitamaduni nah ii ni sherehe yetu .Hawa  watu walikuwa wamevaa matawi  ya miti na matawi  ya ndizi mbalimbali na wamejifunika  mpaka vichwa vyao  kwa haya matawi  walianza kuimba wakiruka ruka kwa shangwe na nderemo ngoma ikachezwa na tukaelekezwa kwa boma ya mmoja wa  viongozi  wa hicho kikundi  na huyu mzee alikuwa  mchungaji wa kanisa katika kijiji chetu  ambacho tulikuwa tunashiriki ndani .Tulipofika kwa boma la huyu mzee ,wamama wote na wasichana  na vijana ambao walikuwa hawajatahiriwa  wote waliondoka .Hii ilikuwa saa moja  jioni.Tulipewa chakula na baada ya chakula tuliambiwa kuwa zoezi la kuangalia juu linaendelea  kwa hivyo tuliambiwa tutoe  nguo mara moja  na tuwe uchi kisha tuangalie juu na wakati huu tulichapwa kofi na viboko pia.Huo usiku tulilishwa kiapo  tukiketishwa juu ya ngozi ,matawi na vitu mbali mbali ambavyo wazee wa tohara walikuwa navyo.Tuliambiwa kuwa mambo yote tuliyotendewa  tusije tukaambia mtu ,tuliambiwa kuwa yeyote atakayetoa  hii siri atarukwa akili (atakuwa mwendawazimu ).Tulifanyiwa mateso mengi  usiku huo tukiwa uchi hadi saa zaa alfajiri  ndipo tukaambiwa tuvae nguo watu walikusanyika tena  kama wamevaa matawi ya ndizi naya mimea mingine  na wakaanza kucheza  wakituelekeza msituni  karibu na mto mahali tulikuwa tunaenda  kutahiriwa .Baada ya kutahiriwa tulipelekwa kwa nyumba  ambayo ilikuwa i212mejengwa  ambapo tungeishi  hadi wakati  wa kupona.Pale tulifundishwa  jinsi ya kuroga watu tukitumia matawi  ya mimea,majani  au mizizi ya miti mbali mbali na tukafundishwa  kuwa haifai  mama  mzazi kututuma kumsaidia kazi kama kupika ,kusomba maji ,Tukafundishwa kuwa ni makosa kuingia jikoni na kuambiwa haifai tukule chakula ambacho kimeanguka  chini.Tulifundishwa  kuwa tusitembee na vijana ambao  hawajatahiriwa  na tusionge na wale hawajatahiriwa  kwa kikundi  chetu.Tulioga maji baridi usiku wa manane na pia wakati wa usiku tungetolewa  na kutembezwa kwa vijiji  na ikifika saa kumi ya usiku  tukawa tumerudishwa  kwa nyumba yetu  msituni .Kwa wingi tuliwekwa kuimba nyimbo  za kitamaduni.Watu waliotutembelea pale hawakuruhusiwa  kutusalimia kwa mkono ila walitugonga wakitumia fimbo.Mara tena tuliwekwa kuapa kuwa hatutatoa siri ya mambo yaliyofanyika pale na tukawekwa kuruka juu ya ngozi na  matambiko mbali mbali na kuambiwa  kuwa kamatungetoa hiyo siri au kuvunja maagizo tungerukwa akili.Tuliambiwa kuwa sisi ni watu wakubwa na muhimu tangia sasa kwa hivyo tuendelee kutafuta ushauri kutoka kwa wazee wa mila yetu.Siku zetu za kukaa pale zilipoisha  nilijisikia nikiwa mtu muhimu zaidi katika ukoo wangu na pia mtu ambaye hawezi kuchezewa kwa sababu nilikuwa na ujuzi wa kuroga na mtu hangenichezea  na pia nilijua kuwa sasa nina uwezo wa kuwatesa  wale ambao watakuja kutahiriwa  baadaye ili kulipizakisasi  cha yale mateso niliyofanyiwa .Nilikuwa sijaokoka ingawa nilikuwa ninaenda kanisani  na baba yangu pia alikuwa mchungaji lakini alishiriki hizi mila zote mimi sikujua kuwa mila hizi ni dhambi .Siku yakutolewa pale msituni ilikuwa siku ya sherehe tuliombewa na  tukapelekwa kila mmoja kwa furaha ,vyakula , nyimbo za kitamaduni  na za kikristo ziliimbwa na nikapewa ngombe kama zawadi kisha kuanzia siku hiyo  nilianza kuenda kwa muziki usiku nikaanza kucheza ngoma inayoitwa “madiaba”  mahali kuna matanga na nikawa na kiburi ,majivuno ,matusi na kanisa pia nilikuwa ninaenda  kwa sababu nilikuwa mtoto wa mchungaji .Katika mwaka huo wa 1990,nilijiunga na shule ya upili ya Pe Hill high School  nilishikwa na ugonjwa ambao ulinifanya kuacha masomo yangu nikiwa kwa kidato cha pili 1991. Nilikuwa mgonjwa kwa muda wa miaka mitatu na nusu.Nilipelekwa kwa mganga mmoja ambaye aliniambia kuwa kuna nywele ndani ya kifua changu na  ikitolewa nitapona lakini isipotolewa nitakufa na akasema kuwa alikuwa na uwezo wa kuichomoa hiyo nywele-lakini kwa malipo baba alikubaliana naye na yule mganga akachukua kikombe chake cha uganga na kuwasha kiberiti na akatupa ndani ya kile kikombe kisha kwa haraka akafunika pale mahali kwa kile kikombe kikiwa na kiberiti  kinachowaka ndani yake- nikahisi kama kile kikombe kinakwamilia kwa ngozi ya  kifua changu na kuvuta nyama ya eneo lile na alipokiondoa kile kikombe,nilishangaa kuona nywele aliyokuwa ameniambia.Ndani ya hicho kikombe,nywele hii ilikuwa imefungwa kama mpira mdogo unaolingana na jicho ya mwanadamu.Lakini pamoja na huu mwujiza,pesa za baba ndizozilienda lakini mimi sikupona.Nilipewa madawa mengi ya  kienyeji na wazee wa ukoo wetu walileta kila hekima  walioyoijua lakini pamoja na matambiko yao yote sikupona.Sikujua kuwa ni vibaya kuenda kwa waganga-Matedo 16:16-18,2wafalme 1:1-3,Isaya 8:19.Manabii walianza kujitokeza wakishuhudia vile ambavyo wangeniombea na nipone.Nakumbuka siku moja baba akiuza ng’ombe na kuwapatia manabii waliovaa kanzu nyekundu na wamebeba msalaba mkononi na mwingine  mdogo umeninginia juu ya kanzu nyekundu na ambao walikuwa wakiniombea wakitumia vitambaa vya rangi mbalimbali pamoja na misumaa na pia wakawa wananinyunyizia maji ambayo waliyaita”maji matakatifu”- nawakanichukua niende kuishi nao mahali walikuwa wakifanyia uombezi na wakati mwingine wakasema kuwa Roho amewaonyesha madawa yaliyochimbiwa ndani ya nyumba yetu na dawa zingine zimewekwa juu ya paa na ambazo zikitolewa,mimi nitapona,lakini hata baada ya wao kukuja nakutoa hizo dawa na kunifanyia  maombi kila baada ya masaa matatu,badu sikupona.Sikujua kuwa walikuwa Manabii wa uwongo(Mt 7:15-16 ,Mt 24:24)- pia sikujua kuwa mwujiza wa Mungu haununuliwi-Mt 10:8,Matendo 8:18-20.Nakumbuka  nilipelekwa pia kwa mganga mmoja ambaye alimwambia baba apeleke kuku mweupe na huyo kuku akachinjwa,damu yake ikachanganywa na dawa na nikapewa ninywe nikiwa nimekalia ngozi ambayo sikujua ni ya mnyama gani- nikiwa ndani ya chumba kidogo ambacho ndani yake hakuna dirisha na huku sauti nyororo yakile ambacho huyu  mganga alikitaja kama malkia wa uponyaji- yaani pepo wa uaguzi(jini)ikinionya kwa ukali na kuniambia kuwa nimerongwa.Ajabu ni kwamba,hata baada ya kufika mbele ya huyo mganga mashuhuri  baada ya baba kuuza ngombe na akapewa pesa, mimi sikupona. Siku moja nilipelekwa kwa mama mkongwe naye ni mganga huyu Aliniambia kuwa nimerogwa kwa kuwekewa vitu ndani ya mwili wangu,alikuwa anatumia wembe kuweka chale juu ya mwili wangu kasha anaweka pale mdomo wake na kunyonya damu iliyokuwa ikitoka pale kwa nguvu kisha anamwanga hiyo damu juu ya bakuli na aliponifanyia hivyo, alitoa mdomoni mwake vitu kama nyama changarawe ndogo ndogo,mifupa, ugali, mboga zote alisema amezichomoa kutoka ndani ya mwili wangu lakini sikupona.Nilipelekwa kwa mganga mmoja aliyetutabiria kuwa jirani wetu ndiye alikuwa ameniroga.Aliniambia kuwa ndani ya  kichwa changu kulikuwa na maji mengi ambayo  ilisababisha maumivu na akasema kuwa dawa ambayo akonayo ndiyo ingeweza kufanya  maji  hayo yatoke kisha nitapona.Aliniwekea hiyo dawa    chungu ndani ya mapua yangu kisha akaniambia niimanishe kichwa  changu.Niliinamisha kichwa changu na  makamasi yaliyo kama maji yakatoka  kwa mapua yangu na tangia saa hizo,ugonjwa  ule   uliongezeka zaidi na niliporudishwa kwake, akaniambia kuwa  nilete kifaranga  cha umri wa siku moja na kuku mweusi nailibidi kesho yake tuje na kuku mweusi lakini hatukupata kifaranga alichotaka akatwambia kuwa tusiwe na wasiwasi kwa sababu kuamkia hiyo siku kuna kuku wake ambaye alikuwa ameangua vifaranga kwa hivyo angetusaidia na kifaranga wa umri wa siku moja,tulifurahi.Yule mganga alichukuwa kile k ifaranga na akakiweka juu ya kiti kidogo( cha kienyeji) kisha akaweka ngozi  juu ya hicho kifaranga ambacho kilikuwa juu ya kiti kisha akanianbia nikae juu ya ile ngozi ambayo  iko juu ya kile kifaranga  kilicho ju ya kiti . Nilipoketi nilifinya kile kifaranga kikafa kisha alianza kunikata kata chale nyingi juu  ya mwili wangu na kuweka dawa ya kienyeji akiniambia kuwa hii itanikinga nisije nikarongwa tena na akachinja yule kuku nyeusi na akachukuwa damu yake na kuchanganya na dawa ya kienyeji na akanipa ninywe nyingine akachanganya na maji na nikaambiwa nioge yale  maji kisha akachukuwa yule kifaranga wa siku moja (ambaye nilikuwa nimeketi juu yake na tayari amekufa) akaniambia niende nitupe mtoni kisha niende nyumbani bila kuangalia  nyuma.Aliniambia  kuwa yule kifaranga amebeba maagonjwa yangu yote na akitupwa mtoni,ningetengwa na magonjwa na akanipea  dawa na akaniambia kuwa nikifika nyumbani,nichukuwe mavi yangu kidogo nichanganye na ugali na hiyo dawa na nikule kisha nitapona kabisa. Hayo yote nilifanya lakini sikupona.Nilitembezwa kwa hospitali mbali mbali nikatumia dawa ya kienyeji, nikapelekwa kwa manabii walioombea wagonjwa wakitumia misumaa, nikapelekwa kwa waganga lakini sikupona-nilikuwa mgonjwa kwa muda wa miaka tatu na nusu lakini sikupona.

KUOKOKA NA UPONYAJI WANGU.

Nikiwa kwa hali  hizo za kuvunjika moyo,siku moja  mwezi wa nane 1993 nilienda mahali ambapo injili ilikuwa inahubiriwa na mhubiri wa dhehebu la Pentecostal Assemblies of God(PAG)Siku hiyo niliamini yesu kuwa mwokozi wangu baada ya kuokoka,nikabatizwa katika maji mengi tarehe 19/12/1993 na pastor Oyiera wa Madira PAG church. Nilianza kusoma neno la Mungu na kuenda kanisani (PAG) kila mara na vile nilivyoendelea kuzama ndani ya neno na maombi ndivyo nilipata kama maumivu yanaendelea kuisha mwilini mwangu na baada ya wiki mbili hivi nilikuwa nimepona ingawa mwili ulikuwa na unyonge na nikaanza kutumia muda mwingi kusoma neno la Mungu na kuomba.Nilianzisha biashara Migori mwezi wa pili 1994 lakini nikarudi kufanya biashara hiyo nyumbani kuanzia Mei 1994 nikienda kanisani.

UONGOZI NA UPINZANI  NILIOKUTANA NAO

Siku chache baadaye,nilipokuwa nikionya vijana wa kanisa waache usherati,mzee wa kanisa alinikemea akaniambia kuwa akisikia tena kama mtu yeyote anahubiri juu ya usherati, atamtupa nje ya kanisa.Hilo tangazo lilinigonga kama bomu.Jambo lingine lililokuwa linanivunja moyo ni kuwa,viongozi wa hili kanisa walipeana muda mwingi kwa matangazo kuliko kipindi  cha mahubiri.Walisema kuwa matangazo ndiyo hujenga kanisa.sikukuwa na ile bidii ya kwanza kuenda pale kanisani tena ila nilianza kujuta moyoni na kujiuliza ni kwa nini nikawa ndani ya dhehebu kama hili.Mungu aliniinulia mlezi mwingine kutoka eneo lingine ambaye ni binamu  wangu kwa majina Julius Onyanji  Tadayo ambaye alinifundisha mengi juu ya neno la Mungu na akanipatia bibilia ya Agano Jipya na akawa mshauri wangu wa karibu kuliko mchungaji wangu na nilimwoa mke wangu kwa majina Gladis Kaveza tarehe 2/10/1994 na kufuatana na utaratibu wa PAG,ubatizo ungeweza kufanyika mara moja kwa mwaka wakati huo kwa hivyo walipotangaza kuwa wale wanao taka kubatizwa wajitokeze, nilipeana jina langu na nikabatizwa mwezi wa kumi na mbili 1994.Mwaka wa 1995 mwanzoni nilienda kufanyia biashara yangu kule Rapogi kisha baadaye mwezi wa tano 1995 nikahamia magina karibu na Migori.Mungu alitujalia kupata mtoto wetu wa kwanza aliyeitwa Samwel Godia Simbiri –ambaye alizaliwa sikuya jumapili saa tano tarehe 12/11/1995.Januari 1996,nilihamia Migori (nyasare) na nikajiunga na Grace Revival Church ambalo lilikuwa Nyasoko. Nilipenda iyo huduma kuliko ile ya kwanza na sikuona umbali kuwa kitu cha kunizuia kwenda kwa  ibada.Punde tu baada ya kujiunga nah ii huduma,nikafunuliwa kuwa mila nyingi  ambazo tulikuwa tunafanya kama makumbusho,tero buru,tohara za kienyeji na mambo mengine ni chukizo kwa Mungu-jambo ambalo nilikuwa sijui wakati wote nikiwa P.A.G.tangu wakati huu nilipenda huduma na nikawa ninakuwa kiroho nikahamia karibu na kanisa –pale Nyasoko huo mwaka wa1996 Mungu alitubariki na mtoto wetu wa pili kwa jina Daniel Andiva Simbiri,ambaye alizaliwa tarehsse  15/6/1997. Kufikia mwaka wa 1998 nilitaka kujua kile mungu alitaka nifanye(mwito wangu)Kwa hivyo niliingia katika maombi ya kufunga na  nilianza  kupata vitabu na majarida na makaratasi mbalimbali yaliyo na ujumbe wa neno la Mungu na nikapenda kusoma na kugawa hayo makaratasi kwa watu na nikaanza kuhubiri katika mikutano ya hadhara [crusades]na katika nyumba mbalimbali [house to house evangelism].Nilidumu katika kusoma bibilia na maombi na kwa ndoto,nilionyeshwa kama nahubiria watu na kukemea mapepo na magonjwa na nikaona watu wanapona.Binamu wangu anayeitwa Julius Oyanji Tadayo alianza kunipatia majarida mbalimbali kutoka kwa huduma ya World map na baadae akatuma jina langu huko nikawa ninatumiwa majarida hayo na nikapata kitabu cha Fimbo ya mchungaji iliyoandikwa na Ralf mahoney.Kwa kweli niliyapenda na kuyasoma ikanifanya kuandika kila ujumbe niliyofundisha kanisanina nikaanza kusoma vitabu mbalimbali vilivyo andikwa na watumishi wa Mungu kama Tommy Osborn , reinard bonke,  leo harris Zac poonen ,Gerald rowlands .Niliombewa kuwa mchungaji wa kanisa la Nyasoko Grace Revival Church huo mwaka wa 1998.Niliendelea kuwa na nia ya kuhubiri kupitia kwa uandishi wa vitabu na majarida.nilianza kukutana na ugumu na upinzani hasa wakati nilikemea dhambi kanisani.Kanisa nililokuwa ndani liliharibika kwa sababu ya mgawanyiko  uliokuwepo na katika mwaka wa [1999] , nikajiunga  na huduma wa Grace Gospel Pentecostal church ambayo ilikuwa imejitenga kutoka kwa Grace Revival Church na nikaungana na wachungaji wengine wa hiyo huduma kwa mafundisho ya uchungaji.    Nilikuwa nikiubiri na kufichua yale ambayo nilifundishwa wakati nilitahiriwa kwa sababu ya kutii neno –Mt10:27-31.Kutoka mwaka huo wa 2000 mwezi wa nane ,watu wa ukoo wangu  wa kikundi kile ambacho nilitahiriwa ndani  walikuwa wanataka kutahiri vijana na kwa sababu ndugu zangu walikuwa wanaenda kutahiriwa sheria ya ukoo ilikuwa inawataka vijana  wakubwa kutoka kwa jamii waende kuwajengea ndugu zao wanaotahiriwa  nyumba inayoitwa “itumbi” walipotukujia ili tuende nao  kujenga ,nilikataa nikawaambia kuwa mimi nimeokoka jambo hili halikuwapendeza kwa hivyo ilipofika siku ya kuwakusanya vijana ili wapelekwe msituni,mimi sikuenda huko na wakaamua kwa hasira kuja kunichukua  kutoka nyumbani usiku saa sita nikiwa bila shati na kunidhihaki ,kunitusi,kunivuruta hapa na pale na kumbuka walikuwa  wengi na wakanitumbukiza ndani ya maji  wakinipeleka kule ambako vijana  waliokuwa wanaenda kutahiriwa walikuwa wamekusanywa .Waliponifikisha huko ,nilipata watu wamejaa ,wanakunywa pombe,bangi,sigara na wengine wanaendelea kuwatesa wale ambao wataenda kutahiriwa na nikapelekwa kwa chumba cha wazee  watohara na baada ya kuniuliza maswali mengi  na kunidhihaki wakaniambia kuwa wataniroga kwa sababu  wao ni wachawi .Pia waliniambia kuwa nitarudishwa msituni kwa “ Itumbi”kwa muda mwingine wa mwezi mmoja ili niende kupewa adabu na kufundishwa  upya,ilipofika saa tisa usiku  kwa walinipa vijana watakao nilinda na wazee  wakaenda kulala .Baada ya mimi kuwekwa mikononi mwa wale vijana,ajabu ni kwamba  kabla ya muda wa dakika tano mmoja wao aliwasha sigara na wengine wakaanza kumwomba na kwa vile hakutaka kuwapa hiyo sigara alitoka pale mbio na wale vijana wote walimfuata wakitaka kumnyanganya ile sigara na nikapata kama sina mlinzi  na kulikuwa na mwangaza wa mwezi.wakati huo huo nikahisi kama  Roho mtakatifu ananiuliza kuwa “unafanya nini,simama uende”nilisimama na nikapita katikati ya umati  kubwa  wa watu waliokuwa wakiota moto,kunywa pombe ,,sigara,na kumbuka kuwa nilikuwa sina  shati na pia kuna mwezi  na pia watu wote pale walijuwa habari zangu lakini nilipita kati kati yao mpaka nikatoka nje ya lile boma nikipitia kwa shamba kubwa ambalo lilikuwa limelimwa na nikiangalia nyuma nilikuwa ninaona vile watu wanaendelea na shughuli zao pale lakini sikuona mtu akinifuata kisha baada ya kufika mwisho  wa hili shamba Yule Roho wa Mungu  akaniambia kuwa  sasa kimbia ukifuatia kwa mashamba hadi nyumbani kisha uende kwa Askofu Bernad Omega.Nilienda hadi nyumbani na ilikuwa imefika saa tisa na nusu hivi na nikamwambia mke wangu anipatie nguo zangu kisha nikaondoka usiku huo hadi kwa askofu wangu  wa kanisa mchungaji Benard Omega ambaye alikuwa ameishi karibu na Nyasoko.Huyu askofu aliposikia nikiita alinitambua na baada ya kunifungulia nikamwelezea yaliyofanyika  kisha akanifariji  na kuniombea na akawa wa msaada mkubwa kwangu .Niliendelea  kutoa ushuhuda juu ya hayo yaliyotendeka  na kufichua ile siri na hakuna uchawi  kutoka kwao ulionifanikia juu yangu hadi wakati huu ninaandika ujumbe huu miaka 15 baadaye .Iasya 54:17,Luka 10:19,.Jiulize hili swali ,Je? Umeacha mila/-mark 7:1-10 wakolosai 2:8Ombi langu ni kwamba  wote katika familia yangu wasife wakadai kwa tohara  kama ile nilipitia ndani na Mungu awafunike mambo mengine ambayo ikachukiza watu wa ukoo wangu ni kulima tumbaku,mila ya makumbusho ,kwa waliokufa –Zab 106:28 mila za ndoa na pia watu wa ukoo hawakupenda kusikia kuwa nimeacha dhehebu la P.A.G sababu  hii ndiyo dini ya nyumbani.Katika mwaka wa 2001, mimi na mke wangu tulirudi kuishi Migori mjini tukapangisha nyumba pale Kadika na tukaanza kufanya maombi ndani ya  nyumba yetu kila siku saa kumi na mbili asubuhi, saa saba  mchana na saa moja jioni.Roho wa Mungu alikuwa anatuongoza.Wagonjwa walioletwa pale ili tuwaombee walikuwa wanapona.Kila mara katika kunena, nilitaja uponyaji,ishara na miujiza kwa sababu Yesu alisema kuwa uwezo na ishara hizo zitaandamana nasi-Yoh 14:12,Mariko16:17,18,Luka 10:19, na pia nilijua vile Mitume walitembea katika nguvu za Roho Mtakatifu na ishara na maajabu ziliandamana   nao-Matendo 4:30,31, 5:12,8:6-18, 12:5-10, 16:25,19:11-12-20.Na nilipenda kuongea juu ya umuhimu wa kukuwa kwa ibada ya kila siku vile kanisa la kwanza lilifanya-Matendo 2:42-46, pale Kadika tulikuwa na ibada ndani ya nyumba yetu na majirani wengi  walikuwa kwa ibada asubuhi,mchana na jioni saa za maombi.Mwaka wa 2002 januari,niliwashauri wale waliokuwa wameokoka kupitia kwa huduma niliyokuwa nikifanya pale waendelee na ile huduma chini ya Grace Gospel Pentecostal Church nami pamoja na mke wangu tukahamia eneo ya Oruba na tukapangisha nyumba, mimi na  mke wangu tulianza maombi upya na Mungu alikuwa na mimi. Nilianza kuhubiria watu wa kijiji kile na nikaona wagonjwa wanapona na Ishara na majabu bado ziliandamana nami nikiwa eneo lile na katika huo mwaka .Nakumbuka siku moja nikiwa mahali pa ibada,mtu mmoja akanijia akitaka kuwa nimwombee ili apate pesa za nauli aende Kisumu alete mkewe ambaye walikuwa wametengana naye lakini mimi nikamshauri aache tumtume Mungu mwenyewe aende kumleta yule mama.Huyu mtu alipokubali nilimwombea huku nikimwita yule mke wake kwa jina lake ili arudie ndoa yake.Nilimwomba Mungu aufanye moyo wa yule  mama  urudi kwa mumewe tangia saa zile na pia Mungu amjalie yule mama kupata pesa za nauli kisha nikamwambia huyu mtu arudi kwake na ajiandae kumpokea mkewe.Nashukuru Mungu kwa sababu Yule mtu alipoondoka aliturudishia ushuhuda kuwa huyo mama alikuja haraka bila  huyo mtu kugaramika,hii  na Ishara nyingi zilikuwa zinafanyika na kila jambo nililosema,lilikuwa linatimia bila mimi kuomba vile bibilia inasema-Mariko 11:23-24, hapo niligundua kuwa kuna uwezo katika maneno tunayosema- kutengeneza na kuharibu,kujenga na kubomoa ukitumia ulimi wako kunena uponyaji, unapona ukitumia ulimi wako kunena ukisema kuwa”unajihisi utakuwa mgonjwa-baadaye utapata kama umekuwa mgonjwa –kwa hivyo tamka ushindi nawe utakuwa mshindi.Katika mwaka huo,nilikuwa na imani kuwa ningekuwa mwandishi na mgawaji wa vitabu na majarida katika maeneo kama shuleni.sokoni,hospitalini,sehemu za watu kufanyia kazi n.k.Na kwa sababu bibilia inasema kuwa ukiamini yote yanawezekana nilianza kuona yote yakitimia moja baada ya lingine .Warumi 4:17-21,Luka 1:45 na huo mwaka wa 2002 Februari nikaanzisha huduma ya Apostolic Gospel Fellowship ambayo baadaye ikabadilishwa kuwa huduma wa kuhubiri kupitia kwa vitabu/majarida(ujumbe ulioandikwa ambayo baadae katika mwaka wa 2016 septemba iliitwa faith and Holiness Organization- Faho        Faith and Holiness- Gospel Literature Organization][ fah-glo]  Katika mwaka wa 2003(Januari) nilihamia eneo la namba (Migori) na nikaanza kuhubiri eneo lile na Mungu badu alikuwa nami kwa sababu  nilipokuwa pale,nilihubiri na nikapata wale walioamini kristo  kupitia kwa injili niliyohubiri na tukawa kanisa ambalo kupitia kwetu neno la Mungu liliwafikia wengi .Mtoto wetu watatu kwa majina Esta Namito Simbiri (msichana)alizaliwa siku ya ijumaa saa tatu na nusu tarehe 8/8/2003 na kufika tarehe 29/12/2004 huyo mtoto alikufa na akazikwa 1/1/2005.Mtoto wetu wan ne aliyeitwa Shadrack Rongai Simbiri(mvulana) alizaliwa tarehe 25/1/2005. Saa tano mchana na baadaye mtoto wetu wa tano aliyeitwa Faith Kavaya Simbiri (msichana) alizaliwa tarehe 25/1/2007 na huyu pia akafariki tarehe 6/10/2007. Kufikia mwaka  huu wa 2007, nilikuwa nimeanza kugawa mafundisho juu ya makaratasi niliyo kuwa nimeandika kwa jina  Tarumbeta ya imani na utakatifu  na  nikaanza kuandika vitabu  vya  Kiongozi wa Kanisa,Familia ya Mkristo, Ushuhuda,Tafuta ukweli vyote vikiwa ndani ya kitabu kimoja kinachoitwa  Kanisa la Yesu Kristo .Mtoto wetu wa sita kwa jina Wilfred Bonke Simbiri alizaliwa tarehe 12/04/2008 na badaye mtoto wetu wa saba kwa jina Billy Graham Simbiri alizaliwa tarehe 29/7/2010 na kufikia  wakati wakuandika huu ujumbe tulikuwa na watoto watano wavulana waliokuwa hai-samuel Godia Simbiri, Daniel Adiva simbiri ,Shadrack Rongai Simbiri,Wilfred Bonke Simbiri na Billy Graham Simbiri na Phanuel Bright na watoto wasichana waliokufa ni Esta Namito Simbiri na Faith Kavaya Simbiri.Nashukuru Mungu kwa ajili ya kunibariki na watoto. Kuanzia mwezi wa tano mwaka wa 2020,maono yangu yamekuwa kuandaa kanisa la Yesu Kristo ili litembee katika Imani na utakatifu kama njia ya kujiandaa kwa ajili ya unyakuzi,kwa  maana Yesu hakuji kulichukua dhehebu moja,bali anakuja kulinyakua kanisa lake,ambalo ni mimi na wewe tunaomwamini,

MUNGU ALINIEPUSHA NA KIFO CHA MAPEMA.

Wakati ambapo Herode aliamuru watoto wanaume wote wa miaka miwili na waliopungua wauawe akimlenga Yesu, Mungu aliandaa njia ya Yesu kuponyoka (kutokuwa)

Wakati ambapo Farao aliamuru watoto wauawe,Mungu alimhifadhi Musa hai tena chini ya ulinzi wa jamii ya Farao-Kutoka 1:22,2:1-10,ikiwa Mungu ana mpango  na maisha yako hataruhusu chochote kikudhuru hata kama mimba yako ndiyo mama yako alitaka aiharibu ,kwa sababu Mungu amekujua ata ndani ya tumbo –Yeremia 1:5,ata kama kuna njama za kukuua au kukuumiza Mungu atakulinda .Musa hakukuwa ameokoka ambaye angeomba ufuniko wa Mungu lakini Mun gu alimhifadhi  hai kwa sababu alikuwa amemweka kando kwa ajili ya kuwatoa wana wa Israeli Misri.kabla ya hapo wandugu wa Yusufu walimpangia njama za  kumwangamiza au kumpoteza lakini hayo yote  hayakumzuia Mungu kumhifadhi hai hadi wao kuja kumwinamia .Mwanzo 37:19-24 Paulo alikuwa ameandaliwa kuwa mfarisayo  na jamii yake lakini  Mungu alimgeuza –matendo22:1-10.Mungu alikuwa amenichagua kuwa chombo chake kutoka  kwa ukoo wetu.Wazazi walikuwa na mpango wao kwa ajili ya maisha yangu .walikuwa wanajitahidi kunifanya niwe kama vile mioyo yao ilitaka lakini  Mungu alipindua yote  na kunifanya kuyatenda mapenzi yake badala ya kuyatenda yale wazazi na ukoo wangu wangefurahia kama mila na tamaduni zao.Mathayo 10;34-39,mariko 7;1-10.

Nitanena juu ya visa vichache ambavyo vilitendeka katika maisha yangu ambavyo mimi mwenyewe nilidhani kuwa ningekufa kama ningali mdogo lakini Mungu hakuruhusu kwa sababu alikuwa ananiandaa kama chombo chake.Kuna siku moja ambayo nilinusurika kifo nikiwa nakimbia kuchomoa miwa kutoka kwa tinga tinga nikiwa na watoto wengine wa shule mapema kwenye mwaka wa1988.Katika mwaka wa 1982 jumapili moja nikiwa mlimani katika msitu ,nilikanyaga juu ya nyoka ambayo kwa hasira kali ilinishika mguu kwa kinywa chake ikiuma na ninakumbuka tu yakuwa mate ya nyoka yalibaki yamelowana juu ya mguu wangu kama ninatoroka mbio na huku roho yangu  inadunda dunda nakumbuka kuwa nilikuwa tu peke yangu  mimi ni kijana tu wa miaka kumi hivi na nikiwa nilijua kuwa nyoka akikuuma unakufa kwa hivyo mimi nilijua siku hiyo ninakufa pia ninakumbuka kuwa hata nilipokimbia kwenda nyumbani ,wazazi wangu wote walikuwa wameenda kanisani lakini ajabu ni kwamba mguu wangu haukuvimba wala maumivu yoyote sikusikia mwilini na hata wazazi walipokuja jioni ,niliogopa kuwaambia kwa sababu nilidhani watanichapa ,ajabu ni kwamba sikukufa vile nilitarajia na baada ya siku tatu  ivi nilijua kuwa nimenusurika kifo .Mungu alijua sababu ya kuniokoa.Siku moja kwenye saa ya jioni,nilienda kupanda juu ya mti mwigine mrefu kwa sababu nilikuwa nimeona kiota  cha ndege,kwa hivyo nikapanda juu ya huo mti ili kwenda kutega hiyo ndege na lile tawi nililokanyaga likavunjika na kilichobaki ni kuanguka,nilijaribu kushikilia matawi mengine lakini nikawa sina mahali  pa kushikilia ila ni kuanguka .nakumbuka nikiwa katika hiyo hali katika hewa nikasema “Ah leo nimekufa”kisha nikaanguka chini kama jiwe lililokuwa limerushwa.Nilipotelewa na fahamu kwa muda kisha fahamu zikanirudia ,tayari kukawa ni giza ,kuamka siwezi ikabidi niwe pale kwa muda fulani kwa sababu hakukuwa na mtu karibu pale angeweza kunisaidia na baada ya muda fulani nilianza kupata nguvu za kujikokota pole pole hadi nyumbani lakini  moyoni nilidhani kuwa sitapona lakini baada ya siku mbili hivi nilikuwa ningali mzima na nikajua kuwa nimenusurika kifo kwa sababu kama kichwa changu kingetangulia mchangani saa zile nilikuwa naanguka huenda shingo langu lingevunjika .mungu alijua sababu ya kuniokoa na kifo siku hiyo. Siku moja nilikuwa nafukuzana na ng’ombe wetu mbio nilijipata kama shingo langu limeshikwa na kamba ya kuanikia nguo na nikaanguka kurudi nyuma na nilijua huenda ile kamba imenikata koo langu lakini baada ya muda fulani niligundua kuwa niko mzima.Mungu alijua sababu ya kuniokoa siku hiyo ,Mungu akiwa na mpango na maisha yako ni lazima atakuokoa na kifo cha mapema.

MAFUNDISHO JUU YA IMANI/UPONYAJI/MIUJIZA NA ISHARA.

Yakobo 5:13-18, Mariko 6:35-54, 5:38-43, 5:24-34.

         Na Isaac Simbiri.

Bibilia linasema kuwa heri mtu Yule aliyesadiki kabla aone Luka 1:45, imetupasa kuwa watu wa kiomba,kufunga,kusoma neno,kuwa kwa ibada na kuwa na  imani tutakapoambia mgonjwa kuwa apone itabidi sisi tunaomwambia tuone uponyaji wake kabla ya yeye kuona bibilia inasema kuwatutasema nayo itakuwa Mariko 11:23-25 ukisema kuwa nitakuwa na huduma kubwa, amini kuwa itakuwapo.Kuna wengi ambao wanapenda watembee kwa ishara, maajabu na uponyaji huku wakiacha utakatifu, haipaswi iwe hivyo ila tuwe kielelezo katika vyote katika huu ujumbe ninafundisha vile Mungu anafanya ishara ya uponyaji na miujiza mbali mbali kwa wale wanao mwamini  na hata wewe ukiamini Yesu unaweza kufanya zaidi ya haya Yohana 14:12.Najua kuwa ndani ya huduma ya Yesu kulijaa uponyaji,miujiza,Ishara maajabu Mariko 2,3,5,kwa hivyo ndani ya huduma yako leo inafaa hayo yaonekane kwa sababu hii ni ahadi kwa wote walioamini na watakao amini Matendo 2:38-39,Yohana 14:12,Mariko16;15-20,Mariko 6:12. Jiulize kama kuna mwujiza wowote unafanyika ndani ya huduma yako au uponyaji au ishara yoyote.Jiulize kama kuna mikutano  za kila mara. Jiulize kama kuna maombi ya kufunga ndani ya huduma yako Matendo13:1. Jiulize kama mnatumwa kuhubiri injili au ni mchungaji wako tu ndiye anaenda.Ni vigumu kuona ahadi za Mungu kwetu kama kanisa ikiwa hatutatii neno ambalo tumeagizwa la kuondoka na kwenda kuhubiri Mathayo 28:18-20 na ishara/miujiza/uponyaji kuandamana nasi.Mathayo 28:19,mariko 16:15,Luka 14:21-24,Matendo 1:8.Fanya vile Yesu alifanya.Luka 6:10,4:13-40,mariko 8:22  kuna haja ya huduma za uponyaji,imani,miujiza,ishara  na maajabu ndani ya kanisa leo kwa sababu tumeahidiwa kuwa nazo Matendo 2:38-39,Yohana 14:12,15:7,Mariko 16:15-20,kuna wengi wamefundisha kuwa ishara miujiza  ziliisha kipindi cha Mitume huo ni uongo-Waefeso 4:11-12,1Wakorintho 12,Yohana 14:12.Siku hizi makanisani  kuna hali ya uvuguvugu, masengenyo,fitina,kupenda pesa,tamaa ya uongozi ambayo imechukua mahali pa Roho mtakatifu,imani,upendo,ishara, miujiza,uponyaji,ufunuo3:15-16 katika kipindi cha mitume wagonjwa waliletwa kwa mitume matendo 5;11-16.Wakati Yesu alikuwa ulimwenguni hapa katika mwili wagonjwa walibebwa wakapelekwa kwa Yesu mariko 6:54-56,Mariko 2:1-12,Yesu anasema kuwa tukiwa ndani ya neno yeye naye atakaa ndani yetu-tuamini kuwa  atatenda yale aliyotenda akiwa hapa ulimwenguni kupitia kwetu,Yohana 15:4-7 1Cor 3;16 ikiwa Yesu amehidi kuja kukaa ndani yetu ili tusiwe ni sisi pekee yetu tunaishi ila ni yeye anaishi ndani yetu.Yohana 14:26,23,26,Mathayo 10:20,Matendo 2:28,39. 1Petro 4;14 yeye Yesu ni mmoja jana leo na hata milele Waebrania 13:8 mpendwa kama umeokoka na umejazwa na Roho mtakatifu unauwezo wa kutenda yote ambayo Yesu aliyatenda-Yohana 14:12,13,15:7 Yesu ameamua kuja kujidhihirisha kwa ulimwengu kupita kwetu sisi ambao tumemwamini Yohana 14:21.2Korintho 5-18-20.Ajabu ni kwamba leo hii mtu akiwa mgonjwa anaamua kukaa naye nyumbani au anaamua kumpeleka hospitali lakini sio kanisa kwa sababu kanisani hakuna uponyaji ule ambao ulionekana katika kanisa la kwanza.Wapendwa haipaswi kuwa hivyo.Ikiwa wewe umeokoka,jiulize kama  Yesu aliyekaa ndani ya mitume anakaa ndani yako.Huu sio wakati wa kulaumu mchungaji peke yake  kwa sababu ya uvuguvugu ndani ya kanisa,ikiwa mchungaji wako yuko vuguvugu wewe unaweza kuwa tofauti kwa sababu una bibilia unajisomea na kujua mamlaka yako ambayo Yesu amekupa Mathayo 10;1-mariko16;15 ikiwa mchungaji wako yuko vuguvugu wewe kama mwumini unafanya nini kuleta utukufu wa bwana ndani ya kanisa.Ni wakati ambapo imekufaa kujua kuwa umeahidiwa Roho mtakatifu-Matendo 2:38 na kazi ya roho mtakatifu ni nikufanya zile kazi ambazo Yesu  alisema ni ukweli kwa sababu kuna wakati ambapo watu walio na shida mbalimbali wamekuja kunitafuta ili niwaombee wakiwavuka milima na mabonde.Nimeona kama wagonjwa wanapona,viziwi wanasikia,wenye vifafa wakipona, ndoa nyingi zikipatanishwa,waliokuwa tas wakianza kuzaa,waliopotea kutoka kwa jamii,waliofungwa na mapepo wakiwekwa huru,walionaswa na kongwa la kidini wakiokolewa,waliopigana name nimeona wakishindwa,injili injili inahubiriwa wakristo wanafundishwa neno,waliochini ya laana wanawekwa huru nimezivunja mila mbali mbali na tamaduni za makabila bila kupatwa na madhara.Waganga nimeona wakikiri kuwa huyu Yesu anawafaa mtakatifu-Matendo  1:8,2:38 na kazi ya roho mtakatifu ni nikufanya zile kazi ambazo Yesu  alifanya akiwa hapa ulimwenguni katika mwili.Nimekuja kuhakikisha kuwa yote ambayo Yesu alisema ni ukweli kwa sababu kuna wakati ambapo watu walio na shida mbalimbali wamekuja kunitafuta ili niwaombee wakivuka milima na mabonde.Nimeona kama wagonjwa wanapona,viziwi wanasikia,wenye vifafa wakipona, ndoa nyingi zikipatanishwa,waliokuwa tasa wakianza kuzaa,waliopotea kutoka kwa jamii wakirudi,waliofungwa na mapepo wakiwekwa huru,walionaswa na kongwa la mafundisho ya upotevu wakiokolewa,waliopigana nami nimeona wakishindwa,injili inahubiriwa, wakristo wanafundishwa neno,waliochini ya laana wanawekwa huru nimezivunja mila mbali mbali na tamaduni za makabila bila kupatwa na madhara.Waganga nimeona wakikiri kuwa huyu Yesu anawafaa hata nao.Nimeona nikitamka mambo yakatimia haja ya moyo wangu nimeipata kila mara Zaburi 37:4 ndugu yangu ni wakati wako kuchukua bibilia ujisomee na kuelewa mapenzi  ya Mungu na kuyatenda wacha kusikia hadithi za kizee pamoja na mafundisho ya awali ya hii dunia  ambayo haungwi mkono na neno la Mungu,Wakolosai 2;8 soma neno kwa wingi lijae ndani yako nawe utajua mapenzi ya Mungu Wakolosai 3;13.Achana na mila za mababu Mariko 7:1-10 na utembee ndani ya  neno wacha kuogopa vitu ambavyo mataifa wanaogopa Luka10;19,Zaburi 23  achana na sheria za madhehebu  ambazo haziungwi mkono na neno,ukisha lijua neno anza kuihubiri .wacha kungoja ili uwe na vitu kama viombo vya kuhubiri  kama baiskeli,gari ,anza kuhubiri hata bila hizo vitu utakutana nazo ukiwa ndani ya huduma.Mimi nilianza kutembea kwa miguu tena safari ndefu na bila vyombo kama  ningesubiri ili nipate vyombo singekuwa na huu ushuhuda kuwa Yesu anatenda miujiza na ishara kwa sababu ishara na maajabu na uponyaji vinakufuata unapoendelea na huduma  ukidumu kwa maombi na kufunga na wala sio wakati umekaa tu.Ninakushauri kuwa uondoke uanze kuhubiri neno la  Bwana- ukiingia huku na mimi niingie kule  injili inaenda mbele-watu wanaokoka wagonjwa wanapona,maskini wanahubiriwa habari njema-Mungu akubariki unapotii na kufanya-mathayo 7:21-24.

KUTOKWA DAMU/MIUJIZA WA MTOTO.

Nikiwa naishi  Kadika mjini Migori kuna mkutano ambao ulikuwa unafanyika ndani ya nyumba yangu kila jioni  tangia  saa moja hadi saa tatu usiku bila mimi kutembea nikiwasihi watu kukuja kwa mkutano nilikuwa nikiona nyumba inajaa mpaka nje ya nyumba na nina kumbuka kila siku ilikuwa na miujiza yake nilikuwa wakati mwingine ninawekea  wagonjwa mikono na wote walioamini  walikuwa wanapona sawa sawa na neno la Mungu Mariko  16:15-20,kuna siku moja ambayo nilisukumwa na Roho mtakatifu kusema kuwa yeyote aliye mgonjwa aguze mahali aliumwa peke yake nami nitaomba kwa jina la Yesu kisha atapona .Baada ya kuomba wengi walipona hata nawale ambao walikuwa wamekuja ili niwawekee mikono yangu juu yao na wakatoa ushuhuda.Nakumbuka siku moja nlipata mtoto mmoja akiwa anatokwa na damu mapuani mwake na nikajawa na roho wa huruma kwa sababu ya huyo mtoto na kumwuliza mamake,je mama kwa nini mtoto ako hivi?mama akaniambia kuwa hiyo ni kawaida ya huyo mtoto naya kuwa kila  baada ya wiki mbili huyo mtoto hutokwa na damu mapuani mwake.Nikakumbuka juu ya Yesu pamoja na mwanamke ambaye alikuwa anatokwa damu kwa muda wa miaka kumi  na miwili.Mariko 5:25-34 na nikamuuliza huyo mama je? Unataka hii damu ikome kumtoka huyu mtoto tangia  siku ya leo?Huyu mama akaniambia ndio, mumewe alikuwa pale ambaye ni babake huyu mtoto  naye pia akasema kuwa angefurahia sana kuona Yesu akiponya huyu kijana, nami nikamshika huyo kijana juuya kichwa chake na kukemea hali ya kutokwa na damu katika jina la Yesu na babake huyo kijana pia alikuwa anataka kusafiri na alikuwa hana nauli, akaniambia mchungaji niombee ili pia nipate pesa za garama nami  nikamwambia” Panga vitu vyako na siku ya safari wewe uondoke kwa sababu Mungu atakuwa amekuletea pesa”.Ajabu ni kuwa nilipoondoka tu hivi Yule mzee alipata kama analetewa pesa ambazo zilikuwa zaidi ya kile kiwango alikuwa anataka na ikamfanya kuamina hata kijana wake amepona.Baada ya miezi tatu nilikuwa na huyo mzee mjini  Migori karibu na posta aliniona kwa mbali nami nilikuwa nimemsahau ndipo akanihadithia vile alifanikiwa kusafiri na mtoto wake hajawahi kutokwa damu tena.Nikamwambia arudishie Yesu shukrani na utukufu.Kuna mama ambaye tulikuwa tunaishi naye katika eneo moja na huyu mama alikuwa hana mtoto kwa muda wa mwaka moja na nusu, alikuwa tasa na mume wake alikuwa mlevi na huyu mama alikuwa wa dhehebu la Legion Maria lakini akaja ili nimwombee kwa ajili ya mtoto nikamwambia kuwa akiamini kwa Yesu yote yanawezekana Mathayo 19:26 na  kumpa mifano  ya wale ambao Mungu aliwajalia kuwa na watoto kama Hana 1Samueli1:1-16,Sara Mwanzo 15,16,21 kisha akasema kuwa anaamini nami nikamwekea mikono na kumwombea ajabu ni kwamba alishika mimba na akazaa mtoto.Nikiwa naishi Oruba mjini Migori tulikuwa na ibada kwa nyumba yangu na mwanamke mmoja alikuja kwangu saa tano ya asubuhi.Huyu dada alikuwa amesikia juu ya miujiza ambayo Yesu anatenda kupitia kwangu na akaja kwangu na kuangaka chini akilia na kugagaa chini nikamuuliza nini mbaya ,huyu mwanamke akasema kuwa kwa muda wa miaka mbili amekaa na mumewe bila mtoto na kila mara tumbo linamuuma na watu wa ukoo na majirani pamoja na mumewe wanamtusi kwa sababu ya hilo,nami nikamwambia  kuwa yote yanawezekana kwa jina la Yesu kisha tukaanza maombi sote kwa pamoja na wale waliokuwa ndani ya nyumba baada ya maombi nikamwekea mikono  na kumtabiria kuwa atashika mimba na atakuja kwangu akiniambia kuwa ana mimba,kisha akaenda.Baada ya miezi mbili nilikuwa niko kwa njia natembea na nikasikia mwanamke ananiita”Mchungaji  mchungaji  mchungaji” na huku anakuja mbio akaniambia kuwa “Tayari nina mimba ya miezi mbili maumivu ya tumbo yalikwisha nina furaha hata na mume wangu na aibu imeniondoka”Kumwangalia nikamtambua kuwa ni Yule tulimwombea kwangu.Akanikaribisha kwake tukashiriki neno pamoja na wote walikuwa pale nyumbani. Na miaka saba baadaye nilimpata huyo mama akiwa na watoto katika jamii yake ambao tayari wengine wameingizwa shuleni.Mpendwa nakuambia kuwa yote yanawezekana kwa Yesu.

KUMWITA ALIYE MBALI.

Na Isaac Simbiri.

Kuna siku moja nilikuwa namtaka mchungaji mmoja nami nilikuwa ninajua kuwa anaishi Nairobi nami  nikiwa Migori Roho mtakatifu akanihimiza kwenda kwao nyumbani huko Magina katika eneo  hilo  la Migori,niliwahi mapema na saa moja na nusu hivi nilikuwa niko kwao na  nikampata  mamake pamoja na wageni wengine walikuwa wamemtembelea.Baada ya kuigia nikawaambia tuombe na baada ya kuomba nikawauliza kuwa Julias ako wapi?Ninamtaka(Julius ni Yule mchungaji aliyekuwa anaishi Nairobi)Wakaniangalia kwa mshangao na mmoja wa wale wamama akaniambia kuwa Julius huwa anakuja pale nyumbani hata mara moja kwa mwaka na hatarajiwi kuja hivi karibuni kwa sababu ni hivi juzi alitoka hapa nyumbani.Nikawaambia katika jina la Yesu ninamtaka, na nikawaambia  kuwa wasimame tumwite Julias kwa kwa jina la Yesu ili Yesu amvute amlete pale nyumbani wala sio mimi nitaenda Nairobi”Na pia kwa haraka”.Nikawaona kama wanasita kuamini na nikachukua bibilia yangu na kuanza kuhubiri na kunena maneno ambayo yanatendeka,Mariko 11:23-25 na  kusisitiza kuwa Yesu alimaanisha alipokuwa anasema kuwa tutasema na itakuwa na kuwa tukiomba tuamini kuwa tumepata tayari na nikawaambia wasimame tumwite Julius atoke Nairobi aje Migori nikutane naye bila mimi kutuma barua au kumpigia simu na nikawaambia kuwa tumngoje kwa muda wa siku mbili atakuwa amekuja.Wale ambao walikuwa katika ile nyumba wakaamini tukaomba nao kisha kila mmoja akaanza kusema kuwa mtumishi”Nikon a ugonjwa” na mwingine”Nikon a shida hii na ile” kwa wale waliokuwa na shida kuna mama mmoja aliyekuwa na mtoto hospitalini(Huyo mtoto alikuwa anaitwa Josephati) na huyo mtoto alikuwa amekaa huko  hospitalini kwa muda wa miezi kumi na deni ikiwa ni shilingi elfu sabini na tisa huyo mama akahitaji tumwombee pia na nikamtabiria kuwa baada ya wiki mbili huyo mtoto ataachiliwa huru na hawatalipa pesa yoyote ila Mungu atawalipia hiyo nikawaambia waamini  kuwa yale  niliyasema,haya mengine tukaomba juu yake naye Mungu tukaamini kuwa atawapatia haja zao wote baada ya ile siku ambayo ilikuwa Juma tatu asubuhi  walianza kuchunguza waone uongo wangu ajabu ni kwamba kesho yake ambayo ilikuwa juma nne asubuhi saa kumi na mbili ,Julius aliingia nyumbani kutoka Nairobi na hao wamama kwanza hawakuamini macho yao lakini ndivyo ilivyo kuwa na kesho yake Julius aliletwa kwa nyuma yangu,ndugu yote yanawezekana kwa jina la Yesu.Baada ya Julius kukuja Yule mama ambaye alikuwa na mtoto hospitalini aliamini kuwa hata mtoto wake atatoka na hiyo ikafanyika baada ya wiki mbili vile niliwaambia na wengi waliosikia habari hiiwakaamini kuwa yote yanawezekana kwa jina la Yesu.Pia kuna ndugu mmoja alikuja kwangu ndani ya hekalu na akaniambia kuwa mke wake alitoroka

akaenda kwao Kisumu naye anataka tumwombee ili apate pesa za nauli  ya kwenda  kumlipia mkewe nami nikamwuliza kama anapenda\ tumtume Yesu aende kumleta huyo dada badala ya huyo ndugu kwenda.Ndugu akasema kuwa niafadhali tumtume Yesu amlete na saa hiyo tukasimama mimi na wale tulikuwa kwa ibada na kumwita Yule dada kwa jina la Yesu ili arudi kwa mumewe tukaamuru kuwa mawazo yake yote mahali alikuwa atarudi kwa mumewe na pia akutane na hali zitakazomfanya kurudina nauli pia Mungu ampatie kisha nikaambiya huyo ndugu aende kwake na aandae kuku  ambayo atachinjia mkewe atakapoingia .Wacha nikwambie mpendwa huyo ndugu akiwa amekaa ndani ya nyumba yake baada ya siku chache mbili aliona kama mke wake anaingia hayo ni kwa sababu yote yanawezekana kwa jina la Yesu Mathayo 19:26.Kuna mahali tulienda kuhubiri na ndugu mmoja kwa jina Joseph Ochieng Olembo, katika kuhubiri nikasisitiza kuwa kama kuna mtu ambaye amepotelea jamii Yesu anaweza kumrudisha,nikiwa ninaendelea kunena mama mmoja mkongwe akaniambia”Mchungaji  achia hapo kuhubiri na utuombee  kwa sababu kuna mama wa hili boma ambaye aliacha watoto wadogo hapa nyumbani miaka kumi na nne iliyopita na akaenda Tanzania kwa hivyo tuitie  huyo mama kwa maombi ikiwa kweli Yesu anaweza kumleta”Nikawaambia wote tushikane mikono na tukamwita Yule mama wote kwa jina la Yesu na neno la unabii likanijia  kuwaambia kuwa baada ya wiki mbili huyo mama atakuja mwenyewe,amini usiamini huyo mama alikuja baada ya wiki mbili.Kuna wakati ambapo kijana wa mzee mmoja alitoroka nyumbani na hakujulikana alikoenda mzee akasema tumwite kwa jina la Yesu ajabu ni kwamba huyo kijana pia alikuja kulingana na vile roho wa Mungu alikuwa amenishuhudia kuwa  atakuja baada ya siku mbili.Mpendwa ikiwa mtu amepotelea jamii hauna  haja yakujitaabisha mtume Yesu atakuletea.

Mambo mengine yaliyofanyika katika huduma niliyoifanya ni kama yafuatayo

2010:  nilianza kuagiza vitabu vinavyo peanwa bila malipo kutoka kwa huduma kama world map, revival movement association , all nations gospel publishers , Emmanuel  press.

2011: nikajiunga na gideons international ambalo ni shirika la kugawa biblia bila malipo kwa shuleni , hospitalini , gerezani, hotelini na kwa ofisi za kiserikali na kufikia jinni 2019, nilikuwa nimegawa biblia kwa shule sitini , hospitali nyingi na gerezani .

15/ 12/2012: nilinunua kiwanja kidogo[ futi 45 kwa 53] pale  karibu na shule ya upili ya Ragana

2012-2017:  Nilikuwa  msimamizi wa huduma ya EMMANUEL PRESS  katika Migori ambalo ni shirika linalo peana mafundisho ya biblia kupitia posta

2014-2019: Nilikuwa katika chuo cha biblia cha HARVEST INSTITUTE  ambapo nilifanya certificate na diploma kisha baaadae nikafanya diploma ya pili katika APOSTOLIC TRAINING COLLEGE  ambayo usimamizi wake  ulikuwa chini ya [KINGDOM AGAPE CENTRE K.A.C] ambapo nilikuwa karani wa hiyo[  K.A.C]

9/8/2016 : nilinunua kiwanja pale  magina karibu na nyikendo baada ya kuuza kile kipande cha ardhi kilichokuwa pale Ragana na kuanzia wakati huo huduma ya APOSTOLIC GOSPEL FELLOWSHIP  niliyoanzisha 2002 ikawa FAITH & HOLINESS ORGANIZATION FAHOambayo kupitia kwa wito wa kuhubiri kupitia kwa ujumbe ulioandikwa inaitwa  faith and holiness- gospel literature organization.

2018 septemba hadi 2019 juni: nilihubiri kupitiaredio Onagi ambayo ilikuwa hapo migori na nikaanza kurekodi ujumbe niliouhubiri

2019,Kufikia mwaka huu,nilikuwa natunga kitabu cha Kanisa la Yesu Kristo,ambacho kina vitabu vine,1)Ushuhuda,2)Familia ya Mkristo,3)Kiongozi wa kanisa,4)Tafuta  ukweli.Naendelea  pia kuchapisha Nakala za Tarumbeta ya Imani na utakatifu.Na pia nikanza kuhibiri  radio milanbo kuanzia 2020 Agosti.Na badala ya huduma kuitwa Faith and Holiness Ministry inaitwa,Kanila La Yesu Kristo kuanzia 2020.

    KITABU CHA PILI

  FAMILIA YA MKRISTO

WATOTO WACHANGA

Na   Isaac Simbiri

Tabia ya kutoa mimba ni dhambi mbele za Mungu –Yeremia 1:5, Zaburi 139:16. Mzazi kila mara amehitajika kumwomba Mungu mtoto vile  Hanah alifanya -1Samuel 1:10-20mume hapeani mtoto,-Mwanzo 30:1, 2.Baada ya mmoja kumwomba Mungu ampatie mtoto imempasa amlete  Yule mtoto mbele  za Bwana   baada ya  kuzaliwa-Mt.19:14, 1Samwel 1:2-24,Hana alichukua pamoja na dhabihu-1Samwel1:24-25.Yesunaye alipelekwa kwa madhababu-Luka 2:22.ninachosema ni kuwa mtoto akizaliwa katika jamii,imewapasa wazazi kuchukua majukumu ya kumpeleka mbele za Bwana.Jina ambalo mtoto atapewa lichunguzwe.Kila mara nimesema kuwa ikiwa unalichukua jina la mmoja wa watu wa ukoo wako na kumpatia mtoto mchanga huwa kuna uwezekano mkubwa wa huyu mtoto kuwa na tabia za Yule ambaye umechukua jina lake  na kumwita mtoto.Ikiwa alikuwa mlevi huyo mtu mapepo yale ya ulevi yatatafuta nafasi ndani ya mtoto ambaye ameitwa kwa hilo jina.Tabia za mababu zingali ziko juu za vijana wao na wajukuu kwa sababu hiyo, kwa hivyo ninakuomba ukiwa mzazi jaribu kuchunguza na ukiwa umemwita mtoto  jina la mtu aliye  kufa katika dhambi unaweza kulibadilisha hilo jina au ukemee yale mapepo ambayo yangelifuatilia hilo jina na mtoto aendelee kutumia hilo jina,ambia waombezi kanisani na mchungaji walikatase hilo jina kwa maombi naye mtoto atakua sawa.Sisemi kwamba tuogope kutumia hayo majina ila ninasema kuwa tujihadhari tunapoyatumia kwa sababu huenda yakawa chanzo cha shida kwa mtoto.Ebu jaribu kuchunguza tabia za mtoto wako na ulinganishe na tabia yule ambaye ulichukua jina lake ukamwita huyo mtoto.Mtoto akiwa mchanga ni vizuri kumpeleka mbele za Bwana kabla ya kumpeleka kwa matibabu mengine.Kila mara nimeona wazazi wengine ambao hawataki kumpeleka mtoto mbele za Bwana(kuweka wakfu kwa Bwana) lakini utasikia  kuwa tayari huyo mtoto amepelekwa kwa madaktari wa miti shamba au amepelekwa kwa matibaba pahali,ninashauri punde tu Mungu anapowabariki na mtoto wazazi    inafaa mchukue nafasi kumshukuru mungu na kumwomba ili achukuwe utawala ndani ya yule mtoto mkiwa pale nyumbani,baadae mlijulilishe kanisa lishukuru pamoja nanyi na mlete huyo mtoto mbele za kanisa aombewe na mchungaji kila mara  maneno ambayo mchungaji au mzee wa wa kanisa pamoja na kanisa watatamka kwa huyo .mtoto ndiyo yatatendeka juu ya huyo mtoto-Mwanzo 49:1-3,Mariko 11:23-24.Kwa hivyo imepaswa mchungaji kutamka maneno akiwa katika roho nayo yawe maneno ya baraka akijua yatapeana mwongozo katika maisha ya mtoto,na mzazi amepaswa aandike maneno yale ambayo mchungaji ameyatamka. Kuna watoto  wengi ambao baada ya sherehe ya  kuwaombea(kanisa) hao watoto wamebaki na shida ambayo mzazi hajawahi kuiona, hii ni kwa sababu  baada ya mchungaji au mzee wa kanisa kumwombea mtoto Baraka,baadaye huyo mchungaji huanza kunena maneno ya laana, huenda kwa sababu hawakukaribishwa vizuri- wachungaji wengi wana tabia ya kunungunika baada  ya kuombea mtoto mchanga, hayo hayafai huwa yanaleta  laana kwa mtoto, kwa hivyo mzazi chunguza kwanza ni mchungaji gani atakuombea mtoto la sivyo mtoto atakua na shida. Kuna wachungji  ambao mungu wao ni tumbo,Warumi16:18,Wafilipi 3:117-19 kwa hivyo ujihadhari.Ikiwa mchungaji pamoja na dhehebu ambalo  liliombea mtoto wako sio la sawa, ni vizuri umrundishe mtoto wako mbele   ya mchungaji aliye na upako waMungu juu yake amwombee mtoto akikemea  zile laana na mapepo  ambayo yalimwingia alipoombewa mara ya kwanza, pia sikubaliani na tabia ya wazazi kuacha watoto nyumbani wakati wanaenda kwa ibada, unapoenda kanisani, enda na watoto wako wote-Mat 18:3,19:14 jinsi utamlea mtoto ndivyo atakuwa—Methali22:6. Baada ya kumweka mtoto wakfu-kwa Bwana, usimpeleke tena kwa waganga, watoto wengi ambao hupatwa na shida kubwa zaidi ni wale ambao wanaombewa na pia kupelekwa kwa waganga-angalia usihatarishe maisha   ya mtoto wako, mzazi awe na tabia ya kutamka maneno ya baraka kwa mtoto kwa sababu lolote unalitamka litatendeka kwa mtoto na kile unatenda au anaona watoto wengine wakitenda ndicho atatenda, kiwe kizuri au kibaya. Ikiwa mtoto atakuwa mgonjwa mwombee kumpeleka mtoto Kwa daktari (hospitalini) pia ni vizuri. Usimfungie mtoto Hirizi, usimpake mafuta ya nguruwe Kama kinga Kwa sababu ya uchawi.Imani ya mzazi inafaa Sana Kwa mtoto-1Wak7:14. Mzazi asiwe mkali Kwa mtoto-Waefeso 6:1- jitahidi kumpa mtoto chakula bora ikiwezekana.Wazazi wasaidiane kulea mtoto

WATOTO/VIJANA

Mungu  ako  na neno kwa watoto.Yesu  alisema kuwa wazazi waa che  watoto waje kwake Math 19:14,Luka 2:49.Na pia akanena kwa watoto:

Kuwa watoto watii wazazi  wao ili siku zao ziwe nyingi duniani-Waefeso 6:1,Walawi19:3,Kutoka 20:12,Wakolosai3:20.

Watoto wa sikilize mafundisho ya baba, lakini ninashauri kuwa yawe mafundisho ya ki kristo-Methali 1:8, 6:20-23.

Kuwa watoto wakikuwa wakubwa watunze wazazi wao 1Tim 5:3-4.

Kuwa wasidharau mama au baba kwa sababu ni mzee.Methali 23:22

Kuwa mtoto awafanye wazazi kufurahi-23:24,25,Methali 10:1,30:17,

Ikiwa baba alitenda mema, mtoto aige hayo- ambayo aliyaona kwa baba Mambo ya nyakati 26:4,Tim 5:3-4

Mtoto asitoroke mzazi wake Isaya 58:7

Mtoto /kijana apelekwe kwa yesu-Mt 19:14

Mtoto/kijana amwamini na kumtii Yesu ili kuishi siku nyingi-Methali 10:27

Mtoto kijana ajue kuwa mungu ndiye chanzo cha maarifa Methali1:7

Mtoto kijana anapoendelea kuwa mkubwa afanye kazi kwa bidii 1Wathes 3:7-12

Mtoto kijana   ambaye ni yatima au mlemavu au maskini ajifunze kumtegemea mungu- Zab 68:5,146:9 Yakobo 2:5 na aheshimu wale anaishi nao

Mtoto/kijana awe mtiifu kwa serikali Warumi 13: 1- 8

Mtoto/kijana ambaye amefungwa gerezani au anadhibiwa kwa ajili ya kosa lolote alilotenda akubaliane na hizo hali, atubu na asirudie makosa  yaliyomletea shida-wa Galatia 6:7 Petro 4:1-4,Luka 3:7-14,Waefeso 4:22-32, Mithali 22: 15/19:18/13:24,29-17

Mtoto/kijana ajiepushe na tamaa za ujana kama uzinzi, usherati,wizi,sigara,pombe,magendo, uharamia, ujambazi, ugomvi, vita,bangi,ujanja 2Tim 2:2                                                               

Mtoto/kijana amuheshimu yeyote aliyemzidi kwa umri-Tim 5:1-3.

Mtoto/kijana aishi kwa amani katika kijiji-Warumi 12:18

Mtoto/kijana apende kusoma  neno la mungu Zab 119;9

Mtoto/kijana atii watumishi wa mungu kwa sababu kutotii huleta laana -2Wafalme 2:232

Mtoto/kijana aende kanisani Ebr 10:25

MUME_Methali 18;22

Kwa ufupi haya ndiyo majukumu Fulani ambayo mume anastahili kuyachukuwa

Ampende mke wake vile kristo alipenda kanisa akajitoa kwa ajili yake Waefeso 5:25

Mume ajue kuwa mwanamke ako kama chombo dhaifu-1Petro 3;7

Mume amestahili kuhudumia jamii-1Tim 5:8

Mume ampe mke haki yake-1Wakorintho 7:3

Mume auchukue mwili wa mkewe kama mwili wake –Waefeso 5:28-29.

Mume amestahili  kumsifu mkewe Methali31:28

Mume ampendeze mkewe-Methali 5:18, .

Mume amnenee mkewe kwa upole Hosea 2:4

Mume amwombee mkewe 1 petro 3:7

Mume anastahili kuwa karibu na mkewe, hata kama ni kazi afanye karibu na mke –math 19:5,6 na mume awe wa mfano bora kwa mkewe katika kila jambo ili mkewe aige tabia hizo.

Mume awe na maono bora kwa ajili ya jamii –Methali 29:18(kazi/hudumu/ kulea watoto)                                                                           

MKE

Kwa ufupi haya ni baadhi ya majukumu ya mke:

Mke amestahili kuheshimu mumewe-Methali 31:10

Mke anyenyekee mumewe-Esta 1:20, Methali 31:23.

Mke amestahili kutii mume wake-waefeso 5; 22, 24, Wakolosai 3:18.

Mke ampende mumewe Tito 2:4-5

Mke awe na matendo mema 1Petro 3:1-6, Tito 2-5.

Mke achukue majukumu ya nyumbani, afanye kazi kwa bidii bila kuachia mumewe tu-Tito 2:5, Methali 31:15, 27.

Mke awe na tabia ya kufikiria yanayofaa kwa ajili ya jamii-Tito 2:5.

Mke ampendeze mumewe -1Wakorintho 7: 34.

Mke awe msaidizi wa mumewe katika mambo yote Mungu alimfanya kuwa msaidizi kwa hivyo asaidia kila eneo la kijamii- Mwanzo 2:18-20.Mume akishika huku ,mke ashike upande ule mwingine wa hicho kitu.Mke asimwache mume kusumbuka au kubeba mzigo wa jamii mwenyewe –kumbuka wewe mke ni msaidizi kwa hivyo saidi.Tabia ya kusema kuwa hayo ni majukumu yam zee sio nzuri ambia mzee aanze kufanya na wewe kama mke wa hekima  uanze kumsaidia- usimwangalie tu akifanya kazi yoyote ,kumbuka kusaidia hata kama ni kazi ndogo ndogo.

Mke awe mkaribishaji-1Tim 5:10. Wazee pia wamestahili kuwa wakaribishaji kama vile Abraham alivyo wakaribisha hata malaika

KUKAA BILA KUOA

na Isaac simbiri

Mtu yeyote hastahili kuzuia mmoja kuoa.Ndoa  ilianzishwa  na mungu ingawa neno la mungu linasema kuwa nyakati za mwisho wengine watazuia watu kuoa, hiyo  ni kinyume 1Tim  4:1-3.Kila mmoja awe na mumewe au mkewe-1Korin 7:1-2.Ikiwa mmoja ataamua kukaa bila kuoa mwenyewe,kwa sababu maalum, hapo inawezekana ila mtu mwingine asikulazimishe. Mifano ya wale ambao walikaa bila kuoa ni:

Yesu ambaye ni mungu

Paulo kwa ajili ya mwito wake-kor7:8

Yesu alifundisha wanafunzi-Mat 19: 10-12

Paulo alifundisha kanisa-Kor 7:1-2,7-9 kwa sababu ya hali za kisasa 1kor 7:26

 Kila mmoja achukue majukumu yake katika jamii na kufanya.

Kila mmoja kati ya mume na mke atakapofanya majukumu yake, watoto watakuwa na ufuniko bora wa Baraka. Mume awe Na mke mmoja Na mke pia awe Na mume mmoja vile mungu alianzisha pale Edeni Mwanzo 2:18, 22, 23,

WAZAZI

Wazazi wajue kuwa watoto ni urithi kutoka Kwa mungu-Zaburi 113:9, Mwanzo 48:9.

Wazazi walee watoto katika bwana –Waefeso 6:4

Wazazi wawe mfano mwema kwa watoto wao-Tim 1:5, na waamini mungu kuokoa jamii nzima –Matendo 16:31,2Mambo ya wakati 26:4.

Wazazi wafundishe watoto wao neno-Waefeso 6:4, Kumbukumbu 6:4-7

Wazazi wapende watoto wote bila upendeleo kuna wale wanapendelea-Mwanzo 27:5, 43,46 Mwanzo 25:27-28, kila mara kupendelea mtoto Fulani huenda ukamletea mtoto huyo kutoelewana na wandugu zake lakini yakiwa ni mapenzi ya mungu bado itatendeka tu kama ya Yusufu na Yakobo.

Wazazi wasiwe wakali kwa watoto-Waefeso 6:4, Wakolosai 3:21,Tito 2:4.

Mzazi amrudi mwanawe –Methali 19:18.

Mzazi asiache kutumia fimbo kwa watoto ikiwa anawapenda-Methali 22:15,13:24,29:17,23:13.

Mtoto asiporekebishwa ataleta aibu-Methali 29:15.

Wazazi wapeleke watoto kanisani Joshua 8:35,Nehemia 12:43,Mat 19:14 na pia uwaelekeze 1Sam 3:13,1Tim 3:4,12.

Wazazi waombee watoto wao wakimtaja kila mmoja kama Ayubu-Ayubu 1:1-5, Luka 2:22.

Mzazi awe wakuwasamehe watoto-Luka 15:20-24 aliyeolewa.

Napenda kushauri kuwa mzazi sharti amlee mtoto kwa njia inayompendeza mungu.Vile utalea mtoto wako ndivyo atakuwa baadaye.Kuokolewa kwa mzazi ni muhimu sana katika maisha ya mtoto kwa sababu imani ya mzazi ndiyo itamwokoa mtoto kama angali mdogo asiyeweza kujichukulia imani 1Wakorintho 7:14.Ikiwa mzazi atakuwa amempatia mtoto malezi mazuri, akamshauri vile atakua hapa ulimwenguni katika bwana, atakuwa amefanya jambo   la maana. Ninakushauri wewe unayesoma kuwa anza kuwalea watoto wako katika bwana.Ikiwa uhusiano wako ni mbaya na watoto wako jitahidi utengeneze huo uhusiano na uwasamehe watoto wako kama ungali hai. Mtoto vile vile atengeneze uhusiano kati yake na wazazi.Mzazi akumbuke kuwa yote anayanena kwa watoto wake ndiyo yatatimia katika maisha ya hao watoto-Mariko 11:23-24.Mwanzo 49.Kumbuka kuwa ukimlaaini mtoto wako itakuwa Ni Kama kuziba tundu linalotoa maji ambayo ungekunywa Kama mzazi.Kwa hivyo mtoto wako akishona kiraka kimoja Kwa sababu ya laana yako wewe mzazi, wewe utapiga viraka vitano.Jaribu ubariki watoto nawe utabarikiwa – 1Pet 3:9 na watoto watii wazazi.

Ndoa isiyokubalika

 Na Isaac Simbiri

Kuna ndoa zingine ambazo si halali kufuatana na bibilia. Nyakati hizi za mwisho mambo yanatendeka ambayo ni  ya kushangaza:

Wanaume wanawakiana tama na tunasikia kuhusu mume kuoa mume mwenzake hiyo ni dhambi- Warumi 1:24-27.

Tunasikia kuhusu mwanamke aliyekataa kuolewa na mume na akaolewa na mke mwenzake hayo ni  makosa Warumi 1:26-27.

Tunasikia kuhusu mume ambaye amelala au kuoa mke wa baba yake-Mambo ya Walawi 20:12,

Tunasikia mume anayeoa na kulala na binti wake- hayo ni machukizo.

Wengine wanaoa binti ya babake- Mambo ya Walawi 20:17

Pale mwanzo mtu aliweza kuoa jamaa wa karibu.Mwanzo 20:11-12,29:21-30.Lakini baadaye inakataliwa na sheria ingawa wengine bado wanaolewa na mtu wa uko huo huo.Mambo ya walawi 18:5-15,20:17.

Kuna mtu ambaye humtwaa mke wa nduguye kama nduguye angali yuko hai-Mambo ya walawi 20:21, 18:16, Mt 14:3-4. Mke wa mjomba- kumb. Wa torati 20:20.

Kuna mtu anamwoa mke pamoja na mama yake-mambo ya walawi-20:14,18:17.

Kuna mume ambaye hupenda kulala na wanyama-mambo ya walawi 20:15, kumb. 27:21

Yule ambaye ameokoka inampasa kuoa au kuolewa na mwenzake aliyeokoka.2Wakoritho6:14. Kwa wale ambao wamehusika katika hizo ndoa za aibu,inawabidii kutubu na kumrudia mungu na kutafuta ushauri kwa mchungaji wa kiroho ili waelewe cha kufanya.

Kuna wengi ambao wako na mila inayo mruhusu rafiki wa mume wako awe na uhusiano wa kimwili na wewe (kama walitahiriwa pamoja) hayo ni machukizo.

Kuna Yule anamwoa au kulala na mkwewe Mambo ya Walawi 20:12 Ni kipindi ambacho tuache kusikiliza sauti ya wazee wa mila na tusikilize neno la mungu.

Kuna Yule anamteka nyara mwanamke/mwanamume nakumfungia mahali na akamlazimisha kuwa mkewe/mumewe au anamnajisi siku nyingi kasha anamuacha, hayo ni makosa

NDOA “talaka”

Na Isaac Simbiri.

Mungu ndiye alianzisha ndoa pale Eden-mwanzo1:27 .Mungu aliwafanya kuwa mwili mmoja-Mathayo 19:5.Ndoa ilikuwa ya kudumu Luka 16:18,Mariko 10:9-12.1 Wakoritho 7:10-11.Ikiwa kuna kipindi wangetengana tu ni kwa sababu ya kifo-Warumi 7:1,2,1Wakoritho 7:39 na pia kuna wale ambao huachana kwa sababu ya mmoja wao kupatikana ndani ya usherati-Mathayo 5:31-32.

Tabia ya watu wengi kuvunja ndoa zao kwa sababu ya ulevi au dhambi nyingine yoyote au shida ni makosa. Ikiwa kuna ushahidi WA kutosha kuwa mmoja amehusika katika uzinzi basi kuna ruhusa ya talaka lakini Nina amini kuwa mungu ndiye WA msamaha Kwa hivyo ikiwa mmoja amepatikana Na akatubu, ninaona ni vema asamehewe- na ndoa yao iendelea.

Jambo nisemalo ni kuwa ndoa iheshimiwena watu wote-Waebrania 13:4.Kuna wengi ambao leo hii wanatengana na kuna wamama ambao wamejipangisha nyumba mjini na ukiwauliza kwa nini, wanakwambia kuwa waliachana na waume wao kwa sababu ambazo bibilia haijaruhusu.Mama kama huyo ninamwambia achukuwe vitu vyake vyote arudi kwa mume wake.

Luka 16:18,1 Wakorintho 7:10-11.

Mume pia ambaye amemwacha mke wake na akaoa mwingine anazini.

Mariko 10:11-12 na mke pia akiolewa na mume mwingine baada ya kuachana na mumewe anazini.

Nina simama kinyume cha kuvunja ndoa katika jina la Yesu.Mwanamke au mwanamume sio Kama nguo ambayo hubadilishwa badilishwa.Ikiwa kuna jambo lolote limetokea kati ya waliooana, watafute suluhisho kupitia kwa neno la Mungu au wachungaji wanao tii neno.Mchungaji anaye idhinisha kuvunjika kwa ndoa anafanya dhambi na Yule ambaye anaunganisha ndoa kati ya yeyote ambaye amewai kuivunja ndoa yake  pia anafanya dhambi.ikiwa kwa sababu fulani mke amemwacha mumewe,huyo mke asishauriwe jambo linguine kando na kurudi kwa mumewe na mume pia ashauriwe kurudisha mkewe na ikiwa watakataa huo ushauri ,mchungaji na kanisa liwe na msimamo mmoja –ya kuwa waliyotengana warudiane.1kor 7:10-12.

Mchungaji yeyote aziunganishe mpya ndoa kati ya wale ambao wamewahi kuacha ndoa zao ile washauriwe kurudia ndoa zao za kwanza.

MUME KUOA ZAIDI YA MKE MMOJA_Kumbukumbu 17:17.

na Isaac Simbiri.

Mungu alitaka mume kuwa na mke mmoja-Mwanzo 2:24,Mariko 10:6-8.Wale waliokuwa nawanawake wengi walivunja agano  lao na mungu na ikaleta familia uchungu au huzuni.Kumb 17:17.

Wanaume walianza kujitwalia zaidi ya mke mmoja.

Lamek alikuwa na wanawake wawili- Mwanzo 4:19

Abraham alimwoa Sara  na hajiri ikaleta mgawanyiko katika familia ya Abraham(hajiri akamdharau Sara kukawa na mzozo kati ya Abraham na Sara, na Ishmaeli akawa na uadui na Isaka,-Mwnazo 16:3-16,21:10-13.

Esao alikuwa na wake wawili, ikaleta huzuni kwa wazazi, Mwanzo 26:34-35,28:8-9.

Yakobo alikuwa na zaidi ya mke mmoja,Yakobo akampenda Raeli kuliko Lea,Raeli akamwonea Lea wivu na watoto wao wakawa na kutoelewana Mwanzo 29:22-30,(30:1-9),(37:11,26-28)

Gideon alikuwa na wanawake wengi, kijana mmoja akawaua wandugu  70 Waamuzi 8:30,9:1-5.

Baba wa Samueli alikuwa na wake wawili, akampenda Hana kuliko Penina ikaleta mzozo 1sam 1:2-7.

Daudi alikuwa na wanawake wengi,alimpata Bethsheba kupitia kuua 2sam 3:2-5,2sam 11:26-27,Amoni akalala na dadake(Tamira)-2sam 13:1-15, Absalom akamuua Amoni (ndugu  yake)-2sam 13:28-29, vijana wa Daudi wakawa na mzozo 1Wafalme 1:17-21.

Sulemani alikuwa na wanawake wengi, wakamfanya ainamie miungu-1Wafalme 11:1-13.

Reboamu alimpenda mke mmoja zaidi ya mwingine 2Mambo ya nyakati 11:18-21.

Wafalme wa mataifa walikuwa na wake wengi-Danieli 5:2.

Viongozi wa kanisa la kristo wanafaa kuwa na mke mmoja c.-1Tim 3:2, 12, Tito 1:6.

d.Ndoa ambazo zimeunganishwa kabla ya mmoja kuokoka zisibadilishwe baada ya kuokoka. 1 kor.7:20-24.

Fanya kazi

Na Isaac Simbiri.

Mkristo anafaa kufanya kazi -2 Kor 12:14,1 Kor 4:11-12,Matendo 18:3,2 Wathesalonika 3:7-15.

BIBILIA INA WALE WALIOFANYA KAZI –waefeso 4:28

Kabla ya kuasi Adamu alikuwa wa kutunza bustani –mwanzo 2:15.

Baada ya kuasi Adamu alikua ale kwa jasho lake –mwanzo 3:17-19.Hawa alikuwa msaidizi wa   adamu kwa kila jambo –Mwanzo 2:20.

Kaini alikuwa mkulima –mwanzo 4:2.

Abeli alikuwa mfugaji –Mwanzo 4 :2

Nuhu alikuwa mkulima wa mizabibu –Mwanzo 9:20

Abrahamu alikuwa mfugaji-Mwanzo 13:2.

Isaka alikuwa mchimba visima na mfugaji –Mwanzo 26:18-24.

Esau alikuwa mwindaji-mwanzo 25:27.

Yakobo alikuwa mfugaji –Mwanzo 30:34,31:1.

Yusufu alikkuwa kiongozi –mwanzo 41:40-48.

Yesu alikuwa seremala kabla ya kuanza huduma yake-Mrk 6:3.

Paulo alikuwa mshona hema –matendo 18:2-3.

Luka alikuwa daktari –wakolosai 4:14.

Petro alikuwa mvuvi –Yohana 21:3.

Erasto alikuwa wakili –Warumi 16:23.

Akila alikuwa mshona mahema –Matendo 18:2-3.

Zena alikuwa mwana sharia –Tito 3:13.

Simioni alikuwa mtengenezaji wa ngozi –Matendo 9:43.

Tabitha(dorcasi) alikuwa mshonaji –Matendo 9:36-39

Lindia alikuwa mwenye kuuza –Matendo 16:14.

Wengine walikuwa walikuwa maaskari kama kornello-Luka 3:12-13,Matendo 10:1.

Katika kufanya kazi inafaa mkristo atosheke na kile kidogo anachopata.1 tim 6:18,luka 16:10.Usitumie muda wako kazini-mhubiri 2:11,5:12,5:10,ufunuo 3:17,methali 11:28,13:17,Yakobo 3:17,mt6:19,mrk10;25

Wengine watoza ushuhuru kama Lawi na Zakayo-Luka 3:12-13,5:27,19:1-10

                         11CHAKULA NA KANISA

Ni muhimu kula- mwanzo 3:19, 2:16.

Kula bila kuuliza maswali –Mhubiri 2:24,isaya65:13,warumi14:2.

Chakula kilichotolewa kuwa sadaka kwa mapepo/waliokufa /sanamu usikule -1kor 8:4-13,10:20-22,ufunuo2:14,1kor 10:8,matendo 15:29. Hes 25:1-3, zab 106:28, kut 34:15

Usiharibu kanisa kwa sababu ya chakula  ,warumi14:20.

Tusidharau wasiokula –warumi 14:2-3.

Kuna haja ya kufunga kwa hiari pia-Luka 5:33-35.

Uwe na kiasi katika kula mk 6:42 ni vizuri kushiba lakini si lazima ushibe ukiwa kwa ushirika wa wandugu,unaweza kula kwako -1kor11:20,22,33,34.

Ufalmewa Mungu si kula na kunywa –warumi 14:17.

Usiwe kwa huduma kwa sababu ya mikate –Yohana 6:25-27.

Usile damu na nyama zilizosongolewa –matendo 15:29.

Manabii wengi hawakupenda kula kama leo –Mariko 1:6.

Tushiriki na wengine chakula chetu –Luka 3:11, Matendo4:32,Mt 25:35-

            KARIBISHA WAGENI-Wahebrania 13:2                

Na Isaac Simbiri.

Katika jamii imetupasa kuwa wakaribishaji wa  wageni.Yesu alisema kuwa ukimkaribisha mgeni, utakuwa umekaribish yeye-Yesu kwako.Mathayo 25:35, 38.Paulo anasema kuwa katika  kukaribisha wageni, wengine wamekaribisha malaika pasipo kujuwa-Waebrania 13:2.Katika Kumbukumbu 10:18.Bibilia inasema kuwa mungu huwapenda wageni na kutuambia tupende wageni(kumbukumbu 10:19; mambo ya  walawi 19:34)3 Yohana 9-11

Abrahamu aliwakaribisha wageni watatu wanaotajwa kuwa ni watu na ni malaika-Mwanzo 18:1-10 akaahidiwa mtoto.

Mjane wa Sarepta alimkaribisha Eliya-1Wafalme 17:8-24 ikamfanya mjane awe na chakula kingi(17;13-16) ikamfanya mjane kuona mwujiza wa ufufuuo kwa kijana wake(17:17-24)

Mama mjane aliye mkaribisha Elisha (2Wafalme 4:11-17) Alizaa mtoto huyo alipokufa, alifufuka -2Wafalme 4:17-37.

Zakayo alimkaribisha Yesu (Luka 19:1) akapata wokovu Luka 19:9.

Yesu alipoingia kwao Petro, Mathayo 8:14 aliponya huyo mama.Ninahimiza watu kuwa wakaribishaji angalia vile ambavyo hao ambao nimetaja walivyobarikiwa kwa sababu ya kukaribisha wageni.Ninaamini kuwa kila mgeni unayemkaribisha,ana Baraka zake ambazo atakuachia baada ya wewe kumkaribisha, huenda ni Baraka aina moja au aina mbili ambazo utapokea kwa mgeni mmoja huenda amebeba neno la mungu kwa ajili yako,mwingine huenda amebeba Baraka za pesa au chakula.Angalia vile Eliya akimwendea Yule mjane,Eliya hana pesa au chochote kinachoonekana kama kitu cha Baraka lakini wakati ambapo amekaribishwa, chakula hakiishi ndani ya ule mtungi-Wafalme 17:8-24.Unapomkaribisha mtu usiangalie  vile amevaa vizuri, usikimbilie kuangalia ikiwa amekubebea chochote,wewe umkaribishe kisha mnavyo endelea kuishi naye,Utaziona baraka alizo nazo kwako. Huyu mama waShunemi aliishi na Elisha muda mrefu ndipo akagundua Elisha ana Baraka Fulani kwa ajili yake na kama angemfukuza au achoke kuendelea kukaa naye huenda angekosa huo mwujiza-2wafalme 4:11-37.Usiwe wa haraka kumkataa mgeni ambaye tayari uko naye kwako leo hata kama haujaona Baraka kutoka kwake.Na pia usimkaribishe mtu kwa sababu unamjua ila  unafaa kumkaribisha mgeni yeyote ambaye ana haja                                                                                                                                                                                                                                                ya msaada na kama ni mtu mbaya, mungu atakuwezesha kumjua haraka ili ujiepushe naye kwa sababu, kuna wageni wengine ambao ukiwakaribisha kwako utaanza kuona laana. Kwa hivyo ninakushauri pia uwe mwangalifu sana.Kuna wale ambao wamekaribisha mgeni na huo usiku mgeni akaiba ng’ombe au mbuzi au pesa akaenda nazo mgeni mwingine akikaa kwako, atakuwa akikufanya kuhuzunika kila mara.mwingine atakufanya ukosane na watu-hata jamii yako.Kuna wageni wengine ambapo ukiwakaribisha,wamekubebea injili tofauti na ile ya kristo wageni kama hao neno linasema usiwakaribishe baada ya kuwatambua.2Yohana 3:10.Kuna wageni ambao huja kama wageni kumbe ni wasaliti, au wapelelezi ambao wanatafuta kujua mipango zako ili wakuangushe au wakuumize au  mtu anaweza kukukaribisha kwake akiwa na nia ya kukusaliti au kukuangamiza-waamuzi4:17-21. Kwa hivyo ni vizuri kufuatilia kujua mgeni ni wa namna gani, na ana shida gani, ametoka wapi na umwombe mungu akuepushe na mgeni mbaya.Yule ambaye ni mgeni imepasa awe na tabia njema kule ugenini.Ukiwa mgeni,ujifunze kazi ambayo hiyo jamii umetembelea wanafanya ikiwa ni kazi nzuri kulingana na Bibilia na uwasaidie kuifanya, usikae tu kuwaangalia vile wanafanya, ukiwa mgeni mahali na ukiwa na pesa na umeona kama kuna upungufu mahali, usikwamilie pesa, wapatie watumie,usiwache mlale njaa na huku una pesa umenyamaza nazo, utakuwa mgeni mbaya sio wa baraka.Uenda mungu alikufanya  uende pale ugenini ili uwasaidie nawe unakwamilia Baraka zako, hautaki kupeana Baraka jifunze kubariki mahali umeenda kwa ugeni- usiwe tu Yule ambaye anataka  aletewe ale na anywe.Pia ukienda ugenini usichague sehemu nzuri kuwa zako,jifunze kunyenyekea.Luka 14:7-14, ukipata wanakula mboga bila chumvi,usidharau chakula hicho na wewe tumia nao.Ikiwa utapewa jamvi badala ya godoro,wewe lalia hilo jamvi, au upeane pesa waende kununua godoro na usitoke nayo hapo ila uiache hapo.Chochote umepata wanaendelea kukula, jifunze kutumia ila miungu yao ,au kazi mbaya,tabia mbaya usiige.Walawi 19:4,26:1, mila nazo usizifanye ikiwa ziko kinyume cha neno la mungu.Ukiwa mgeni mahali dumisha usafi ule ulipata hapo, usiguzeguze vitu vya ndani ya nyumba bila idhini, usiingie kwa vyumba ambavyo haujaruhusiwa.Wajulishe unapoondoka kurudi kwako au ukitaka kwenda mahali popote.Usiwe mzushi kati ya  hiyo jamii, usionyeshe maringo.Usingoje kuambiwa kuwa fanya hiki au kile ukiwa ugenini, tumia akili zako kujua yale ufanye.Nasema kuwa ukiwa mgeni mahali wasaidie kazi usikae tu namaliza nikisema kuwa (tukaribishe wageni) na baada ya kumkaribisha fuatilia kuona ni Baraka gani amekuachia au ni laana gani amekuachia anapoondoka kwako au akiwa kwako.Kuna mgeni ambaye anapotoka kwako wiki hiyo utakuwa tu na shida mbali mbali na kuna Yule akiondoka, anacha Baraka nyuma.mwingine  jamii  wafanye maombi  ya kufunga pamoja(Tuwe na ibada ya nyumbani)- kanisa lianzie nyumbani.Jamii ya kikristo ijiepushe na tohara za kienyeji ambazo ziko kinyume na neno la mungu kama, kutahiri wanawake, kufundisha uchawi kwa vijana waliotahariwa pamoja mila zingine  za makabila  mbalimbali.Ikiwa ni tohara, ifanyike kulingana  na neno la mungu wala si kulingana na mila, katika kuoa na kuolewa, jamii ya kikristo ijiepushe na mila na tamaduni nyingi zinazo pingana na neno la mungu na kazi wanayofanya iwe inayompendeza Bwana sio ukulima wa tumbaku,bangi au magendo.Mzazi awe wa kwanza kutii neno la mungu ndipo watoto wamtii katika bwana-Waefeso6:1-4, la sivyo kutakua na mgongano juu ya maswala ya imani kisha mzazi ataanza kusema kuwa watoto hawajampea heshima yake, kama mzazi anataka watoto wasigongane naye katika imani,awe wa kwanza kutii neno-Mt 10:34-40,Luka 14 :26-34, mimi sitashauri mtoto afanye mila au asaidie mzazi kulima tumbaku na pia sitakubali mzazi amlazimishe mtoto  wake kufanya hizo vitu.Katika  jamii, tujaribu kufanya  vitu kwa umoja-1Petro 3:8-Ikiwa ni kazi, shambani, mfanye kwa umoja –vile mtamtumika bwana kwa umoja.

                                          KIFO  (ZAB 146:3-4)

  1. Mwanzo wa kufa-Mwanzo 3:19.
  2. Aliye kufa ni mali ya Bwana –Warumi 14:8, mwanzo50:1 lakini mkristo asiliekama watu na mataifa 1 thes 4:13-18.
  3. Wakati mwingine usijihusishe sana na mambo ya mazishi ikiwa yanagongana na huduma ya neno mt 8:22.
  4. Yule hajaokoka pia amekufa kiroho -1 Tim 5:6,kolosai 2:3,Rom 6:11.
  5. Babu zetu walisafirisha maiti na si vibaya kusafirisha maiti leoila si lazima sisi tufanye hivyo, mwanzo50:4-7,25,Kutoka 13:19.
  6. Tuachane na mila zinazo husu mtu aliye kufa -1 Thes 4:16,1 kor15:21-
  7. Maiti(mwili ambao imetokwa na uhai) haujui chochote –ayub7:5-10,Mhubiri 9:5.
  8. Maiti (mwili ambao imetokwa na uhai) hawezi kurudi nyumbani kwake-Ayubu 7:5-10 ,mhubiri 9:4-6  , 2 sam 12 :23
  9. Si lazima maiti azikwe na umati mkubwa wa watu-matendo 5:6, Luka23:50-53.
  10. Mababu walikuwa na mahali pa mazishi (makaburi)-mwanzo 23:10-9.
  11. Maiti huzikwa –matendo 5:6,kumbu34:6, mwanzo 23:10-19.
  12. Vitabu vingine juu ya kifo ni Mhubiri 6:12,1thes 4:13-18,Mwanzo 3:16,1  kor15:12-57,Ufunuo14:1,30:23,1 pet 1:24,zab 116:15,102:3-4,90:3-10,39:5-10,Yakobo 4:13-14
  13. Anayekufa katika dhambi huingia kwa mateso kuzimu ambayo haishibi punde tu anapokufa mithali 27:20 ,30 :16 Luka 16:25 Yohana 5:28,29 Mt 22:13,25:41,Ufunuo 21:8.Na Yule anayekufa akiwa ameokolewa anaingia katika  pumziko pamoja na Yesu ambaye ni uzima wa milele,Mt 25:34,Ufunuo 14:13
  14. Kula dhabihu zilizotolewa kwa wafu ni dhambi zab 106:28, ufu 2:14, hes 25:1-13, kut 34:15, 1 kor 8:10, 10:20-21
  15. Ni afadhali kuiendea nyumba ya matangas warumi 12:15 mhubiri 7:2-4,

 UTASa Zaburi 113:9

Kuna wengine ambao ni tasa leo hii , hawajawahi kuzaa watoto. Kwanza nataka niseme utasa silo  jambo la leo tu bali liliku wepo ingawa katika bibilia tunaona mungu akimtakia mwanadamu kuzaana –utasa unaletwa na hali mbali mbali. Katika wengine, mungu anakusudi na hizo hali juu yao.Ikiwa ni kwa mapenzi ya mungu,  kumbuka kuwa  wale wamama walioonekana kuwa tasa ndio baa daye walizaa watu mashuhuriri katika bibilia:

Sara alikuwa tasa- Mwanzo 11:29-30,15:4-6,18:10,21:1-7-alimzaa Isaka.

Raheli alikuwa tasa –Mwanzo 30:1, 30:22-24-akamzaa Yusufu.

Mke wa manoa  alikuwa tasa-warumi 13:2,3 akamzaa samsoni-waamuzi13:24-25

Hana alikuwa tasa- akamzaa samweli(1sam 1:10-17,20)

Elizabeth alikuwa tasa-Luka 1:5-7, 13,57,58,akamzaa, Yohana mbatizaji.Ikiwa mke wako hazai usimchukie au usimdharau.Mume pia asimwache mkewe kwa sababu hazai. Jambo ambalo aangalie na kumwomba mungu ni kuwa,je Ni kwa nini ikawa hivi mungu?

Kuna wengine ambao kama hawazai, hulaumiana.Mke anamlaumu mzee-Mwanzo 30:1 na mzee humlaumu mama. Wengi hujaribu kutumia njia mbalimbali ili wapate kuzaa.Sara yeye aliona kuwa hajiri ndiye angemzalia mwana-mwanzo 16:1-5Raheli pia, mwanzo 30:3

Nimekuwa nikishauri kuwa ni mungu ndiye hupeana mtoto-Zab 113: 9, Mwanzo 48:9. Kwa hivyo ikiwa mmoja hazai, amwombe mungu vile Hana alifanya.1sam 1:10.Sikubaliana kuenda kwa waganga ili upate kuzaa.

Sababu ya utasa

Hizi ni moja wapo ya sababu zinazomfanya mmoja awe tasa:

 Mungu akiwa na kusudi Fulani -1sam 1:5.

Kuna wengine ambao hawazai leo sababu walitoa mimba zamani. Alifanya dhambi.

Kuna wengine walitupa mtoto mchanga zamani

Kuna wengine walipokea laana kutoka kwa wazazi wao.

Kuna mwingine ametamka kuwa hataki mtoto kwa uchungu Fulani na ikatendeka.

Kuna wengine waliwahi kuwa na magonjwa ya zinaa zamani.

Kuna wengine wako na ugonjwa Fulani ndani ya miili zao.

Kuna wengine wametumia   madawa Fulani yanayoharibu mbegu za uzazi ndani yao

Wengina wanapitia hukumu ya mungu.

Kuna wengine wametumia madawa ya kufunga kuzaa.

Kuna sababu zingine pia, jambo ninaloshauri hapo ni kuwa ikiwa utasa wako unatokana na dhambi ulizotenda, omba mungu akusamehe na umwombe mtoto: Ikiwa ninyi ni wake wawili kwa mume mmoja, na wewe ukiwa unazaa na mwenza hazai usimchekelee au  kumdharau kama vile  Penina alivyofanya 1sam 1:6. Ikiwa ni matibabu au uchunguzi wa daktari unahitajika ili kukuhudumia, ni vizuri kuenda kwa daktari. Ikiwa una madawa fulani ulitumia yakakuletea shida ya kufunga uzazi wako, ni vizuri uachane na hizo dawa, ikiwa umetamka neno Fulani la kufunga uzazi wako, pindua hilo neno kwa jina la Yesu- utamke kuwa utazaa.11

OMBEA JAMII YAKO

Na Isaac Simbiri

Kila mmoja ambaye ana jamii amestahili kuiombea kama Ayubu ambaye alikuwa anawaombea watoto wake, Ayubu 1:5.Ayubu pia alitoa dhabihu kwa ajili ya vijana wake wote na ni vizuri kufanya hivyo na kuombea jamii ili

Ikiwa watoto wanakuwa na tabia mbaya ndani ya jamii au kanisani, lawama itawaendea wazazi pia.Vijana wa Eli ni mfano wao-1sam 2:12,22-30  kwa ivyo imebidii wazazi aombee jamii yake yote na pia awafundishe neno la mungu-Kumb 6:4-7,Methali 22:6 amtumikie mungu na jamii yake-matendo 10:44,Yoshua 24:14-15. Unapowaweka jamii yako pamoja, itakupatia nafasi ya kuwaombea.

Ombea kila mtoto ukimtaja kwa jina- mwanzo 49, Ayubu 1:5,Ombea baba mzazi na mama mzazi,Ombea baba mkwe na mama mkwe,Ombea shemeji/ shangazi/ binamu, Ombea mume wako na mke wako,Ombea ukoo wote pamoja na kabila yako.Kuna wakristo wengi ambao wanapenda kunungunika kwa sababu ya makosa ya wazazi au yeyote katika jamii lakini ninaona kama suluhisho limejificha ndani ya maombi.Huenda ulitoka katika uko wa walevi au uko wa wale ambao hawajaokoka.Kuna mila za ukoo zinakufunika au kuna tabia Fulani ya hiyo jamii ambazo ukijaribu kuacha, hiyo jamii wanakufuata na kukurudisha ndani- itakubidi ukae kwa maombi ukiwa kwa jamii kama hiyo na umeokoka ili mungu awaokoe au aokoe baadhi ya yao wakusaidie  katika kupinga yale mambo yao. Kwa hiyo ukiacha kuwaombea, huenda utabaki kuchukiana nao lakini ukiomba ili mungu aingilie na kuwafunulia unapoendelea kuwafundisha, mungu atawaoko.Isaya 58:7,Ombea jamii yako ili mungu ainue wale watakao wahubiria habari njema.Waombee msamaha watu wa jamii yako au kabila kama vile Danieli  alivyoombea Israeli- Daniel 9,Jeremia akaomboleza kwa ajili ya Israeli pamoja na manabii wengine-Jeremia  4:19.Kemea mila na tamaduni katika kabila uliyo zaliwa ndani ambazo ziko kinyume cha neno la mungu.Kemea  kazi  ambazo ziko kinyume na maandiko zikiwa kwa jamii yenu kama, kuuza pombe, kulima tumbaku na miraa, kuuza sigara.Tumia nafasi nyingi kukemea hizo kazi katika jina la Yesu na utaona matokeo.Kukemea jambo lolote chafu kama makumbusho, au mila yoyote inayotendeka katika jamii yenu katika jina la Yesu na kuombea uko wako msamaha mpaka uone matokeo. Ombea kazi yako au za watu katika jamii ikiwa ni kazi nzuri. Nasema kuwa ombea jamii yako.

Kuna ambaye hata kujiombea mwenyewe hawezi kwa hivyo anshangaa akisikia ninamwambia aombee ukoo wote, Mungu akusaidie.

MTUMIKIE BWANA NA JAMII YAKO Yoshua 24:15.

Na Isaac Simbiri

Ikiwa mmoja ameokoka, ninamshauri aombe mungu ili jamii yake pia iokolewe.Ni vizuri sana ikiwa jamii yote itaweza kumtumikia bwana pamoja.

Abraham aliambiwa atoke na mkewe- 12:1

Yakobo alitoka na familia yake yote- mwanzo 30,31.

Mungu alikuwa na mpango wa kumwokoa Lutu na jamii yake ingawa mkewe aliangalia nyuma- Mwanzo 19:12.

Mlinzi aliokolewa na jamii-Matendo16:31-33.

Musa, Haruni na Miriam walikuwa wandugu-kutoka 4:28 29, 15:20.

Andrea na petro walikuwa wandugu-Yohana 1:41, Mt   10:2.

K una wale  ambao waliobudu pamoja ndani ya nyumba zao-Rumi 16:5. 1cor. 16:19, Kutoka 12:3, 4. 33:7-10.

Yakobo na  Yohana wana wa Zebedayo ni wandugu-Mt 10:2.

Ni majukumu ya kila mmoja aliye na jamii kuhakikisha kuwa anafanya kile ambacho kitafanya jamii yote kuokolewa.Mwanamke amestahili kumvutia   mumewe kwa matendo yake mazuri 1Petro 3:1. Kuna wamama ambao wameokoka, lakini jamii au mumewe akiona mwenendo wa huyu mama, anadharau wokovu kama mama jiulize kuwa unafanya nini kuhakikisha kuwa jamii yako imeokoka.Kuna wazazi ambao wameokoka lakini kila mara wakiondoka kuenda kwa ibada wana pangia watoto wao kazi, mmoja wanamwambia achunge kondoo, mwingine aoshe vyombo , mwingine aende sokoni na wazazi wanaondoka kwenda kanisani- Hayo ni makosa.Kuna mume ambaye kabla aondoke kwenda kanisani, huwa anapangia mkewe kazi, anamwambia mkewe abaki akiuza ndani ya duka au sokoni naye anaenda  kanisani, hayo ni makosa ikiwa umeitwa na mungu, mtumikie pamoja na jamii yako.Ikiwa wewe ni kiongozi kanisani jamii yako iwe  ya mfano bora-Tim3:12,1Tim 3:4.Ikiwa  mungu amewaita wote ndani ya jamii na mmoja aangalie nyuma huwa haimpendezi mungu.Mke wa Lutu alipoangalia nyuma alibadilishwa kwa nguzo ya chumvi-Mwanzo 19:26.Imepaswa wazazi kufundisha  watoto neno-Kumb 6:4-7,Methali 22:6,Waefeso 6:4. Hiyo itawafanya watoto waandaliwe kwa ajili ya wokovu. Ninashauri kuwa mume na mke wawe katika ushirika mmoja sioni kama inafaa mke awe katika ushirika tofauti na mumewe.Ni bora  watembee pamoja, ndani ya ushirika(kanisa) moja ili wapokee mafundisho yanayo fanana.Ikiwa ni mchungaji, ninashauri kuwa ahudumu na mkewe mahali pamoja na pia jamii ikae pamoja ndani ya kanisa-.Ninashauri jamii kuomba pamoja wakiwa wameshikana mikono ndani ya nyumba yao kabla ya kulala, wanapoamka au wakati wamejadili juu ya mpango Fulani wanataka kufanya.Wakati

1Tim3:4,5.

KUVAA/ KUJIPAMBA KWA MKRISTO

Na Isaac Simbiri

Hii inahusu vile mkristo anastahili kuvaa au kutengeneza mwili wake. Kwanzia pale mwanzo,Mungu alikuwa na mpangilio wake kwa ajili ya mwanadamu,(vile angevaa), Mungu aliwavalisha Adam na Hawa –Mwanzo 3:21. Hata leo, Mungu anajali kuvaa kwetu-mt 6:30. Mungu alipeana mpangilio jinsi ambavyo anayemtii angevaa-

Mavazi ya kusitiri mwili 1Tim 2:9,1Pet 3:1-4

Bibilia ilikataza wanawake  wa Israeli kuvaa mavazi ya wanaume  kumbukumbu 22:5

Kuvaa vipuli na vitu vya kujirembesha haikubaliki –Mwanzo 35:1-5, Kutoka 33:4-6,32.1-5 8 Mwanzo 35:1-6, Petro-1 Pet 3:3-4 , Paulo -1 Tim 2:9.

Nyakati hizi za mwisho, Mkristo anaonywa kuwa tofauti na mataifa,katika kuvaa Wamama na wasichana wakristo wasivae mavazi madogo kwao au mafupi ambayo yanaacha sehemu ya miili yao uchi wanapoketi au miili yao yote kuonekana –si mavazi yakuficha mwili (amevaa nguo lakini mwili wake wote unaonekana ukimwangalia kwa nje hayo ni makosa

Wamama na wasichana  wakristo wafunike  vichwa vyao-1 kor 11:1-16

Wamama na wasichana wakristo wasijipambe kwa nje tu kama kusuka  nywele zao wala kwa dhahabu na lulu bali wajipambe ndani ya roho zao 1 Tim 2:9

mkristo asivae vipuli na vitu vingine vya kujirembesha –Kutoka 33:5-6

Kuna wamama, wanaume na wasichana ambao hupenda kujipaka rangi mbali mbali kwa midomo yao na sehemu zingine za mwili na wanavaa nywele inayonunuliwa ambayo hawajui kule inakotoka, wanavaa kama makahaba – roho wa yezebeli wa ukahaba ametulia juu yao akawaleta kanisani Ufunuo 2:20.Isaya 3:18,hosea 2:13,methali 7:10 kuna aina ya mafuta ambayo wao hujipaka yana leta matokeo mbalimbali juu ya miili yao ikiwemo kunona, kugeuza ngozi yao na atakusababisha magonjwa,Mimi sikubaliani na hiyo

Kuna wale ambao huvaa nguo za ndani pekeyake na kutembea nazo-hayo ni makosa.

Wazee wakristo wasifunike vichwa vyao wanapoomba au wanapohutubu .1kor11:1-16

Si makosa kuvaa nguo za gharama ya juu au ya thamani na pia si lazima  mkristo ajipambe au avae mavazi ya gharama ya juu .1 tim 2:9.Kumbuka kuwa kuna manabii ambao walivaa ata mavazi ya manyoya na ngozi .2 wafalme1:8,mrk 1:6.na mitume kama Paulo wakati mwengine hawakuwa na mavazi mazuri 2 kor11:27,na

Waisraeli pia hawakukuwa na mavazi mengi ya kujibadilisha lakini Mungu aliyafanya Mavazi yao yasichakae, kumb 29:5.

Aliye na nguo mbili ameambiwa apeane moja kwa Yule hana, Luka3:11.

Usimdharau Yule hana mavazi mazuri,yakobo 2:1-8

Kuchora juu ya mwili au kuandika juu ya mwili au kujikatakata mwili ni makosa- Mambo ya Walawi 19:28

Ninapenda kushahuri mkristo kuwa hizi ni nyakati za mwisho ambazo shetani anatumia njia nyingi kuwanasa wakristo.Kuna mapambo na mavazi ambayo unapo ya vaa,unamtangaza shetani katika ulimwengu wa roho. Aina ya mapambo au kuvaa inaonyesha jinsi moyo wa mtu ulivyo Mt 15:19 kwa mfano ukumwona mwanamke ame vaa mavazi yanayo stahili kuvaliwa na wanaume unajua kuwa kiburi ndicho kina msumbua. Ukimona mtu ametengeneza nywele na kuvaa vipuli na kupaka mdomo rangi nyekundu kama za makahaba unajua kuwa roho ya ukahaba na maringo ako ndani yake, siku hizi kuna madhehebu mbalimbali ambazo zinajulikana kupitia kwa mavazi au alama au vitu vya kuchongwa walizo nazo kama msalaba , misumaa, kofia, bui bui, vitambaa, vitenge. Ata shule ya mwanafinzi ujulikana kupitia kwa mavazi ya shule, kwa hivyo tunapoona vile umevaa na kujipamba tunajua kikundi ambacho uko ndani.Sote tunaona vile mwanasiasa hutengeneza nguo na kuandika jina lake juu ya hiyo nguo na kila unapoivaa unamtangaza Yule mwanasiasa kwa sababu jina lake na picha yake imewekwa juu ya hiyo nguo. miundo ya mavazi ya kisasa kwa wingi huanzishwa na waabudu  shetani ili kuja kumtoa mtu kwa mapenzi ya Mungu na katika ulimwengu wa  roho,kuna picha ya shetani juu ya hizo vituvinavaliwa. Watoto wanaozaliwa leo wanapata kama wazazi na waalimu wanao wafundisha wamevaa vibaya na kwa sababu hawa watoto,hawajui kuwa hayo ni makosa,wao pia watavaa hivyo na hiyo inazidi kuchafua kanisa. Sisi wakristo tuwe mfano mzuri kwa watoto wetu na tusiige mataifa,-Kumb6:3-8,Zab 78:5-6,Methali 22. Mpendwa mkristo, ninakuomba uvae tofauti na mtu wa mataifa ukiwa kanisani au ukiwa nje ya kanisa. Kahaba akisimama na mkristo kuwe na tofauti kubwa (wasifanane)Zab 106:35-36,waefeso 4:17-14,5:8-11

YATIMA /MJANE/MASKINI/MGENI.Yakobo 1:27

Na Isaac Simbiri

Makanisa mengine yana idara zingine zote lakini idara hii imeachwa nje.Yakobo 1:27 i la hudanganya wafadhili katika mataifa ya nje kuwa wanahudumia wajane,mayatima ,maskini  ili wapate pesa wanazotumia kujijengea nyumba nzuri ,kuwasomesha watoto wao,kujinunulia magari au kujitajirisha,hiyo ni tabia ya kishetani. Ikiwa mjane /yatimamaskini anaweza kufanya kazi  yoyote pia ajizoeze kufanya,2 Wathes 3:6,Kanisa la kwanza liliwahudumia hao –Matendo 6:1-6,wagalatia2:10.

(a)YATIMA

Mungu anasema kuwa yeye ni Baba wao-Zab 68:5

Mungu huwategemeza –Zab 146:9

Mpatie yatima haki yake –Yer 7:6,Isaya 1:17,Ezekiel 122:7,Malaki 3:5

Tembelea mayatima –yakobo 1:27

Usidhulumu mayatima –Zakaria  7:10,Isaya 1:23,Yer 5:28,Kutoka 23:6.

Usimwonee Yatima –zab 94:6

Kula nay eye sehemu ya mali yako-kumbu14:28-29,26:12

(b)WAJANE

Mungu aliwajali wajane katika agano la kale ,Isaya 1:27,1 Wafalme 17:8-24,Ecle 22:7,2 wafalme 4:1-44

Mungu huwategemeza –Zab 146:9

Mungu ni mwamuzi wao-Zab 68:5

Jamii itunze wajane -1 Timotheo5:1-8

Mtetee mjane-Isaya 1:17

Uwakumbuke wajane –Zab 41:1

Tembelea wajane-Yakobo 1:27

Usimtese Mjane-Kutoka 22:22

Usimdhulumu mjane –Zek 7:10,Isaya 1:23

Usimwonee mjane-malaki 3:5

Usimwue Mjane –Ezek22:7,Zab 94:6

Kula nay eye sehemu ya mali yako –Kumb 14:28-29,26:12

Mjane awe wa zaidi ya miaka 59,wajane vijana waolewe na wadumishe utakatifu na wafanye kazi-1 Tim 5:3-16,itakua makosa mmoja kujiita mjane kama aliwacha mumewe-1 Kor7:39, -2 Thes 3:6-14,Malaki 3:6-14,1 Tim 5:11-13.

(c) MASKINI

Mungu anawatambua-Yakobo 2:4,Luk16:19-30,14:12-14.

Usimnyang’anye maskini-Methali 22:22,Eze 22:29

Msaidie /mkopeshe maskini-Kumb15:7-11, 1 Yoh3:17, Yakobo 2:14-17, Zakayo alipeana sehemu ya mali yake kwa masikini Lk19:8.

Mlipe masikini deni lake haraka-kumb 24:14, malaika3:5Yakobo 2:1-9

Walete maskini kwako-Isaya 58:7

Mvike maskini-Isaya 58:7

Mkaribishe kwa sherehe-Luka 14:12-14

Mpatie maskini hukumu ya haki-Zab 82:3

Mwokoe maskini-zab 82:3

Mkumbuke maskini-Zab 41:1

Mhurumie maskini-Methali 19:17

Wahubirie habari njema –Luk 4:18

Kuna watu ambao wanaweza kufanya kazi lakini wanajifanya maskini ili wasaidiwe na kianisa.Watu kama hao wafundishwe kazi(ni bora kanisa kusaidia vilema,vipofu,wagonjwa )1kor 4:11-12,  1Wathesalonike 4:11,2Wathesalonike3:6-12, lakini ikiwa hao nimetaja waweza kufanya kazi yoyote pia wafanye ili kanisa lisilemewe.

(d).WAFUNGWA/WALIOONEWA.

Wakumbuke  wafungwa/walioonewa-Ebr 13:2

Wasaidie walioonewa-Isaya 1:17.

Waweke huru waliofungwa kwa kuonewa-Isaya 58:6,Luka 4:18.

Watendee haki-Zab 82:3.

Ikiwa  mmoja amefungwa gerezani kwa sababu ya makosa fulani, ni vizuri akamilishe kifungo chake-Warumi 13:1-7 lakini mwombee na pia ikiwa anaweza kusamehewa na kuwekwa huru ni bora zaidi.

(e).MGENI.

Mungu anawapenda wageni na huwafadhili-Zab 146:9.

Karibisha wageni-Ebr 13:2.

Usimwonee mgeni -Kutoka 22:21, 23:9, Ezc 22:7, 29, Yer 7:6\z, Mambo ya walawi 19:33,Kumbu 10:19

Usidhulumu mgeni-Zek 7:10

Usimpotoshe mgeni Malaki 3:5

Usimuue mgeni –Zab 94:6 Msaidie mgeni na sehemu ya mali yako-kumb 1428-29, 26:12

WAGONJWA

Mungu huwasamehe na kuwaponya wakitubu –Zab 103:3

Kuungama dhambi huleta uponyaji-Yakobo 5:16

Wazee wa kanisa wamwombee na kumpaka mafuta-Yakobo 5:14

Tembelea wagonjwa –Mt 25:36

Kwa mapigo ya Yesu,mgonjwa alipona -1 Pet 2:24

(e)Wenye kiu wapewe maji-Mt 25:35

(f) Walio uchi wavalishwe na uwastahi-Yakobo 2:2-4,Luk 3 :11

Wenye njaa wahurumiwe-1 Yohana 3:17

MAELEZO ZAIDI

(1) Mume na mke walio wakristo waweke mapato yao pamoja na kupangilia pamoja. Wafanye kazi kwa umoja, watunze jamii wote 1Tim 5:8,1Peter 3:8.

(2)Mama au baba asitoe siri ya ndani ya nyumba kwa watu wan je ambao hawajaokoka kwa sababu huenda wasimsaidie ni vizuri aambie mchungaji anayetii neno ambaye ataiweka hiyo siri na kumshauri na kumwombea.

(3) Waliooana wanastahili kulala pamoja ndani ya chumba kimoja, wakule pamoja, watembee pamoja, watende kwa umoja.Kuna wale ambao kila mmoja analala pekee yake, anakula pekee yake kando na mumewe, hiyo sio tabia ya kikristo.

(4)Waliooana wanapaswa kuvumiliana, wakati wa shida na wakati wa raha.Tabia ya mmoja kumtoroka mwenzake kwa sababu ya shida sio nzuri.

(5)(Moyo wangu unapenda kuwa mume asiende kufanya kazi mbali na  mkewe nina shauri kuwa  wakae pamoja mahali pa kazi ili wasimpe shetani nafasi kuwajaribu.Tabia ya mume  kuishi  mbali na mkewe imefanya wengi wakaingia kwa usherati.Lakini  kuna wale  wamejitunza katika hali hizo ila ni vyema wakae pamoja.

(6) Imewapasa waliooana wakae kwa amani na majirani -Warumi 12:18,

 (7)Walio katika jamii imewapasa kuombeana, jiulize ni  mara ngapi kwa wiki umemwombea  mwenzako .Ayubu 1:5

 (8)Waliooana waaminiane.Tabia ya mmoja kufanya vitu kwa siri au kumdanganya mwenzako au kuiba kitu mlichotengeneza pamoja na kuuza sio tabia nzuri usherati pia usitajwe kwenu-1Wakorintho 5:1-9, Waebrania 13:1-5

(9)Jamii hawafai kuishi Kwa madeni .Wao ndio wamepaswa kukopesha lakini tabia ya kuzoe kukopa kwa maduka na kutolipa haipendezi. Ukiwa uko na deni enda ulipe.Zab 37:21

(10)Ukiomba kitu cha mtu urudishe.Tabia ya kutorudisha vitu vya wenyewe sio nzuri.

(11) Wamama wasiwe na tabia ya kuzungukazunguka kwa nyumba za watu bila sababu maalum-1T im 5:13

(12)Wajane ambao hawajafikisha miaka sitini (60) waolewe.1T im 5:11-14,1Wakorintho 7:39

(13)Jamii wasitumie hongo katika biashara Yao tumia vipimo vilivyo sawa, hakikisha umewalipa waliokufanyia kazi. Yakobo 5:1-4, Methali 20:23, 20:10.(15)Swala la USAFI liko Kwa wote katika jamii, kuoga, kufua nguo, USAFI WA ndani ya nyumba, kuonsha mdomo Na kupiga mswaki, kuwa Na choo kwako Na mahali pa kuogea, USAFI WA vyombo vya jikoni, usafi mpaka chini ya kitanda chako na chumba cha ndani. Lakini pia tukumbuke kuwa Yesu anapendezwa na usafi wa ndani ya Roho kuliko wa nje. Kwa hivyo tusipeane uzito kwa usafi wa nje peke yake bali tuangalie usafi wa Rohoni kwanza Mariko 7:1-9, Mathayo 15:1-18

(16)Unapo pakua chakula, kumbuka wale ambao hawapo, kumbuka kuomba kula pole pole, usijaze chakula ndani ya mdomo, usikule kupita kiasi.

(17)Walio Na mifugo waitunze, waiombee, waipeleke mahali pa malisho Na maji.Usiwape kazi inayowashinda, usiwaumize kwa kuwapiga.Mimea au miti uliyoipanda uitunze.

(14)Wakati mtu amekufa usiomboleze Kama watu WA mataifa, achana na mila na utamaduni unaopingwa na neno 1 Wathesalonike 4:13        

(18)Tembelea  watu wa ukoo ukiwapelekea neno la Mungu  kama ni vizuri tenga tarehe za kuwatembelea nawe pia uwe unawakaribisha kwako mmoja baada ya mwingine hata kama   kwa imani(kiroho) mnatengana,usiwachukie.

(19)Fundisha jamii juu ya kumjua mungu, utiifu kwa wazee, mume,

(20)Katika kuoa au kuolewa, mtegemee   mungu, mambo ya mila nyingi wakati wa kuoa tuache.Wakolosai 2:8,Mariko  7:1,

(211)Kutahiriwa si dhambi ila njia zinazotumiwa zitaweza kuleta dhambi.Kwa hiyo ikiwa mmoja anataka kutahi riwa, aende hospitalini.Wamama wasitahiriwe.Tuachane na mila za wazee (Mababu)  wakati wa tohara.

(22)Mgonjwa aombewe na  pia mgonjwa anaweza kutumia dawa au apelekwe hospitalini ila asipelekwe kwa waganga.1Tim 5:23 Mama aliye mjamzito aingie kwa maombi ya kufunga baada ya kupata ushauri wamchungaji..

(23)Watumishi kanisani wasiache kuhudumia jamii yao.1Tim 5:8,2Wathesalonike 3:7-14

(24)Wakati wakusafiri, chunguza mambo ya nauli, usipande gari ambalo li mejaa kupita kiasi,usiendeshe kwa mwendo wa kasi sana,

(25) Ujiepushe na mambo ya ukabila,ujiepushe na vita vya kikabila.

(26)Uwe mkaribishaji wa wageni-Waebrania 13:3.

27) Mama aliyeolewa asiende kulala nje ya nyumbani kwake bila kumwambia mumewe na mume pia asilale nje bila mkewe kujua.Moyo wangu unapenda kuwa hatakama una mwito wa kuhubiri uende kwa huduma kama jamii yako imejua vizuri.

28)Anzia Kwa jamii yako kutenda mema.Kuna wengine ambao hutenda mema kule nje lakini kwao nyumbani hawatendi huo wema.Ukienda kucheka na watu wan je, uwe ulianzia kwa nyumba yako kucheka. Chochote kizuri ambacho unafanyia watu wan je hakikisha kuwa unafanyia jamii yako pia.

(29)Jamii nyingi zimejengwa juu ya mila lakini kuna mila zingine ambazo sio nzuri –Mariko 7:1-10, Wakolosai 2:8,1Tim 4:7(angalia mila wakati wa Tohara, kuoa, kifo.

(30)Katika jamii, tuwe wa kusameheana mmoja akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake. Tusiwe wenye kuhesabu makosa au kutafuta makosa – Wakolosai 2:12-14, 1Petro 3:1-9, Petro 4;8, Methali 10:12.

(31)Vita katika jamii havifai.Tabia ya mume kumpiga mkewe au mke kumpiga mumewe si mapenzi ya Mungu 2Tim 2:23, 24, Methali 21:9, 19:26.

(32) Watoto wawatii wazazi wao na wazazi pia wawalee watoto katika bwana na mzazi asiache kutumia kiboko kwa mtoto –Methali 22:6,Waefeso 6:1,2-4,Methali 19:18,13:24,1Tim 5:1-3.

(33)Walio na wafanya kazi wawahudumie vyema-Yakobo 5:1-Waefeso 6:5-6, Wakolosai 3:22, Tito2:9, Methali 20:4, Methali 19:24, 19:15(wafanyakazi au watumwa watii wakubwa zao)

(34) Wamama wazee wafundishe wamama vijana mwenendo mzuri Tito 2:1-7

(35)Ukiwa na sababu ya kumlaumu mwenzako, usikimbilie mahakamani haraka utafute suluhisho kupita kwa wandugu waliookoka –Methali 25:8,1Wakorintho 6:1, mt 18:15-18

(36) Uheshimu mpaka kati yako na jirani yako, usiongeze au kuondoa alama ya mpaka wa zamani- Methali 23:10, Methali 22:28

(37) Usiwanyanyase maskini-Yakobo 5:1-Methali 22:22, 16, 21:13.

(38)Walio katika jamii wasiwe wepesi wa hasira –Methali 15:1, Methali 14:29, 14:17

 (39)Tusitumainie mali katika jamii- Methali 11:28, Yakobo 5:1,1Tim 6:6-10, 17,18.

(40) Katika  jamii tunakula chakula chochote 1Tim 4:1-5, Mariko 7:15-19.Lakini tusihukumu Yule asiyekula,Warumi 14:1-23,15:1-

(41)Mpende jirani yako, usiache kitu  chake kiharibike ikiwa unaona na una uwezo wa kusaidia –Kutoka 23:1-8.Luka 6:27-35

(42)Kila  mmoja katika jamii anapaswa kuheshimu mamlaka.Kuna mamlaka ya serikali ambayo inafaa iheshimiwe –Warumi 13. Kuna mamlaka ya kanisa –Waebrania 13:7, 17.

(43)Mavazi au mapambo ya wamama au wazee yaonyeshe wokovu, mama wa Israeli hawakuruhusiwa kuvaa mavazi yampasayo mume Kumb 22:5.Mama au mume asivae nguo ambazo zinaonyesha au kuweka mwili wazi au kufanya mavazi ya ndani kuonekana 1Petro 3:1’1Tim 2:9.

(44)Wamama wajifunike vichwa vyao na wazee wasifunike vichwa wanaposali-Wakoritho 11:1-16.

(45)Siungi mkono talaka kwa walioolewa-Mat 19:3-10,Mat 5:31,32 Mariko 10:1-11 Luka 16:18,1Wakorintho 7:10, Warumi 7:1-2

(46)Katika kutembea mama atembee Na wamama wengine Na tabia ya mume kutembea Na mke wa mtu mwingine hata Kama wanaenda Kwa huduma sio nzuri.Mume atembee Na mke wake anapoenda kushauri mke wa mtu au dada

(47)Kila mama au mzee awe na kazi anayofanya.Tabia ya mke kutegemea mumewe au mume  kutegemea  mama  kwa  mahitaji  yote  ya kifedha sio nzuri na pia kazi unayofanya  iwe inayo pendeza mbele za Mungu.Tafuta ushauri kwa mchungaji-Methali 31,Tito 2:4,2wathesalonika 3:6-15.

(48) Huwa ninasema kuwa ni vizuri mzazi awapatie watoto wake msingi mzuri.Kuna wazazi wengi ambao leo hii, wanalaani vijana wao kuwa”watoto hawa wasaidii au wanatabia mbaya” Kwa hao huwa ninasema kuwa waangalie kule nyuma ni nini ambacho walitenda au kufundisha kwa watoto wao ili wawe wazuri baadaye-mithali 22:6. Methali 13:22. Wazazi wengine wamefundisha watoto wao vibaya, huenda mtoto tangu akiwa mdogo amekuwa akiona mzazi akiuza pombe au akifanya ukahaba au amekuwa akiona mzazi hafanyi kazi. Hivyo ndivyo mtoto atakuwa. Kama wewe ni mama mwenye hekima, jaribu kufanya vitu ambavyo watoto wako watajifunza kwako.Ikiwa mama hawezi hata kulima kando ya nyumba apande mboga, unafikiri mtoto atalima? Na ikiwa hawezi kutengeneza nyumba, unafikiri mtoto atajifunza nini? Wafilipi4:9. Tusilaumu watoto kabla tuangalie nyuma.Methali 22:6.Ikiwa wazazi unawaacha watoto wako nyumbani unapoenda kanisani , usitarajie kuwa watakuwa na tabia nzuri baadaye au ukiwa wewe mume hauwezi kumhubiri a mke wako akufuate kanisani basi huenda kule mbele itakua shida- Kumbukumbu 6:6-9, Waefeso 6:4. Ukitaka mke wako arudi nyumbani mapema muache aende kwa mafundisho kanisani, ukitaka akuheshimu katika Bwana au watoto wako wakuheshimu katika Bwana, waweke huru kuingia kanisani.Ndoa nyingi zimevunjika kwa sababu mke au mume aliweka msingi mbaya zamani.Kama mzee unaondoka nyumbani bila kuambia mke wako na kulala nje siku mbili bila mke wako kujua mahali ulipo, unafikiria utakua umefundisha  mke wako nini? Na watoto wako je?Ikiwa wewe mke  unaondoka bila kuambia mume  kuwa utalala nje na unalala nje tena unatetea hiyo  kulala kwako nje  kuwani halali kwa sababu unajua kuwa umemdharau mume wako,unafikiria kuwa watoto wako waliokuwa wanakuona ukifanya hivyo watafanyaje  baadaye?Na ikiwa  unatabia kama hiyo na iwe kuwa wewe ndiye mama mzee ndani ya kanisa, unafikiria wamama vijana watajifunza nini kwako.Tito 2:1-5 nasema kila mmoja afanye kitu ambacho mwingine akikuona unafanya akaenda kukifanya hatapatwa na madhara.2Wakorintho 3:1-3,Wafilipi 4:9.Wewe mama mzee ikiwa  watoto wako au wamama vijana watakuona umependa kutembea na kukaa na wanaume badala ya kukaa na  wamama wenzako Unafikiri wanajifunza nini? Na wale hawajaokoka wakikuona unafanya hivyo, unafikiri watalitusi kanisa au watasema nini?Je ikiwa dada ni wa kuzunguka zunguka kwa nyumba za watu katika kijiji na kujishugulisha na mambo ya wengine,wengine wanajifunza nini?Na ikiwa unapenda kumjibu mume wako kwa madharau wanaokusikia watafanyaje?Ikiwa wewe mzee hautaki kumwambia mke wako mipango zako, unapenda kufanya vitu kwa siri, umejiwekea pesa au  mali  sehemu fulani kwa siri na ufe  kwa ghafla hiyo mali itakuaje?Ninachosema ni kuwa kile  watu wanakuona ukifanya leo, ndivyo baadhi yao watafanya kesho. Angalia vile unavaa, unaishi na majirani,usafi, matembezi, ukiwa nyumba jaribu kuomba watoto wakiona na baadaye wataomba.Kuna  mwengine ambaye hata jirani hajui ameokoka na siku moja jirani akisikia ukimsalimia mpendwa”Bwana asifiwe” anashangaa. Badilisha njia zako katika jamii

KITABU CHA TATU

KIONGOZI WA KANIsa

Viongozi wa kanisa,,,

          VIONGOZI KANISANI (HUDUMA TANO)Waefeso 4:11-12

Yesu kristo amepeana huduma tano kwa kanisa kama ifuatavyo 1.mitume. 2. manabii 3. Wainjilisti , 4. Wachungaji 5. Walimu

Viongozi wa hizi huduma tano pia huitwa wazee wa kanisa.katika agano la kale jina mzee lilitimika kwa mzee aliyeheshimika katika eneo lakini katika kanisa la kristo jina mzee wa kanisa lina maana ya kiongozi aliye na uzoefu katika mambo ya huduma kwa muda mwingi. Anaweza kuwa kijana lakini kwa sababu amekaa kwa huduma miaka mingi na ana uzoefu katika uongozi ataitwa mzee wa kanisa ikiwa ana moja ya huduma hizo ndani yake.

  •  

Hii ni moja ya huduma ambayo yesu amepeana kwa kanisa waefeso 4:11,12

a)  Huyu huanzisha (huweka msingi ) wa kanisa waefeso 2:20,1kor 3:10

b)  Huchagua viongozi wa kanisa Matendo 14:23, 15:40, 16:1

c)  Huwa mwangalizi wa kanisa ili lisivamiwe na imani potovu Wagalatia 1:8

d)  Hufundisha kanisa matendo 2:42,15:1-35

e)  Hukubali kuteseka kwa sababu ya kanisa –Matendo 9:16,1Tim,1:16 1Wakorintho,12:21-28

f)  Uhubiri injili –Rom ,15:20,2Kor 10:16

g)  Ishara /miujiza/maajabu huandamana naye-Matendo 2:43,4:30,5:12,14:3,Heb2;2

h)  Hufunuliwa /Huonyeshwa/kile anafaa kufanya matendo26:15-18

  •  

Huyu huwa na ujumbe kutoka kwa Mungu-Luka 11; 49,1kor 12:28, Waefeso, 2:20, Matendo 11:28, 13:1,21:10-11,Matendo15:32,20:22-24

a)  Mhubiri wa injili1 Tim 2:15 2Tim 4:5

b)  Hakai mahali pamoja kama mchungaji ni lazima mtume na mchungaji wakusanye wale ambao mhubiri amewahubiria  ili wawe kikundi (kanisa)-matendo  8:5-27.

c)  Huyu hubatiza wale amewahubiria na wakamwamini yesu s-matendo 8:36-39

  •  

a)  Yesu ni mchungaji mkuu 1 pet 5:3

b)  Katika kanisa la leo mchungaji ni mmoja wa  wazee wa kanisa

c)  mchungaji ana moyo wauchungaji (kupenda/kufuatilia/kulea/huangalia). Yeremia 3 :15 ,

d)  Ni mwangalizi wa kundi (kanisa) 2 Pet 5:11.

e)  Hukinga kanisa kutokana na mbwa mwitu wakali , matendo 20:28-30

f)  Huelekeza/hukinga /hurekebisha/huonya/hulisha neno/hufariji-Yohana 10:11-18.

g)  Huleta kanisa kwa umoja wa Imani

h)  Hutambua vipawa vya wakristo na kuwalea kiroho

i)   Mchungaji huwa mfano kwa kanisa kwa mambo yote

j)   mchungaji ni mmoja wa  wazee wa kanisa pia-Pet 5:11

  •  

·  Yesu ni mwalimu mkuu.

·  Mwalimu ni msomaji wa neno.

·  Mwalimu huleta ufunuo mpya kwa kanisa.Hatumii mtindo mmoja au aina moja ya mafundisho bali huomba Mungu na kupokea ufunuo mpya kila mara.

·  Mwalimu hatumii vitisho katika kufundisha.

·  Mwalimu akishafundisha huwaruhusu wakristo kuuliza maswali.

·  Mwalimu huwa tayari kufundishwa pia.

·  Hupenda watu wa Mungu.

·  Hupenda kufundisha neno la Mungu-Matendo 13:1,14;14,1 Tim 2:7,2Tim 1:11.

·  Waalimu wanafaa kuwa ndani ya kila kanisa.

  •  

ü  Huyu ni mhubiri wa injili.1Timotheo 2:15.

ü  Anahubiri habari njema za ufalme wa Mungu,2Timotheo 4:5

ü  Mwinjilisti hakai mahali pamoja kama mchungaji,hivyo,ni lazima mitume na wachungaji wakusanye wale ambao mwinjilisti amewahubiria ili wawe kikundi(kanisa).Matendo 8:5-27.

ü  Huyu hubatiza wale amewahubiria wakamwamini Yesu.Matendo 8:36-39.

·       MZEE WA KANISA.

a.Maranyingi viongozi wa kanisa huitwa wazee wa kanisa ,Matendo 15:2,4,6,22,1Pet 5:1-20,Yohana 21:15-17,matendo 20:17 kwa mfano ,petro ambaye ni mtume pia ni mzee wa kanisa .

MZEE WA KANISA MOJA(KIKUNDI AU KITUO KIMOJA KIDOGO)

v  Huyu husimamia kikundikidogo cha wakristo (kituo kimoja)

v  Huyu huchaguliwa na mchungaji au mtume kulingana na tabia zake na ukomavu wake kiroho -1 Tim 3:1,1 Pet 5:1,Tito 1:5.

v  Hutembelea wagonjwa –Yakobo 5:14

ii.  MWANGALIZI

v  Huyu ni mchungaji au mzee wa kanisa aliyechaguliwa na mtume au mchungaji kusimamia vikundi vingi (vituo au makanisa) vya wakristo.

v  Hulisha kanisa neno ,1 Ti m 3:5,17,Tito 1:9,Matendo 20:27,28

v  Hufundisha kanisa 1 tim 3:2,1Pet5:1-3

MASHEMASI

Hawa ni watumishi ndani ya kanisa (Mwenye kiti ,msaidizi wa mwenye kiti ,Mkurugenzi,au msimamizi , kiongozi wa wamama,kiongozi wa vijana na watoto ,idara ya karani,mweka hazina n.k) ambao Hushughulikia kanisa na kazi za ndani ya kanisa kama vile mambo ya pesa na vitu vingine vya kanisa .Hii hufanya wazee wa kanisa kubaki wakihubiri na kufundisha neno-matendo 6:1.wengine kati ya hawa hufikia kiwango cha kuwa wazee wa kanisa au wahubiri wa injili .Wanafaa kuwa na tabia zilizoandikwa katika vitabu cha 1 Tim 3:3-13,1 kor12:28. Kuna huduma zengine za maongozi ndani ya kanisa

HUDUMA ZINGINE NDANI YA KANISA

Kusaidia             

Kazi

Kutia moyo                  

Kutembelea

Kutoa                           

Uandishi

Maongozi           

Upatanisho

Miujiza na uponyaji    

Uimbaji

Uombezi

kukaribisha                 

Kutangaza neno kupitia Redio, Runinga n.k

UINJILISTI

Wanadamu wanafaa kumwamini Yesu [warumi 10: 11, yohana 3:16

Injili ihubiriwe ndipo wanadamu wamwamini yesu mathayo 24:14

Yesu anataka watu wa kuhubiri injili ya wokovu warumi 10: 13-14 isaya 6: 8

Wahumini ndio wahubiri injili mathayo 28: 18-19,4: 16,5: 16 matendo 1:8 , mariko 16 : 15

Mkristo anafaa kuhubiri kwa maeneo kama

Vijiji vya karibu  luka  3: 3,7

Karibisha watu kwa nyumba yako luka 14:23

Tembea kwa kila nyumba ukiwahubiria matendo 19: 10 ,20: 20

Hubiri kwa mikutano ya watu wengi matendo 8: 5-8, yohana 4: 28-29 

Hubiria mtu mmoja mmoja unayekutana naye .yohana 1: 40-45 matendo 8: 26-36

Hubiri kila mahali ,kama vile sokoni  shuleni jela  matendo 8: 1,4 , 17:17

Hubiri sehemu za mbali warumi 15 :20

Njia  za kuhubiri injili

Kuna njia nyingi za kuhubiria watu kwa mfano 

Kuhubiri kupitia kwa redio ,

Kuhubiri kupitia kwa  televisheni

Kurekodi filamu  kanda za  mahubiri

Kuhubiri kupitia ujumbe ulioandikwa

Kuwa na mikutano ya hadhara katika  viwanja

Kuandaa mikutano  ya wanarika [ vijana

Kizuizi kwa uinjilisti

Mungu alipowaambia wanadamu waende pande zote za dunia waliamua kukaidi na kukaa mahali pamoja ili kujenga mnara  wajitengenezee  jina . mwanzo 11: 1-6

Wakristo wa siku hizi wameacha kwenda kuhubiri  wakabaki kwa kazi zao zinazowapatia chakula ,mavazi ,na watoto wao kusoma na wakiwa wagonjwa wakimbizwe hospitalini . Ikifika siku ya ibada wanaenda kwa ibada  kwa saa chache kwa sababu wanataka kwenda kwa kazi zao

Kwa sababu mkristo hajataka kukaa kwa Mungu   muda mwingi amekosa kujazwa roho mtakatifu anayeweza kumsukuma kwenda kuhubiri injili , yeremia 23: 22-29

Kwa sababu mkristo amekaa chini ya mchungaji ambaye hana maono ya kupeleka injili  ,huyo mkristo naye haondoki kwenda kuhubiri  . mathayo 15: 14.

Wakristo weng baada ya kutishwa kuwa watafungwa,  kuteswa/ kufungwa kwa sababu ya kuhubiri injili wanaogopa na kuacha  ,matendo 5: 26-29

Kwa sababu mkristo  hana pikipiki au gari ya kusafiria anaacha kwenda kuhubri

Kwa sababu mkristo hana vyombo vya kuhubiri anakaa hadi wakaati atakuwa na vyombo  ndipo atakapohubiri na huku watu wanaendelea kufa katika dhambi

Wahubiri wengine waliwekwa kwa chuo cha biblia muda  mwingi walipotoka huko hamu ya kuhubiri ilikuwa imewatoka na madhehebu mengine waliwazuia wakristo kwenda kuhubiri kwa sababu hawajaenda kwa shule ya upili na chuo cha biblia

 Siku hizi za mwisho mwanadamu ameambiwa aende kuhubiri injili sehemu                                                       tofauti tofauti lakini mwanadamu ameamua kujenga masinagogi makubwa na kuyapamba ili wajitengenezee jina na  wanatumia pesa nyingi kuyajenga na kuyapamba .sii vibaya kujenga sinagogi lakini huo ujenzi usizuie kupeleka injili.Hata hivyo,tujue kuwa kanisa la kwanza hawakutegemea kujenga masinagogi ndipo wafanye ibada.

Mungu hakai katika nyumba zilizojengwa kwa mikono ya wanadamu.Isaya 66:1,Mariko 13:2,Matendo 7:48,17:24.

Yesu alisema kuwa watu watamwabudu kwa roho na kweli.Yoh 4:20-24

Mkristo ni hekalu a roho mtakatifu.1Wakorintho 3:16,2Wakorintho 6:16,1Yoh 4;12.

Wakristo wawili au watatu wanapokutana pamoja,wanakuwa nyumba ya Mungu.1Petro 2;5Mathayo 18:18-20.wamejengwa juu ya Yesu mwenyewe akiwa mwamba.Mathayo 16:18

Roho mtakatifu alishuka mara ya kwanza kwa mitume wakiwa ndani ya nyumba wala sii ndani ya sinagogi.Matendo 2;1…

Kanisa la kwanza walifanyia ibada ndani ya nyumba zao.Matendo 2:46,5:42,12:12,16:15-32.16:40,17:5,18:8,10:9,21:8,28:30,1Wakorintho 1:11,16:15,19,Wakolosai 4:15,2Tim 1:16,Philemon2

Roho mtakatifu aliendelea kushuka kwa wakristo wakiwa ndani ya nyumba.Matendo 2:2,9:17,11:12,10:44.

Watu waliokoka wakiwa ndani ya nyumba.Matendo 10:30.

Mambo anayofaa kufanya muinjlisti katika kuhubiri

Mchungaji wa Kanisa pamoja na washiriki wanafaa kujua wakati ambapo uinjilisti utafanyika, na ni wainjilisti gani wanafaa  kwenda kuhubiri kabla ifanyike ili waombewe  na kushauriwa kabla waende kufanya uinjilisti

Watumishi wanaoenda kuhubiri wanafaa kuwa katika hali ya usafi .

Watumishi wanaopeleka neno wakiingia ndani ya nyumba ya mtu kama iko safi pia imepambwa ,waondokapo katika nyumba hiyo waiache katika hali ambayo ilkuwapo hapo awali na ikibidi wavue viatu vyao ikiwa vipo katika hali ya uchafu kwa sababu wengi wanao wapelekea neno la mungu hawajaokoka na wengine hukwazwa uondokapo .

Kabla ya kuanza mafundisho unapoingia ndani ya nyumba ya mtu , mjulie hali  kisha umuombe kibali kwanza ndipo akikuruhusu uanze mafundisho na akikataa kukuruhusu usimhukumu bali muulize kama atakukaribisha wakati mwingine nafasi ikipatikana, [mathayo 10:12]

Usiingie katika ubiishi na wale wanao kupinga  2 tim 2:14

Wakati mwingine unaweza kuambiwa uhudumu kwa muda mfupi , ni vizuri kuwa mtiifu na kutumia muda huo mfupi . Ikiwa ni lazima utumie muda mwingi ni vizuri uombe kuongezwa huo muda lakini ukikatawa uachie hapo. [1pet 2:13 -17].

Ukiingia ndani ya nyumba ya mtu isiwe na tabia ya kuguzaguza vitu vya huyo mtu kama vile  runinga simu , vitabu na vitu vingine ambavyo pengine vipo hapo kwa nyumba na ikiwa ni lazima uguze kitu inafaa mwenye nyumba akurusu kwanza na pia inafaa ujue kwamba haitaonyesha sifa nzuri kufanya hivyo.

Ikiwa anaenda kuhubiri maeneo ya mbali mbali muinjilisti  anafaa kubeba nauli ,godoro, chakula ,sahani kikombe mswaki wa meno lakini rofho mtakatifu anaweza  kukuelekeza ili usibebee vitu hivyo mariko 6:8-9

Mwinjilisti anafaa kuangalia vile anakula –asikule haraka haraka na asiweke chakula kingi kwa sahani  yake kuliko wengine ,asichelewe  kuingia  kuchukuwa  chakula saa za kula wengine wanapoenda  kuchukuwa na  pia ajinyenyekeshe ili kutumia chakula ambacho kimeandaliwa kwa ajilii ya watu wote bali sio kutaka chakula kingine cha maana kuliko kilichoandaliwa .

10. Elekeza  watu kwa Yesu ndipo uwasaidie kwa ushauri juu ya dhehebu  watakaloingia ndani mahali ambapo bibilia hufundishwa.

Ni vizuri kuelewa  hali ya wale unaowahubiria  je? Ni mama aliye na mimba ,ni mzee mkongwe,ni mgonjwa,Ni Yule hajawahi kuokoka,ni watu waliosoma,au ni wale wasio soma,ikiwa uliwapata wamekaa tafuta kujua kuwa wamechoka kukaa au kusimama.Tafuta kujua kama ni wale waliokuwa wameokoka na baadaye wakarudi nyuma ,ujue  na dhehebu ambalo wako ndani .

Ni zuri mu injilisti kuandamana na mke wake au mume wake anapoendaa kuhudumu mahali

C) . VIONGOZI WA KANISA NA PESA  NA VITU VYA KANISA

Na Isaac simbiri                    

1.)Mungu hupeana pesa /mali ,kumb 8:18,zab 105:37,kutoka 12:35,Ayub 1:1-4,42:12,mwanzo 12:1-2,26:1-3,28:13-15,wafalme3:13,mt 6:33.

2.)Kila huduma inahitaji pesa ilikuendeleza kazi yake kwa mfano kulipia mahali pa kufanyia mikutano,kununua vyakula,kuchapisha vitabu,n.k.

Pesa za kuendeleza huduma hutolewa na wakristo (washiriki pamoja) na watu wengine –luka 6:38,1 kor9:7-17,2kor9:7-13.

3.)Kila mtu atoe kwa hiari-mtu yeyote asilazimishwe  kutoa na pia mtu asiwekewe kiwango cha kutoa ila atoe  kile anaweza-2 kor 9;6-8,luka 6;8,wafilipi 4:18-19,2 kor 8:11-12,1 kor 16:1-2,kumb 16:17,wakati mwingine  anayetoa kidogo ndiye anaonekana mbele za Mungu kutoa nyingi ,Luka 21:3 ,1 wafalme 17:12,luka 16:10,2 kor 9:6,luka6:38.pia usitumie uongo kama Anania –wale ambao mapato yao ni chini (maskini) wanakubalika mbele za Mungu kwa hivyo sadaka yao ata kama ni ndogo inafaa –Luka 21:2,matendo 3:6,yakobo 2:1-5.

4.)Kanisa halifai kuwa na hazina ya kifo na mazishi, harambee kuchangiana pesa ambazo lazima mmoja atarudisha,kwasababu hakuna kifungu ndani ya bibilia kinaruhusu hiyo balini maagizoya wanadamu –kol 2:8,mrk 7:5-9.

5.)Usitangaze unapotoa au usitafute watu kujua kuwa umetoa na kiwango umetoa mt.6:1-5

6.)Usifanye huduma yoyote kwa mfano kubatiza ,kuhubiri ,kuombea wagonjwa ukiwa na nia ya kulipwa na kanisa lisibadilishwe kuwa la biashara –waamuzi 17:10 au usifanyie neno la Mungu biashara –mt10:8,Yoh10:13,Ezek 34:8,1 Tim6:1-10.Kwa hivyo kudai mkristo pesa ndipo abatizwe au aombewe ni makosa 1 kor9:17-18,matendo 8:18-20,Yohana 2:15,mt 21:12.Warumi ,16:18,Wafilipi  3:19,Yuda 12,Kor 9:1.Kuna wachungaji ambao huanzisha Huduma wakiwa na nia ya kujitajirisha  hayo ni makosa .2 wafalme  5:15-27,matendo 8:12-24.

7.)Katika agano la kale fungu la kumi la  wa Israeli ambalo ni la Mungu walipewa walawi na makuani ili watumie,Mambo ya walawi 27:30-34.Hesabu 18:8,21,Kumbukumbu 18:1-9. Katika agano jipya,  Kanisa linafaa kumsaidia mchungaji wao-1Kor 16:1,1kor9:1-18,4.lakini kamaMchungaji au kiongozi yeyote anaenda kanisani akiwa na nia ya kulipwa au kusaidiwa kanisa linafaakujihadhari naye na kumkataza .2kor 2:17.wafilipi 2:19-21.

8.)Sadaka ya Mwovu  nichukizo kwa Mungu Methali 15:8  na mwenye dhambi haruhusiwi kutumia sadaka Mambo ya walawi 22:3-4.

9.) Kuna aina mbali mbali za matoleo a) malimbuko –methali 3:9, b) nadhiri mhubiri 5:3-5,zaburi61:8,kumb 23:21-23,c) kuwasaidia wasiojiweza –yakobo 1:27,mt. 25:35-43, d)Kupeleka injili e)sadaka ya upendo 1yohana 3:17,f) mwili wako na nguvu zako ,warumi12:1,g)Fungu la kumi ,mwanzo 14:20,28:22.

10.)Waisraeli waliambiwa wasiishi kwa madeni kumb15:6,28:12,23:19.sisi(Kanisa la kristo )tunaambiwa tukopeshe –luka 6:34-37,mt 5:42,waisraeli waliambiwa wasitoze riba –mambo ya walawi 26:35,26:36,kumb 23:19,lakini sisi tumeambiwa  tusidai-luka 6:34-35.

11.) Kanisa linafaa kuwa na mweka hazina na asitumie pesa za kanisa kuendesha biashara zake (asizichanganye na zake) Yoshua 7:1-26,Danieli 5.

12.) Kuna vitu ambavyo kanisa linafaa kuwa navyo kama vyombovya kuhubiri,nyumba,viwanja ,nk.Kitu chochote ambacho mtu amepeana kwa kanisa si cha mchungaji  bali ni cha kanisa,kanisa linafaa kuhusishwa katika uamuzi wowote juu ya matumizi na kutunzwa kwa hivyo vitu.Lakini kuna wachungaji au watumishi ambao hutumia pesa zao wenyewe kununua vitu vya kuhubiri –hawa wanaweza kuamua wenyewe juu ya hivyo vitu na wanaweza kwenda navyo mahali popote wanaenda kuhubiri bila kuuliza kanisa.                            

13.) Ikiwa mmoja amejitoa kitu chochote kanisani ,haifai  arudi kukidaitenakwa sababu sio chake bali cha kanisa na ikiwa mmoja anajua kuwa atadai kile kitu anachotaka  kukitoa kanisani ,inafaa asitoe na pia mmoja akitoa kitu kanisani na anatoka kwa hilo kanisa asitake kutoka na kitu chochote ambacho alikua amepeana kanisani –na ikiwa mchungaji anahamishwa kutoka kwa kanisa kwenda kwa lingine ,asibebe vitu vya kanisa ambalo amekuwa akihudumu ndani kwenda navyo ikiwa hivyo vitu vilinunuliwa na kanisa.

14.) Mchungaji anafaa kuteua waangalizi wa vitu vya kanisa kama vyombo ,si kila mtu aliye pale kanisani anafaa kuruhusiwa kuguza vitu vya kanisa.

15. )Vitu vya kanisa havifai kutumiwa kwa sherehe za kidunia kama vile kutumia vyombo vya kuhubiria kwa kampeni za wanasiasa au vitu vya kanisa kutumiwa kwa shughuli za anasa za dunia, Daniel 5:1-30

16.) Vitu vilivyopatikana kwa njia mbaya kama magendo /kuibwa visiletwe kanisani na pia vitu vya kanisa visiwe vya kufanyiwa biashara .habakuk 2:6-12, Yeremia 22:13.Methali 15:8

17.) Kanisa likiomba vitu vya watu wengine, lirudishie wenyewe vile wamekubaliana.

D) KIONGOZI MZURI WA KANISA

Na Isaac Simbiri

  1. Kiongozi huchagua wale wanaofanya chini yake .na awafundishe .Hesabu 11:16,1 sam 10:1,15:1,16:1.1 wafalme 19:15,kumb 34:9,Yoshua 1,2,2wafalme  2:1-14kutoka 18:21 luka 6:13,matendo 20:28,tito 1:5,mrk 3;13-14.Katika kuchagua kiongozi wa kanisa ,tumia vitabu hivi –kutoka 18:21,matendo  20:28,hesabu 11:16,Tito 1:5-10,Tim 3:1-13. Mshiriki mgeni anafaa kuchunguzwa  kwanza ndipo awekwe kwa uongozi .1Tim 3:10,Matendo 9:26
  2. Viongozi wa kanisa wawe wale waliookoka na watiifu kwa neno la Mungu –kanisa lisikubali kuongozwa na mtu asiye tii neno la Mungu.yohana 8:47.mt 7;24-1,Samuel 15:22-23 Kiongozi wa kanisa awe anayependa kutembea katika mapenzi ya Mungu –weaefeso5:10 na kujitenga na udhalimu-2 wathesalonika2:11, 12, warumi1:18, 25.
  3. Awe aliyejazwa Roho mtakatifu,Matendo 1:8,na aliye na matunda ya roho mtakatifu pamoja na karama za Roho Mtakatifu.1Wakorintho 12;1Wagalatia 5:22
  4. Awe yule awezaye kufundisha.Mathayo 28:20,Tito 2:1-6,2Timotheo 2:2.Na pia awe anayependa kusoma neno la Mungu.1Petro 2:2,Yoshua 8:32,2Timotheo 2:15,Wakolosai 3:16,Zaburi 1:1-2,Waebrania 5:11.
  5. Awe mtu asiyeruhusu shughuli na mahangaiko ya dunia hii kumlemea.Luka 21:34,12;35,36,Mathayo 6:19-34,2Timotheo 2:4,1Timotheo 6:6-11.
  6. Awe asiyependa kunung’unika.Yakobo 5:9,Hesabu 21:5.
  7. Awe mfano bora kwa kanisa katika mambo yote.Wafilipi 4:9,2Timotheo 2:15,Tito 2:7.
  8. Awe anayewatembelea washiriki
  9.  Si yule ambaye anachoka kutangaza mgomo au kukataa kutumika kanisani kwa sababu yoyote 1 timothio 1:6 ,4:16 bali awe yule aliye  tayari kufanya kazi yoyote pale kanisani kama kufagia , kupanga viti ,kufanya kazi jikoni .kiongozi ambaye hataki kufanya kazi ndogondogo kama hizo ikibidi hafai .
  10. Asdiwe yule anayependa kuheshimiwa tu na kupenda sehemu za heshima bali awe anayenyenyekea mathayo 23 :6-7 , 1 pet 5:1-6 luka 17:4                                                                                                                                                              
  11. Awa yule anayekubali kurekebishwa ikiwa amekosa 2 timotheo 3:16 
  12. Awe mtu wa utaratibu na anayemaanisha na kile anachosema.Yakobo 5:12.
  13. Kiongozi awe mume wa mke mmoja na mke wa mume mmoja-1tim3:2,tito 1:5.
  14. Viongozi wa kanisa wawe waliobatizwa ndani ya maji mengi-yohana 3:22,matendo 8:36,10:47,48.
  15.           Kiongozi wa kanisa afanye kazi nzuri -1Wathesalonike 2:9,2 wathesalonika3:7-12 Matendo 20:34,18:3 1kor4:12,9:15,  isiwe kazi mbaya kama kuuza bangi na kulima ,kuuza tumbaku na umalaya na pia asiwe wa kudhulumu au mwizi.Yohana12:4-6,1Wakorinto 6:7,8.Yoshua 7:1,Matendo 5:1…,Yohana 12:4,
  16.           Kiongozi wa kanisa awe mwaminifu wala sin mpendan fedha,1Petro 5:1-5,Luka 22:3-6-matendo 18:3,1kor4:12,2kor12:4-18,methali13:4,12:11,23:21,6:6-11,20:4.
  17.           Kiongozi wa kanisa awe anaheshimu wazazi wake katika bwana –waefeso 6:1-4.
  18. Kiongozi wa kanisa awe anayesamehe-mt6:12, 14, mrk11:25.
  19.           Kiongozi wa kanisa awe apendaye watu wote,ingawa anachukia tabia za dhambi-Wagalatia 3:27-28
  20. Kiongozi wa kanisa awe mwenye kujitolea -2 kor9;6-7,luka6:38.
  21.           Kiongozi mzuri hapendi kukopa vitu kutoka kwa maduka/biashara yaw engine –kumb  15:6,28;12, 24:14-15,Yeremia 22:13-14,Mithali 14:31,methali 22:7,warumi 13:8,zab 37:21.
  22. .         Wenye kuhudhuria ibada kila mara wakitunza saa -waebra 10:25, mathayo18:18-19.zab 133:1 na atunze saa za ibada-mhubiri 3:1.
  23. Viongozi wa kanisa wanafaa kukutana na kujadiliana juu ya kanisa-matendo 15:25-40
  24.           Viongozi wawe mfano bora katika kutunza vitu vya kanisa :vitabu /pesa /viwanja /nyumba /hekalu na vyombo
  25. Kiongozi hafai kufanyia neno la Mungu biashara,hatupaswi kuuza au kununua vipawa ,miujiza ,Mt 10:8,2 waf.5:15,2 pet .2:15-27,2 Kor .2:17,Matendo 8:19,Yohana  10:12,4:12
  26. .Kiongozi akijiuzulu au akifa au akiacha kanisa au akichukua siku nyingi bila kuja kanisani bila sababu ya kiroho mwengine achaguliwe kuchukua mahali pake.
  27.           Kiongozi anayeenda kwa safari au anayebadilisha ushirika au atakaye kosa kuhudhuria anafaa kufanya hivyo baada ya kujulisha kanisa.Mchungaji na viongozi wengine.
  28.           Viongozi wanaoharibu kanisa Nakukimbilia kwa kanisa lingine wanafaa kuchunguzwa, wakirudi hawafai kupewa nafasi ya kuhudumu mpaka wakati wataonekana wana nia njema kwa kanisa.Tito 3:10
  29. .Ikiwa kanisa lina sababu ya kumlaumu mchungaji au kiongozi yeyote linafaa kuwasiliana  na viongozi walio juu ya huyo mchungaji ili wasaidiwe kusuluhisha tofauti zao.1 Tim 5:1 na piamchungaji  au mzee wa kanisa,haifai kujifanyia mambo yote ya kanisa peke yake ila inafaa ashauriane na viongozi wengine
  30. Ikiwa manung’uniko yameanza kutokea kanisani haifai, mchungaji  asikimbilie kukemea                    wanao nung’unika –inafaa aketi na kutafuta sababu ya manung’uniko. Matendo 6.Viongozi wasaidie kanisa kusuluhisha mambo yaliyo kati yao badala ya hayo kusuluhisha na watu wasio okoka.1 Kor 6:1 –Mt 18:15-18
  31.           Kiongozi wa kanisa awe na maono ya kibiblia kwa ajili ya kanisa .Methali 29:18, habakuk2:2 na aletee kanisa mipango yake ambayo anataka kufanya, ambayo inaungwa mkono na bibilia, aweanafanya moja baada ya nyingine, akisaidiwa na kanisa au wakristo wengine.
  32. Mchungaji au viongozi wengine wanafaa kuwa na vitabu ambavyo mambo mbali mbali yanayofanyika yanaweza kuandikwa ndani na wawe na makarani wanaoandika.
  33. . Inafaa mchungaji awe na mke wake anapoenda kwa huduma .Si vizuri mchungaji kutembea na mke wa mtu mwengine peke yao pia haifai mwanamume awe na mazoea ya kuondoka na mke wa mtu mwengine anapoenda kwa huduma .lkiwa ni lazima hiyo ifanyike, inafaa mtumishi kama huyo aandamane na wanawake zaidi ya mmoja wakiwa na wanaume wengine pia.Na pia  inafaa mchungaji au mzee wa kanisa awe anahudumu na mke wake mahali pake pa kuhudumu (kanisa).
  34. Ndoa ya kiongozi wa kanisa inafaa kuwa ya mfano bora.Luka 16:18,Marko 10:1-10,1Wakorintho 7:1-10, Mtu asimamie nyumba yake vizuri kwanza ndipo  atafute kuwa kiongozi wa kanisa .Tabia ya mtu kuacha kuhudumia jamii yake kwa sababu ameitwa kumtumikia Mungu si vizuri.1 Tim,3:5,5:8.Mchungaji au mzee wa kanisa awe na nafasi ya kukaa na familia yake ailee kiroho ili roho aliye juu yake atulie juu ya watoto wake pia.Waefeso 6:4,Tito 1:6,1Tim 3:4,2Tim 1:4-6,apende familia yake ili anapoondoka  nje kuhubiri  awe wa mfano bora na afundishe wengine kufanya hivyo. waefeso 5:25-31;1Pet 3:7-9. Viongozi wafundishe watu  kuheshimu  ndoa zao-1 Kor 7:10,Mathayo   19:5,Luka 16-18,Ebr 13:4  na watunze jamii zao 1 Tim5:18
  35.  Kiongozi amepaswa kuingia kwa maombi ya kufunga,matendo 13:2 na pia awe mwombezi-aombee familia yake .Ayubu  1:5,Isaya 58:7.aombee Kanisa,waefeso  3:14,15,aombee mayatima  Zab.68:6 aombee mitume.Matendo 13:3-3, aombee watu gerezani-Matendo 12:1;2 kor 1:11; Wafilipi1:3-6; Waefeso 6:18-19; 1Tim 2:1, 2
  36. Inafaa kiongozi afundishwe majukumu yake  na awe yule anakubali kufundishwa.–Kutoka 18:20,1Pet 5:2,ajue mahali anafaa kuanzia na  kufika anapohudumu ;haifai avuke mpaka,asiingie maeneo ambayo wengine wamepewa kuhudumu ndani ili kusiwe na kugongana.Wagalatia 2:8,9,Viongozi pia waulize ushauri kutoka kwa kiongozi  aliye mbele yao na pia wapewe nafasi ya kuhudumu 2Tim 2:2,Hesabu 11:16-17,Kutoka 18:17-23,Kumb 1;9-15,33.
  37.  Kiongozi ahimize  ibada za nyumbani kwa sababu  kanisa lilianzia nyumbani ,Matendo 2:2,46(5:42)(10:30) (10:9) (16:40) (17:5 (18:8),1Kor 1:11 (16:15,19) Kol. 4:15;2 Tim. 1:16;Filemon 2 na pia  mchungaji au mzee wa kanisa anafaa kujua  mahali ambapo kila mshiriki anatoka au anaishi .
  38.  Ukiwa kiongozi usitumie muda wako wote kuwalea  wengine kiroho ukisahau hali yako ya kukuwa kiroho ,unafaa kuwa na muda wa kujisomea neno la Mungu,kuomba ,kufunga,kutafakari.iliusafishwe na neno  kwanza,ndipo uondoke kuhudumia wengine .Wakolosai3:16.Wafilipi 4:6,1Wathes 5:17.
  39.  Kiongozi atii na kufundisha kanisa kutii mamlaka katika Yesu, Warumi 13:1, Zaburi 105:15,Hesabu 12,16,1Timotheo 5;17,Waebrania 13:17,1Petro 2:13,Tito 2:9,Hesabu 21:4, Wathesalonika5:12-13, waheshimumabwana zao (wanowatumikia)-1Pet 2:13,18, 2Wafalme 2:23. Kol 4:1,3:22
  40. . Kiongozi akatae mila mbaya na kufundisha  kanisa kukataa mila kama za tohara za kienyeji ambazo uchawi hufundishwa ndani yake  -Mariko 7:1-10,Mathayo 15 Wakolosai 2:8asikubali kushiriki kwenye dhambi za wengine 1 Tim 15 :22;2 Yoh 10,1Kor 5:1-11,Waefeso 5:10,11,akatae ibada za miungu kama vile sanamu zilizochongwa,mishumaa,misalaba zilizochongwa.1Wakorintho 8:7-11,10:20-22,Matendo 15:20,asiwe yule apendaye hadithi za kizee na ubishi.2Timotheo 2;14,Wakolosai 2:8,Tito 3:9,1:14,na pia ajiepushe na ibada ya kutolea wafu dhabihu,kama vile makumbusho kwa sababu aliyekufa hajui lolote.Zaburi 106:28,Mhubiri 9:4-6,Ayubu 7:5-10. 2Samweli 12:23,hata hivyo,waliofiwa wanafaa kutembelewa na kusaidiwa.Warumi 12:15,Mhubiri 7:2,4. Viongozi wasiruhusu mashindano  kanisani na matangazo kanisani hayafai kuchukua muda mwingi
  41.  Viongozi wakatae kula kupitia ujanja, hongo na  kutumia vipimo vilivyiopungua na kudhulumu –Methali 20:23(20:10)11:1)(16:11), kumbukumbu 25:15,Amos 8:5,Mambo ya Walawi 19:3.
  42.  Kiongozi ajiepushe na hasira, ugomvi ,ubishi,unafiki 2 Tim 2:22-24,Yakobo 4:1-4,Mhubiri 7:9,Mithali 29:11,Mhubiri 7:21,
  43.  Kiongozi awe na kiasi katika kula,kuongea na mambo mengine- awe wa kutosheka  na vitu ambavyo ako navyo 1 Tim 6:10
  44.  Viongozi wafundishe wamama kupamba mioyo yao.Wasivae  mavazi  yanayoacha miili yao uchi  na wasijipambe kwa nje tu  kama makahaba  1Tim 2:8-9,1Pet 3:3-5,mwanzo 35:1-5 kutoka 32:1-5,33:1-6.
  45.  Kiongozi  wa kanisa anafaa kupiga kura wakati wa uchaguzi wa taifa,ila haruhusiwi kuungana na watu  wa mataifa  kubeba mabango  na kufanya kampeni na maandamano barabarani  na kubomoa maduka  ya watu wengine na kupigana methali 18:18
  46. Kiongozi wa kanisa mzuri hukaribisha wageni –Waebrania 13:2
  47.  Kiongozi wa kanisa anafaa kuvumilia wakati wa majaribu -2Tim 2:3, Yakobo 5:7-8,1kor 10:13
  48.  Kiongozi wa kanisa anafaa kuwa na sifa njema mahali anapokaa -1 Tim 3:7, Pet 2:12                                                      
  49.  Kiongozi mzuri wa kanisa ni Yule  asiyependa mizaha,matani,baraza la wasio haki –Zab 1:1-2
  50. . Kiongozi wa kanisa hafai kuionea injili ya kristo  haya -2Tim 1:7,8.Wafilipi 4:9,2Tim 2:15

                               KIONGOZI WA SIFA MBAYA KANISANI

                  Haya mafundisho ni kwa ajili ya viongozi wote wa kanisa ambao wanatambulika kwa matunda yao.Mathayo 7:15,23,Ezekieli 34,Yeremia 23,Mika3:1-12

1.  Kanisani kuna kiongozi mwengine ambaye huwa na tamaa,kung’an’gania uongozi tu.Yeye hutumia njia yoyote ili awe kiongozi.anatumia hongo kwa wale wanafanya uteuzi,hupenda kumsaidia Askofu au mchungaji kwa pesa na vitu vingine,nia ikiwa ni kuwafurahisha ili wamteue kwa uongozi au wampandishe cheo .Baada ya kuteuliwa hapendi aitwe kwa jina lake bila kuongezea jina la uongozi(mchungaji,kasisi, mama kanisa,1Mt23:1-10),Yeye hupenda kuketi katika kiti cha mbele kanisani na kuheshimiwa.yeye ni bwana mkubwa na ata kuvaa kwake hutangaza uongozi wake.

2.  Kiongozi huyo hutawala kimabavu,(1Pet 5:1-3) na hapendi kuchagua wengine ili wamsaidie kubeba majukumu ya kanisa kwa sababu hapendi kugawana madaraka yake na wengine.(Kutoka 18:13-23).Huyu anapenda sana kupandishwa cheo wala si kushushwa,na akipandishwa cheo mahali alikuwa anasimamia pia hataki kumwachia mwengine.kiongozi kama huyo hupenda kufanya kila kitu kanisani peke yake .Atafundisha ,aongoze ibada,ahubiri,kisha atangaze na kuambia washirika watoe sadaka kisha ataomba kufunga ibada.Washirika wengine hawatapewa nafasi ata kutoa ushuhuda au kufundisha,ila watakaa na kusikiliza na kuondoka.

3.  Mtu kama huyo hapendi kuketi na kanisa au kamati inapofika wakati wa kutumia pesa au vitu vya kanisa .Yeye hufanya uamuzi juu ya pesa na vitu vya kanisa peke yake. mali ya kanisa ni kama mali yake,washirika wakiacha kanisa watamwachia kila kitu,pia hataki washirika au kamati ijue kwa upana juu  ya kiwango cha  pesa ndani ya hazina na akiona kama mshirika mmoja anafuatilia kujua siri ya pesa na vitu vya kanisa ,huyu kiongozi hutumia njia yoyote kumtoa  kanisani ili abaki na wale hawaju siri ya kanisa.

4.  Kiongozi kama huyo hapendi kuona mshiriki mwingine akiinuliwa kwa hivyo kazi yake ni kukanyaga kanyaga vipawa  na huduma zilizo ndani ya hawa washirika na kuwanyamazisha au kuwauwa kabisa.Yeye ni Herode wa leo ambaye hapendi kuona mtawala mwengine akizaliwa.(Mt2:1)Kanisa lake ni jela ambayo vipawa na huduma za wakristo hufungwa ndani,ni kaburi la kuzika vipawa.

5.  Kiongozi huyu akimaliza ibada hana wakati wa kusalimiana na wakristo na akisalimiana nao haendelei kuongea nao ila  yeye huenda kwa afisi yake na kujifungia ndani.Yeye hupenda kujitenga wakati wote.Hatembelei washiriki na pia washiriki hawamtembelei kwa sababu yeye ni kiongozi mkali.

6.  Kiongozi huyo ni mpenda mali-Yak 5:1-5,Lk 6:24.Hupiga washirika picha na kutumia wafadhili akiwadanganya kuwa anatunza wajane na mayatima ili atumiwe pesa na akitumiwa huzitumia kununulia magari yake na kujenga nyumba yake ,ni mlevi,mpiga watu,mwongo na kushiriki kila mila kama makumbusho ,

7.  Kiongozi huyu anaweza kumaliza mwaka mzima bila kuingia kwa maombi ya kufunga hata mara moja,

8.  Kiongozi huyu huvunja ndoa za watu,

9.  Kiongozi huyu hakubatizwa ndani ya maji mengi na hawabatizi wakristo ndani ya maji mengi.(Mrk 1:10),Matendo 8:36-40)

10.         Kiongozi huyu ana ukabila anawafurusha watu kutoka kwa mashamba yao,ni muuaji,mchawi,,nk.

11.         Kiongozi huyu ni mchoyo,akiwa na gari hawezi kubeba mshiriki wa kanisa lake ndani ya hilo gari Ni gari la mheshimiwa.Hawezi kumpigia mshiriki wa kanisa lake simu na pia hajaruhusu mshiriki kumpigia simu

12.         Hapendi kuwa na masikini ndani ya kanisa  na akiwa nao hupendelea matajiri.(Yakobo 2:1-7).Huyu kiongozi akimkopesha mtu kitu hudai bila huruma(Mt18:21-35,Lk 6:34-36)Lakini yeye akikopa kitu cha mtu halipi,hataki kudhulumiwa lakini yeye hudhulumu na kushitaki wengine 1Kor6:6-10.(Zab 37:21).

13.         Kiongozi huyu anajihusisha na biashara zisizo halali na za magendo kama vile kulima tumbaku,muuzaji wa sigara,na bangi.Hafanyi kazi kwa mikono yake na kukula anataka.

14.         Kiongozi huyu huwatwisha washiriki mizigo mizito ya kutoa pesa na kuombea watu wakitumia mishumaa,wamevaa kanzu ndefu,vilemba na kofia za kidini,utadhani ni watakatifu.

15.         Kiongozi huyu akiwa mwanamke, yeye hupenda kujipamba kama kahaba katika kuvaa na kusuka nywele zake, akipaka midomo yake rangi nyekundu.

16.         Kiongozi huyu haoni haja ya kupelekea watu wasioingia kanisani injili,ila anatosheka na washiriki wachache walio pale kanisani ambao anawachukia  ,wanalaumiana na kunung’unika na masengenyo ndiyo maongezi yao kila wanapokutana waking’angania vyeo.Wakiyaona madhehebvu yao kuwa bora kuliko mengine.Midomo yao imejaa laana,

17.         Kiongozi huyu huoa wanawake wawili au watatu, au Zaidi.

18.         Kiongozi huyu hasomi Biblia.

19.         Kiongozi huyu hupenda siasa  huku akivaa mavazi yanayomtangaza mwanasiasa wakati wa kampeni.

20.         Kazi yake ni kupamba mijengo za hekalu,bila kujali mioyo ya washiriki.

21.         Kiongozi huyu huzingatia sana masomo na shahada alizotoka nazo kwa vyuo vya bibilia.

22.         Anaangalia mali na pesa alizo nazo, anaangalia vile ni mrembo na mrefu kwa sababu anaona ameumbwa vizuri –nyumba zao  hawa viongozi zimepambwa,ni watu wa kiburi,wenye kujiinua,wenye kujipenda ,wasiotii wazazi wao.wanazunguka zunguka wakitafuta dhehebu ambalo lina wazungu ili wapate msaada.Ni vizuri kiongozi aige mfano wa Yesu na mitume.(Wafilipi2:3-10),1Kor13:1-10,Yohana3:16-18,Mat20:20         

28,1Pet5:2-3,Yoh13:13-17).Lengo la kuandika huu ujumbe ni kumsaidia mtumishi wa Mungu ajiepushe na mambo ya aibu kama nimeeleza, ili awe kiongozi mzuri ambaye Mungu atamtumia kama chombo chake.                                                                                                                                                             

USINUNUE AU KUUZA KIPAWA

  Na  Isaac Simbiri.

A –MATHAYO 10:8

Ikiwa Yesu angetaka kujitajirisha kupitia kwa vipawa alivyo kuwa navyo, huenda angekuwa mmoja wa matajiri wa kifedha na mali za dunia hii wa kipindi kile kwa sababu angejenga (angeanzisha) chuo kikubwa sana cha bibilia  na kuuzia wanafunzi wake lile neno alikuwa nalo na wangekuwa tayari kulipa karo hiyo kwa sababu mafundisho na vipawa vingine alivyo kuwa navyo viliwapendeza wanafunzi wale .Ingebidi ili waondoke na neno la Yesu kwenda kuhubiri,lazima wangelipa pesa Fulani lakini nashukuru kwakuwa ata wale wanafunzi wake kumi na wawili Yesu hakudai pesa yoyote kwao ili awapatie neno lake au shahada ya kuhubiri na nguvu za kuponya magonjwa na kukemea mapepo –mt 10:8.

Musa mtumishi wa Mungu alipopanda pale mlimani na kupokea zile sharia sioni mahali ambapo Mungu alimwambia aende ajenge nyumba kubwa (chuo cha bibilia) ili wana wa Israeli wawe wanakuja pale na kulipa karo ya shilingi elfu kumi ili awafundishe haya mafundisho kutoka kwa Mungu

Paulo ni mmoja wa mitume ambao walikuwa na vipawa vingi,huenda angekuwa na chuo kikubwa sana cha bibilia  ambacho wandugu kama Tito ,Timotheo na wengine wangekuwa wanalipa pesa (karo) ili wahitimu kuwa na shahada ya kuhubiri neno la Mungu .Ingembidi Tito aende kwao nyumbani auze ng’ombe au shamba ili apate karo ya kumpelekea Paulo ili amfundishe neno la Mungu.Timotheo naye angejitaabisha  sana kwa kufanya kazi kwa bidii miaka  tano ili apate shilingi 15,000 za kupeana katika chuo cha bibilia cha Paulo ili apokeelileneno. Ninashukuru kwa sababu nimekuwa nikisoma bibilia  sijakutana na msitari wowote  unaosema kuwa mitume au mtu yeyote alienda kuuza ng’ombe au mbuzi ili aende kulipa karo kwa chuo cha bibilia –ndipo afundishwe neno .

Baada ya Elisha kupeana kipawa cha uponyaji kwa naamani hakuna chochote alidai na wakati Gehazi alijaribu kuohukuwa malipo,alipokea  ukoma-2Wafalme  5:15,16,20-27.Ayubu anaongea  juu ya mshahara –Ayubu 7:2.

Baalam alipojaribu kuuza kipawa, ilimhukiza Mungu (2Pet 2:15,Hesabu 22:12-16).

Mlawi alipouza kipawa, ilimchukiza Mungu –WAAMUZI 17:10-.

Yuda alipojaribu kumuuza Yesu(kumsaliti) kwa  vipande 30 vya fedha ,alikufa ,mt 27:3-10

Simioni mchawi alipotaka kununua kipawa cha Mungu alikemewa –matendo 8:12-24.

Yesu alipowapata watu wakifanya biashara ya kuuza Na kununua ndani ya hekalu aliwafukuza–Yohana 2:15,mt 21:12-13

Yesu aliwaita wanaotaka kulipwa ndipo wahubiri,  wachungaji wa mshaharaYohana 10:1,8,12,13.Paulo anasema kuwa, hayuko miongoni mwa wale ambao hufanyia neno la Mungu biashara -2 wakorintho 2:17,wafilipi 2:19-21,1 timotheo 6:10.peana mafundisho bila kulipisha chochote.

siku hizi mchungaji anatakiwa awe yule amefanya kidato cha nne na ameenda  chuo cha biblia na hizo vyuo vya biblia vinadai pesa nyingi ambazo wakristo wengi walio na mwito wa kuhubiri hawawezi kulipa wachungaji wengi wanatafuta utajiri kupitia kwa  kujenga hekalu na kulipamba kwa kuweka viti na vyombo vingine kisha kuajiri wachungaji wawili ambao anawalipa shilingi elfu mbili kila mmoja kila mwezi kisha kila jumapili,sadaka na fungu la kumi zinazopatikana kanisani ni shilingi elfu ishirini,hii kwa mwezi ni shilingi elfu mia moja.Akishalipa wachungaji wake anabaki na shilingi elfu tisini na sita,hivyo yeye ni mfanya biashara mkuu sana

 MATUMIZI YA NENO LA MUNGU KIBIASHARA SIKU HIZI

Siku hizi za mwisho, wahubiri wengi wanatumia neno la Mungu kwa biashara kwa njia kama hizi,

  1. Kuna wale ambao wamejichagulia kujenga chuo cha biblia kama biashara yao watapokea hukumu kutoka kwa bwana Mt21:12,Mrk11:15,Luka 19:45,john 2:15.Ikiwa ni chuo cha biblia ni vizuri kufungua lakini usifungue kwa ajili yakujinufaisha au kufaidika peana hayo mafundisho bila kulipisha karo  la sivyo utajipata unafanyia neno la bwana biashara na ikiwa hauwezi  kugeuka  na kutambua kuwa ni  dhambi kufanyia neno  la Mungu biashara,Mungu atakuacha ili upate tama ya moyo wako lakini baadaye uharibiwe –zaburi 106:15,2Wathesalonike 2:11-12,Ezekiel 14:4.

 Kuna wachungaji ambao uhudumu tu kwa sababu ya kulipwa.Paulo alikuwa na uwezo  wa kusaidiwa  na  kanisa lakini hakutumia huo uwezo(1Wakorintho 9:17,18,1Timothi  5:17,18) petro alionya juu yakupenda fedha -1pet 5:1-4,Matendo 8:20.Sijakataa usiende  kwa chuo cha biblia ila ninakuonya kuwa usiwe mwepesi kutoa pesa zako kwa ajili ya kununua karama ya Mungu ,utajipata ukiwa  kama simon mchawi.Matendo 8:18-20,ikiwa ni kitabu kilicho na neno la MUngu ,unajua bei yake  nunua ujisomee neno au ufundishwe bila malipo hapa siongei kuhusu kutoa sadaka,ninaongea kuhusu wale ambao wanapeana neno wakibadilisha na pesa.

  1. Kuna wale ambao wana tabia za kuombea wagonjwa au kubatiza wakristo wakidai  malipo na hiyo ni dhambi mbele za Mungu na ikiwa atatokea  nabii au mchungaji yeyote anayekuombea na kukudai  pesa au kuku au mbuzi ,utambue huyo kuwa mbwa mwitu mkali-mt 7:15,matendo 8:18-20,2Petro 2:15,2Wafalme 5:13-15,Mika 3:9 Ningependa kuwaona wakristo  wanaotenda kazi kwa mikono yao ili wasije  kupatikana  katika biashara kama hii .1Wakorintho 4:11,12,Matendo 20:33-35,18;3
  2. siku hizi za mwisho Askofu au mchungaji anajenga hekalu akitumia pesa zake kisha anaweka viti ,meza  na vyombo vya kuhubiri ndani ya hilo hekalu. Na  anakuwa mwenye kiti wa hilo kanisa , mke wake anakuwa mweka hazina mkuu kisha kujana wake anakuwa karani mkuu  tena aanaajiri   wachungaji wawili au watatu ambao kila mara wanafundisha kwa upana juu ya kutoa kufikia kiwango ambacho kila siku ya ibada kuu kanisa linakusanya shilingi alfu hamsini za  Kenya  hii ikifanyika kwa muda wa mwezi mmoja huyu mchungaji  huwa amekusanya shilingi alfu mia mbili  za Kenya kisha anawalipa wale wachungaji aliowaajiri shilingi  alfu tano kula mmoja  na pesa zote zinazobaki ni za askofu huyu . Hii ni biashara inayolipa lakini ni mbaya waamuzi 17:10-13 ,  2kor 2:17 , mika 3:4-11
  3. Njia nyingine ambayo wahubiri wanatumia siku hizi ni kujenga hekalu   kasha wanaanzisha pale  miradi kama shule , nyumba za kupangisha , chuo cha biblia na baada ya hizi miradi kuanza kuingiza pesa huyu askofu anaondoa kanisa pale na hizi miradi zinabaki  kuwa mali zake
  4. Siku hizi wahubiri wengine  hukusanya  mayatima ,wajane na watu wasiojiweza kama walemavu na wazee wakongwe na kuwapiga picha na kutuma ngambo wakiwadanganya kuwa watawasaidia lakini wanapopata pesa kutoka kwa wafadhili na kuendeleza miradi zao wenyewe wakisahau hawa wajane , mayatima na walemavu hayo ni makosa
  5. Siku hizi wahubiri / wakristo huimba ,kucheza vyombo kufagia kanisani ili kulipwa .Mchungaji  na mke wake wakiwahi kanisani  ni kwa sababu wanajua kuwa baada ya kanisa watatoka na pesa na wanapenda kuhubiri vitabu ambavyo vinaunga sadaka kila mara na pia penye pesa hutoka nyingi . Si vibaya kumsaidia mchungaji lakini  isiwe kuwa mchungaji anahubiri tu kwa sababu ya malipo 1kor 9:12-15 ,2kor 12:14-17 ,2: 17 ,yohanna 10: 12
  6. Siku hizi kuna njia ya kukusanya pesa ndani ya kanisa ambayo ni harambee .Michango inapo fanyika kwa hii njia mizaha , matani ubishi kujitaangaza ,kutoa ili kutazamwa na watu ,kuuza nakununua vitu vinavyoletwa kwa hiyo harambee hayo yote ni kinyume cha biblia . Wanasiasa wanaalikwa kuleta pesa nyingi kwa ibada kama hiyo lakini tukumbuke kuwa yesu hataki biashara hiyo katika kanisa , [mariko 11:15 yohana 2:12-15 , mathayo 6 :1-4, mathayo 23:1-7,2 kor 8:10-12,9:1…]
  7. Siku hizi makanssa mengi  hayamsaidii mshirika wao akiwa na shida ila wanamkopesha pesa ambazo atarudisha kwa muda aliopewa na riba  ili kanisa lipate faida juu yake  lakini kanisa la kwanza walikuwa na moyo wa kusaidia ,matendo 4:32 ,34.
  8. Wahubiri wengine wanauza mafuta ,  mchanga ulio ndani yaa chupa na vitambaa   vilivyoombewa na kuuzwa kwa shilingi alfu moja kwa kila chupa au kila kitambaa wakidai kuwa  ukinunua na kutumia hizo vitu utabarikiwa  si vibaya kutumia hayo maafuta lakini swali ni je ! kwa nini viuzwe ?
  9. Kuna wahubiri wengine ambao wanauza vitabu vya neno la Mungu ambavyo vilichapishwa ili vipeanwe bila malipo kwa mfano biblia za [gideons]international] na kuna wengine ambao wanauza kanda za mahubiri kwa bei ya juu baada ya kuzipata kwa bei ya chini.Haya ni makosa.Ninachosema ni kuwa tusitumie neno la Mungu kwa biashara.  

E.SOMA NENO

Na Isaac simbiri

Mayatima na wajane yakobo 1:27,Kumbu 14:29.Zaburi 68:5 kutoka 22:22,1Tim 5:3

Vipimo methali 20:23,20:10 16:11,Kumbu25:15 Amos 8:5,Malawi 19:36,Ex 45:10

Hudumia Tano –Waefeso 4:11-13

VIONGOZI   KANISANI

      Hesabu 11:10-15, Kutoka 18:13, Matendo 6:1                                             

(b) KUCHAGUA VIONGOZI WA KANISA

Kutoka 18:19-23, Hesabu 11:16-17, Kumb 34:9, 1 Wafalme 19:15-16, Luka 6:13,Matendo 6:2-3 tit 1:5

(c) KUTOSHA KUWA KIONGOZI KANISANI

    Kutoka 18:19-23, hesabu 11:16, Tito 1:5, 1 Tim 3:1

KUTII VIONGOZI KANISANI

, Ebr 13:17, Hes 12:16, Zab105:15

5.  IBADA

 (a). KUHUDHURIA IBADA

Ebr 10:25, Matendo2:42, 46

(b). UMUHIMU WA, KUHUDHURIA IBADA

1Yoh 1:7,Warumi 1:11-12,Yoh 17:22,Warumi 12:10,Mt18;15,19,matendo 4:32

(c) KURUDI NYUMA Ebra:10:38,;6:10:4-10

(d)WENGINE UKATALIWA NA KANISA

1Kor 5:9-11,Tiuto3;10,Warumi 16:17-2Thesa 3:16,2 Yohana (e)KUSHIRIKI

DHAMBI ZA WENGINE

1Tim 5:22, 2 Yohana 1, korn 15:33, Ufunuo18:4,2Kor 6:14-17

6(a) NDOA

Mwanzo 2:24,Mt19:4-6

(b)KUDUMU KWA NDOA

Luka 16:18,1Kor 7:10

(c) WANAUME

Waefeso  5:25,Pet3:7,1Kor 11:13 ,1Tim 5:8,1 kor 7:3,Waefeso 5:28,29 Mwanzo 2:22,Methali 31:28,5:18,1 kor 7:33

(d)WANAWAKE

Methali 31:10,Waefeso 5;22,24,Kol 3:18,1 Tim 5:8,1 tim 5:10,Esta 1:20,Methali 31:23,1Pet3:1:6,Tito 2:4-5,Mwanzo 2:18-1 methali31:15,27,27

(e) MWISHO WA NDOAWarumi 7:2,1Kor 7:39, 7:13-16, Mat5:31-32.19:9    

(f) KUKAA BILA KUOA /KUOLEWA

1 tim 4:1-3,mat 19:10-12,1 kor 7:1-7

(g) WAZAZI

1 sam 6:20kumb 6:6,7 kumb 4:9,tito 7:14,ebr12:6,Methali13:24,29:17,22:6,waefeso 6:4,2kor 12:14,ayubu 1:5,Luka 2:22-23,Methali 29:15,Ufunuo 3:19,1 Sam 3:13.

(h). WATOTO

Kutoka  20:12,waefeso 6:2,kol 3:20,Methali 23:24,25,10:1,30:17,6:20-23,1 tim 5:3,4.

(i). UTASA

Sam 6:23, mwanzo11:29,30:1, wamuzi13:2,1sam 1:5,2wafalme 4;14,luka 1:5-7.

7.UBATIZO KWA MAJI MENGI.

Warumi 6:11-14,mat 28:19,3:15

(b) MIFANO YA waliobatizwa

Yoh 3:22, matendo 2:41, 8:12, 16:15, 16:33, 18:8, 19:5.

(c) WANAOAMINI WOTE WABATIZWE BILA KULIPISHWA PESA YOYOTE

Mark 16:16,matendo2:41,2:38,10:44-48,18:8.

(d) WABATIZWE PUNDE TU WANAPOOKOKA

Matendo 2:38,10;44-48,8:36:38

(e)WABATIZWE NDANI YA MAJI MENGI

Matendo 8:16,8:36-39,warumi 6:4mrk 1:10

(f) WANAOMWAMINI YESUNA NI WAHUBIRI WANAFAA KUBATIZWA mt 28:18-19.

(8) KUWA MKRISTO NI KUBADILISHA TABIA (KUTUBU)

Yoh 3:1-21,luka 3:7,8,2kor5:17,1 pet 4:1-4,1 yoh 3

9. (a) PESA/UTAJIRI zab24:1,50:12 hagai2:8,methali 13:22

(b)MUNGU HUPEANA PESA/MALI

Kumb 8:18,zab 105:37,kutoka 12;35,ayub 1:1-4,42:10-12,mwanzo 26:1-3,28:13s-15,30:31-43,1 wafalme 3:13,mt 6:33

(c ) PESA/MALI NI NZURI 3Yohana 2

BAADA YA KUBARIKIWA

Luka 21:34,kumb 8:7-18,luk 18:18-22,ayub 1:21,mt 4:8-9,6:19-24,mrk 10;23,1tim 6:9-17,m(d) TUNAONYWA ethali 28:8,yakobo 5:1-

(e)KAZI methali13:4, 12:11, 23:21, 6:6-11, 20:4, 2 wathes 3:7-12

(f)WAFANYAKAZI mrk6:3,mat9,yoh21:1-4,kol4:14,matendo 4:32,5:1,10:1-2,9:36,wafilipi 4:15-16.

10, (a) KUTOA .luk 6:38,1 kor9:2

(b)WALIOTOA .Mwanzo 4:3-4, 22:2, 28:22, matendo418:2-3,Tito 2:13,Mwanzo 2:15,4:2,9:12,13:2,30:30-43,4:39

(c ) KUKOSEA KATIKA KUTOA.matendo 5:11,kor 9:6

11CHAKULA NA KANISA

Ni muhimu kula- mwanzo 3:19, 2:16.

Kula bila kuuliza maswali –Mhubiri 2:24,isaya65:13,warumi14:2.

Chakula kilichotolewa kuwa sadaka kwa mapepo/waliokufa /sanamu usikule -1kor 8:4-13,10:20-22,ufunuo2:14,1kor 10:8,matendo 15:29.

Usiharibu kanisa kwa sababu ya chakula  ,warumi14:20.

Tusidharau wasiokula –warumi 14:2-3.

Kuna haja ya kufunga kwa hiari pia-Luka 5:33-35.

Uwe na kiasi katika kula mk 6:42 ni vizuri kushiba lakini si lazima ushibe ukiwa kwa ushirika wa wandugu,unaweza kula kwako -1kor11:20,22,33,34.

Ufalmewa Mungu si kula na kunywa –warumi 14:17.

Usiwe kwa huduma kwa sababu ya mikate –Yohana 6:25-27.

Usile damu na nyama zilizosongolewa –matendo 15:29.

Manabii wengi hawakupenda kula kama leo –Mariko 1:6.

Tushiriki na wengine chakula chetu –Luka 3:11,Matendo4:32,Mt 25:35-45.

                                          KIFO  (ZAB 146:3-4)

  1. Mwanzo wa kufa-Mwanzo 3:19.
  2. Aliye kufa ni mali ya Bwana –Warumi 14:8, mwanzo50:1 lakini mkristo asiliekama watu na mataifa 1 thes 4:13-18.
  3. Wakati mwingine usijihusishe sana na mambo ya mazishi ikiwa yanagongana na huduma ya neno mt 8:22.
  4. Yule hajaokoka pia amekufa kiroho -1 Tim 5:6,kolosai 2:3,Rom 6:11.
  5. Babu zetu walisafirisha maiti na si vibaya kusafirisha maiti leoila si lazima sisi tufanye hivyo, mwanzo50:4-7,25,Kutoka 13:19.
  6. Tuachane na mila zinazo husu mtu aliye kufa -1 Thes 4:16,1 kor15:21-
  7. Maiti(mwili ambao imetokwa na uhai) haujui chochote –ayub7:5-10,Mhubiri 9:5.
  8. Maiti (mwili ambao imetokwa na uhai) hawezi kurudi nyumbani kwake-Ayubu 7:5-10 ,mhubiri 9:4-6  , 2 sam 12 :23
  9. Si lazima maiti azikwe na umati mkubwa wa watu-matendo 5:6, Luka23:50-53.
  10. Mababu walikuwa na mahali pa mazishi (makaburi)-mwanzo 23:10-9.
  11. Maiti huzikwa –matendo 5:6,kumbu34:6, mwanzo 23:10-19.
  12. Vitabu vingine juu ya kifo ni Mhubiri 6:12,1thes 4:13-18,Mwanzo 3:16,1  kor15:12-57,Ufunuo14:1,30:23,1 pet 1:24,zab 116:15,102:3-4,90:3-10,39:5-10,Yakobo 4:13-14
  13. Anayekufa katika dhambi huingia kwa mateso kuzimu ambayo haishibi punde tu anapokufa mithali 27:20 ,30 :16 Luka 16:25 Yohana 5:28,29 Mt 22:13,25:41,Ufunuo 21:8.Na Yule anayekufa akiwa ameokolewa anaingia katika  pumziko pamoja na Yesu ambaye ni uzima wa milele,Mt 25:34,Ufunuo 14:13
  14. Kula dhabihu zilizotolewa kwa wafu ni dhambi zab 106:28, ufu 2:14, hes 25:1-13, kut 34:15, 1 kor 8:10, 10:20-21
  15. Ni afadhali kuiendea nyumba ya matangas warumi 12:15 mhubiri 7:2-4,

 (13) MAVAZI

Mungu anataka tuvaena pia hutuvalisha –mt6:30.

Mavazi ya waisraeli hayakuchakaa kwa sababu ya mungu.kumb 29:5.

Mavazi ya manabii wengine-yohana 1:6,2wafalme 1:8.

Wamama wawe na mavazi ya kujisitiri-1tim 2:9 kujipamba kwao kuonyeshe ukristo-1pet 3:1-3.

Wamama wa Israeli hawakufaa kuvaa nguo zinazowapasa wanaume-kumb 22:5, bangili na vipuli pia vilipingwa mwanzo35:1-4, kutoka32:1-5, 33:1-6.

Wamama wafunike vichwa wanaposali/hutubu nawazeewasifunike 1kor11:4-5.

Ukiwa na nguo mbili, peana moja –Luka 3:11, matendo4:32, mt25:35-45.

Usimdharau Yule hana mavazi –Yakobo 2:1-8.

(14) MIPAKA

Usiondoe/usieke mipaka ya zamani –methali 22:28,23:10,kumb19:14,27:17,ayubu24:2,hosea 5:10.

(15) KUABUDU MIUNGU

Kuabudu miungu imepingwa –kutoka 20:4,isaya 42,1 yohana 5;21.

Usichanganye miungu na Mungu –kutoka 32;1-6.

Kutumia sanamu /vitu vilivyochongwa wakati wa kumwabudu Mungu imepingwa –kutroka 32:4-6,zab106;19-20.

Miungu haiokowi-isaya45:20.

Usiogope miunguyeremia 10:1-5.

Miungu hutengenezwa na mwanadamu-isaya 44:10-20,zab 115:5.

Kuabudu jua /mwezi/nyota ni makosa –kumbu 4:15-19,yeremia 10;2,matendo7;42,kol 2;8.

(16) VILE MIUNGU HUABUDIWA

Kutoa sadaka-hes 22:40,2wafalme 10:23-24.

Kupeana vyakula  kwa sanamu/miungu-isaya57:19-6,yer 19:13.

Na misumaa-yer 48:35,eze 6:13.

Kumwomba na kuimba sanamu/miungu –kutoka 32:18,19,1 wafalme18:26.

Kwa kujikata-1 wafalme18:28.

Kwa kuchoma watoto-kumb12:31,2 mambo ya nyakati 33:6,yer 19:4-5,ezek16;21.

Kwa zinaa-hesabu 25:1-3,2 wafalme 17:9,isaya 57:6-9,pet 4:3.

h). Kubeba sanamu –Isaya 46:7,Amos 5:26,matendo 7:43

I). Kupigia sanamu magoti -1 wafalme 19:18,2wafalme 7:43.

j). Kubusu sanamu –wafalme 19:18,hosea 13:2.

k). Mifano ya miungu –waamuzi 2:11-13,yer 44:17,25 Ez 8:14

(17)IBADA ISIYOFAA

Iliyojengwa juu ya mila –mt 15:1-9,kol 2:22,2:8,mrk7:1-10

Ibada isiyo na nguvu za Mungu  2 tim 3;5

Ibada inayoambatana na maovu –yakobo 1:26,amos 5:21-24,zab24;3.

Ya kupambwa kwa nje tu-ebr10:1-2

Kuabudu malaika –kol 2:18.

(18) INJILI ISIYOFAA.

2 PET 1:21,2:2,YER 5:31,14;14-15,23:25-32,MT7:15,gal 2:4,mt24:24,2 kor 11:13,Eze 13:1-23,kumb 13:1-3,2 kor 11:13,Eze 13:1-23,kumb 13:1-3, yohana 1:7,gal1:6-7,1 tim 4;1-4,Gal3:1-5,kol 2:18.

(19)SALAMU YA BUSU TAKATIFU.

1 wathes 5:26,1 kor 16:20,warumi  16:16,2kor 13:12,1pet 5:14,matendo 20:37.

(20)KUPAKWA MAFUTA.

Yakobo 5:13-16, Mrk 6:13.

(21)KUFUNIKWA KICHWA.

1Kor 11:4-16

(22)KUOSHA MIGUU

Yohana 13:4-16,1 tim 5:10,luka 7:44,

(23)KUWEKA HEKA LU WAKFU.

2 mambo ya nyakati 2:1-6, 7:1-8,6:1-13

(24)WATOTO KUWEKWA WAKFU.

Mwanzo 30:1,1 samuel 1:10-11,luka1:25,mwanzo 48:9-20,21:1-8,mat 19:13-15.

(25) MAJINA YA MUNGU

A.

Yehova –mungu wa pekee –mwanzo  2;4

Yehova yire-Mungu atapeana- –mwanzo22:13-24

Yehova rafa-Mungu anayeponya –kutokas 15:26

Yehova nisi –Mungu ushindi wetu –kutoka17:15

Yehova shalomu-mungu amani yetu-waamuzi 6:24

Yehova raha –Mungu mchungaji –zaburi 23:1

Yehova tisikanu–Mungu haki yetu –Yer 23;6

Yehova shamaa-Mungu yupo-Ezekiel 48:35

Yehova sabaothi-Mungu wa majeshi-yer 28:2

Yehova Mkadeshi-Mungu anayetakasa –kutoka 31;13.

B.

Elohim –Mwenye nguvu –mwanzo 1:1

El-elyon-Mungu mkuuzaidi –mwanzo 14:18,19

El-shadai –Mungu hupeana nguvu –mwanzo 17:1

El-olam Mungu wa milele-mwanzo 21;33

El Gibbor-Mungu mwenye uwezo(mamaka)–Isaya 9:6.

Adonai-Kiongozi-mwanzo  15;2

Mimi ndiye aliye-kutoka 13:14

BABA- Zaburi 68:5.

Yesu-Yoh 1:1,14,6

Roho mtakatifu-warumi 8:11,mate 2:4,5:3-4

          26.MAJINA YA YESU.

Yesu(mungu wokovu)mt.1:21

Emanuel(mungu pamoja   nasi)mt.1:23

Kristo (Masihi-mpakwa mafuta )-mt 1:17,

Kiongozi (Mkuuu mwenye nguvu)-1 tim 6:15

Mfalme wa wafalme /Bwana wa mabwana -1 tim 6:15,ufunuo 19:16.

Bwana Yesu-matendo 8:13.

Neno la Mungu-ufunuo19:13

Mungu mkuu-Isaya9:6

Mungu-Yohana 1:1,14

Neno-Yohana 1:1,neno la Mungu-ufunuo 19:13

Adamu wa mwisho -1 kor.15:45

Bwana arusi-mt 9:15

Mwana kondoo wa Mungu –Yohana 1:29

Mwana wa adamu-mt8:20

Nuru Yohana 8:12

Jiwe lililohai-1pet 2:4

Mpatanishi-1 tim 2:5

Mwokozi-luka 2:11

Mwana wa Mungu -1Yohana  5:13,yohana 3:18

Yesu kristo-mt1:1

Mshauri wa ajabu –Isaya 9:6

Mungu wa milele-Isaya 9:6-4

Jiwe kuu la pembeni -1 pet2:6-7

Njia kweli na uzima –yohana 14:6

Simba wa Yuda –Ufunuo 5:5

Mkate wa uzima –Yohana 6:51

Kuhani-Ebr 6:20

Uzao wa Daudi -2 Tim.2;8

Mchungaji mkuu-1 Pet 5:4

27. MAJINA YA ROHO MTAKATIFU

Roho –mt1;10

Roho Mtakatifu –Isaya 63:10-11

Roho wa Mungus-Mwanzo 1:2 Yoeli 2:8

Roho wa Baba –mt 10:20

Roho wa Mwana –gal 4:6

Roho wa Yesu  kristo -1pet 1:11

Roho wa Bwana -2kor 3:17,Isaya 63:14

Roho wa neema-Ebra 10:29

Roho wa kweli –Yoh  14:17,15:26

Roho wa uzima –warumi 8:2

Roho wa utulivu -1 pet  4;14

Mfariji –Yohana  14:16,16:7

Roho wa hekima –isaya 11:12                                                                                      

.

      FANYA KAZi  2wathesalonike 3:7   

                                                        Na Isaac Simbiri.

Wakorintho 12:14-16,1 wakorintho 4:11,12,Matendo 18:3,Katika wokovu kuna wale ambao wamekosa mwelekeo wa kibibilia ingawa baadhi yao ni watumishi kanisani na wengine bado ni wachanga katika wokovu wao.Jambo ambalo ningependa kusema ni kuwa kama umeokoka inakupasa ufanye kazi kwa mikono yako .Hata kama wewe ni mchungaji inafaa uwe na kazi ambayo unaifanya ili usiwe mzigo kwa kanisa ingawa kanisa pia lina majukumu ya kumhudumia mchungaji -1 wakorintho 9:1-13.kuna wachungaji wengine ambao bado wako na washiriki wachache sana ndani ya kanisa na badala wafanye kazi kwa mikono yao,wanataka kanisa ndilo liwapatie kila wanachohitaji.Ninawashauri watumishi kuwa ikiwa wewe ni kiongozi au mchungaji kanisani na kanisa lako bado haliwezi kukuhudumia katika mambo yote ya kifedha ,waache kiburi ,wanyenyekee  na waanze kufanya kazi kwa mikono yao.Kuna watumishi wengine ambao wanadhani kuwa kazi Fulani hawawezi kufanya ila ninawashauri wamwombe Mungu awapatie kazi moja au mbili wawe.

Wanafanya na ikiwa huduma yako imekuwa na uwezo wa kukuhudumia,hapo siongei juu yako ila endelea kutumikia  na kanisa likuhudumie.Ninasema wewe ambaye umeona kama mchungaji mwingine hafanyi kazi ila kuhubiri tu na wewe unataka kuwa kama yeye na huduma yako ingali changa,uko katika hali ya kuifanya hiyo huduma kuanguka  ndani ya kanisa,sio wote wamekomaa kiroho ili waelewe majukumu yao.Shetani ametumia hiyo nafasi kuangusha huduma nyingi.Kazi ya wachungaji kama hao imekuwa ni kuamka asubuhi na kuondoka na bibilia kuelekea kwa mshiriki ili apate kikombe cha chai kwa kisingizio cha kumpelekea neno -,ikifika saa ya chakula cha mchana anaondoka tena na kuenda kwa mshiriki mwingine ili apate kama hawajala chakula cha mchana,ataleta maneno mengi mpaka saa ya chakula.Mchungaji kama huyo au mwinjilisti kama huyo akiwa na jamii huwa anacha kuwa kuhudumia,jamii inateseka na huku yeye anatembea  tembea kwa nyumba za watu.Nimeona wengi nyumba zao zikivunjika ,wengi watoto wao hawasomi.Watoto hawana chakula  1tim 5:8.Wachungaji kama hao ndio wamejaa na madeni ndani ya maduka wanaishi kwa madeni nyumba zimewashinda kulipa –Kumb28:12,Zaburi 37:21,ndoa zao zinavunjika

Wengi wa wachungaji kama hao wana tabia kulaani ,Kuna watumishi wengi ambao walikua na kazi nzuri lakini wanaiacha ile kazi hiyo kwa kisingizio  kuwa wametumwa na Mungu  kuhudumu,nataka niwaambie kuwa watalia wakisema “ningdejua singeacha kazi yangu”.Hata mimi ni mmoja wa wale walioacha kazi na nikajionea.

Katika biblia,watu wa Mungu wengi walikuwa matajiri.Kwa mfano,Abrahamu aliahidiwa kubarikiwa na mali nyingi  Mwanzo 12:1-2,13:1-2,20:14,Yusufu alikuwa mtawala.Mwanzo 39:2-4.441:37-50.Danieli pia alikuwa mtawala Danieli 2:46-48 na pia kuna watumishi wa Mungu katika bibilia ambao hawajatajwa kuwa na mali kwa mfano kanisa la Makedonia .2Wakorintho 8:1,2,Yakobo 2:1-10,Ufunuo 2:9.Kwa hivyo,mbele za Mungu,maskini na matajiri wanakubalika ikiwa watalitii neno lake.Mithali 28;6,15:16,17:1,Luka 21:1-4.

Tahadhari:Mhubiri 2:1-26,1:14-18.

Tunapotarajia kurudi kwake Yesu,tusipende vitu vya dunia.Luka 12:29-40,21;34,1Tim 6;6-10,Mathayo 6:19-34.Mithali 11:28.Yakobo 1;9-11,1Wakorintho 7:29-31,

Katika kufanya kazi,uwe mwaminifu.Luka 16:9-10,Mithali16:8.

Ni afadhali kuwa na kidogo lakini uwe mwenye haki.Mithali 28:6,15:16-17,17:1.

Fanya kazi inayopendeza mbele za Mungu.Usiuze pombe,bangi,sigara,au kulima tumbaku.Usinyang’anye watu vitu vyao.Isaya 5:22,Habakuki 2;8-10,Yeremia 5:22-29,Mika 6:10,Yakobo 5;1-6.

Usiwe na mizani au vipimo vya udanganyifu,Mithali 11:1,20:23.

Mkabidhi Mungu kazi zako.Mithali 16:3.

Usijivune.Luka 12:16-40,Yakobo 4:13-15.

Tupende Mungu kuliko mali.Luka 18:18-25

BIBILIA INA WALE WALIOFANYA KAZI –waefeso 4:28

Kabla ya kuasi Adamu alikuwa wa kutunza bustani –mwanzo 2:15.

Baada ya kuasi Adamu alikua ale kwa jasho lake –mwanzo 3:17-19.Hawa alikuwa msaidizi wa   adamu kwa kila jambo –Mwanzo 2:20.

Kaini alikuwa mkulima –mwanzo 4:2.

Abeli alikuwa mfugaji –Mwanzo 4 :2

Nuhu alikuwa mkulima wa mizabibu –Mwanzo 9:20

Abrahamu alikuwa mfugaji-Mwanzo 13:2.

Isaka alikuwa mchimba visima na mfugaji –Mwanzo 26:18-24.

Esau alikuwa mwindaji-mwanzo 25:27.

Yakobo alikuwa mfugaji –Mwanzo 30:34,31:1.

Yusufu alikkuwa kiongozi –mwanzo 41:40-48.

Yesu alikuwa seremala kabla ya kuanza huduma yake-Mrk 6:3.

Paulo alikuwa mshona hema –matendo 18:2-3.

Luka alikuwa daktari –wakolosai 4:14.

Petro alikuwa mvuvi –Yohana 21:3.

Erasto alikuwa wakili –Warumi 16:23.

Akila alikuwa mshona mahema –Matendo 18:2-3.

Zena alikuwa mwana sharia –Tito 3:13.

Simioni alikuwa mtengenezaji wa ngozi –Matendo 9:43.

Tabitha(dorcasi) alikuwa mshonaji –Matendo 9:36-39

Lindia alikuwa mwenye kuuza –Matendo 16:14.

Wengine walikuwa walikuwa maaskari kama kornello-Luka 3:12-13,Matendo 10:1.

Katika kufanya kazi inafaa mkristo atosheke na kile kidogo anachopata.1 tim 6:18,luka 16:10.Usitumie muda wako kazini-mhubiri 2:11,5:12,5:10,ufunuo 3:17,methali 11:28,13:17,Yakobo 3:17,mt6:19,mrk10;25

Wengine watoza ushuhuru Kama Lawi na Zakayo-Luka 3:12-13, 5:27, 19:1-10

 KITABU CHA NNE (TAFUTA  UKWELI)

Na Isaac Simbiri

KANISA LA YESU KRISTO

NA ISAAC SIMBIRI

Katika agano la kale , Mungu aliwapatia wana wa Israeli Sheria (amri ) kupitia kwa mkono wa Musa –Yohana 1:17.Ilifika wakati kabla ya Yesu kuzaliwa , Mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu yaliingizwa kwa hii sheria ya Mungu kupitia kwa makundi (madhehebu) mbalimbai katika Wayahudi wa wakati huo kama vile mafarisayo , masadukayo na wengine –Mariko 7:1-9, 12:18, Mt 23:15,Matendo23:7-8,6:9.Yesu ambaye ni Mungu katika mwili wa mwandamu alipokuja, alileta mafundisho yake  yaliyo katika agano jipya na akaanzisha Kanisa lake (Mathayo 16:18).Kanisa ni kusanyiko La watu  wawili au watatu wanomwamini Yesu Kristo na majina yao yakaandikwa katika kitabu cha uzima  wa milele (Waefeso 1:4-22, 2:5-16. Hawa wanaishi kwa kutii mafundisho ya Yesu Kristo (agano jipya).Yohana14:15, 15:7, 14, Luka 6:46, Mt 18:19-20, wakati wa mitume wakwanza kanisa lilipoanzishwa, hawa waumini waliitwa wakristo –Matendo 11:26. Kila mkristo pia ni Hekalu La Roho mtakatifu -1Kor 3:16.Hawa waumini (Wakristo) wakija pamoja humjengea Mungu (Yesu) nyumba ambayo huitwa Kanisa La Yesu Kristo-1Tim 3:14-15,1 Pet2:2-7,Mt 18:19-20. Hawa wakristo wamenunuliwa kwa damu isiyoharibika ya Yesu Kristo 1Pet 1:18-19 Waefeso 5:25-26. Kanisa La Yesu Kristo lilianzia pale Yerusalemu na kusambaa hadi kwa miji zingine likitumia jina la Kanisa la Yesu Kristo (wakristo) au makanisa ya Yesu Kristo  wala sio dhehebu au madhehebu  Wagatalia  1:2,22, Wakolosai 4:15,1Kor 1:2,Ufunuo 2:1,8,12,8:3:1,7,14.

  1. JINA LA YESU :

Kanisa la Yesu Kristo hutumia  jina  la YESU kwa sababu ;

  1. Jina  YESU  ni jina la Baba – Yoh 5:43.
  2. YESU  alipewa  hili jina na Baba – Yoh 17:11
  3. YESU  yu ndani ya Baba (Mungu) –Yohana 17:20-21
  4. YESU ni jina kuu kushinda majina yote leo na hata milele –waefeso 1:21 Wafilipi 2:9
  5. YESU ndilo jina linao koa –Matendo 4:11-12
  6. YESU ndiyo njia /kweli /uzima-Yohana 14:6
  7. YESU ndilo jina ambalo Roho mtakatifu  hupitia kutushukia –Yohana 14:26.
  8. Miujiza ,ishara hufanyaka kwa jina la YESU-Matendo 4:10,4:30 .
  9. Tunapata msamaha wa dhambi na kubatizwa kwa jina la YESU –Matendo 2:37-38.
  10. Tuna omba kwa jina la YESU –Yoh 14:13.
  11. Usilitaje jina la YESU bure –Mariko 13:5-6,Kutoka 20:7
  • UMOJA WA KANISA LA YESU KRISTO

Makanisa ya Yesu Kristo yaliyo katika maeneo mbalimbali hufanya mambo  yanayo fanana kama walivyo fundishwa na Yesu  Kristo ambaye ni Mchungaji wao-Yohana 17:20-21, Waefeso 4:3-6,(Ubatizo moja,imani moja, tumaini moja …………………….Hawa hutangaza jina La Yesu na Neno La Yesu na hawana jina lingine wanalitegemea kuokolewa Wafilipi 2:8-11, Matendo 4:11-12, 1Wakorintho 1:10-13, 3:3-11, na Linakubali kupitia mateso kwa ajili ya Kristo  2Timotheo 3:12.

  • MAHALI PA KUABUDIA KANISA LA YESU KRISTO

Katika agano jipya wakati wa mitume hakuna mjengo wa hekalu hata moja mitume walijenga  na Yesu pia hakuwacha mjengo wa hekalu hata mmoja ambao alijenga badala yake Kanisa La Yesu Yesu Kristo humwabudu Mungu katika Roho na kweli mahali popote walipo wala sio lazima wawe katika Mahekalu yaliyojengwa kwa mikono ya wanadamu ingawa sio dhambi kufanya hiyo-Mt18:18-20,Yohana 4:20-24, Matendo7:48-49,17:24, Luka 21:5-6 Kanisa la kwanza walikutana hekaluni au kwa sinagogi waliporuhusiwa Luka 24:53,Matendo 5:12,Matendo 13:14,14:1-3,17:1,10-11,18:4 ,17:2,17,19:8, .Kanisa la kwanza pia walifanyia ibada ndani ya nyumba za waumini 2 Yohana, Matendo 21:8, 28:30, 2 Timotheo 1:16,  Filemon 1-4,matendo 12:12,Warumi 16:5,23, Wakolosai 4:16, Shule ya Tirana pia ilitumika kama mahali pa ibada Matendo 19:9.,na pia wengine walikutana kando ya mto.Matendo 16:13-15.

4.      SIKU YA IBADA

Wakati wa sheria ya Musa,siku ya sabato(jumamosi)  ilikuwa ya ibada ,hata hivyo,Yesu alipofufuka,mambo yalianza kubadilika kwa sababu ibada ilianza kufanyika kila siku (luka 24:53, habari ya ufufuo wa Yesu wa kwanza baada ya Yesu kufufuka ulifanyika siku ya kwanza ya wiki(jumapili Marko 16:9-12,Luka 24:9-17,yohana 20:1-18)ibada ya kwanza kati ya Yesu na wanafunzi wake baada yake kufufuka ilifanyika siku ya jumapili.Yohana 20:19.Kanisa walifanya ibada kila siku .Matendo 2:42,46.Wakristo walikuwa hawapo tena chini ya sheria ya Musa inayo wafanya kungoja hadi siku ya sabato ndipo wabudu  badala yake walikuwa wakimwabudu kila mara.Wagalatia 4:6-10,Warumi 14:5-6,wakolosai 2:16-18. Kanisa la kwanza pia waliendelea kukutana Kwa Ibada siku ya jumapili (siku ya kwanza), Matendo 20:7,1Wakorintho 16:2, Na pia waliendelea kutumia siku ya sabato kufanya ibada.Vile Yesu alifanya kwa sababu hakukuja kuiondoa  sheria bali kuitimiza .Mt 5:17-19,Yakobo  2:10-11, kwa hivyo Yesu alikuwa na tabia ya kwenda kwa ibada siku ya sabato ,Luka 4:16,Mitume nao waliendelea na ibada ya siku ya sabato ,Matendo 16:13,13:14,42,44,17:2 kwa hivyo mkristo wa leo hasipuuze kufanya ibada siku ya sabato (jumamosi) anapoenedelea pia kumwabudu Mungu kila siku waibrania 4:1-12

  • Yesu :- Kila Mkristo anafaa kuamini na kukiri  kuwa Yesu ni Mungu katika mwili –

1 Yoh 4:1-3

  • Roho Mtakatifu :- Kila mkristo anafaa kujazwa Roho Mtakatifu na kuwa na

       karama na vipawa vya Roho Mtakatifu-Yoh14:15-7,26,

  • Ubatizo:- Ubatizo wa Kanisa la Yesu Kristo ni kupitia kuzamisha

     Mkristo ndani ya maji mengi bila kumlipisha pesa yoyote (Mt10:8)

                  Mrk1: 9-10,Matendo 8:36-40, 10:47-48

  • Meza ya Bwana:- Kanisa la Yesu Kristo  hutumia meza ya Bwana  Ikiwezekana

                               Katika kila Ibada-1 Kor 11:26 ….. Matendo 2:42,46.

  • Uinjilisti:- Kanisa la Yesu Kristo limeitwa kutangaza habari za Yesu Kristo –

                  2 Tim 4:2, Mt 28:18-20, Yohana 1:40-45, Matendo 1:8

  1. Mapambo /Mavazi:- Katika Kanisa La Yesu Kristo, wamama hufunika vichwa vyao

                                  na wawe na mavazi ya kusitiri mwili wala si kwa kusuka nywele,

                                   na wazee wasifunike vichwa vyao .1 Tim 2:9, 1 Pet 3:1-3,

                                  1 Kor 11:1-16, Mwanzo 35:1-4.

  1. Kutoa:Kanisa La Yesu Kristo hutoa Sadaka zao kwa hiari bila kujitangaza 

             au kulazimishwa kutoa  2 Kor 8:12, Mt 6:1-4 , Mt 23:1-10.

  1. Matumizi ya Sadaka:Katika Kanisa La Yesu Kristo , sadaka hutumika kwa mambo mengi ya Kanisa lakini kikubwa zaidi ni kuwasaidia wajane / mayatima /maskini na pia kuwasaidia watumishi wa Mungu na wandugu katika Kristo:-Matendo 4:32-36,Yakobo 1:27, Waebrania 13:-2-3, Mt 25:31-40, Yakobo 2:2-14, 1 Yoh 3:16-17, 1 Kor 9:13-14, 1 Tim 5:1-15,
  2. Watoto:- Watoto ni sehemu ya  Kanisa La Yesu Kristo  – Mt 21:15-17, 19:13.
  3. Viongozi:–  Kila Kanisa La Yesu Kristo huwa chini ya Askofu , wazee wa kanisa

                    na mashemasi (mume wamke mmoja)- 1 Tim 3:1-12, Tito 1:5.

  1. Ufufuo wa wafu:- Kanisa la Yesu Kristo huamini kuwa kuna ufafuo wa wafu

                             –Yohana 5:28 -29.

  1. Ndoa:- Kanisa La Yesu Kristo Linaamini  katika ndoa ya mke mmoja /mume

            mmoja nayo ya kudumu inayoisha tu wakati mmoja amekufa

             –Luka 16:18,Mariko 10:1-10 ,1  Kor 7:10-15,39, Warumi 7:2, Waebrania 13:4,

  1. Msamaha na tabia Nzuri (utakatifu):- Kanisa La Yesu Kristo wameitwa kusamehe   na   kuishi  maisha ya utakatifu :- Mrk 11:25-26, Mt 5:23-24, 6:12,14,18:15-18, 1 Pet 1:13-16, 4:1-3,   3:8-9 Waefeso 4:25-32, Wakolosai 3:8-17.
  2. Kazi:-Wakristo hufanya kazi nzuri – 2 Wathesalonika 3:6-12,

           1 Kor 18:2-3,  1 Kor 18:2-3

  1. Mateso: – Kanisa La Yesu Kristo hukubali kupita mateso

             –Luke 14:26-27, Yoh 15:18, 16 :2, 2 Tim 3:12, 2 Kor 11:24-30.

  • Mashtaka:-  Mambo  ya Mkristo husuluhishwa na wakristo

                   –M t 5:23-24, 18 :!5 – 18,Luke 17:1-4, 1 Kor 6:1-8 , 2 Kor 2:5-9.

  • Serikali:- Mkristo hutii serikali katika mambo yote yasiyo pingana na biblia

                   Warumi 13:1-7, 1 Tim 2:1-2. Matendo5:29

  • Kupiga Magoti:- Kanisa La Yesu Kristo  hupiga magoti wanapoomba  na  pia

                            huinua mikono mitakatifu –  Wafilipi 2:9 , 1 Wafalme 8:22,

                           54, Matendo 9:40 , 21:5, 7:59, Luke 22:40, 1 Tim 2:8

  • Kuosha Miguu:-Waumini katika Kanisa La Yesu  Kristo huoshana 

                           miguu wamama kuosha wamama na wazee kuosha miguu

                           ya wazee- Yohana 13.

  • Kuwekewa Mikono: Upako hupitia kwa mikono ya watakatifu Mark 16:15, 1 Tim5:22
  • Matumizi ya dawa : inakubalika katika kanisa la Yesu Kristo 1 Tim 5:23
  • Kupakwa mafuta:Mariko 6:13,Yakobo 5:13-16.

MADHEHEBU

Kanisa La Yesu Kristo lilipoanzishwa na Yesu Kristo , ilitabiriwa kuwa wakati utafika ambapo waumini watajitenga na Imani nzuri ya Yesu Kristo na wataingizwa  kwa mafundisho ya wanadamu-Mariko7:1-9, 1Timotheo 4:1-4,  2Timotheo 4:2-4, Wagalatia 1:6-8……Hayo yaliyotabiriwa  yalitimia kwa njia ya kufunguliwa madhehebu mbali kwa sababu Kanisa liliendelea wakati wa mitume  kwa jina,Kanisa la Yesu Kristo(wakristo) na kufikia mwaka wa 170 AD,Ma Askofu wa makanisa ya Yesu Kristo walikuwa wameanza kubngangania uongozi na kwa sababu kanisa la Rumi lilikuwa na matajiri wengi,askofu wa hili kanisa la Rumi alichukuliwa kama kiongozi wa maaskofu wengine,na kanisa la Yesu Kristo likapewa jina Katoliki(Catholic.Huyu badae akaitwa papa wa catholic ambayo ndio ilikuwa dini ya pekee.lakini hili kanisa liliendelea  kupitia mateso kutoka kwa  Serikali za wakati huo hadi wakati ambapo kiongozi wa Rumi (Constantine) alipo kiri kuwa amempokea Yesu Kristo kuwa Mwokozi wa maisha yake (324-337AD) na kuweka Kanisa chini ya  serikali  na likawa kanisa la serikali kwa ahadi kuwa atalinda kanisa lisipate mateso tena na hapo kanisa lote likawekewa sheria za kuwa chini dhehebu  moja (Katoliki) , na Likawekewa sheria  ambazo haziku kuwa katika Biblia,wakabadilisha ubatizo ,njia  za kusali, masaa za kuchukuwa katika ibada , mfumo  wa uongozi wa kanisa, wakaondoa  wakristo kwa Imani ya moja kwa moja  kwa Yesu Kristo na kuwaweka wapiti  kwa viongozi wao ili kuomba na kusamehewa dhambi na njia za kutoa sadaka zikabadilishwa  kuwa za kuwekewa kiwango na kulazimishwa  kutoa, pole pole uinjilisti ukaisha na waumini wakaanza kujenga mahekalu makubwa makubwa  na kusimamisha sanamu ya Maria na sanamu ya Yesu ,matumizi ya mishumaa ikaanza., uponyaji kutoka kwa Yesu Kristo kukoma na badala yake utawala wa Katoliki wakaanza kujenga hospitali na shule za mafundisho ya  maendeleo ya ulimwengu,  Hekaluni na wakati ulivyoendelea , madhehebu mengi yalianza kufunguliwa baada ya mpasuka  katika dhehebu la  Katoliki wakati wa Martin Luther  1483-1546  na hadi leo madhehebu  tofauti  tofauti yameendelea kufunguliwa  na kila dhehebu  huwa na kuongozwa na mafundisho au  katiba iliyo na sheria zake tofauti na dhehebu  lingine na kwa wingi mafundisho yao  hupingana na mafundisho ya Yesu Kristo (1 Timotheo 4:1-4, Mt 23, 2Timotheo 4:2-4,1 Kor 1:11,3:1-4 .Kila dhehebu hufanya washiriki kuwa wanafunzi wa dhehebu hilo na hutakiwa kutii kila sheria ya hilo dhehebu hata kama inapingana na Biblia  kwa  mfano ubatizo tofauti,kufanyia  neno  la Mungu bia shara, kuruhusu mila na utamaduni  ndani ya Kanisa , kuabudu watu waliokufa , kufanya wema ili kutazamwa au kutangazwa , kujenga na kupamba mijengo za  mahekalu , kuishi maisha ya dhambi , kutii kila sheria ya Serikali za Ulimwengu  hata kama zinapingana na neon la Mungu , kuabudu mwezi/Nyota na  Malaika, kufuata Sheria za Musa hata wakati huu wa Neema Wakolosai 2:16-18, Mariko 7:1-9, Mt 6:1-16, Mt 23:5-9,6:1-4, Ufunuo 19:10,22:8-9, 1 Kor 10:20, Zaburi 106:37, Matendo 7:42, kungangania uongozi na kutusi watakatifu . 2 Peter 2:17,Yuda 1:12-13.

Ninatambua mchango wa wahubiri walio chini ya madhehebu  amabo wamejitolea kumtangaza Yesu katika ulimwengu mzima kwa hiyo sitaki kuwa hukumu   wakristo walio chini ya madhehebu au kusema kuwa wanaenda motoni ila nataka wajue  kuwa Yesu alianzisha  Kanisa  la Yesu Kristo wala sio dhehebu  na  Mristo  yeyote  amefaa kuangalia hili swala kwa upana kwa msaada wa Roho mtakatifu na kuamua kumfuata Yesu pekee na kikubwa zaidi ni kutii na kufuata neno la Yesu Kristo  Luka 6:46, John 14:15, na pia ijulikane kuwa hakuna jina lingine linalo okoa ila jina la Yesu pekee yake na Kanisa ni la Yesu  Kristo Matendo 4:11-12, Wafilipi  2:8-10,1Kor 1:11-13,3:3-6, Wakristo wako chini ya Yesu kama mchungaji wao na neno la Yesu ndiyo katiba yao nao hutembea kwa Imani na utakatifu  -Yohana 10:1-12, Tito 2:7-14,Waebrania 12:14,10:38-11:1.1Peter 1:13-16,4:1-3, na pia Yesu hajatuita kujenga na kupamba mahekalu makubwa makubwa badala yake ametuita kutangaza jina lake –Mt 28:18-20,kuwasaidia wajane ,mayatima na maskini wanyonge Mt.25:31-40, Waebrania 13:2-5,10:32-35, Luka 3:10-14,14:7-17,12:15-21,Yakobo 2:1-14, 1 Yohana 3:16-17,Yakobo 5:1-5, Matendo 4:32-37, na pia ukumbuke kuwa Yesu hakuji kuchukuwa madhehebu ila anakuja kuchukuwa Kanisa la Yesu Kristo kwa ufupi ninarudia kusema kuwa ,Wakati yesu alikuwa hapa ulimwenguni kabla ya kufa msalabani  kulikuweko na madhehebu ya mafarisayo  na masadukayo ,hawa waliyaingiza mafunzo yaliyo maagizo ya wanadamu ndani ya torati ya musa na kwa wingi ili kuendesha mambo hekaluni,  walitumia sheria za wazee zilizokuwa kinyume na torati ya musa na yesu aluwaonya mara nyingi  mariko 7:1-10 , mariko 11:15-19 ,mathayo 6:1-16, mathayo 23 na Paulo pia alituonya kuwa nyakati za mwisho watu wataacha neno la Mungu na kushika mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu 1 timotheo 4:1-4, 2 timotheo 4:2-4  hayo tumeona yakitimia ndani ya madhehebu nyingi nyakati hizi za mwisho kwa sababu kila dhehebu lina sheria zake aambazo zinatofautiana na madhehebu mengine na kila dhehebu linatumia sheria zake ambazo zilitungwa na viongozi wa hilo dhehebu hata kama  hizo sheria zao zzinapingana na neno la Mungu na watu wengi wanaoingia ndani ya hayo madhehebu wanaenda jehanam kwa sababu ya haya madhehebu.

Wakati umefika ambapo ni lazima wakristo wa kweli wakatae kukaa  chini ya sheria  zozote za dini ambazo zinapingana na neno la mungu lililoandikwa kwasababu neno la mungu ndilo litakalosimama wakati sheria za dini zitaungua motoni mathayo 24:35 mathayo 7:21-26 luka 6:46 yohana 14:15,15:14  Isaya 66:1-2  kuna batizo bandia hekaluni kama kusimamisha watu chini ya bendera ,kuwapaka watu maji au mafuta juu ya vichwa vyao, kuna madhehebu yamewekea viongozi wao sheria ili wasioe na kuna madhehebu yameingiza mila na tamaduni ndani ya hekalu

Yesu hakuji kuchukua madhehebu  au hekalu zilizojengwa kwa mkono wa mwanadamu  matendo 7:48-50 na pia hakuna jina jingine la dhehebu ambalo linaweza kuokoa binadamu ila ni jina la yesu pekee matendo 4 :12,wafilipi 2:8-10 kwahivyo umefika wakati ambapo  lazima kila mkristo asimame na jina la yesu kristo na kanisa la yesu  kristo na neno la yesu kristo

 kwa hiyo Mungu akubaniriki  unapotafuta kuelewa kwa upana juu ya hili somo. Mpokee Yesu kuwa mwokozi wako itakayo kuingiza katika Kanisa  lake Yesu Kristo na usome Biblia na kudumu kwa Maombi hadi siku ya unyakuzi wa Kanisa ambao umekaribia Yohana 14:1-3, Matendo 1:9-11, Ufunuo 3:11.

  SHERIA YA MUSA NA NEEMA YA YESU { Waefeso 2:5-8}

  1. Sheria {torati au amri } ilitolewa kwa mkono wa musa ,neema  na kweli zilikuja kwa  mkono wa yesu kristo {yohana 1: 17}
  2. Wana wa israeli ndio walipewa sheria ya musa neema ya yesu kristo ilikuja kwa ajili ya waisraeli na watu wa mataifa { yohana 1:11,12 , 3:16,17 ,warumi 3:30}
  3. Sheria ya musa ilikuwa kiongozi kutuleta kwa kipindi cha neem  ya yesu kristo {wagalatia 3:23-26 warumi 8:1-4,
  4. Wakristo hatuokolewi kwa kushika sheria { amri} wagalatia 3:1-11,3:17-18 ,3:19-20 ,3:23-27,warumi 3:19-21 
  5. Wakristo hatupo chini ya sheria ya musa warumi 6:14,10:4
  6. Torati ni kivuli cha cha mambo ya neema{ wakolosai 2:16 -18 , waebrania 9:11 ,10:1
  7. Ukuhani ulibadilishwa yesu alipokufa msalabani  waebrania 7:11-14 ,7:18-19, 8:6-13
  8. Yesu kristo ni mwisho wa sheria {torati au amri za musa }[ warumi 10 :4-5 ,luka 16:16 }
  9. Tunaokolewa kwa imani  kupitia kwa kusikiliza neno  la Mungu  {warumi 10:4-15} na ni kwa neema  ambayo inatufundisha kutenda mema {tito 2: 11,12}
  10. Yesu ametupa amri mpya ambayo ni upendo {yohana 13:34,15:12 } mathayo 22:34-40 luka 16:16,warumi 13:8-10}
  11. Utimilifu wa mambo yote umo ndani ya kristo  kwa hivyo tuache kushika siku mwezi nyakati mambo ya tohara {wagalatia 4:8 ,warumi 3:30 ,4:9-12 wakolosai2 2:16-18 ,warumi 14:15-17 na mtu asikuhukumu kwa sababu ya sabato kwa sababu yesu tulie ndani yake ndiye bwana wa sabato { pumziko}{mariko 2:28} Ila hii isitufanye kupuuza ibada ya siku ya sabatoK{waebrania 4:1-12}kwa  sababu hata Yesu na mitume walifanya ibada siku ya sabato (jumamosi) Luka 4:16,Mt 13:14 ,42,44 ,16:13 ,17:2 na pia ndani ya kristo hakuna ukabila warumi 3: 29
  12. Yesu alikuja kutimiza sheria wala sio kuiondoa {mathayo 5:17-48 Yakobo 2:10-11}

NA ISAAC SIMBIRI

Chochote ulicho nacho ni mali ya mungu-Isaya66:2,mwanzo1:1,Isaya40:26.Tunampa Mungu kile ambacho ni chake tunapotoa.Mungu ako  na haja umtolee sehemu ya kile uko nacho sio kile hauna.Usingoje kuwa navingi ndipo utoe.Mama mjane alitoa kile alikua nacho –Luka21:2-4.1Wafalme 17:12-16 kutoa ndio ufunguo wakupokea.Ikiwa mmoja hatowi,basi huyo bado yuko mbali na kupokea.Yuko mbali na kubarikiwa.Mwambie atoe kwasababu ikiwa anaji toa atabarikiwa ata bila kumhubiria juu ya kubarikiwa-Luka6:38.Yule anaendelea kupokea kwa wingi leo hii alitoa kwa wingi siku zilizopita-2kor9:6 na ikiwa leo hii unapitia kukosa kuwa na vitu,basi hiyo inaonyesha kuwa ulikuwa hautowi pale nyuma.Ikiwa unawapa watu vitu,weweutapewa bila kuomba omba Mrk 4:24-25,2kor 9:6.Wale ambao leo hii wanaomba omba majirani na ata hawapewi,ni wale ambao hawakuwa wanajitoa kwa hivyo waanze kujitoa (kupanda) na wangoje wakati wa kuvuna-Zab126:5-6,Kor 9:9-10 .wale hawatowi watapoteza-Hagai 1:1-6,Methali 11:24,Gal 6:7,9.

1.Mwanzo wakutoa:

Mungu kwanza alitoa nchi na vyote kwa ajili yetu –Mwanzo 1.katika agano la kale,tunaona matoleo yakianzia kwa kaini na nduguyakeAbeli-Mwanzo 4:4 naikaendelea hadi Mungu kumtoa mwana wake wapekee (Yohana 3:16) hadileo.

2. Utafanya Nini unapotoa

Usitoe na dhambi-(Mt 5; 23, Methali 15:8,21:27; 8, Amos 5:22Yer6:20,16  ,66:3-4).

Toa kile umekusudia moyoni kulingana na uwezo wako sio kile umewekewa kiwango au umelazimishwa kutoa 2 kor 9:7, 1Mambo ya nyakati 29:17, Kumb 16:16.

Toa kwa siri-Mt 6:1-4:.

3. Aina za matoleo ya lazima katika Agano la kale:Kunaaina tofauti za matoleo, kama:-

a.)Kusaidiamaskini,Kumb 15:11

b)Sadaka ya shukrani na ondoleo la dhambi-Mambo ya Walawi,1,2,3,4,5,6,7

c)Fungu la kumi–Hesabu18:21.Malaki 3:8-10,Kumb 14:2-3

d)Fungu la kumi la mwaka watatu-Kumb 14:28

e)Sadaka ya hiari,Kutoka 25:2,35:21,29

f)Nadhiri-Mhubiri5:3-6Haya nimatoleo ambayo bado hauna lakini unatoa ahadi kuwa utayaleta.Inafaa ulipe nadhiri yako-Mhubiri 5:3-6,Zab 61:8,50:14,ni bora usitoe nadhiri kuliko kutoa nadhiri naukose kulipa-kumb 23:21-23,Hesabu 30:20.Kuna watu walitoa nadhiri kama vile Yeftha-Waamuzi 11:30,Hanah-1 Samueli 1:10-11,Yakobo,Mwanzo 28;22

g)Mwili/Nguvuzako—Kumbukumbu-6:5,Warumi 12:1,Zab 51:16-17,unaweza ukamtumikia Bwana kwa nguvuzako/mwili wako uwe kama dhabihu-jamii yako ijitoe kutumikia Bwana (kufagia,kujenga,kupika

h)Malimbuko—Methali 3:9-10,Mwanzo 7:11,Haya nimazaoya kwanza /mshahara wa kwanza /faida ya kwanza .,mambo ya  Walawi 23:10.Makuhani (wachungaji)walitumia malimbuko –Hesabu18:12-18

4)Kutoa katika Agano Jipya Ebrania13:5,Mt 6:19-21

Katika agano jipya kuna matoleo ya agano la kale ambayo iliachwa kama vile ya ondoleo ya dhambi,Yoh 1:29 na matoleo ya agano jipya kwa wingi yame kuwa kwa hiari.

i)Hazina ya kupeleka injili na kuchangia miradi ya pale kanisani.

Hizi ni pesa za kuandaa mikutano ya uinjilisti,uchapishaji waVitabu,majarida yakupeleka injili.

ii)Sadaka ya upendo-kuwasaidia masikini,waumini 1yohana 3:16-17

Hii ni matoleo ambayo mmoja anatoa kumsaidia mwezake kwahiari, inadhihirisha upendo-Mt 25:35-45 unapofanya hivyo unamkopesha Mungu-Methali 19:17.mambo yawalawi 25:35    na utabarikiwa na uzao wako Zab 37:26;112:5,Usiache kumsaidia mtu kama una huo uwezo – Mithali 3:27,14:31.Peana deni na usidai –Luka 6:30-36,uwe na moyo wakushirikiana na wengine –1Tim6:18,Matendo 4:32-35/2:44-45, Saidia mayatim,wajane,wasiojiweza Mt.25:34-40 –kumb15;7-18.Anayetoa anajiwekea akiba –Mathayo 6:19,Luka 6:38,Mhubiri 11:19 Methali (19:17,11:24,Zab 41:1-3) ,warumi 15:26,Matendo 9:36,Tim 6:17-19.Waefeso 4:28

iii)Kuwasaidia viongozi-Wagalatia 6:6,9-10,

Kanisa liwasaidie viongozi ambao wanajitaabisha kwa ajili ya huduma .1Kor 9:11-14, Wafilipi4:10-19 ,1 Tim 5:17-18,Luka 10:

iv)Fungu la kumi:Fungu la kumi lilitolewa tangu pale mwanzo atakabla ya sheria ya Musa (miaka 430 kabla ya sheria ya musa)Abraham alitoa fungu la kumi ,Ebrania 7:14,mwanzo 14;20,yakobo aliahidi kutoa fungu la kumi,mwanzo28:22Fungu la kumi ni la Mungu Mambo ya walawi 27:30-33 na Mungu aliwapa walawi,mgeni/yatima/mjane,Hesabu 18:21,Kumb 14:22-29 Mkristo anastahili kutoa fungu la kumi. Vile Abraham na Yakobo walivyofanya.Mwanzo 14:20, 28:20 Toa fungu la kumi kamili Malaki 3:10,si vizuri kumdanganya roho mtakatifu kua unachotoa ni fungu la kumi kamili na huku wewe mwenyewe unajua kuwa si fungu la kumi kamili Matendo 5:1-4

5 )Matoleo ya siyofaa na ushauri wangu

a)Ninashauri kuwa mchungaji yeyote asijaribu kuwekea waumini kiwango inapofikia kutoa kila mtu atoe kwa hiari na kwa moyo mkunjufu- 2Kor9:7,Kwa sababu kanisani kuna matajiri,wanaolipwa mshahara (Lk21:1)na wafanya biashara namasikini wasio na pesa(Lk21:2) –Matendo 3:6-Kwa hivyo ni makosa kuwaweka kwa kiwango sawa wakati wa kutoa-1Kor16:1 Ikiwa hauna pesa au vitu vya kutoa, toa nguvu zako- Jitoe  kufagia au kufanya kazi yoyote kanisani.

b)Kuna wale wanatoa sadaka kilema au kwa manunguniko, na hawatowi yote waliyokusudia kutoa moyoni ,Matendo 5, Malaki1:1-4, Mambo ya Walawi22:17-25. Katika agano lake, aliyeasi hakuruhusiwa kuguza au kutumia matoleo-H

c)Kutoa kwa kujigamba au kujitangaza kama watu wamataifa ni makosa,Mt 6:1-4

d)madhehebu yana (hazina ya kifo na mazishikatika hii kanisa (Wakristo) utoa pesa na kuziweka ili zingoje wakati mkristo atakufa ndipo zitumike, hizi pesa haziwezi kutumiwa kumlipia mgonjwa kama angali anatibiwa hospitalini ila kanisa litangoja mpaka afe ndipo litumie hizi pesa kuandaa mazishi yake,hayo nimakosa.Vitu vinavyofaa kutumika kwa matanga vinafaa kutafutwa baada ya mmoja kufa

e)Pia kuna jina,”harambee” ambalo haliko ndani ya Biblia na mchango unapofanyika kwa njia hii hautaona wokovu ila shetani nakazi zake zamatani,mizaha,uongo,kujigamba, kudharau na,kudhihaki wengine,kuzivunja fedha na ata kuuza na kununua vitu huonekana . hii njia haifai kuwa kanisani.yoh 2:14-17,Mt 6:1-4,1Tim 6:3-10.

f)Pia kuna kuchangisha pesa kwa ajili ya makumbusho, kuchangia na pesa kwa zamu ambazo ni lazima mmoja atarudishiwa.Lk 6:33-35,na vitu vingine vya kujitakia sifa haifai 1Kor 9:1418,Lk21:1-

g) Kuna  wachungaji ambao wanaweka tamaa zao mbele wakitaka kanisa liwanunulie vitu kwa njia ya kimwili Matendo20:3435,War16:1718,1Pet5:15,2Wathes3:6-13

h)Ndani ya Bibilia hakuna mtu alilipa pesa ndipo akabatizwa na pia hakuna mtu alipewa kadiya ubatizo kwa hivyo ni makosa ikiwa mchungaji yeyote atadai pesa ndipo abatize mkristo kwa kisingizio cha kadi Mt 3:5,Matendo 8:36-40,10:47-48

C) . MAELEZO ZAIDI JUU YA MATOLEO NA VITU KANISANI

Na Isaac simbiri                    

1.)Mungu hupeana pesa /mali ,kumb 8:18,zab 105:37,kutoka 12:35,Ayub 1:1-4,42:12,mwanzo 12:1-2,26:1-3,28:13-15,wafalme3:13,mt 6:33.

2.)Kila huduma inahitaji pesa ilikuendeleza kazi yake kwa mfano kulipia mahali pa kufanyia mikutano,kununua vyakula,kuchapisha vitabu,n.k.

Pesa za kuendeleza huduma hutolewa na wakristo (washiriki pamoja) na watu wengine –luka 6:38,1 kor9:7-17,2kor9:7-13.

3.)Kila mtu atoe kwa hiari-mtu yeyote asilazimishwe  kutoa na pia mtu asiwekewe kiwango cha kutoa ila atoe  kile anaweza-2 kor 9;6-8,luka 6;8,wafilipi 4:18-19,2 kor 8:11-12,1 kor 16:1-2,kumb 16:17,wakati mwingine  anayetoa kidogo ndiye anaonekana mbele za Mungu kutoa nyingi ,Luka 21:3 ,1 wafalme 17:12,luka 16:10,2 kor 9:6,luka6:38.pia usitumie uongo kama Anania –wale ambao mapato yao ni chini (maskini) wanakubalika mbele za Mungu kwa hivyo sadaka yao ata kama ni ndogo inafaa –Luka 21:2,matendo 3:6,yakobo 2:1-5.

4.)Usifanye huduma yoyote kwa mfano kubatiza ,kuhubiri ,kuombea wagonjwa ukiwa na nia ya kulipwa na kanisa lisibadilishwe kuwa la biashara –waamuzi 17:10 au usifanyie neno la Mungu biashara –mt10:8,Yoh10:13,Ezek 34:8,1 Tim6:1-10.Kwa hivyo kudai mkristo pesa ndipo abatizwe au aombewe ni makosa 1 kor9:17-18,matendo 8:18-20,Yohana 2:15,mt 21:12.Warumi ,16:18,Wafilipi  3:19,Yuda 12,Kor 9:1.Kuna wachungaji ambao huanzisha Huduma wakiwa na nia ya kujitajirisha  hayo ni makosa .2 wafalme  5:15-27,matendo 8:12-24.

5.)Katika agano la kale fungu la kumi la  wa Israeli ambalo ni la Mungu walipewa walawi na makuhani ili watumie,Mambo ya walawi 27:30-34.Hesabu 18:8,21,Kumbukumbu 18:1-9. Katika agano jipya,  Kanisa linafaa kumsaidia mchungaji wao-1Kor 16:1,1kor9:1-18,4.lakini kamaMchungaji au kiongozi yeyote anaenda kanisani akiwa na nia ya kulipwa au kusaidiwa kanisa linafaakujihadhari naye na kumkataza .2kor 2:17.wafilipi 2:19-21.

6.)Sadaka ya Mwovu  nichukizo kwa Mungu Methali 15:8  na mwenye dhambi haruhusiwi kutumia sadaka Mambo ya walawi 22:3-4.

7.)Waisraeli waliambiwa wasiishi kwa madeni kumb15:6,28:12,23:19.sisi(Kanisa la kristo )tunaambiwa tukopeshe –luka 6:34-37,mt 5:42,waisraeli waliambiwa wasitoze riba –mambo ya walawi 26:35,26:36,kumb 23:19,lakini sisi tumeambiwa  tusidai-luka 6:34-35.

8.) Kanisa linafaa kuwa na mweka hazina na asitumie pesa za kanisa kuendesha biashara zake (asizichanganye na zake) Yoshua 7:1-26,Danieli 5.

9.) Kuna vitu ambavyo kanisa linafaa kuwa navyo kama vyombovya kuhubiri,nyumba,viwanja ,nk.Kitu chochote ambacho mtu amepeana kwa kanisa si cha mchungaji  bali ni cha kanisa,kanisa linafaa kuhusishwa katika uamuzi wowote juu ya matumizi na kutunzwa kwa hivyo vitu.Lakini kuna wachungaji au watumishi ambao hutumia pesa zao wenyewe kununua vitu vya kuhubiri –hawa wanaweza kuamua wenyewe juu ya hivyo vitu na wanaweza kwenda navyo mahali popote wanaenda kuhubiri bila kuuliza kanisa.                            

10.) Ikiwa mmoja amejitoa kitu chochote kanisani ,haifai  arudi kukidai tena kwa sababu sio chake bali cha kanisa na ikiwa mmoja anajua kuwa atadai kile kitu anachotaka  kukitoa kanisani ,inafaa asitoe na pia mmoja akitoa kitu kanisani na anatoka kwa hilo kanisa asitake kutoka na kitu chochote ambacho alikua amepeana kanisani –na ikiwa mchungaji anahamishwa kutoka kwa kanisa kwenda kwa lingine ,asibebe vitu vya kanisa ambalo amekuwa akihudumu ndani kwenda navyo ikiwa hivyo vitu vilinunuliwa na kanisa.

11.) Mchungaji anafaa kuteua waangalizi wa vitu vya kanisa kama vyombo ,si kila mtu aliye pale kanisani anafaa kuruhusiwa kuguza vitu vya kanisa.

12. )Vitu vya kanisa havifai kutumiwa kwa sherehe za kidunia kama vile kutumia vyombo vya kuhubiria kwa kampeni za wanasiasa au vitu vya kanisa kutumiwa kwa shughuli za anasa za dunia, Daniel 5:1-30

13.) Vitu vilivyopatikana kwa njia mbaya kama magendo /kuibwa visiletwe kanisani na pia vitu vya kanisa visiwe vya kufanyiwa biashara .habakuk 2:6-12, Yeremia 22:13.Methali 15:8

14.) Kanisa likiomba vitu vya watu wengine, lirudishie wenyewe vile wamekubaliana.

 kupata hayo mafundisho tumia anwani hii:

church of Jesus Christ

p.o.box 771-40400

suna –Migori

Email:isaacsimbiri@yahoo.com/simbiriisaac@yahoo.com

UBATIZO WA MAJI.

Na Isaac Simbiri

“Baptizo” ni neno la kiyunani linalo maanisha(kuzamisha ).kubatizwa ni kuingizwa (kuzamishwa) ndani ya maji mengi,maji iwe mimba yako na ikuzae Yule  anayebatizwa anastahili kuingizwa mpaka apotelee   ndani ya maji kwa jina la Yesu -1Petro 1:20-21,Yoh 3:5,1Cor 6:11.

a)Kwa  nini nibatizwe?

Yesu alisema kuwa tubatizwe-Mt.28:19

Kuonyesha kuwa dhamira yako imetakaswa-1Petro3:20,21,Ebr 9:14.

Kuonyesha ulimwengu kuwa Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zako,akazikwa nakufufuka,Warumi 6:3,4.

Kumzika mtu wa kale(dhambi)Warumi 6:6,7,14,Wakolosai 2:12ili kuondolewa dhambi-Matendo2:38,22:16.

Kuonyesha ushindi-kuwa mkristo amemshinda shetani-Wakolosai 2:12,15.

Kuonyesha imani yako-Mt 10:32,33.

Kuonyesha kuwa tuko pamoja ndani ya yesu-Wagalatia 3:27.

Kukubali mapenzi ya Mungu-Luka7:30.

Kutengwa na maisha ya kale-1Wakorintho 10:1-2,Kutoka14:29

Kutimiza haki yako Mt3:13-16.

Kuleta furaha-Matendo 16:33,34,8:38-39.

Kutahiriwa kwa moyo-Warumi2:28-29,Wafilipi 3:3

Kukamilisha wokovu wa mtu-Mk16:16.

Yesu alizamishwa ndani ya maji mengi kwa hivyo imempasa mkristo kufanya hivyo.Yesu alikufa na wewe unapo zamishwa ndani ya  maji huwa umekufa na Yesu.Yesu alizikwa na wewe unapo kuwa chini ya maji huwa unazikwa na Yesu.Yesu  alifufuka na wewe unapotoka ndani ya maji huwa umefufuka na Yesu(una maisha mapya)Warumi 6:3-11.Alipaa na wewe unapaa naye unapotoka ndani ya maji-Wafeso 2:6,Wakolosai 3:1

b)MFANO WA WALE WALIOBATIZWA.

Yesu-Mt4:13,4:1-2Walioamini kama vile wanafunzi wa kwanza,Yoh 3:20-22,4:1-2,Paulo-Matendo 9:18,wengine Matendo 9:18,16:15,18:8,16:5,1Kor 1:16 Kornelio-Matendo 10:47,48,Towashi-Matendo 8:36-39.wakristo samaria-Matendo8:12,Waefeso,Matendo 19:1,5

c)NANI ANAFAA KUBATIZA Mrk 16:15-16

Kila mhubiri wa injili ya Yesu ameamriwa kwenda kuhubiri na  kubatiza-Mt28:19-20,sheria za madhehebu ambazo zimewekea wakristo masharti magumu zinafaa kukataliwa na kila mhubiri kwa injili ajisikie kuwa huru kubatiza.

d)UTABATIZWA BAADA YA SIKU NGAPI?

Mkristo  anafaa kubatizwa punde tu anapookolewa-Matendo 22:16,2:41,10:47,48,2:38,41,8:12,36-38.

Kuna wale wanakaa muda mrefu ndipo wakabatizwa.Kuna makanisa ambayo wanafanya ubatizo mara moja kwa mwaka kwa hivyo hata kama mmoja ameokoka inabidi angoje hadi wakati huo, mimi sikubaliani na hiyo.

e)JE,UNALIPA PESA NDIPO UBATIZWE?

Kuna  wale ambao wanataka walipwe ndipo wafanye ubatizo,hayo ni makosa nayamefanya wakristo wanaokoka wakachelewa kubatizwa.Sijaona mahali ambapo mitume wanadai malipo yoyote ndipo wabatize ila ninaona kama wanafanya bila malipo –Matendo10:47,48, Mathayo 10:8, wale wanaodai malipo ndipo wabatize mkristo ni manabii wa uwongo-Mt 7:15-22, ambao Mungu wao ni  tumbo zao-Warumi 16:18,wachungaji siku hizi wanawambia wakristo wanaoenda kubatizwa watoe pesa za kadi ya ubatizo na hiyo ndiyo njia wanatumia ili kuwabatiza wakristo kwa kuwalipisha pesa.Ndani ya bibilia Yohana na mitume hawakuomba mtu yeyote pesa za ubatizo na tena hakuna mkristo alipewa kadi ya ubatizo kwa hivyo ikiwa kuna mchungaji anaona kuwa inafaa Yule anaye batizwa awe na kadi huyo mchungaji anafaa kupeana hiyo kadi bila malipo.

f)NANI ANAFAA KUBATIZWA?

Kila anayemwamini Yesu anafaa kubatizwa Mt.28:20,Mark 16;15.

g)UTABATIZWA WAPI?

Utaingizwa  hadi upotelee ndani ya maji mengi Mt3:5,6,Matendo 8:36-39,Rum 6:45,Yohana3:22.23,Mariko 1:9,1.Towashi pia aliteremka na alipanda kutoka majini-Matendo 8:39.

h)UBATIZO USIOFAA

Tabia ya kubeba maji kidogo ndani ya kukombe na kuanza kuwapaka wakristo usoni sio ubatizo,hiyo ni mitindo ya kidini ambayo inafaa kukataliwa kabisa-kuna wengine wanapaka wakristo mafuta na kusema kuwa wamewabatiza,huo sio ubatizo.Kuna wale wanawekwa chini ya bendera lakini huo sio  ubatizo.

Kuna wale ambao wanafundishwa kukaririr vifungu vya bibilia na kuulizwa maswali kisha baadaye wanasema huo ni ubatizo lakini huo si ubatizo .Kuna wale wanao  ruka juu ya moto lakini huo si ubatizo.ikiwa ulipitia katika hizo batizo bandia au nyingine yoyote inafaa uheshimu  neno ubatizwe ndani ya maji mengi .Mrk 7:6-9 kumbuka kuna wale waliobatizwa  zaidi ya mara moja-Matendo 19:1-6.

h) JE KUNA MAVAZI RASMI YA UBATIZO

Madhehebu mengi yamefundisha kuwa ni lazima huwe na mavazi rasmi (meupe) ndipo ubatizwe lakini mimi sijaona ndani ya bibilia ambapo mitume walidai hizo ,unaweza batizwa ukiwa umevalia nguo yoyote bora tu  iwe yakusitiri mwili . Sijakutana na mstari ndani ya Bibilia  unaosema kuwa anaye batizwa awe na mtu wakumchukulia nguo zake vile madhehebu mengi yanafanya.Kwa hivyo kila mtu abebe nguo zake baada ya kubatizwa..

i)JE, WATOTO WANABATIZWA ?

Kuna wale wanabatiza watoto wadogo lakini bibilia inaniambia kuwa watoto huwekwa wakfukwa Bwana na ubatizo ni wa wale waliookolewa wanaotofautisha kati ya mabaya namazuri.

(wanaoamini)Tukumbuke kuwa yeyote akileta injili ya namna nyingine amelaaniwa-Wagalatia 1:8-9.

j)UTABATIZWA KWA JINA GANI?

Yesu alisema kuwa tubatizwe kwa jina la Baba,la mwana na la Roho mtakatifu-mt28:18-20.

Lakini kwa nini mitume walitumia jina la Yesu katika ubatizo?

Hayo majina matatu(Baba,mwana na Roho mtakatifu yanasimamiwa na jina moja ambalo  ni jina kuu kushinda majina yote ambayo kila goti litapigwa kwake-Wafilipi 2:9-11 nalo ndilo jina walilopewa wanadamu ili waokolewe kwalo matendo 4:12 ni jina la Yesu.

  Yesu alisema kuwa amekuja kwa jina la Baba-Yohana14:8-11,5:43 kwa hivyo Yesu ni Baba.

Roho mtakatifu anakuja kwa jina la Yesu –Yoh14:26.

Jina la mwana ni Yesu-Mt1:21.

Jina kuu tulilopewa ni Yesu-Mt28;18,Matendo 4:12,Wakolosai 2:9

Lolote tufanyalo,tulifanye kwa jina la Yesu-Wakolosai3:17.

Jina la Yesu linafaa litajuwe kwa watu wake-Matendo15:17.      Mitume walitumia jina la Yesu katika kubatiza

Katika jina la Yesu kristo-matendo2:38,10:48.

Katika jina la Bwana Yesu-Matendo 8:16,19:5 Katika kristo Yesu-Warumi 6:3,3:27.

k)JE KUNA HAJA YAKUKARIRI VIFUGU VYA BIBILIA NDIPO UBATIZWE?

Bibilia inasema kuwa aaminiye abatizwe na kuendelea kufundishwa  wala siokukariri vifungu ndipo abatizwe.

Imani na Utakatifu

KUKEMEA DHAMBI KANISANI 1kor5:9-13,Tito 3:10

Na Isaac Simbiri

Neno la Mungu linasema kuwa tuwe watakatifu 1Pet 1;15-161pet4:1-4,1Pet1:11,12,1Yoh3:3-10,5:13-21,Wakolosai 3:1-10.kanisa lina faa kuwa na wale ambao hutetemeka kwa neno la Mungu,na hawapendi kuishi ndani ya dhambi, baada ya kumwamini Yesu nikua na matunda mema ,1Yoh3:6,Mt3:8,5:-19-48,7:13-27,Wagalatia 5:16-22,na wakati wowote  wakigafilika katika kosa lolote hukimbilia kutubu,1Yoh2:1-2,wagalatia 6:1-2.Wao ni kama kondoo ambaye akiingia ndani ya matope hujitahidi kutoka ndani ,wala hapendi kugaagaa ndani ya matope na uchafu kama nguruwe-1Pet2:1-22,huwa ata wanapojitahidi kukaa katika utakatifu bado huona kuwa hawajakamilika ila bado wanaitaji  kutakaswa-1Yoh5:16-21,Hawa wanafaa kuwa kanisani na kuzidi kuonyana ili kanisa liwe takatifu.Lakini kuna kundi la pili ambalo lingependa kukaa kanisani ,hawa wana tabia kama ya nguruwe-wao hupenda kuishi ndani ya dhambi ata kama wataonywa hawaogopi neno la Mungu na kile wamekatazwa ndicho wanafanya,tuna faa kujihadhari nao kwa sababu hawana mbegu ya Mungu ndani yao ,Warumi 6:1,Waebrania 10:26-29,Mt7:13-27,2Pet2:1-22,2Kor6:14-17,Amos3:3.Mitume walikemea watu kama hao au walionya kanisa juu ya watu kama hao , watu kama hao pia walitengwa na kanisa 1 Kor5:9-13, Tito 3:9-10, 2 Yoh10 :- Musa aliona watu kama hao na Mungu akaonya   watu kujitenga nao Hesabu16 -Yesu mwenyewe alikuwa na Yuda ambaye alikuwa mwizi  na baadaye akamsaliti Yesu  lakini yesu alikuwa ameonya juu yake,yoh13:18-26,mt26:21-25,Yoh6:70 Paulo alikuwa na watu kama hao na akakemea na kuonya kanisa juu ya watu kama hao 1Tim1:20,2Tim2:17,18,2Tim3:8,4:10,2Tim1:15,2tim4:14,Tito3:9-10,1Kor 5:1,9-11 Yohana naye hakukosa watu kama hao katika huduma yake,3Yoh1:12,Tumeonywa mara nyingi kujitenga kutoka watu kama hao-2Wathesalonika3:6,2Yoh10,Kor5:11,Waefeso5:11,Mathayo18:17,warumi16:17, Kuna watu ambao walipenda huu ulimwengu kama  Dema ambao wangeambukiza huo ugonjwa kwa wengine ndani ya kanisa –2Tim 4:10.Baadhi ya hao watu waliotajwa kuwa wabaya kwa kanisa ,mwanzoni walikuwa wazuri,huenda walikuwa wamewabariki kanisa na vitu vingi,wamewasaidia watumishi wa Mungu lakini baadaye shetani  akawaingia na wakakubali kutumika kama vyombo vya shetani,kuharibu kazi njema ambayo walikuwa wamesaidia kuijenga.Ilibidi mitume wataje majina yao ili kanisa liwajue watu hao na kujitenga kwao.Sijui ni nini kilicho tendeka  wakati Himenayo na iskanda walisoma majina yao kuwa wanaharibu kanisa,sijui Fileto naye alisema nini.Namwona Yuda yeye akienda kujinyonga wakati kazi yake imekuwa dhahiri(Mathayo 27:3-5).Makanisa mengi leo hii ya mejaa na masengenyo ,kupenda pesa,kuuza  pombe,fitina,faraka,ulevi,ugomvi,mashindano,kuuza bangi,uvutaji  wa sigara ,kulima tumbako pamoja na maovu mengine mengi ambayo yamemea mizizi ndani ya madhehebu kwa sababu hawakuonya juu yake wakati visa kama hivo vilitendeka mwanzoni.wachungaji walifunika hizo dhambi  na siku hizi wakijaribu kuonya wanapigwa au wanafukuzwa na kanisa kwa sababu mbegu ile ya fitina ilimea na ikawa mti mkubwa ,usherati  ulianzishwa na mtu mmoja na wakamhurumia lakini leo huduma yote ina waasherati na mtu hawezi kuingia ndani ya hiyo huduma akahubiri juu ya usherati-Atapigwa. Ninachosema ni kuwa dhambi ambayo iliachiwa nafasi mwanzoni,huwa ni vigumu kutoa ndani ya kanisa na huwapatia wachungaji kazi ngumu pamoja na kanisa kama hilo.Ikiwa ndani ya kanisa,mchungaji au karani ako na wake wawili,karani naye ni msherati,mweka  azina ni mlevi na wanakamati wengine mmoja mzee wa mila , mwengine ni mchawi, ,mwengine ni mgomvi,hauwezi kuniambia kuwa watakubali kuwa chini ya mchungaji  anayewaonya hayo makosa yao na huku mchungaji amewapata wakiendelea nayo. Mathayo7:15,2Kor6:14-17,Zab1:1, Tusiogope kuonya watu makosa yao .Wakati mwingine nasema kuwa ufunike macho yako unapoonya watu kama hao ili usije ukawaonea  huruma ikiwa ni kuwatazama ndiyo itakufanya uhurumie,ukihurumia mlevi mmoja leo ukakosa kumwonya ujue baada ya mwaka utakuwa na walevi kumi ambao watakuwa wameletwa  na Yule mlevi mmoja.Wale ambao wanaleta elimu nyingine tayari  wamelaaniwa ata kama unawahurumiaWagal1:6,10,1Kor16:22,wagal5;12,1Kor6:9,10,Efeso5:5,Warumi1:28.Pia shetani akimwingia mkristo anaweza kuleta uharibifu mkuwa kwa kanisa”jihadhari wewe mchungaji”,jihadhari kanisa. Mimi sisemi kuwa mchungaji au kanisa liwafukuze ila tuwaonye hadharani –wakikataa kututii,Mungu ndiye atawatoa –2Kor2:5-10

Imani na Utakatifu

MIZIGO MIZITO  NA SIFA ZA DUNIA  1 Yohana 2;15-17,Yakobo 4:4

Na Isaac Simbiri

NInajua kuwa Mungu huwa anawabariki watu wake .Siandiki huu ujumbe ili kupinga wakristo kujitoa  au kutenda kitendo  kizuri  ambacho wanaweza kutenda  au kuishi maisha mazuri ya kubarikiwa ila ningependa mkristo asijitaabishe kama watu wa mataifa kutafuta vitu au sifa ya dunia bali amwachie Mungu nafasi  ili amwinue kwa wakati wake.1 Pet 5:6,7 na wahakikishe  kuwa wanajua vile Yesu anasema juu ya vitu wanavyotaka kupata au kufanya.Wana wa Israeli walibebeshwa mizigo na waliokolewa kupitia kwa Musa –Kutoka 1:11-14,3:7.Leo hii,Wakristo wengi wamelalamika ,wakanung’unika,wakatengana, wakakosana kwa sababu  ya mizigo mizito ndani ya kanisa ,wamewekewa  kiwango cha pesa ambacho kinahitajika kwa kila mkristo na ikiwa vigumu kwa baadhi yao kutoa kwa sababu ya mapato yao ya chini ,2Kor 9:7.Vyuo vya Bibilia vinawawekea wale wanaoenda kujifunza pale karo ya juu huku Bibilia inasema watoe mafundisho bure –Mt 10:8.Pia Mungu ndiye hupeana maarifa –Yoh7:15,Matendo 4:13.wakristo wanataka vitu vya hali ya juu ili wapokee sifa .Mtu anataka nyumba ya hali ya juu,gari ya hali ya juu,shamba kubwa.Kwa hivyo inabidi afanye kazi kwa bidii ili apokee  hivyo vitu  ingawa mapato yake ni ya chini.Mtu akitaka kufanya arusi anataka magari mengi ya msafara  wake ,anataka mavazi ya kisasa,anataka vitu vya mapambo ya kisasa.Mtu akitaka kuandaa sherehe  anataka wageni wake wawe (matajiiri).Wakristo wanajitaidi kufanya  vile watu wa mataifa wanafanya  1Kor 3:18,1:2o,2:6-8.Katika karamu wanahitaji  mahali pa heshima (kiti cha heshima,meza ya heshima ,chakula cha heshima yani kilakitu cha heshima.Yaliyotukuka  machoni pa wanadamu  kila mara ni chukizo kwa Mungu Lk 16;14-15Yesu alinyenyekea na kuchukuwa nafasi ya kudharauliwa ,alizaliwa katika hori ya kulia ng’ombe-lk 2;7na akafa  kifo cha aibu.Wafilipo 2:5-8Mt26:27,27:57, mkristo wa leo anataka umati  mkubwa wa watu watakaohudhuria ibada ya mazishi  yake.Anataka jeneza nzuri,anataka gwaride nzuri na nyimbo zisindikize mwili kaburini –Yesu yeye hakupata hayo Mt 27:57-60,Lk23:50. Ndani ya nyumba zao,wanataka vyakula vya hali ya juu ata kama uwezo wao ni wachini,wanataka viti vya hali ya juu,Meza za hali ya juu na mjengo wa hekalu uliopambwa,Lk21:1-3.Kanisa linajitahidi  kuiga mataifa . Mtu  hujiona kuwa  bora kuliko wengine .Wafilipi2:2na utaka sifa kwa kila tendo jemaLk 17:10 ,Yesu anawambia anataka kuwapumzisha kutoka kwa mizigo mizito Mt11:28-29Yesu anawambia kuwa wasitafute mahali pa sifa na wasiwekee wakristo mizigo mizito-mt23:4-6,Lk14:7-14Wakati wanaangalia kujiongezea mali ya hii dunia.Yesu/Mitume Wanawatoa  huko ,Mt6:20-31,19:16-29.,Mrk10:23-25,Lk18:22-25,14:33,12:22-40,16:13-15,18:18-30,12:13-21,Yakobo5:1-5,1:9-11,2:1-5,4:13-16,1Tim6:1-10,17,18,Wafilipi 3:7.Yohana anatukumbusha kuwa tusipende vitu vya ulimwengu -1Yohana2:15,Ufunuo 3:17,18,18:1-17Paulo anatuambia tutosheke na tuangalie juu kwa Yesu  si vitu vya dunia-1 Tim6:6-11,12:9,Kol3:1-3,Wafilipi3:7,Tunaonywa juu ya utajiri-Yak5:1-Petero anasema tusiangalie mapambo ya hii dunia -1 Pet3:1-4.Mitume na manabii hawakutafuta heshima na vitu vya hii dunia –Matendo3:1-6, Mrk1:6, 2Wafalme 1:8. 1Wafalme 19:4-10,1Kor11:22-28,1Kor4:11-13,2Kor12:14-16,(waliishi maisha ya kudharauliwa ).Wengine waliacha mashamba,jamii,nyumba-Mt10:34-40,mrk10:28,3:31-34,8:34-38,Lk14:25-33,12:22-33,9:59-62,Mt19:25-29.Wengine hawakukua na heshima ya dunia-Mrk6:1-5, Waebrania11:35-38,1Kor4:11-13,2Kor11:24-28. Waliambiwa kuacha mazishi ya wazazi wao.Mt8:21-22.Mrk,3:31-35.Kanisa lakwanzahawakuwa na haja ya mijengo ya hekalu,walikutana ndani ya nyumba zao-Matendo2:46,5:42,10:30,10:9,11:12,12:12,16:15,18:8.Tuache kuangaikia maisha,Lk21:34 vitu vinapita 1Pet2:11,1:24,25.Hatuwezi kutoka nazo,Ayubu1:21 kwa hivyo acheni kuJitaabisha na mambo ya dunia,Ikiwa ni sadaka au matoleo yaliyo andikwa  ndani ya Bibilia tutoe  lakini mizigo zisizo na maana na vitu vya kujitakia sifa  achana nazo.Ufunuo3:14-18.Achia Mungu mwenyewe akuinue kwa  wakati wake.

KUFUNGA,KUOMBA,KUTOA  mt 6:16,6:5,6:2

NaIsaac Simbiri

          Wakristo waliofanikiwa kwa mahitaji yao kiroho pamoja na mahitaji mengine ya mwili,walifanya mambo matatu kwa wakati mmoja.

Kutoa  mt 6:2,

Kuomba Mt 6:5

Kufunga mt 6:16

Nitaeleza juu ya haya mambo matatu ,na nikisisitiza kuhusu kufunga.Kufunga ,kuomba na kutoa haifanywi na wakristo pekeyao.Kwa mfano:

wachawi hufunga ili kukutana na miungu yao.

Wahindi hufunga kila mwezi ili kukutana na miungu yao.

Wakuu wa kiroho wa dini ya  Budha (monks) hawali chakula kigumu kila jioni ili wakutane na roho zinazowaongoza.

Waislamu hufunga mwezi wa ramadhani .

Mafarisayo wa kiyahudi walifunga Mt 9:14-15

Wanafunzi wa Yohana mbatizaji walifunga.Mt 9:14-15.

Wana wa Israeli wakiwa jangwani walifunga.Mambo ya walawi 16:35,23:32

Yesu alipokuja kuwaokoa wanadamu alianza kwa kufunga.Luka 4:1….  

Yesu alisema kuwa wafuasi wake watafunga akishakufa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu.Mt 9:15-17.

Kanisa la kwanza walifunga.Matendo 13:1…

KUFUNGA

Kufunga ni nini

Maana ya kufunga ni kuuzuia mwili/nafsi  /Roho yako kupata vitu Fulani ambavyo huwa unazoea kupata kwa sababu Fulani ya kiroho.kila mkristo anafaa kufunga na lengo kuu la kufunga liwe kumtafuta Mungu.Zakaria 7:5 na kufunga,kuomba pamoja na kutoa vifanyike kwa siri.Mt 6:4,6:6,6:18

Kufunga ilianza wakati gani

Mungu aliwafanya waisraeli tuende  wakati  Fulani bila chakula ili wajue kuwa mwanadamu haishi kwa chakula tu ila neno –Kumb 8:15.

Unaweza kujinyima nini

Ugali na maji-Kutoka 34:28,kumb 9:9,Esta 4:16,ifanyike tu kwa mwongozo  wa roho mtakatifu.Ni vizuri kutumia maji yaliyo safi lakini si vizuri kutumia maji ya matunda(juice)kwa sababu ni kama chakula na ina chembechembe za chakula zote.

Ugali pekee

Vyakula Fulani tamu-Danieli 10:3

Waliooana wanaweza kujizuia kuwa pamoja kwa muda Fulani kwa makubaliano na ikiwa mwenzako atakataa basi usilazimishe kuwa katika hiyo kifungu .

Kukula chakula ila kiasi kidogo

Utafanya nini unapofunga.

Uongozwe na Roho Mtakatifu –kwa mfano Yesu aliongozwa na Roho Mtakatifu  Mt 4:1,2.

Usifunge ili kujionyesha kwa watu (Unafiki)-Mt 6:16.

Uwe na malengo(sababu) za ki biblia zinazokufanya kufunga –si nia mbaya usifunge ili kuharibu vitu vya maadui zako au kuwatakia mabaya Lk6:27-35.

Ikiwa hautumii ugali au chakula kigumu ,endelea kunywa maji (ikiwa si kufunga ambako umeongozwa kufunga bila kutumia chochote ).Unaweza kutumia pia maji ya machungwa .Ni hatari kwa afya yako kuingia kwa kufunga ambayo hautumii ugali na maji kama aujaongozwa na roho kwa muda wa masaa 72.Kwa hiyo ingia kwa kufunga kama hiyo baada ya kuongozwa na Roho na si kuingia au kusikiliza mtu .

Ukae kwa maombi na kuabudu.

Unapoingia kwa kufunga ,Jiandae kupingana na ibilisi ambaye atataka kukuvunja moyo (kukuongoza kwa kutoamini,kuogopa,upweke,kukosa furaha)atatuma pia watu wa jamii ,majirani kugombana nawe ,ukumbuke kuwa ni shetani atakuwa kazini kwa hivyo usimkubalie kukushinda-Petro5:6-8

Endelea na kazi  ya kuhimizana kiroho unapofunga (kufundisha,kushauri,kuhubiri. Usifanye kazi zingine ambazo ni ngumu)

Mama mjamzito atafute ushauri wa mchungaji kabla ya kufunga na wasiingie kwa kufunga ambako ataitajika kuacha kukula na kukunywa maji kwa muda wa zaidi ya masaa 24.

Endelea kusoma neno la mungu unapofunga.Kumbuka kuwa shetani alimkujia Yesu na neno na Yesu akijibu kwa neno –Mt4:1-11

Fanya mazoezi Fulani (kutembea tembea)

Uwe na kupumzika zaidi (Kulala,kukaa)

Tubu dhambi zozote unazofunuliwa au unajua

Nani atafunga?

Wanaomwamini Yesu wote wanastahili kufunga wakati Fulani –Mrk2:18-20,mt13:1-3

Kwa nini tunafunga?-Isaya 58:6-7,8-14

Matokeo ya kufunga kwa njia ya sawa:-

Kufunga ambako hakufai –Isaya 58:3-5    

Matokeo ya kufunga kusiofaa

Funga kwa imani:Usiruhusu shetani kukuvunja moyo ,imani kuwa uko na Yesu nay a kuwa utapata yote umeomba Heb 11:6,Mrk 11:23-25,Warumi4:17-20

Utahisi namna gani unapofunga?

Unapokula ,damu yako huwa na kazi ya kusaga kile chakula na unapokosa kukula mwili unahitaji kujisafisha  ili kukubaliana na iyo hali ,kwa kipindi hicho wengine huwa wanaumwa na kichwa ,wanasinzia,wana njaa hasa wakati ambapo imefika masaa ya kawaida ya kukula .kwa hivyo ukipita hali kama hiyo endelea tu kufunga na ikiendelea pata ushauri kwa daktari  aliye okoka.

Ni nini kitamzuia mkristo kufunga?

Mifano ya wale waliofunga katika Biblia

Utafunga muda gani

Anza kwa udogo na kuongeza pole pole,anza kama kujinyima chakula kwa muda wa masaa nane au 12 hivi,Pia hii hutegemea huduma Mungu aliyokupa .Usianze kufunga siku zaidi ya mbili  ikiwa ni mara yako ya kwanza jaribu kuhakikisha kuwa umemaliza muda uliokusudia moyoni mwako.Usifunge mude mrefu kwa sababu wengine wanafanya hivyo.

Utajuaje kuwa inafaa ufunge  

Kupita kwa ndoto (b) Maono (c) Roho wa Mungu akikushuhudia rohoni mwako.

d. Roho akinena kupitia nabii/Mchungaji.

e. Hali zikikusukuma  (majaribu )-mt 17:21.Est 3:1-4:15

           15. Kumaliza kufunga

   Kumbuka kuwa unapofunga tumbo lako hukosa chakula,anza kukula chakula ambacho si kigumu bali cha maji maji kama maji ya maharagwe,uji,na uendelee pole pole hadi wakati utatumia chakula kigumu,usianze kukula chakula kingi kwa haraka.

Ili kupata haya mafundisho

Tumia anwani hii

CHURCH OF JESUS CHRIST

P.O.BOX 771-40400

SUNA MIGORI

isaacsimbiri@yahoo.com

TEMBEA NA NENO

NA ISAAC SIMBIRI

Kamati inayopitisha mambo yatakayotumiwa kwa makanisa  inafaa kuhakikisha kuwa inachunguza maandiko kuona kama yale yanapitishwa yanaungwa mkono  na bibilia (Agano jipya ).

Agano jipya halijaruhusu mtu aliye na zaidi ya mke mmoja  kuwa kiongozi kanisani,1 Tim 3:1-13,Tito 1:5-6.

Kanisa linafaa kuwa na pesa lakini hizo pesa zinafaa kupatikana kwa njia nzuri (ya kibibilia )

 Wakristo wasitoe kwa (harambee )yani kupiga panda (kujitangaza ) na kutaka kutazamwa na watu ,kuchangisha pesa kwa njia ya mizaha,ubishi,kujigamba,kuuza na kununu vitu ,kuwadharau na kuwaaibisha  wasio na pesa  na kuimba nyimbo za kitamaduni wakati wa kuchangisha pesa –bali watoe kulingana na maandiko –Mathayo 6:1-2, 14-17,Mathayo 21:12-13.Yohana 2:

Biblia inasema kuwa kila mkristo atoe kulingana na uwezo wake na si kwa kulazimishwa au kuwekewa kiwango.1 mambo ya nyakati  29:17,2 kor 9:7,kumb 16:16,1 kor 16:2,2Kor 8:11,12.

Ndani ya biblia hakuna hazina ya kifo  na mazishi ila hiyo imeongezwa  na wanadamu .

Ndani ya biblia hakuna mkristo aliyeombwa pesa ndipo afanyiwe ubatizo wa maji mengi na hakuna sherehe yoyote iliandaliwa kwa ajili ya wale walibeba nguo za Yule aliyebatizwa na  pia Yohana alikuwa pekee  yake majini akibatizwa na Filipo pia kwa hivyo si lazima wahubiri wawili waingie majini  ili kumbatiza mtu mmoja –na  anayebatizwa anafaa kubeba nguo zake nguo zake mwenyewe  na ikiwa kuna garama yoyote inaitajika kanisa ndiyo itoe wala si Yule anayebatizwa.Mathayo 10:8,matendo 10:45-48,8:36-38,mariko 16:15,16.

Kanisa halifai kutengwa au kukataliwa Kwa sababu halitowi pesa zote zinazohitajika ila linafaa kuombwa hizo pesa kwa njia ya upole –Idadi ya wakristo na ukomavu wao katika kutoa ikizingatiwa.

Wachungaji ambao hawajaenda kwa vyuo vya bibilia kwa sababu  hawana pesa wanafaa kupewa muda wa kutosha ili kufanya hivyo kwa sababu ikiwa kiongozi yeyote ana mwito wa kuhubiri na ana  bibilia ,anaweza akahudumu bila kwenda kwa chuo cha Biblia –tusiangalie vyeti na pesa Wakati Mungu  anaangalia mwito -1 tim 4:14.

Kanisa linafaa kufundishwa juu ya kuwa na utakatifu bila kuogopa uso wa mkristo.Wadumuo kutenda dhambi  wakemewe hadharani ,Mathayo 3:8,1 kor 5:9-11,Waefeso 12:14,1 Pet 1:15,4:24.Tukatae mila ,tamaduni na mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu –mariko 7:6-9,Wakolosai 2:8,1 tim 4:7.

Viongozi wasiwe na tabia ya kupenda pesa-Waebrania 13:5,Mathayo 10:8,1 kor 9:17-18,Yoh 10:11-13,waache kuiga mitindo inayotumiwa na watu wa mataifa kukusanya pesa.

LAANA

NA ISAAC SIMBIRI

Laana ni dhambi au udhaifu au ,agonjwa yanayojirudiarudia katika familia,au eneo  yanakuwa kwa babu baadae kwa baba na baadae kwa wajukuu na watu kila mara huzoea hizo hali na kuishi nazo.

Chanzo cha laana

Hizi ndizo baadhi ya sababu zinazoleta laana.

Dhambi  ,Kutoka 34:7,

Yawezekana kuwa mababu  walifanya dhambi miaka mingi iliyopita na hadi leo hii wajukuu wa huyu mzee bado wanaendeleza hiyo dhambi na kuvuna matokeo yake mwanzo 3;1-6, 6;1-7, 4;10-12.Kwa mfano

Babu alikuwa mnywaji na muuzaji wa pombe,vilevile baba ,na hata leo wajukuu wa huyu mzee wangaali wanakunywa na kuuza pombe

Baba alikuwa muuaji na hata leo hii wajukuu wake ndio wanaua watu.

Baba alikwa na wake wengi na hata leo hii wajukuu wanaoa na kuachanan na wake zao.

Babu au nyanya alikuwa:mwizi,msherati,msherati,mnyang’anyi  na hata leo kizazi hicho kingali na watu wa aina hiyo.

Inawezekana baba au babu alifanya makosa yakamletea shida ambayo bado inawapata na kuwatesa wajukuu wa huyo mzee hata leo.Kwa mfano,Daudi alimuua Uria akamtwaa mkewe ambaye ni Bethsheba na hata baada ya Daudi kutubu,shida nyingi bado zilimpata-Mtoto akafa,upanga ukawa katika nyumba ya Daudi siku nyingi,watu kuzini na wake wa Daudi hadharani.2Samwel 11:1-6,15,12:9-13.Mambo ambayo yalitimia  nakumletea Daudi huzuni siku nyingi 2samueli 13;1-30 ,15; 1-20 , 18;17-19;1 1 wafalme 1…. ] Ili kujiondoa kwa hizi laana ukiokoka, tubu kwa niaba ya familia na ukatae tabia hizo za dhambi ukimpinga shetani na kuomba mwanzo mpya  .yakobo 4:7

Laana kupitia vitu vilivyo laaniwa

vitu ambavyo vimewahi kutumiwa na mganga au kwa ibada za miungu huwa  vina laana juu yavyo kwa mfano vitu kama mafuta, maji, misalaba ya maombi , vitabu, majarida ,mishumaa ,tambaa , hizo vitu ikiwa vimetumiwa na mganga  au kwa ibada ya miungu huwa ina roho za maperpo juu uyao kwa hvyo ukiwa na hizo vitu haya mapepo yanakuvamia kwa hivyo ukiokoka jitenge na hizo vitu au uziharibu .matendo 19;19

Ukiwa na panga,rungu,visu au mikuki iliyotumika kuua watu,mapepo ya mauaji hupitia kwa hivyo vitu na kumfikia yule aliye navyo.Kwa hivyo,ondoa hivyo vitu na ujitakase kwa jina la Yesu.

Kama una vitu ambavyo ulinyang’anya watu kwa mfano shamba,nyumba,au kama watu walikufanyia kazi ukakosa kuwalipa,hiyo inaweza kuwa chanzo cha laana kwako.Mika 3:9-10,2:1-2,6:10,7:2-4,Yer 5:27-27,Habakuk 2;9-12,Yakobo 5:1-6.Ili kujiondoa kwa hizo laana,warudishie watu vitu ulivyowanyang’anya na uwalipe wafanyakazi walio kutendea kazi .Luka 19:8

Laana kupitia muun gano.

Ikiwa uko katikati ya watu kama shuleni au unafanya kazi na watu wengi au una marafiki  na hao watu wakawa na laana juu yao kama ulevi,wizi,uchawi nk,unaweza kupata hiyo laana.Kwa hivyo,  kama umeokoka ,uangalie watu wa kukaa nao na ukae kwa maombi.

Laana kupitia kwa ndoa

Ikiwa utaolewa au kuoa mtu aliye na laana juu yake,kwa mfano kutozaa,ulevi ,wizi unaweza ukapokea hizo laana hata na wewe pia.Kwa hivyo,anza ndoa kwa maombi na uitakase kwa jina la Yesu.

Laana kupitia majina.

Kuna majina ambayo yana laana,kwa mfano,ukimpa mtoto  jina la mtu aliyekuwa mwizi au muuaji au mchawi,huyo mtoto pia anaweza kuwa na hizo tabia.Kwa hivyo,angalia jina ulilompa motto wako,na ikiwa ulimpa jina la mtu wa tabia mbaya,ulibadilishe au ulutakase kwa maombi.Mwanzo 17:5,37:10

Laana kupitia kwa maneno yanayotamkwa

Wewe au mzazi wako au mchungaji wako ,mnaweza kutamka maneno yanayokuletea laana.Kwa mfano,Yoshua alitamka neon la laana kwa Jericho na ikatimia.Yosh 6;26{ 1 wafalme 16:34} Nabii Elisha akaja kuondoa hiyo laana kwa neno la Bwana miaka mingi baadae. 2Wafalme 2:19.Kama ulijitamkia neno la laana,pindua hilo neno kwa jina la Yesu.Na kama mzazi zu mtumishi wa Mungu yeyote alikunenea laana,enda ukamwombe msamaha na uanze kumsaidia kwa kumnunulia vitu kama nguo,nk

Laana kupitia kudharau wazee au kucheka watu walio kwa shida

Kuwadharau na kuwachekelea  watoto wagonjwa,walemavu,wazee,viziwi,vipofu inaleta laana.Kutoa mimba pia inaleta laana kama ya kutozaa tena.Vijana waliomcheka Elisha walikufa ,2 wafalme 23-24

Laana kupitia kulitumia neno la mungu kwa biashara.

Kufanya huduma kama ya kuwabatiza watu ,kuwaombea wagonjwa,kuhudumu kanisani kwa lengo la kulipwa au kuanzisha kanisa kwa ajili ya biashara ,kutumia wajane na mayatima kupata pesa ili kujinufaisha mwenyewe,kuuza mafuta ya upako na mambo mengine kama hayo ya kufanyia neno la Mungu biashara huleta laana. Matendo 8:18-20,2Pet 2:15,2Wafalme 5:13-15.

Laana kupitia kwa kuhudumu.

Ikiwa unaombea watu walio na laana ,uwe katika hali ya kiroho kwa sababu hizo laana zinzweza kukurudia.

KUSAMEHE

KUSAMEHE

Kabla ya kuanza kuhudumu mbele za Mungu,mkristo lazima awe na uhusiano mzuri na watu.Marko 11;25-26,Mathayo 5;23-29.

  1. Kwa nini tusamehe ?

Tunasamehe kwa sababu sisi tulisamehewa .Waefeso 4:32,Wakolosai 3:13

Tunasamehe ili sisi nasi tusamehewe.Mathayo 6:12,14.Marko 11:25-26

Tunasamehe ili kuponywa .Yakobo 5;16

Tunasamehe ili maombi yetu yasizuiliwe katika ndoa.1 Pet 3:7

  • Nitasamehe mara ngapi?

Luka 17:3-4,Wakolosai 3:13,Mathayo 18:21-22.

  • Nisamehe baada ya muda gani

Samehe haraka  .Mathayo 5:25-26,

Samehe kabla ya jua kutua.Waefeso 4:26

  • Utaratibu wa kusamehe

Mwendee aliyekukosea na mashahidi wawili .Mathayo 18:15-18,Luka 17:3

Mtu akilikosea kanisa 1 Kor 5:1-5,(2Kor 2:5-11)

Kiongozi wa kanisa akilikosea kanisa.1Timotheo 5:19-20,

Mzushi anayelikosea kanisa .Tito 3:10

Adui wako ,Mathayo 5:43-45,Luka 6:27,Warumi 12;14,17-20,

 Utasamehe kina nani?

Yesu alitusamehe

Baba ,mama awasamehe watoto, kwa mfano,kijana mpotevu alisamehewa.Luka 15:11.

Watoto wasamehe wazazi wao na ndugu zao.Kwa mfano Yusufu .Manzo 45:15,50:15-21.

Majirani wasameheane

Uwasamehe maadui zako,kwa mfano,Stefano aliwaombea msamaha waliomwua.Matendo 7:59-60

Yesu aliwaombea waliomuua msamaha.Luka 23;34

Watu wa familia wasameheane.

Mwajiri na mfanyakazi wasameheane.

Ili kuonyesha umesamehe mtu,endelea kumsaidia ,ogea naye,msalimie na usilipize kisasi.Luka 6;27,Warumi 12:14,17-20, 1Wathesolanike 5:15,.,pia ujifanye kama usiyeona makosa unayotendewa.Mithali 19;11.

Unkimfanyia adui yako mema,naye anaendelea kukutendea mabaya,matendo yako mema kwake yanabadilika kuwa makaa ya moto juu ya kichwa chake.Warumi 12:17-20 na pia mitego anayokuwekea ,mwenyewe huanguka ndani..Mithali 26:27,Esta 5:13,7:9

UPENDO

1 yohana 2,3,4,5,1 wakorinthon 13-14;1

Musa alileta amri kumi lakini Yesu alikuja na amri moja mpya  ambayo ni upendo yohana 15:12,yohana 13:34.Ukiwa na upendo,una amri zote za Yesu Kristo.Yesu ni upendo 1 yohana 4:7-8,5:2.Kwa hivyo,ukitaka kuwa na upendo,mpokee Yesu moyoni mwako nawe utakuwa umepata upendof,ndipo unakuwa mkristo kamili naye  anatii kila neno lililonenwa na Yesu kristo.Yohana15:3,10,14,Yohana 14:15,Mt 7:24-26.Ikiwa hauna upendo,inamaanisha kuwa hauna Yesu ambaye ni upendo na bila upendo,mambo yote unayofanya si sawa.1wakorintho 13:1-3,14:1.Kila mkristo anafaa kumpenda Mungu na Mwanadamu.

Jinsi ya kumpenda Mungu Luka 10:27

Unampenda Mungu kupitia kutii neno lake.1yohana 5:3,Yohana 15:3,10,14.Yohana 13:14,Mt 7:24-26.

Jinsi ya kumpenda mwanadamu

Ili kumpenda mwanadamu,unafaa kufanya mambo haya:

Jua kuwa Mungu ni upendo 1 Yoh 4:7-8

Jua kuwa Mungu alikupenda kabla umpende 1Yoh 3:16-17,Yohana 3:16

Mpokee Yesu ambaye ni upendo.Yohana 15:4

Muone Yesu ndani ya wanadamu wengine .Mt 25;31-40,

Jua kuwa yote unayomfanyia mwanadamu unamfanyia Yesu.Wakolosai 3:23,Mt 25;40

Jitolee uhai wako kwa ajili yaw engine.1Yoh 3:16,17.4:11

Anza kufanyia watu vitu ungependa wakufanyie.Luka 6:31

Anza kuwaona watu wengine kuwa bora kuliko wewe.Wafilipi 2:3-4

Usiuzuie msaada wako kwa watu kama una uwezo wa kuwasaidia.Mithali 3:27-28.Ujue kuwa watu wote walemavu ,waliorukwa akili na wote wasio na kitu ni watu wa Mungu na pia ujue kuwa Mungu alikuona ukiwa na akili nzuri na nakakupa mali  yako na ya mtu asiye na akili nzuri au maskini na mlemavu ili umtunzie,kwa kuwa huyo angepewa mali,angeiharibu na haingemfaidi kwa muda unaofaa,hivyo Mungu alikupa mali yako nay a huyo mwengine ili uwe kama mlinzi.Kila mara unamuona mtu anakuomba msaada  mpee kwa sababu Mungu alikuweka umtunzie .

Usimchukie mtu na huku unasema kuwa unampenda Mungu[ 1yoh 4:19-20] [luka 6: 27-36 ] [warumi 12: 14-20]

Ili kupenda lazima uwe mtu wa kusamehe na kutolipa baya kwa baya [mrk 11:25-26]mt6;12,14 warumi12;14-20,mt 5:21-26 ,waibrania 13:1-2,luka 17:3-4,

Anza kusaidia watu wote wazuri na wabaya Mt 5:43-45 ,luka 6:27-36,

-Wasaidie Mayatima na wajane yakobo 1:27, 1tim 5:3-11  wala usiende kuridhi mjane na lengo ya kuharibu mali aliyo achiwa na mume wake Mt 23:14

– Wasaidie walemavu, vipofu  na maskini luka 14:12-13 ,3:11. [Waandalie  karamu, wanunulie mavazi na uwape chakula ]. Ikiwa unaishi na mlemavu au yatima au mjane au maskini yeyote usimtumie kwa ajili  yako kufaidika  bila kuangalia kile ambacho anapata kwako . Ukiishi na maskini , yatima , mjane au mototo wa mtu mwingine  mhudumie jinsi unahudumia watu wa familia  yako wala usipendelee  yakobo 2:1-17

– Wasaidie hata watu ambao hauwajui luka 10:25-37

– Wafadhili wageni waibrania 13:2

-Wasaidie watu kutoka makabila mengine luke 10;27-37

-Hudumia / Tembelea wagonjwa yakobo 5:14-16 Mt 25:31-40 kuna wale hawasaidii au kutembelea mtu akiwa mgonjwa  lakini wakisikia kuwa huyo mgonjwa amekufa wanakimbia huko na kujitolea kununua jeneza nzuri na nguo mbayo maiti atavalishwa lakini alipokuwa mgonjwa hawakumsaidia ilia pone hayo ni makosa .Madhehebu mengi yana hazina ya ujenzi na kifo na mazishi lakini hawana hazina ya kuwasaidia wagonjwa ,mayatima, walemavu na wajane hayo ni makosa.

Kopesha watu luka 6:32-36 ,lipa deni warumi13:8 zab 37:21                     -Ukiwa na wafanya kazi watendee haki , walipe mshahara wao na uwafanyishe kazi kwa kiasi kinachofaa  ukiwaruhusu kwenda kanisani, kutembelea watu wa ukoo pamoja na marafiki ,yakobo5:1-6

-Ukiomba kitu cha mtu mrudishie na usingoje aje kufufuata mwenyewe na usidhulumu watu wala  usimnyang’anye mtu shamba au kitu ulichomuuzia ,na usiue kwa sababu haya maovu yana matokeo mabaya [habakuki2:9-12 yeremia 5:27-29  Amos 5:11-12 mika 3:10,6:10-15 ,mwazo 4 :10-12 ,mithali 3:10-11] Toba yasawa kama umemnyanganya mtu kitu nikumrudishia luka 19:8 Isaya 58:

Penda jirani

Kulingana na Yesu,jirani ni yeyote unayekutana naye

katika safari ya maisha-Lk 10:30-37

Mifano ya jirani ni: Familia ,marafiki,maadui,wageni n.k

i)Penda Familia yako

Ni muhimu kwako kuomba na kutakia familia yako kuokolewa wote-Matendo 16:31:34, Yoshua 24:15

Penda ndoa yako-mume na mke wafanye mambo yao yote pamoja-Mrk 10:6-9

Mungu amekataa talaka- 1Kor 7:10-11,Mrk 10:1110:11-12

Heshimu ndoa –Ebr 13:4

Mungu amekataa usherati-1Kor 7:2

(2)Marafiki  zab 27;17/mathayo 17;17

Uwe mwangalifu katika kuchagua marafiki_Zab 119:63

Kuteseka kwa sababu ya rafiki_Yoh 15;13

(3)Maadui mt 5:43_48

Penda adui

Ombea adui ili Mungu ampe kupenda

Usilipishe mabaya_warumu 12:17_21

Usikasirikie adui_wakolosai 3:13

Upigane na shetani aliye ndani ya adui kwa maombi_waefeso 6:10-13

Ikiwa ni wewe ndiye unasababisha jirani kukuchukia,tengeneza uhusiano.

Unaweza kuchukiwa kwa sababu ya wokovu ila uwasamehe na uwaombee na usiwachukie wale wanaokuchukia_mt 7:58-60, Lk 23:34 Yoh 15:18-21,16:1-2,Mt 10:34-37

matokeo ya kusaidia watu

Unapowasaidia wanyonge unamkopesha Mungu naye atalipa Mithali 19;17 na unapokosa kusaidia wanyonge na wewepia utakosa msaada Mithali 28:10 ,26: 27 Warumi 12:17

MATUNDA MENGINE YA UPENDO [ 1 Wakor 13:1

Upendo huvumilia – Ukiwa na upendo utavumilia hali zote ndani ya wokovu

Upendo hufadhili- ukiwa na upendo utasaidia watu

Upendo haujivuni-ukiwa na upendo hautajivuna

Upendo hautafuti mambo yake- ukiwa na upendo unatafuta ufanisi wa wengine

Upendo hauhesabu mabaya ukiwa na upendo unafunika ubaya 1pet 4:8, unaendelea hata kusaidia hata adui yako

Upendo haufurahii udhalimu –ukiwa na upendo hautafurahia mizaha, matani,ubishi au kuona mtu anatenda dhambi bali utawahubiria ukweli

2Kor 2:5-11)

Kiongozi wa kanisa akilikosea kanisa.1Timotheo 5:19-20,

Mzushi anayelikosea kanisa .Tito 3:10

Adui wako ,Mathayo 5:43-45,Luka 6:27,Warumi 12;14,17-20,

 Utasamehe kina nani?

Yesu alitusamehe

Baba ,mama awasamehe watoto, kwa mfano,kijana mpotevu alisamehewa.Luka 15:11.

Watoto wasamehe wazazi wao na ndugu zao.Kwa mfano Yusufu .Manzo 45:15,50:15-21.

Majirani wasameheane

Uwasamehe maadui zako,kwa mfano,Stefano aliwaombea msamaha waliomwua.Matendo 7:59-60

Yesu aliwaombea waliomuua msamaha.Luka 23;34

Watu wa familia wasameheane.

Mwajiri na mfanyakazi wasameheane.

Ili kuonyesha umesamehe mtu,endelea kumsaidia ,ogea naye,msalimie na usilipize kisasi.Luka 6;27,Warumi 12:14,17-20, 1Wathesolanike 5:15,.,pia ujifanye kama usiyeona makosa unayotendewa.Mithali 19;11.

Unkimfanyia adui yako mema,naye anaendelea kukutendea mabaya,matendo yako mema kwake yanabadilika kuwa makaa ya moto juu ya kichwa chake.Warumi 12:17-20 na pia mitego anayokuwekea ,mwenyewe huanguka ndani..Mithali 26:27,Esta 5:13,7:9

KUJITENGA NA DHAMBI

Na Isaac Simbiri

watu wanazaliwa katika dhambi na hata wakitenda matendo mazuri bado wana  dhambi –Warumi3:23,Kwa sababu hiyo Mungu alipenda watu na akamtuma -Yesu ili aje kuwaokoa Yoh3:16.anaye mwamini Yesu  anahesabiwa haki bure Rom6:23.na       kuitwa Mristo(mwana wa Mungu)  –yoh 1:12 matendo 11:26.huyu anafaa kutenda matendo mazuri –Mat 3:8,1pet 4;1-4,2Kor 5:17-wala asi endelee kutenda dhambi –Ebr 10:26,ili awe hivyo inafaa ;- asome neno la Mungu( 1)1 pet2:1-2(2)atafute kuwa mtakatifu-1pet  1:15, 1Yoh5:1-21,1Pet 4:1-4 (3) ajazwe na Roho mtakatifu –Yoh 14;14-26,Matendo 1:8(4) aombe  na kufunga –mt 17:21,Matend 13:1-3,Matendo 13(5)awe na upendonaushirikaEbr.10:25,matendo2:42,46,Mt24:42(6)abatizwe ndani ya maji mengi Mrk1:10 matendo 8::36-40(7)aanze kutoa kwa hiari –Matendo 4:32,2kor9:6-7,1Kor9:27 (8)aheshimu ndoa –Ebr13:4 (9)ahubiri injili-Mt28:19-20 hayo yatamfanya kukua kiroho.  Huyu anafaa kuwa mwaangalifu anapotafuta kanisa la kuin gia ndani kwa sababu siku hizi manabii wengi wa uongo wametokea  Mt24:35-47,Mt7:13-23,na wako ndani ya kanisa atawatambua kwa matunda yao:-Viongozi wengi wa kanisa hawajaokoka na hawana Roho mtakatifu na ndio wanaongoza kanisa-Mt6:39-49,ni wenye k I uongozi na pesa wanaongea juu yakuchangishapesazahazinayakifoaujuuya“harambee”ambayoinapofanyika utaon  a vituko vya mizaha matani,uongo.ubishi mvutano na kuuza na kununua (biashara)kanisani Mrk11:15,16  na jina hilo haliko ndani ya Bibilia,na pesa wanazochangisha kupitia kwa hiyo harambee,hao viongozi ndio hugawana. Hawana mwito wa kuhubiri,kazi yao imebaki kuzika wafu,kutii  ukoo kuliko Mungu,ni watu  wasiojikana,wanamfuatan yesu kwa sababu ya mikate(mshahara )Luka 9:57-62,14:16-33,Yoh 6:26-66,hujiunga na sherehe na vyama vya kuchangiana pesa na watu wa mataifa.2kor6:14-17,amos 3:3,1kor8:1o-11,10 20-22.Hawaongei juu ya mambo hayo nimetaja hapo juu(1-9) hujenga na kupamba mahekalu.Wachungaji wanajitahidi kupata magari ya kisasa ,wengine wanatafuta nguvu za kuhubiri chini ya bahari kwa mashetani  ili wafanye ishara hapa duniani na kupata wafuasi, wanatafuta runinga za kisasa,wanawake huvaa mavazi yanaowapasawanaumenayasiyositirimwiliaumafupi,Kumb5:22,Pet3;1-6,1Tim 2:9-10,wana tafuta kuwa sawa na wanaume.Vijana nao hunyoa nywele zao kwa mitindo ya kisasa na anasa, wanatembea kwa maringo na kiburi.usiku wanatafuta mahali kuna muziki wacheze na kutazama filamu za kishetani.wazee nao wameeingilia kurithi wanawake na kujiongezea wanawake ,aliye na mke mmoja  anatamani kuwa na mke wa pili .Wafanyabiashara wengine wanatumia ujanja na wizi ili wafanikiwe zaidi.Baadhi ya wanasiasa wanatafuta kufanikiwa  kupitia ufisadi.Wewe uliyeokoka huu ni wakati wa kujiangalia(Luka21:34)kwa sababu vitu vya dunia vinapita(Mt6;25-34)Tim6:10-19,Ayubu1:21,Mhubiri4:4-8,Mhubiri11:9-10 Isaya 40:8.Mkristo uache kuvuta sigara,ukulima wa tumbaku,kuuza sigara na bangi, usifanye kazi kwenyevyumba vinavyouza na kutengeneza pombe na  ukahaba,ulawiti,1wak6:910,Isaya5:22,habakuki2:15,Methali20:1,Wag5:19-21efe5:18,Isaya 55:1 uache mila kama makumbusho,kunyoa kwa ajili ya wafu,tohara za kienyeji  ambazo ndani yake uchawi unafundishwa na kuwatesa wanaotairiwa,uache tero buru,kupanda mbegu na kuvuna baada ya ngono na kulala na maiti,kutahiri wasichana,kulazimisha  mjane kurithiwa na mmoja wa jamii, uache magendo,vipimo vya udanganyifu,methali20:1023,uachekunyanganya watu mashambaau kusongeza mipaka ,methali22:28, kupokea na kupeana hongo,Luka3:10-15, kuua na kuiba na ufisadi,kanisa lisiingie kwa siasa bali liombee taifa letu na tupige kura na usitumie mishumaa katika kuomba,.Uache kula damu matendo15:20.uache kuanzisha huduma kwa ajili ya kujitajirisha,ubatizwe bila malipo Mt10;8,3:13-16,Yoh3:22-26,matendo2:37-41,8;34-38,10;47,8:18.Wanawake kanisani waache kuvaa bangili,vipuli,kupaka makucha na midomo rangi,kusuka nywele na mapambo mengine yanayowafanya  kufanana na makahaba1Pet3:1-6.1Tim 2:9Kiongozi kanisani awe na mke mmoja,1 Tim3:1-13,Tito1:5.acha      mila na tamaduni mbaya,mariko7:1-10,Wakolosai 2:8 wacha kushika sheria za dini zinazo pingana na biblia,kol2:8 tembea kama mkristo1Pet4:1-4

KURUDI KWA YESU NA HUKUMU YA MWISHO

Na Isaac Simbiri(2020)

  1. YESU ANARUDI

NA ISAAC SIMBIRI  [Kimeandikwa Agosti 2020]

 2Pet 3:1-14,yoh 14:1-4,matendo 1:9-10 ,ufunuo 1:7

Yesu anatarajiwa kuja kulichukuwa kanisa-Yoh 14:1-3,6, Matendo 1:9-11 Ufunuo1:7-11, 3:11, Kanisa ni kusanyiko la wanaomwamini Yesu na kutii neno lake 1 Pet 2:4-12, 1 Kor3:16, Mt 18:19-20, Lakini  kabla ya Yesu kurudi kulichukuwa kanisa ilitabiriwa kuwa hali itaendelea kuwa mbaya ulimwenguni[ mathayo 24:29 mariko 13:19]Ili kuyaelewa yatakayo fanyika nyakati za mwisho soma kitabu cha ufunuo wa yohana chote .Kuna MIHURI SABA kisha baadae ikifuatwa na  Tarumbeta saba ambazo zina ujumbe kwetu kwa ajili ya nyakati hizi za mwisho tukizielewa. Kwa sasa tuanzie ufunuo 6 ili tuone yanayofanyika MIHURI SABA zinapofunguliwa kwa wakati wake

  • MIHURI SABA KUFUNGULIWA

Kuna mihuri saba katika ufunuo wa Yohana 6 ambazo zinapofunguliwa kuna jambo linalofanyika duniani,kama ninavyoeleza hapa

  • Muhuri wa kwanza unapofunguliwa kuna farasi mweupe anayeleta ushindi ufunuo 6:1-2
  • Muhuri wa pili unapofunguliwa kwa wakati wake kuna farasi mwekundu na yule aliyempanda anaondoa Amani duniani  na watu kuanza kuuana  [ufunuo 6:3-4]
  • Muhuri wa tatu unapofunguliwa kwa wakati wake kuna farasi mweusi na aliyempanda ni yule anaye sababisha mtikisiko wa kiuchumi duniani na vilio vingi vinaanza  kusikika  kwasababu ya hali ngumu ya uchumi [ufunuo 6: 5-6],
  •  Muhuri wanne unapofuunguliwa kuna farasi wa kijivujivu ambaye yule aliyempanda husababisha mauti na kuzimu ikifuata [ufunuo 6:7] na ukumbuke kuwa hali iliyosababishwa kufunguliwa kwa muhuri wa pili na wa tatu ingali ipo.
  • Muhuri wa tano unapofunguliwa kuna roho za waliochinjwa kwa sababu ya kristo wakidai haki zao [Ufunuo 6:9-11]
  • Muhuri wa sita unapofunguliwa kuna mtetemeko mkubwa wa nchi, jua linakuwa jeusi kama gunia la singa na mwezi unakuwa kama damu na visiwa vinatoweka na woga kwa watu {ufunuo 6:12}
  • Muhuri was saba unapofunguliwa malaika saba wanajiandaa kupiga Tarumbeta saba [ufunuo 8:1}

3.         TARUMBETA SABA

Muhuri wa saba unapofunguliwa ndipo malaika saba walio na tarumbeta saba wanajiandaa kuzipiga.

Tarumbeta zinapopigwa tunaona kama hali zinazofanana au zilizo ngumu Zaidi ya zile zilizosababishwa na kufunguliwa mihuri zinatendeka duniani [naomba Mungu azidi kutufunulia Zaidi juu ya mafumbo yaliyo katika hiki kipindi cha kufunguliwa mihuri nakupigwa kwa tarumbeta] lakini ninaamini kuwa hali zitazidi kuwa ngumu Zaidi tunakoelekea.kwa sababu mwanadamu anategemea hivi vitu vinavyo haribiwa tarumbeta zinapopigwa.

  1. Tarumbeta ya kwanza inapopigwa ,mawe ya mvua ,moto na damu inatupwa juu ya nchi  na theluthi  [1\3 ] ya ardhi, miti na nyasi inaungua [{ufunuo 8:7}] Hii inalenga kuleta uharibifu kwa ardhi na mimea ambayo pia inategemewa na mwanadamu,na hii hali inaweza kusababishwa kupitia uharibifu wa mazingira kupitia kazi za wanadamu kama kuchoma misitu na matumizi mabaya ya ardhi,moshi wa viwanda,mabaki ya vitu vinavyotumiwa,silaha za kisasa nk.
  2. Tarumbeta ya pili inapopigwa kitu kama mlima kinaanguka baharini na theluthi 1/3 ya maji inakuwa kama damu na theluthi ya viumbe wa baharini vinakufa {ufunuo 8:8},hapa bahari na viumbe vilivyomo ndivyo vinalengwa na huleta hasara kwa mwanadamu anayezitegemea,nah ii inawezwa kusababishwa pia na kazi za wanadamu kama kurusha silaha za kisasa  na kemikali zingine ndanI ya bahari.
  3. Tarumbeta ya tatu inapopigwa nyota kubwa inaanguka kutoka mbiguni juu ya mito ya maji na theluthi ya mito inakuwa na maji machungu na watu wengi wanakufa kwa sababu ya kukunywa hayo maji [ufunuo 8:10}, hapa wanadamu wanalengwa. Na siku hizi tunasikia na kuona watu wakiumia kwa sababu ya magonjwa yanayotokana na maji wanayotumia               
  4. Tarumbeta ya nne inapopigwa theluthi ya jua mwezi nyota zinatiwa giza {ufunuo 8:12}, siku hizi kuna wakati jua na mwezi zinatajwa kuwa na shida au kufunikwa.
  5. Tarumbeta ya tano inapopigwa nzige wanaouma watu wasio na muhuri wa Mungu juu ya nyuso zao wanatokea {{ufunuo 9:1-7}.
  6. Tarumbeta ya sita inapigwa na kuna mambo haya yanafanyika;
    1. Kuna farasi za vita na theluthi ya watu wanauawa {ufunuo 9:13-18],inawezekana hili ndilo jeshi linalomuingiza mnyama(mpinga Kristo ) katika uongozi wa umoja wa mataifa,na tunaona hayo yameanza kufanyika kupitia kwa vita vya maneno na  kwa mataifa tofauti tofauti kuanza kuungana chini ya mwavuli wa umoja wa Ulaya(European Union ) ambayo ninaamini kwamba ndiyo itamwinua mpinga Kristo hivi karibuni(Ufunuo 17:1…). Na pia tunaona watu wengi wakifa kutokana na vita vya mara kwa mara duniani siku hizi kupitia moto au sumu kutoka kwa mabomu na silaha za kisasa, na madhara kutokana na teknologia na maendeleo ya viwanda inayosambaza moshi angani ambayo ina madhara kwa watu wanaopumua hiyo hewa
    1. Mpinga kristo {mnyama} anatokea,kabla ya tarumbeta ya saba kupigwa kwa sababu tarumbeta ya saba inapigwa katika ufunuo 11:13-15, [ufunuo 13:1,11:7,17:1…}
    1. Matumizi ya jina la mnyama na sanamu ya mnyama , chapa ya jina la mnyama na nambari inayosimamia  jina la mnyama inatumika duniani {ufunuo 13:16-17}Na hii pia inadhihirika duniani nyakati hizi kupitia kwa majina mbali mbali ya kumtukuza shetani kama vile iluminati, free mason, Lucifer Our Lord (LOL) na chapa ya mnyama imeanzia kwa watu kuwa na chapa za shetani juu yao kupitia mapambo kama kusuka nywele, kutumia mafuta ili kubadilisha ngozi ya mwili. Wamama kuvaa mavazi mafupi yasiyositiri mwili yao, kuchora mwili, kuvaa pete za masikio na sanamu pia zimeinuliwa ndani ya madhehebu kwa mfano sanamu ya Yesu, sanamu ya bikira maria, matumizi ya misumaa na mavazi maalum kwa ajili ya ibada n.k
    1. Mashahidi  wawili wanahubiri nchini Israeli {ufunuo 11:2……]
    1. Watakatifu wengi wanauawa duniani kwa sababu ya Imani yao {ufunuo 13:7} nah ii imeanza kuonekana duniani kupitia kwa makanisa kuwekewa sheria zilizo kinyume cha neno la Mungu.Daniel 7:25,8:24
  7. Tarumbeta ya saba ambayo ni ya mwisho inapigwa na mambo yafuataya yanafanyika
  8. Kanisa linanyakuliwa wakati tarumbeta ya mwisho ambayo ni ya saba inapigwa        { ufunuo 10:5-7,1 wakorintho 15: 51-52 ,ufunuo 11:14-15,1 wathesalonike 4:13-17}
  9. Hekalu la mbinguni linafunguliwa [ ufunuo 11:19,15:5
  10. Vitasa vya ghadhabu ya Mungu vinamwagwa kwa watu wanaobaki duniani{ufunuo12:18,15:5,16:1

Ninaamini kuwa mihuri hii  saba na tarumbeta hizi saba zinatupea  picha kamili ya vile mambo yangefanyika hapa duniani  moja baada ya nyingine,kuanzia  mwanzo wakanisa kulingana na wakati ulio kusudiwa hadi wakati wa mwanzo wa utawala wa kristo pamoja na watakatifu wa miaka  elfu moja hapa duniani na tunaona haya yakitimia machoni petu . kuna mitetemeko  ya ardhi . [mathayo 24 : 6-11] njaa inazidi kuongezeka ufunuo 6 :8 ,kunakuwa na  vita zaidi maji na hewa inazidi kuchafuka [ufunuo 6,7] vilio vya watu  kwa sababu ya hali ngumu ya uchumi vinazidi [ufunuo 6:5-6]idadi ya watu wanaokufa inazidi kuongezeka [ufunuo 6:7-8 ].Tumesikia kuhusu msukosuko kwa bahari mara nyingi siku hizi inayosababishwa na upepo mkali na kusababisha kimbunga nan watu wengi wakauawa na watu wanaendelea kuishi kwa hofu na kuvunjika mioyo luka 21:26.Yesu alitabiri kuwa chukizo la uharibifu litakuwa patakatifu na siku hizi tunaona hayo yakitimia. Kuna  maovu na manabii wa uongo  Mt 24 : 11-12 Watu wameacha neno la Mungu na wameanza kufundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu (mila na utamaduni ) Kanisani Mrk 7: 5-9; 1 Tim 4: 1-3; 2 Tim. 4: 1-4; 2 Tim 3: 2-9.  na maovu yameongezeka na kanisani watu wengi wanafanya vitu vinavyopingana na bibilia wanayoisoma, Kwa mfano Viongozi wengi wa kanisa wako na zaidi ya mke mmoja ingawa inaleta dhambi kwa familia kumbu 17:17. 1 wafalme 11:1-9 1Tim 3:1-5 Tito 1:5-6 madhehebu mengi yameidhinisha ndoa kati ya watu Wa jinsia moja, – Warumi 1: 18-32.

 Na watu waliovunja ndoa zao wanaruhusiwa kuoa /kuolewa tena  Mithali 6:32, 31:9 luk 16:18 hebr13:4 mark 7:10-15 1 kor 7:10-11 ,39 rom 7:2  Wamama wengi wanaingia hekaluni wamevaa mavazi mafupi yasiyositiri miili yao na wanajipamba kama makahaba kupitia kusuka nywele, kuvaa pete za masikio, kupaka midomo rangi na huku mikono Pamoja na miguu na nyuso zao zimechorwa picha mbali , kuna watu wanatumia mafuta yaliyo na kemikali  mbali ili kugeuza ngozi za miili yao au kufanya miili yao inenepe. Mwanzo 35: 1-5; 1 Tim 2: 9; 1 Pet. 3: 3; Kutoka 33: 4-6.  Badala wa wakristo kupamba mioyo yao ili wawe watakatifu ,wanajitahidi kujenga na kupamba mijengo za mahekalu 1 kor 6:15-19 , 3;16 matendo 12:47-50 na wengine wakiua wenzao ili wapate uongozi kanisani, na viongozi wa madhehebu mengine wanapenda pesa na Mkristo anakubalika kanisani kupitia kwa kiwango cha pesa anazotoa. Wahebrania 13: 5; 1Tim 6: 6-10,Lk 21:1-4 na matajiri walio kanisani wanapendelewa. Yakobo 2: 1- wakristo wengi wameacha ubatizo wa maji mengi  na kuleta ubatizo bandia kama kusimamisha Wakristo chini ya bendera, kuwapaka watu mafuta na kuwanyunyizia watu maji juu ya vichwa vyao Mrk 1:4-10, Yoh 3:5, Matendo 2:37-38, 8:36-40, 10:47-48. watu wengi wanaenda  kanisani kwa sababu wanataka  kuzikwa vizuri na madhehebu mengi  yana  hazina ya kifo na mazishi na hazina ya ujenzi wa mahekalu lakini hawana  hazina ya kuwasaidia maskini, Walemavu wajane na mayatima Yakobo 1:27,Wagalatia 2:10, Matendo 4:32-34 na pia hawana   hazina ya kupeleka injili. Mahekalu mengi baadala ya kuwa nyumba za sala, yamegeuzwa kuwa nyumba za kampeni za wanasiasa na biashara. Mrk 11: 15- 17. Yoh 2:13 -17 na hii inaonekana wazi kupitia kwa njia ya kuchangisha pesa kwa jina harambee iliyo na mizaha, matani nyimbo za utamaduni, ubishi na wakristo wanapenda kutangazwa wanapotoa pesa au wanapotenda wema wowote Mt 6: 1-8, 23:1-29.  baadhi ya wakristo wanapo mwimbia Mungu, mitindo ya kucheza ni ile wameiga kwa waimbaji wa miziki ya ulimwengu, na wacheza vyombo wa miziki ya ulimwengu ndiyo hulipwa kucheza vyombo kanisani  watu wengi wanahudumu kanisani kwa kuimba , kucheza vyombo;  kuhubiri, kufagia   kwa sababu wanalipwa baada  au kabla ya kufanya huduma  [ Mika 3:9-10,Yoh 10:12,2 Petro 2:15,2 wafalme 5:13-15,Mt 10:8, Matendo 8:18-22- 1 Tim 6:5-sio vibaya kuwasaidia watumishi wa Mungu, lakini isiwe  kuwa tuko tu kwa huduma kwa sababu tunalipwa mshahara.2Kor 2:15 1Kor 8:8-18, Wafilipi 4:1-19, siku hizi ndani ya madhehebu mengi  mtu anakubaliwa kuwa mhubiri kama ana shahada kutoka chuo kikuu na chuo cha biblia na baadhi ya  wachungaji wanafungua  vyuo vya bibilia na  vituo vya kuwasaidia watoto mayatima na wajane kama biashara yao na  wakipata pesa zinazofaa kuwasaidia wajane ,walemavu na mayatima , wanatumia hizo pesa kuendesha miradi yao,na wengine wanauza mafuta wanayoyaita ‘mafuta ya upako’ na wegine kuuza mchanga /maji ya Baraka  na wanapenda kuhubiria watu jinsi ya kuwa matajiri lakini hawaonyi  wakristo juu ya dhambi na moto wajehanam ujao.  Aidha Siku hizi, watu wengi wameanza kuacha kutumia bibilia ya kawaida wakisema kuwa imepitwa na wakati na sasa wameanza kutumia biblia iliyo ndani ya simu na mtandao lakini wajue kuwa kuna aina za biblia zilizo ndani ya simu na mtandao ambazo mistari au maneno Fulani yameondolewa ndani yake au kubadilishwa. Kwa hivyo mkristo usiache kutumia biblia yako ya kawaida uliyohakikisha kuwa ni nzuri na uitunze kwa sababu siku hizi kuna

maadui wa Yesu wanaorarua bibilia na kuzipoteza.Kulingana na vitu/mambo mengi yanayofanyika siku hizi ,inawezekana tarumbeta tano za kwanza zilishapigwa na sasa tarumbeta ya sita pia imeshapigwa kwa sababu kuna mateso mengi,ukame kwa sababu ya ukosefu wa mvua,nzige na wadudu wa kuharibu mimea, na mara nyingi jua limefunikwa lisitoe mwangaza wake wa kawaida, vilio kwa sababu ya hali ngumu ya uchumi,hewa kuchafuliwa, kuongezeka kwa magonjwa ya kutisha  na yasiyo na tiba,upepo mwingi unaosababisha msukosuko katika bahari,vita vya maneno katikati ya viongozi wa mataifa yenye nguvu,majaribio ya silaha za kisasa zinazorushwa baharini na viumbe wengi wa baharini kuangamizwa. vifo vingi na  mvua ya mawe inayoleta mafuriko na uharibifu na hivi karibuni  maji yataanza kugeuka kuwa machungu au kuwa mekundu kama damu,na joto la jua litaanza kuongezeka na kuleta kiangazi,msukosuko utaanza kuongezeka baharini na kusababisha vimbunga mitetemeko mikubwa ya ardhi itakuwa inatokea na hata nzige wanaouma watu pia watakuja kutokea au hii ya nzige inaweza ikatimia kupitia kwa ugonjwa au hali ngumu itakayowapata watu wasio na muhuri wa mungu  peke yao na pia magonjwa ya majipu(vidonda) mabaya yatatokeya , maovu mengi na maarifa ya ulimwengu ambayo mwisho wake ni kuwatoa wanadamu kwa mungu yatazidi kuongezeka, na hii inaonyesha kuwa tuko kwa wakati wa dhiki kuu,ambayo itafuatwa na kipindi cha vitasa vya ghadhabu ya Mungu baada ya kanisa kunyakuliwa, Mariko 13:19 Mt 24:15-21,Ufunuo 8:11,9:1- , 2Tim 3: 1-5. Muda mwingi ambao umepita laini za simu zimetumiwa , kupata mahitaji kama kutuma pesa na kulipa deni , elimu , matibabu n.k wakati huu ulimwenguni  maarifa imeongezeka na kuna kifaa kidogo cha ki elektroniki ( microchip)kinacho ingizwa kwa paji la uso au kwa mkono wa mtu na kinatumika kupata huduma za benki, usafiri, hospitali, elimu kwa urahisi zaidi na pia ulimwenguni,watu wanapewa namba ndipo wapate huduma na jina la mnyama(the beast) pia linatumika na sanamu zilizowekewa sauti ili kuongea zipo ndani ya komputa simu, runinga (televisheni ) kwa hivyo sanamu ya mpinga kristo pia ipo na itajulikana . hayo yanayofanyika yanatuonyesha kuwa ufunuo 13 inaendelea kutimia kabla ya kanisa kunyakuliwa. na tunaona tayari huu ni mfumo wa utawala wa mpinga kristo ambao umeanza kutawala dunia Na pia tunaona kuwa huu mfumo wa utawala wa mpinga Kristo unakuja na sheria za malengo ya kufunga madhehebu na kudhoofisha/kuangamiza au kuua watakatifu(Kanisa la kweli kwa hivyo huu ni utawala wa serikali ya mpinga Kristo ,na hivi karibuni mpinga kristo mwenyewe(ambaye atajiita mungu)atajitokeza  baada ya mabadiliko ya uongozi yatakayofanyika pale umoja wa mataifa (UN)   ambayo inaweza kufanyika baada ya vita vinavyotajwa kwa ufunuo 9:13-18.ufunuo 17, 2 Wathesalonike 2:1-12,Daniel 7:23-25 ,8:23-25 na huo ndio utakuwa mwanzo kamili wa mbio za mwisho  za miaka tatu na nusu ya dhiki kuu,Mathayo 24:15-22, na wakati huo mashahidi wawili watahubiri nchini Israeli kwa miaka tatu na nusu na mpinga kristo atawaua lakini watafufuka baada ya siku tatu na nusu na watainuliwa  kwenda mbinguni Ufunuo 11:1-8 na watakatifu wengi pia wataumia na kuuawa katika hii dhiki kuu,Mathayo 24:29-31,Ufunuo 7;9-15,13:7-10,14:9-12,15:2,Danieli 7:25.8:23-27,11:44-12:1-4.Na kwa sasa serikali za Mfumo wa utawala wake mpinga Kristo umeanza kumlazimisha kila mtu  atumie moja wapo ya vitu hivi vilivyotajwa katika ufunuo 13 ndipo apate kuuza kununua na mahitaji yoyote navyo ni:- (a) jina la mnyama la makufuru(The Beast)– ufunuo 13:2 (b)sanamu ya mnyama –

ufunuo 13:14-15, (c ) chapa ya jina la mnyama (microchip)-ufunuo 13: 16-17, (d) namba inayosimamia jina la mnyama (666) –Ufunuo 13:17-18 ,Nashauri mkristo yeyote asikubali kupokea mojawapo ya hivi vitu wakati wa mfumo wa utawala wa mpinga kristo na wakati wa mpinga kristo au wakati wowote kabla  ya kanisa kunyakuliwa hadi wakati wa kanisa kunyakuliwa hata kama itasababisha  mkristo kuuawa kwa sababu yeyote atakaye ipokea moja ya hizo  vitu vilivyo tajwa anaenda motoni .Ufunuo 14:9-12,15:2,19:20-21,20:4-6, hayo ya mpinga kristo  yanapoendelea  kutendeka utafika wakati baada ya dhiki kuu hivi karibuni ,tarumbeta ya mwisho ambayo ni ya saba itapigwa, nguvu za mbinguni zitatikisika, mwezi hautatoa   mwanga, nyota zitaanguka na kutakuwa na msukosuko kwa bahari , jua litatiwa giza na kristo atakuja kulichukuwa kanisa mt24:29, mariko 13:19-27, Luka 21:25-28,1Wakorintho 15:51-52,ufunuo 7:9-15. watu wote  walio kufa wakiwa wamemwamini Yesu na kutii neno lake watafufuka siku hiyo na wakristo wakweli watakao kuwa hai wote watanyakuliwa katika mawingu  1Kor-15:51,52, 1 Wathesalonike 4:13-17. Matendo 1:9-10 ,ufunuo 1:7 ,luk 21:27 wenye dhambi watakaokuwa hai, watabaki na  watu walio kufa ndani ya dhambi pia watabaki mavumbini  wakati huo Ufunuo 20:4-5,na kuna wakati mfupi wa vitasa vya ghadhabu ya Mungu ambayo  itaanza kama ilivyo kuwa misri kutoka 7-11,ufunuo 16,19.

  • VITASA VYA GHADHABU YA MUNGU

Kama nilivyoeleza hapo juu,Kuna mapigo ya gadhabu ya Mungu ambayo yameelezwa kwa Ufunuo 16 na 19 ambayo yatafanyika baada ya Yesu kuchukuwa kanisa, watu watakao baki ambao watakuwa na alama 666 watafurahi kubaki na vitu vya wale walio nyakuliwa lakini baada ya siku chache mungu ataanza kuleta mapigo juu yao, watakuwa na majipu, maji ya tageuka kuwa damu kama ya maiti na watakunywa, jua litaongezwa joto lake juu ya watu, kutakuwa na giza kuu kwa kiti cha enzi cha mpinga Kristo na mtetemeko mkubwa wa inchi , na baadae  majeshi ya ulimwengu yata kusanyika nchini Israeli   ili kupigana na Israeli na mungu. Hivi ni vita vya Har-magedoni  na hapo ndipo Yesu atashuka akiwa amempanda farasi mweupe akiwa pamoja na jeshi la mbinguni na mvua ya mawe makubwa itawapiga watu na visiwa vita toroka na miji zitaanguka na kwa neno litokalo kinywani mwake ataangamiza majeshi hayo  yote na watu wote walio na  alama ya mpinga Kristo [666] na hiyo  ndiyo siku ya bwana Ufunuo 16:1-21, 19:11-21, Amos 5:17, Daniel 2: 34-44, 12:1-3, Zefania 1:10-18.Ezekieli 39:1 -12 ufunuo 6:14-17  yoeli 2:31-32 ,3:1-17 Malaki 4:1

  • UTAWALA WA MIAKA 1000

Kisha Yesu akiwa pamoja na watakatifu walio nyakuliwa ataanza utawala wake wa miaka 1000 akiwa mfalme wa wafalme juu ya nchi Danieli 7:13-44, 2:44, Ufunuo 19: 11-21., 20:1-6 Isaya 11:6-10, Ufunuo 20:2-6. Na wafu wengine walio kufa ndani ya dhambi hawatafufuka wakati huu wa utawala wa Kristo hadi iishe miaka 1000  ufunuo 20:5

  • BAADA YA MIAKA 1000 NA SIKU YA HUKUMU

Baada ya utawala wa miaka 1000 wa Yesu akiwa na wakristo duniani,  itakuja wakati wa hukumu. Mathayo 25:31-46,Yoh 5:22, Yakobo 3:1-3, Mt 12:36-37, 2Kor 5:10 Mbingu na nchi ya sasa zitatoweka 2 Pet 3:10-11, Ufunuo 20:11-15  na watu wote ambao walikufa ndani ya dhambi watafufuka ( wakitoka kuzimu Ufunuo 20:13)wakienda mbele ya  kiti cha enzi cha Mungu, na  kutatokea nchi mpya na mbingu mpya, na. Watakatifu wataingia Yerusalemu mpya ambayo itatoka kwa mbingu mpya  ufunuo 21:10 ,22:1..., na wenye dhambi watatupwa kwa ziwa la moto wakae huko milele na milele, Ufu 14:10-11, Kumbu 32:22, , Ufu 21:8 kuzimu na mauti pia itatupwa motoni Ufu 20:14 na ukumbuke kuwa jehanam, ilitengenezwa kwa ajili ya shetani na malaika walio asi lakini wenye dhambi pia watatupwa huko Mt 25:41, 2Pet 2:4 Ufunuo 20:14, 21:1-, 2Pet 2:3, Ufunuo 22:1-5. Ikiwa umesoma huu ujumbe unafaa kumwamini Yesu awe mwokozi wako na usome bibilia na kutenda yale yameandikwa ndani Yohana 1:10-13 , 3:16 na uishi maisha matakatifu ili siku moja ukae na Yesu Jerusalemu mpya milele na  milele Yoh 14:1-2, Ufu 21:1-5, Ufunuo 22;1-6 .Dhambi ya wakati wa Nuhu ilipozidi, Mungu alileta mvua. Mwanzo 6: 1-7. Dhambi ya watu wa Sodoma ilipokuwa kubwa, Mungu ali waangamiza. Mwanzo 18: 20. Gadhabu ya Mungu inakuja juu ya kizazi cha wakati huu kwa sababu dhambi zimekuwa nyingi vile ilitabiriwa Mt 24:12, Daniel 8: 23; Warumi 1: 21-32; 2Tim 3:1.Wakati wa gadhabu ya Mungu watakatifu huokolewa-Nuhu aliokolewa mwanzo 6:1-8,Lutu aliokolewa mwanzo 19:10-26,Waisraeli waliokolewa Misri kutoka 8:21-23,9:3-7,12:12-13,kwa hivyo hata leo hayo yanafanyika kwa mkristo anayetubu na kujazwa Roho Mtakatifu na kufunikwa na damu ya Yesu 2Petro 2:4-9,Ufunuo 3:10,9:4 , kwa sababu hiyo Mungu ameamuru watu wote watubu na kumpokea Yesu  Matendo 17:29-31 2wathes 1:4-10. Matendo 2:31

YATAKAYO TENDEKA KWA UFUPI

  1. Watu wengi watazidi kujiachilia  kwa shetani kwa  miili yao kupitia mapambo, mavazi ya aibuna matendo yao  ikiwalete kwa ile ya mpinga Kristo kwa ufunuo 13.
  2. Dhiki kuu  itazidi kuwapata watu na kuwatoa wengi  kwa imani Lakini watakao vumilia hadi mwisho ndio wataokoka Mt 24:12-13, 15,29,Mateso mengi ikiwemo magonjwa mabaya kama vidonda au majipu mabaya zaidi ya yale yamewahi kuwepo yataendelea  kutokea na mfumo wa utawala wa mpinga Kristo wa matumizi ya jina la mnyama, sanamu  ya mnyama , chapa ya jina la mnyama pamoja na  namba inayosimamia jina la mnyama itazidi kupata umarufu na kutumiwa duniani –Ufunuo 13.
  3. Manabii wa uongo , ishara , miujiza na maajabu ya Uongo na mafundisho ya uongo kupitia kwa madhehebu mengi  yataendelea kuwatoa watu kwa Yesu na  neno la  Yesu na Madhehebu yaliyo na  imani tofautitofauti  yataendelea kuungana chini ya mwavuli mmoja na kukubaliana na sheria za mpinga Ksrito na wakristo wengi kuendelea  kuchukiwa na kutengwa kutoka kwa masinagogi (Madhehebu) Yohana 16:2,Mt 24:9-10,  2 Timotheo 4:2-4.Hayo yote yatakuwa yakiandaa uwanja kwa ajili ya mpinga Kristo.
  4. Mabadiliko ya uongozi pale umoja wa mataifa ambayo  itamwingiza mpinga Kristo  itafanyika  2 wathesalonika  2: 1-9, ufunuo 17.Daniel 8:23­-25,7:23-25,Mathayo 24:15-21.
  5. Mashahidi Wawili watahubiri katika Israeli kwa muda wa miaka 3 ½  wakati wa mpinga Kristo nawata uawa  pamoja na watakatifu  wengi –Ufunuo 11:1-13,13:7, Daniel 12:1, Watu wakilazimishwa kutumia  jina la mnyama, Sanamu ya  mnyama.Chepa ya jina la  mnyama na namba hayo simamia  jina la mnyama –ufunuo 13:16-17 na sheria za mpinga Kristo zitatumika ndani ya masinagogi yote duniani
  6. Yesu atakuja kulichukuwa kanisa tarumbeta ya mwisho inapolia baada ya dhiki kuu – 1 kor 15:52, 1 Wathes 4:13-16,Mathayo 24:15-31,Mariko 13:24-27
  7.  Baada ya unyakuzi wa Kanisa,Vitasa saba vya gadhabu ya  mwisho ya Mungu itamwagwa juu ya wale  wanaobaki duniani  muda mchache baadaye. ufunuo 15:5,16:1-21. Shetani atafungwa  kisha utawala wa Yesu Kristo wa miaka 1000 na watakatifu utaanza duniani  –ufunuo 20:1-5.

KIFO  NA HUKUMU YA MWISHO (ZAB 146:3-4)

  • Siku za mwanadamu ni chache kama majani  isaya 40:6-8,job 14:1-2,1 pet 1:24-25.
  • Mwanadamu ni msafiri na mpitaji.1Pet 2:11,,,
  • Mtu ni kama mchanga na mvuke yakobo 4:13-15,Mwanzo 3:19, (kwa hivyo mwanadamu asijivune wala kuhangaikia Maisha.Yakobo 4;13.
  • Mtu akishakufa hawezi kurudi kwake wala kuona mema ayubu 7:1-10,2 Samueli 12:22-23
  • Mwanzo wa kufa-Mwanzo 3:19.
  • Aliye kufa ni mali ya Bwana –Warumi 14:8, mwanzo50:1 lakini mkristo asilie kama watu na mataifa 1 thes 4:13-18.
  • Wakati mwingine usijihusishe sana na mambo ya mazishi ikiwa yanagongana na huduma ya neno mt 8:22.
  • Yule hajaokoka pia amekufa kiroho -1 Tim 5:6,kolosai 2:3,Rom 6:11.
  • Babu zetu walisafirisha maiti na si vibaya kusafirisha maiti leoila si lazima sisi tufanye hivyo, mwanzo50:4-7,25,Kutoka 13:19.
  • Tuachane na mila zinazo husu mtu aliye kufa -1 Thes 4:16,1 kor15:21-
  • Maiti(mwili ambao ametokwa na uhai) haujui chochote –ayub7:5-10,Mhubiri 9:5.
  • Maiti (mwili ambao imetokwa na uhai) hawezi kurudi nyumbani kwake-Ayubu 7: 5-10.
  • Si lazima maiti azikwe na umati mkubwa wa watu-matendo 5:6, Luka23:50-53.
  • Mababu walikuwa na mahali pa mazishi (makaburi)-mwanzo 23:10-9.
  • Maiti huzikwa –matendo 5:6,kumbu34:6, mwanzo 23:10-19.
  • Vitabu vingine juu ya kifo ni Mhubiri 6:12,1thes 4:13-18,Mwanzo 3:16,1  kor15:12-57,Ufunuo 14:13,30:23,1 pet 1:24,zab 116:15,102:3-4,90:3-10,39:5-10,Yakobo 4:13-14
  • Ni afadhali kuiendea nyumba iliyo na matanga.Warumi 12:15,Mhubiri 7:2,4
  • Kula dhabihu zilizotolewa kwa wafu ni dhambi zab 106:28, ufu 2:14, hes 25:1-13, kut 34:15, 1 kor 8:10, 10:20-21

Mtu akifa anaenda wapi?

 Kuna sehemu mbili tofauti ambazo  wanaokufa wanaenda kukaa wakingoja kufufuka kwao na hukumu ya mwisho.  Kulingana na matendo yao  ufunuo 14:13-14 Sehemu hizo ni:

  1. Watakatifu kuwa pamoja na Yesu.
  2. kuzimu

Watakatifu kuwa pamoja na Yesu.

  • Mungu anafurahia mtu kufa akiwa mwenye haki Zab 116:15. Katika agano la kale watakatifu walipokufa malaika aliwapeleka kwa  kifua cha Ibrahim, Luka 16: 22-23 mahali ambapo katika Agano Jipya panaitwa kuwa pamoja na Kristo Wafilipi 1: 20–23; 2Kor. 5: 8.   Luka 23: 43, na siku ya hukumu ya mwisho, hawa watakatifu wataishi Yerusalemu mpya milele. Ufunuo 21: 1-5.
  • anayekufa akiwa ameokolewa anaingia katika uzima wa milele,Mt 25:34,Ufunuo 14:1
  • Watakatifu ni wale wanaoamwamini Yesu na wanatii neno la Mungu.Mt 7:24-26,Yoh 15:1,10,14,8:30-32,Isaya 66:2,
  • Yesu hakubaki kuzimu, ila alichukuwa Funguo za kuzimu, Ufunuo 1:18; Matendo 2:27, luka 23:43
  • Kanisa linashinda Milango ya kuzimu. Mt. 16:18;
  • Yesu alienda kuwandalia makao mazuri, Yohana 14:1-2; Ufunuo 21:1-5; 22:1-5

Kuzimu:

 Isaya 14:9-15, Mithali 7: 27, Luka 16: 19-31.

Kuzimu ni mahali ambapo watu wanaokufa wakiwa ndani ya dhambi huenda,kukaa vifungoni kwa mateso wakingoja kutupwa kwa ziwa la moto siku ya hukumu.2 wathes 1:4-20, Lk. 16: 23; Mat. 11: 23; Mrk 9: 43-46  Mithali 27:20,32:16, Luka 16:25 Yohana 5:28,29 Mt 22:13,25:41,Ufunuo 21:8.Na Yule

 Mt 5:22, Mt 10:28, 8:8-10, Lk 12:5 . kuzimu kuna sehemu inayoitwa giza la nje, hapa ni mahali ambapo wana wa Ufalme wanaoasi(wanafiki) watatupwa, ni mahali pa kulia na kusaga meno Mat. 22:13; 8:12; 24:51

 jehanam ilitengenezwa  kwa ajili ya shetani na Malaika  zake,  lakini watu wanaotenda dhambi  wanaenda kukaa na shetani kwa huo moto milele na milele  -Zaburi 9:17 Mithali 7:27,9:18,ISaya 19:12,5:14,34:9,Mariko9;43-48   waebrania 10:26-27,20:12, 22:19,Wagalatia5:19-21, luka 16:9-35,,12:51,mt,23:33,5:22;10,22,10;28.

Yesu alipokufa alienda kuzimu akahubiri injili ya neema na kuchukuwa funguo za kuzimu, na hata leo hii bado Yesu ana uwezo wa  kuingia na hawezi kukwama huko. 1Pet.3:18-21, 1 Pet 4: 6; Ufunuo 1: 8; Matendo 2: 27

     Mifano ya wale wako kuzimu.

 ( Mahali pa kulia na kusaga meno Ufunuo 14:10-11, Kumbu 32:22, Mark 9:43-48, LK- 12:5, Mt 10:28(Mungu hapendezwi na kifo cha wenye dhambi Ezekiel 18:23)

  1. Wanao mwamini Yesu lakini wanaendelea kuishi maisha ya dhambi wakifa wanaenda kuzimu Wagalatia 5:16-19, Mt 22:13, 8:11-12s.
  2. Wasioamini Yesu wakifa wanaenda kuzimu., Yoh 3: 18; Zab. 9: 17; Mt. 11: 23Mungu yuko kila mahali, Methali 15: 11; Zab. 139: 7.
  3. Malaika walioasi wako vifungoni kuzimu 2Peter 2:4; Yuda 6 inasemakuwa mapepo mengine yatafunguliwa wakati wa mwisho. Ufunuo 9:1-11.
  4. Miji zizisoitikia mwito wa toba zitatupwa kuzimu, Mat. 11:23Tajiri alikuwa kuzimu, Luka 16:23
  5. Wale  wasio mwamini Yesu Kristo kuwa mwokozi wanaenda motoni ikiwa watakufa kabla ya kumwamini Yesu kuwa mwokozi wao-Yoh  3:16-17.
  6. Wale wanao mwamini Yesu  Kristo kuwa  mwokozi wa maisha yao na kujua neno la Mungu lakini hawajatii hilo neno la mungu (injili) ila wanaishi maisha  ya dhambi wanaenda motoni- wasipobadilika -2 wathesalonika 1:6-8,Ebr  10:26-27,Luka 12:47-6:46-49,mt 7:21-26.
  7. Wale waliomwamini Yesu Kristo na baadaye wakarudi nyuma wanaenda motoni wasipo mrudia mungu tena.2Pet2:20-22,Waebrania10:35-39.
  8. Viogozi wa kanisa ambao wamebadilisha neno la mungu  kuwa biashara yao  na kutoa  ili  kupongezwa (harambee) .Wanaohubiri kwa ajili ya mshahara tu wakiambia watu watoe pesa au vitu  ndipo waombewe  na kuhubiriwa  jinsi ya kutajirika au kutafuta mali ya dunia pekee. wanaenda motoni wasipo tubu Yakobo 5:1-4, 1 Tim 6:1-10, Mariko 10:17-26
  9. Viongozi wakanisa  na watu wengine wanaopanga au wanao wasaidia washiriki kupanga / kutimiza mila au utamaduni  kama makumbusho ,teroburu, tohara za kienyeji ambazo ndani yake vijana ufundishwa uchawi ,na tohara kwa wasichana,  mila ya kufanya ngono kabla ya kupanda mbegu , kulala na maiti, wote wanaenda motoni wasipobadilika Mariko 7:1-9Wakolosai2:8 Waefeso4:22 Zab 106:28.
  10. Wote wanaoleta mitindo ya ulimwengu kanisani ambao wakija kanisani wanacheza miziki ya kitamaduni na kufanya harambee iliyo na mizaha, matani,ubishi wakati wa matoleo, na wanawake wanao timiza tamaa ya mwili na tamaa ya macho na kiburi cha maisha (1 Yohana 2:15-17) kupitia kwa kujipamba kwa nje tu kama makahaba kupitia mitindo yakushuka nywele zao, kuvaa vipuli, kutumia marashi, kuvaa mavazi mafupi au yanayoacha miili yao uchi au wanawake wanao vaa mavazi yanayostahili kuvaliwa na wanaume lakini wakaacha kupamba mioyo yao kwa kuwa watakatifu wasipotubu wanaenda motoni  mwanzo 35:2-5, kutoka 32:1-3, 33:4-6, kumbu 22:5, isaya 3:16-24, 1pet 3:3-4, 1tim 2:9
  11. Wanasiasa  na mashabiki wao wanaokwenda kwa waganga ili kupata umaarufu na kutumia jukwaa zao kwa matusi na pia wakija kanisani ili kuombewa na wana ahidi watu ahadi nyingi za uongo huku wakichochea watu kupigana na kuchukiana  na kuchochea ukabila wanaenda motoni wasipobadilika Wakolosai 3:5-11, Isaya 8:19-20,Mambo ya Walawi 19:31  Kumbukumbu 18:10-13
  12. . Mazoezi ni mazuri kidogo (1Tim 4:8) lakini wakristo pamoja na watu  wengine wakiingia mazoezi  kama za mbio, kucheza mpira, kuruka ,michezo za kuchekesha  watu na wakasahau  kuangalia utakatifu badala yake wakaenda kwa waganga ili washinde au wakawa na michezo  inayoleta mizaha ,matani, ubishi ,maringo kiburi  kutumia madawa ya kulevya na bangi ,kupigana na matusi na kuwaadhimisha wachezaji- wako njiani  kuenda motoni wasipotubu- Wagalatia 5:19-21, Zab1:1Kor 15:33, 6:9-10  9). Mzee anayemwacha mkewe  na kumwoa mke mwengine pamoja na na mke  anayemwacha mumewe na kuolewa na mume   mwengine    ni wazinzi,  Kwa hivyo  wanaenda motoni – luka  16:18,,1 Kor 7:10-11,Warumi 7;2-3, Mariko 10:2-12, 1 Kor 7:10
  13. Wale walio ndani ya madhehebu ambayo yamekataa kutii neno la Mungu ambayo yanafanya vitu kwa njia tofauti  na vile biblia inasema    kwa mfano badala ya kubatiza waumini ndani ya maji  mengi,  wao  wanapaka wakristo mafuta  au kuwa simamisha chini ya bandera au kuwafanya waruke juu ya moto wakiita  hizo vituko kuwa ni ubatizo na pia viongozi wao hupenda kufanya  vitu ili  kutazamwa  na watu na kupongezwa na watu wote    wasipobadika wako kwa njia ya kuelekea   jehanamu (motoni)Mathayo 7:13-27, 6:1-4, 23:1-16, Yakobo 2:1-9, Luka 14:7-14
  14. Mashoga, washerati,  wenye kusengenya, wazinzi, wachoyo, wasingiziaji, wasiosamehe, wasiopenda, wasiotii wazazi katika Bwana, walio ndani vyama vinayoitwa vya maendeleo lakini vina sheria zilizo kinyume  na biblia; wale wasiojali wajane na mayatima na wasiojiweza na wengine wote watendao maovu hayo wanaenda motoni wasipo tubu- Wakolosai 3:5-10, Warumi 1:23-32, 2 Tim 3:1-6, 1Yoh 3:15, 14. Mark 11:26, Mt 25:41-46, Yakobo 1:27. Isaya 1:17
  15. Wafanya biashara  na wakulima wanaolima na kuuza bangi,tumbako wale wanaotengeneza sigara na kuuza pombe na walevi  na wale wanaofanya kazi kwa kampuni  za kutengeneza Pombe  na wafanya biashara ,wanaotumia hongo  ujanja ,unyangaji , wizi, na wale wanao tumia madawa  za waganga  kuendesha biashara  yao na wale wanaonyang’anya watu mashamba  na vitu vingine walivyowauzia,

wale wanapora mali ya wengine,na wale hawalipi wafanyi kazi  pamoja na wafanya kazi  ambao hawafanyi kazi yao kwa  uaminifu wote wako njiani kuenda motoni wasipobadilika-    Yakobo 5:1-4 Mithali,23:29-30,Habakuk 2:15,Wakolosai3:5-9  Isaya 5:21-22, Amosi 8:4-8, Mika 6:10-11, Yeremia 5:27-28

Siku Ya Hukumu mt 25:31-46, ufunuo20:11

Ukifika wakati wa hukumu ya mwisho, kuzimu itapeana wafu walio ndani yake ili watupwe kwenye ziwa la moto, Ufunuo 20:13. Kuzimu itatupwa kwenye ziwa la moto, Ufunuo 20:14

Lile mtu afanye ili kuepuka jehanam

Kukosa kutii kile mungu  anasema nis dhambi..Adam na Hawa walipotenda dhambi,wanadamu wote wamehesabika kuwa wenye dhambi tangia tumbo la mama yao-Warumi 3:23,Zaburi 51:5. Mshahara ya dhambi ni mauti Warumi 6:23 ila tunapomwamini Yesu Kristo na kutii neno lake tunasamehewa dhambi zetu zote -Warumi 3:24,25.Wale mbao wanajitahidi kutenda matendo mazuri bila kumwamini Yesu Kristo badu wako na dhambi zao.

Lazima tumwamini Yesu kwanza ndipo tuhesabiwe haki bure kisha tuendelee kutenda matendo mazuri .Yoh 3:16-20.Inawezekana kuna vitu ambavyo tunafanya sisi wenyewe  bila kujua kuwa ni dhambi na hiyo haibadilishi hizo vitu kuwa vizuri na ndiyo sababu kila mara tunafaa kunyenyekea kwa mungu ili kwa uwezo wa Roho mtakatifu, tufunuliwe juu ya dhambi na tudumu katika kutubu na kutafuta kutakaswa na kusamehewa hata na dhambi ambazo hatujui tunapozifanya.Mambo ya Walawi 5:15-17,Zaburi 19:12,Luka 12:48,Yohana 1:6-10,na pamoja na hayo,tujitahidi kujilinda   ili shetani asituingize kwa dhambi-1Yohana 3:2-10.Baada  ya kumwamini Yesu,haifai tuendelee kutenda dhambi kusudi baada ya kujuwa ukweli-1Kor 5:9-13   Waibrania 10:24-39 1kor  5:16-18,Wahibrania 6:1-10 2Pet2:20-22 ila tunafaa kuchukia dhambi na kuziacha –1Pet 1:13-15,1Petro 4:1-4 Waefeso 4:22-23 1Pet 3:9-11, 1Yohana3:24  1Yohana  2:29 , kwa  wale wanaogafulika  katika kufanya dhambi-bila wao wenyewe kupenda wasaidiwe kwa upendo kwa kumrudia  Mungu, tusifuraie  na kuchekelea  na kuhukumu wakati mkristo  amerudi dhambini-Yakobo 5;19-20,Wagalatia 6:1 1yohana 2:1-2 mt7:1-2, Luka 15:21-27, kumbuka Mungu alimsamehe Daudi dhambi aliposhauriwa kutubu-2Samuel 12:13,Zaburi 51:1

DHAMBI

Na Isaac Simbiri

Kukosa kutii kile mungu anasema ni dhambi.Adam na Hawa walipotenda dhambi, wanadamu wote wamehesabika kuwa wenye dhambi tangia tumbo la mama yao-Warumi 3:23, Zaburi 51:5. Mshahara ya dhambi ni mauti Warumi 6:23 hila tunapomwamini Yesu Kristo na kutii neno lake tunasamehewa dhambi zetu zote na mshahara wake-Warumi 3:24, 25.Wale mbao wanajitahidi kutenda matendo mazuri bila kumwamini Yesu Kristo bodu wako na dhambi zao.

Baada ya kumwamini Yesu ni lazima tumwamini Yesu kwanza ndipo tuhesabiwe haki bure kasha tuendelee kutenda mazuri .Yoh 3:16-20.Inawezekana kuna vitu ambavyo tunafanya sisi wenyewe  kujuwa kuwa ni dhambi na hiyo haibadilishi hizo vitu kuwa vizuri na ndiyo sababu kila mara tunafaa kunyenyekea kwa mungu ili kwa uwezo wa Roho mtakatifu, tufunulie na tudumu katika kutubu na kutafuta kutakaswa na kusamehewa hata na dhambi ambazo hatuzijui tunapozifanya.Mambo ya Walawi 5:15-17,Zaburi 19:12,Luka 12:48,Yohana 1:6-10,na pamoja na hayo,tujitahidi kujilinda   ili shetani asituingize kwa dhambi-Yohana 3:2-10.Baada  ya kumwamini Yesu,haifai tuendelee kutenda dhambi kusudi baada ya kujiwa ukweli-1Kor 5:9-13  ,1Pet,Waibrania 10:24-39 dhambi kusudi baada ya kujuana ukweli 1kor  5:16-18,Wahibrania 6:1-10 2Pet2:20-22 ila tunafaa kuchukia dhambi ana kuziacha –1Pet 1:13-15,1Petro 4:1-4 Waefeso 4:22-23 1Pet 3:9-11, 1Yohana3:24  1Yohana  2:29 , kwa  wale wanaogafulika  katika kufanya dhambi-bila woo wenyewe kupenda wasiadiwe kwa upendo kwa kurudia  Mungu, tusifuraie  na kuchekelea  na kuhukumu wakkati tunasea kuwa tunasema mkristo  amerudi dhambini-Yakobo 5;19-20,Wagalatia 6:1 1yohana 2:1-2 mt7:1-2, Luka 15:21, Mathayo 24:16  kumbuka Mungu alimsamehe Daudi dhambi aliposhuliwa kutubu-250m11:12,206,51:11

WENYE DHAMBI WANAOENDA KWA MATESO 

Moto kwa Jehanam  ulitengenezwa  kwa ajili ya shetani na Malaika   lakini watu wanaotenda dhambi  wanaenda kukaa na shetani kwa moto milele na milele-Zaburi 9:17 Mithali 7:27,9:18,ISaya 19:12,5:14,34:9,Mariko9;43-48   waebrania 10:26-27,20:12, 22:19,Wagalatia5:19-21, luka 16:9-35,,12:51,mt,23:33,5:22;10,2210;28.

Nitataja mifano ya wale wanaenda motoni baada   ya maisha yao  ya hapa ulimwenguni:-          

1.Wale  wasio mwamini Yesu Kristo kuwa mwokozi wanaenda motoni ikiwa watakufa kabla ya kumwamini Yesu kuwa mwokozi wao-Yoh  3:16-17.

2.Wale wanao mwamini Yesu  Kristo kuwa  mwokozi wa maisha yao na kujua neno lakini hawajatii hilo neno la mungu (injili) ila wanaishi maisha  ya dhambi wanaenda motoni- wasipobadilika -2 wathesalonika 1:6-8,Ebr  10:26-27,Luka 12:47-6:46-49,mt 7:21-26.

3 .Wale waliomwamini Yesu Kristo na baadaye warudi nyuma wanaenda motoni wasipo mrudia mungu tena.2Pet2:20-22,Waebrania10:35-39.

4  .Viogozi wa kanisa ambao wamebadilisha neno la mungu  kuwa biashara yao  na kutoa  ili  kupongezwa (hurubiba) .Wanaohubiri kwa mnajili ya mshahara tu wakiambia watu watoe pesa au vitu  ndipo waambiwe  na kuhubiriwa  jinsi ya kutajirika au kutafuta mali ya dunia pekee.

Viongozi wakanisa  na watu wengine wanapanga au wanao wasaidia washairika kipanga / kutimiza mila au utamaduni  kama makumbusho ,teroburu, tohara za kienyeji ambazo ndani yake vijana ufundishawa uchawi ,na tohara kwa wasichana  mila ya kufanya ngono kabla ya kupanda mbegu , kulala na maiti wote wanaenda motoni wasipobadilika Mariko 7:1-9 Wakolosai2:8 Waefeso4:22 Zab 106:28.

Viongozi na washiriki wa kanisa wanaleta mitindo ya ulimwengu ya kishetani kanisani wakiiiwa kanisani wanacheza miziki ya kitemaduni  wakati wa harambee ya mmuzaha,matani, kuinua ,  makahaba kanisani kwa mfano ,wasichana kwa wa mama kuvaa mavazi mafupi  yanayowacha miili yao uchi  wakidhirisha  maringo ,  kiburi na tamaa  ya shetani  kupitia kwa kujipamba  kwao kwa nje tu kwa kusuka nywele, kuvaa  vipili azama marashi ,peteza masikio  wakiach kurembesha  moyo yao.I saya 3:16-24, 1petro 3:3-4    1Tim 2:9, mwanzo 35:5-5    wasipotii neno.

Wanasiasa  na mashabiki wao wanakwenda kwa waganga ili kupatya aumurifu kutumia jukwaa zao kwa matusi na pia wanakijiji kanisani ili kuombewa na wanarudi ahadi nyingi za uongo huku wakichichea watu kupigana na kuchukiana  na kuchochia ukabila wanaenda motoni wasipobailika Wakolosai 3:5-11, Isaya 8:19-20,Mambo ya Walawi 19:31  umbukumbu 18:10-13

 Mazoezi ni mazuri kidogo (1Tim) lakini wakristo pamoja na watu  wengine wakiingia mazoezi  kama za mbio, kucheza mpira kuruka ,michezo za kuchekesha  watu na wakasahau  kuingilia utakatifu badala yake wakaenda kwa waganga ili washide au wakawa na michezo  inayoleta mizaha ,metani ubushi ,maringo kiburi  kutumia madawa ya kulevya na bangi ,kupigana na matusi na kuwaadhimisha wachezaji- watakuwa wako njiani na kuenda motoni- Wagalatia 5:21, Zab1:1

 Wafanyi bieshara  na wakulima wanaolima na kuuza bangi,tombako wale wale wanaotengeneza sigara na kuuza pombe na waevi  na wale wanaofanya kazi kwa kampuni  za kutengeneza Pombo ( beer) na wanafanya biashara ,wanaotumia hongo  ujanja ,unyangaji , wizi, na wale wanao tumia madawa  za waganga  kuendesha biashara  yao na wale wanaonyang’anya watu mashamba  na vitu vingine waliowauzia, wale wanapora mali yaw engine,na wale hawalipi wafanyi kazi  pamoja na wafanyikazi  hawafanyi kazi yao kwa  uwamirifu wote wako njiani kuenda motoni wasipobadilika-    Yakobo5:4 mithali,23:29-30,Habakuk 2:15,Kor6:19-Wakolosai3:9  Isaya 5:21-22

Mzee angemwacha mkewe  na kumwoa mwengine pamoja na na mke  anayewacha mkewe na kuolewa na mume   mwengine    na wazinzi  na kuzaa watoto kwa njia ya uzinzi  Kwa hayo  wanaenda motoni – luka  16:8,,1 Kor 7:10-11,Warumi 7;2-3, Mariko 10:2-12, 1 Kor 7:10

Wale walio ndani ya madhehebu amayo yamekataa kitii neno la-  Mungu abmayo wanafanya vitu kwa njia tafauti  na vile biblia inasema    kwa mfano badala ya kubatisa waumini Kubatizwa ndani ya maji  mengi,  wao  wanapaka wakristo mafuta  au kuwa simamisha kwa bandera au kwafanya waruke juu ya moto wakuta  hizo vituko kuwa ni ubatizo na pia viongozi wao hawapenda kufanya  vitu ile  kutazamwa  na watu na kupongezwa na, kupendelzwa watu wote    wasipobadika wako kwa njia ya kuelekea   jehanam(motoni)   Mathayo 7:13-27, 6:1-4, 23:1-16, Yakobo 2:1-9, Luka 14:7-14

Mashoga, washerati,  wenye kusengenya, wazinzi, wachoyo, wasingiziaji, wasiosamehe, wasiopenda, wasiotii wazazi katika Bwana, walio ndani vyama vinayoitwa vya maendeleo lakini vina sharia zilizo kinyume  na biblia; wale wasiojali wajane na mayatima na wasiojiweza wengine wote watendao maovu hayo wanaenda motoni- Wakolosai 3:5-10, Warumi 1:23-32, 2 Tim 3:1-6, 1Yoh 3:15, Mt 6:2, 14. Mark 11:26, Mt 25:41-46, Yakobo 1:27. Isaya 1:17

MAJARIBU

Na Isaac Simbiri

Baada ya kumwamini Yesu,kuna hali ambazo mkristo anakutana nazo na ni adui wa Imani ya mkristo,na hulenga kututoa kwa Imani nayo ni majaribu.Tukibaki waaminifu kwa Yesu hadi mwisho wa hizo hali[ majaribu],tunabaki tukiwa washindi.Hali hizo zinaletwa na shetani kupitia kwa:

Mkristo kupenda dunia kupitia Kwa tamaa ya mwili, macho Na kiburi cha maisha.1Yohana 2:15-16.

Shetani mwenyewe kumshambulia mkristo.1 pet 5:8 2 cor 11:14

Nitaeleza hayo mambo Kama ifuatavyo

SHETANI KUMWANGUSHA MKRISTO KUPITIA KUMWONYESHA DUNIA

1. Hii ni Jinsi shetani hutafuta kumuangusha mkristo kupitia kumuonyesha dunia Na vilivyomo Na kumshawishi mkristo mwenyewe kupenda dunia na kumwingiza kwa dhambi kupitia :

Tamaa ya mwili, tamaa ya macho ,kiburi cha maisha   1yoh 2:15-16  ,yakobo 1:12… , 4:1-17

1.  Kiburi cha maisha Yakobo 4:13-16

 Mkristo kukosa unyenyekevu na kujisifu kwa vitu vizuri ametenda pamoja na yale anapanga kutenda .Yakobo 4:13-16

2.  tamaa ya macho

kila mkristo anafaa kuutoa mwili wake kuwa dhabihu takatifu wala asiruhusu matendo ya dhambi kama usherati ulevi wizi  kumtawala  warumi 6:6-11,12:1…., wagalatia 5:16….,Hawa alitumia macho yake kuona tunda ,Mwanzo 3:6.Macho yako isikufanye kutenda dhambi.Daudi alitumia macho yake kumwona Bethsheba.2Sam 11:2-,Kupitia kwa macho yako unaweza kupatwa na tama inayoleta usherati,wizi,unyanganyi,ulafi,n.k.Kwa hivyo mkristo anafaa kujichunga sana,Mkristo anafaa kuzuia macho yake kuangalia filamu za kishetani,michezo isiyofaa,kanda za video ambazo ni za kishetani.Nena na macho uyakataze kuendelea kuangalia vitu ambavyo havifai-Ayubu 30:1.Macho yako hayakutengenezwa ili yawe ya kuendelea kutazama kila kitu

3.  tamaa ya mwili

Kwa sababu shetani humshawishi mkristo kutimiza tamaa za mwili ambazo ni dhambi,mkristo anafaa kuutumia mwili wake vizuri

tumia mwili vizuri-warumi:12:1,methali 6:16-19

Kwa sababu shetani humshawishi mkristo kuwa na tamaa ya mwili,mkristo anafaa kuutoa mwili wake kuwa dhabihu takatifu Warumi 12:1, dhambi isitawale maisha  yake- Warumi 6:12-14, 8:13. Mwili ni hekalu la roho mtakatifu, 1Kor 6:19, 9:27, 3:19

Kwa hivyo, Mkristo aangali vile ambavyo anatumia mwili na viungo vya mwili na nafsi yake –Waefeso 4:17-31.Chunguza jinsi unavyotumia sehemu hizi za mwili:

a)  mdomo –mt 12:36

  Mdomo wa Mkisto inafaa kufanya  mambo yanayomrudishia mungu utukufu. Usitumie mdomo(ulimi)kunena uwongo , kuvuta Sigara, kufanya uzushi,ubisi , matani, kunywa pombe, Mizaha, kusengenya-Warumi3:13,14, kutoka 23:1, Mt 26:59,Acha ulafi- Zab 34:8,119,103,Methali 23:2-3,20-21,Lk 21:34,Waarumi 16:18,1 Kor10:31.

Wafilipi 3:19,Tumia kinywa chako kuhubiri,Yoshua1:8 kutimiza mapenzi ya Mungu –Waefeso 4:29.

b)  mikono-methali 6:17

Mikono ya mkristo haifai kutumiwa kufanya dhambi kama kuiba,kupigana,kuandika mambo ya uongo,kupanda tumbaku,kuuza bangi ,kunyanganya,kupiga watu makofi,kupeana na kupokea hongo,kuua-Mwanzo 9:6,kuuza au kubeba chang’aa .Tumia mikono yako kutenda mema.

c)  miguu  warumi3:15,isaya 59:7

Mkristo asitumie miguu yake kuenda mahali pa maovu.Tumia miguu yako kupeleka habari njema Mt 28:19,Warumi 10:15,Isaya 52:7,Efes 6:15.Ikiwa miguu ndiyo inakupeleka kwa dhambi,ni afadhali ikatwe,Mt18:8,(achana na hiyo safari,ambia miguu yako isisonge).

d)  masikio

Kupitia kwa masikio,mtu anaweza kufanya dhambi au atende mema.Neno nzuri likifikia sikio lako

endelea kukaa hapo ili ulisikie vizuri lakini ikiwa neno au maneno mabaya yamefikia masikio yako, uyakemee au toroka usiendelee kusikiliza,Kukaa kwenye baraza la wasiohaki ni makosa-Zab1:1-2,Usiwe na mazoea ya kusikiliza mizaha,matani,matusi,miziki zisizomtukuza Mungu,siasa na mambo ya kidini  yanayopingana na Bibilia –Lk 8:18,Mrk 4:24.Unaposikiliza redio au runinga usisikilize vipindi vyote ila vile vinavyomtukuza Mungu

e)  mawazo

Kila wakati shetani anapenda kupanda mambo yake ndani ya wakristo,kwa hivyo inafaa kutambua ni wazo kutoka kwa Mungu au ni la shetani,Ikiwa ni mawazo mabaya uyakatae na kuyakemea,usiache yaendelee kukuwa ndani yako yakazaa dhambi zingine.Mt 12:25,12:19,Isaya 59:7-wacha kufikiria juu ya utajiri au vitu vya dunia  pekee-Wakolosai 3:1,1Yoh 2:15

f)  mapua na ulimi

Tumia ulimi wako kuonja na kuhisi utamu wa neno na kulifuata zaidi .Mapua yako yajue kunusa

Mahali kuna neno nzuri la Mungu kutoka kwa maneno mengi yaliyo ulimwenguni –Zab 34:8,119:103Usitumie mapua yako kwa njia ya kimwili kuhisi harufu tamu ya vyakula na kuingia kwa ulafi kama nguruwe na kujali tu

kushibisha tumbo, na kutafuta mahali kuna mikate na nyama –Yoh 6:24-27,Warumi16:18,wafilipi 3:19,Lk 21:34,Methali  23:2,3,20,-21,1Kor 10 :31,1 Pet 2:2-3,4:3,Usitumie ulimi wako kutenda dhambi –Yakobo 3:3-15

SHETANI KUMSHAMBULIA MKRISTO KWA MATESO.

Vile nilivyosema,shetani huja mwenyewe au kupitia kwa mapepo wake au kupitia kwa wanadamu walio upande wake na kuwaletea wakristo mateso kama vile magonjwa,vita,kufungwa,kuchukiwa.Mkristo hivyo anapopitia hizi hali anafaa  kubakia mwaminifu na kumtegemea Yesu ili awe na ushindi.Watu wengi waliomtumikia Mungu walikutana na mateso kama vile ugonjwa,kufungwa,kupigwa,kwa mfano:

a)  Yusufu alipitia ugumu.Mwanzo 37;22…

b)  Shadrack,Meshaki na Abednego walitupwa motoni.Danieli 3:1,21-27

c)  Danieli alitupwa katika tundu la simba. Danieli 6:1-16

d)  Yeremia alipitia mateso.Yeremia 28,32,36

e)  Yesu alichukiwa na kuteswa.Waebrania 12;2-5,Luka 22,23,Wafilipi 2:1-9.

f)  Yohana mbatizaji aliwekwa gerezani na akauwawa.Mathayo 14:1-10,

g)  Yakobo aliuwawa.Matendo 12:1-2.

h)  Paulo alipitia mateso.Matendo 16;20-24,1Wakorintho 4:11-13,24-33.

i)   Stefano alipigwa mawe.Matendo 7:57 -8:1,

j)   Yohan a na Petro walifungwa.Matendo 4:1-3,5:40…

k)  Kanisa lilipitia mateso.Matendo 8:1-2,12:1-2.

l)   Yohana wa Zebedayo alipitia mateso.Ufunuo 1:9

KWA NINI MKRISTO HUJARIBIWA

Mungu ana uwezo wa kumzuia shetani asituletee majaribu lakini tunaon Mungu akiwachilia shetani ili kuwajaribu watu wanaomtii Mungu.Kwa mfano,Mungu akamruhusu shetani kumwendea Ayubu.Ayubu 1:1 na pia shetani akamwendea Yesu.Mathayo 4:1…na pia shetani alimwendea Adam.Mwanzo 3:1 na hadi sasa shetani bado anaendeleza hiyo kazi.Hii ni kwa sababu kupitia kwa hiyo hali:

a)  Tunadhihirisha Imani yetu kwa Yesu isiyotikiswa na hali zinazotupata.Waebrania10:23…

b)  Tunapata nguvu Zaidi tunaposhinda wakati wa majaribu.2Wakorintho 12:9.11Pet 4:12-18

c)  Uvumilivu wa mkristo huonekana.1Wathesolenike5:14-15.

d)  Tunapata taji baada ya kushinda wakati wa majaribu.Yakobo1:2-4,12.

Hata kama shetani ataleta machungu na mabaya kwa mkristo,Mungu huyatumia hayo machungu na mabaya kumtengeneza mkristo.Warumi 8:28,Waefeso 4:13-16.Kwa mfano,Yusufu kuuzwa misri ilionekana kama mateso mabaya mara ya kwanza lakini baadae yakamweka Yusufu kwa utawala wa Misri na ndugu zake kumwinamia.Mwazo 37:22-28,41;39…,42:6-43.Shadrack,Meshak na Abednego kutupwa kwa moto ilisababisha mungu wao kuonekana.Danieli 3:16,26-28,Paulo na Sila kutupwa gerezani ikafanya nguvu za Mungu kuonekana.Matendo 16:20-40.Mateso ya Ayubu mwishowe ikaisia mema.Kwa hivyo,wakati wowote shetani amekuweka kwa majaribu kupitia tamaa ya mwili,macho na kiburi cha maisha au kumshambulia mkristo kwa mateso vile alivyomfanya Ayubu na mitume,Ayubu1:1-21,Matendo 4;5,12, bado mkristo ana faida akiyavumililia na kuyashinda hayo majaribu.Warumi 8:28.

             JE MKRISTO WA LEO ATAPITIA MATESO?

Hata Leo wakristo wanapitia mateso

i.   Yesu alisema kuwa tutapitia mateso Mathayo5:10-12, 15:18-20,16:1-2 

ii.  Petro amesema kuwa tutapitia mateso 1 pet 3:13-14 ,4:12-16 ,

iii. paulo pia amesema 2 tim 3:11-12, 1 kor 10:13

iv. Yakobo pia amesema tutapitia majaribu [yakobo 1:1…]

VILE WAKRISTO WENGI HUFANYA WAKATI WA MATESO

Wakati wa majaribu mkristo anaweza kujibu  kwa njia mbalimbali :

i.   Wakristo wengine hutimizia mwili tamaa zake

ii.  Wengine hupinga na kuingia kwa vita vile petro alifanya kabla roho mtakatifu kushuka yohana 18:10

iii. Wakristo wengine hulipisha kisasi  mathoyo 5:38-41 warumi 12:l4-17

iv. Wengine hukimbilia kushitaki kwa mabaraza .1 kor 6:1-7

v.  Wengine huacha kuwa wakristo waibrania 10:32-36 ,12:3-4

VILE MKRISTO ANAFAA KUFANYA KABLA NA WAKATI WA MAJARIBU

i.   Mtii kristo katika maeneo yote na uache maisha ya dhambi  wakati wa majaribu au kabla ya kujaribiwa[ 1 petro 1:13-17 1kor 9:27]

ii.  Mkristo autoe mwili wake kuwa dhabihu ya kristo [warumi 12:1 ,waefeso 5:15 ,]

iii. Mkristo ajiepushe na marafiki wanaoweza kumrudisha kwa dhambi wakati waa majaribu au kabla ya majaribu[zaburi 1:1-3,1 kor 15:33]

iv. Mkristo awe  wa kumsikiliza na kumtii Roho mtakatifu wagalatia 5 :16,25 warumi 8 1:1-13

v.  Mkristo aweke  macho na mawazo yake yote kwa kristo [ waebrania 12:1 ,2 kor10:4-5 , wakolosai 3:1-5 ,hesabu 21:8-9  yoh 3:14-15

vi. Amini kuwa wakati wa majaribu utashinda Isaya 41: 4,yohana 15:16 , zaburi 55 :2 waebrania 12 :1-2 mathayo 11:29 , matendo 5:31 ,2 pet 5:31 ,2:9 ,zaburi 28:7 1kor 10:13

vii.         Mkristo asirudi nyuma kwa sababu ya majaribu waebrania 10;22-39 ,1pet3:13-15,4:12-16

viii.        Avae silaha za rohoni ambazo ni Baraka za rohoni waefeso 6;10-16

BARAKA ZA ROHONI (silaha zetu) waefeso 1:3

Kuna vitu vingi ambavyo wanadamu wako navyo au wanaviona kwa macho yao kwa mfano polisi,gari,bunduki,mishale,rungu,ngumi,nyumba,mashamba n.k na wanavichukua kuwa baraka kwao.Hata hivyo,kuna Baraka zingine za rohoni ambazo Mungu huwapatia wakristo wanaomtii bila malipo ambazo inafaa kila mkristo awe nazo.

Ili mtu awe na ulinzi,Amani na utulivu,ni vizuri awe na hizi Baraka za rohoni ambazo hapa naziita silaha za kiroho kwa kuwa tunapigana na shetani na jeshi lake(waefeso 6:10-18 ,2kor 10:3-5)

Baraka(silaha) ya kwanza ni kuzaliwa mara ya pili(kuokoka) Yohana 3:1-5,Waefeso 6:17

 Ili kuzaliwa mara ya pili yaani kuokoka :Warumi 10:14,Mariko 16:16-17,Matendo 2:37-38,

       a )Tunahubiriwa injili  ya Kristo

      b) Tunaikubali Injili kwa kumwamini Yesu Kristo

      c)Tunatubu dhambi na kubatizwa na tunasamehewa

Tunapozichukua hatua hizo zilizotajwa;Tunazaliwa  upya ndani ya Kristo(1Yohana5:4,5,11,18.),Majina yetu yanaandikwa Mbinguni(Luka 10:20,ufunuo 22;27),Tunahesabiwa haki bure(warumi 3:23-25),tunaingizwa ulimwengu mpya ‘mazingiza mapya’ tunaketishwa katika ulimwengu wa Roho pamoja na Kristo(Waaefeso 2:1-6)na Kristo anakuja na kuishi ndani yetu kwa uwezo wa Roho Mtakatifu (Yohana 14:16-26,Wagalatia 2:20,Mt 10:20),tunakuwa kiumbe kipya(2kor5:17),tunajiungSa na familia mpya ya  wana wa Mungu na kupokea jina mpya-Mwana wa Mungu(Waebrania 12:1,Yohana 1:12,Waefeso 1:5,1Yoh 3:1-3),Tunakuwa nuru ya ulimwengu(Mathayo 5:14).

Baraka(silaha) ya pili ya rohoni ni kuwa tunapewa uwezo wa kutumia jina la Yesu(Zaburi 20:7,1Sam 17:45,Wafilipi 2:8-11,Yoh 14:13-14) Hakuna jina lingine linaokoa(Matendo 4:12,1Korr 3:3-6)

Baraka(silaha) ya tatu ya rohoni ni kuwa na Imani (waefeso 6:16)

Imani ni kusadiki au kukubaliana ,kutii au kutegemea nenoo la Mungu au Imani ni kutarajia kuwa yote Kristo anasema ni kweli na yatatimia au Imani ni kuyataja yale yasiyokuwepo kuwa yako hata kabla ya kuyaona(Warumi 4:17-19,Mariko 11:23-24,Luka 1:45,Waebrania 11:1).

Baraka(silaha) ya nne ya rohoni ni kuwa malaika wa Yesu wanatulinda(zaburi34:7,Matendo 12:7,27:23,kutoka 14:19,23:20,2Wafalme 6:13-18).

Baraka(silaha) ya tano ya rohoni ni Neno la Mungu-Waefeso6:17,Isaya 66:2,Mhubiri 12:13-14,Mt 7:24-26,Yoh 15:7,14,yoh 14:15.

Neno ni Mungu na ni Roho Mtakatifu(Yoh 1:1,6:63-64 2Tim 3:16)

Neno la Kristo ni moto(Yeremia 20:9)

Neno la Kristo ni kama Upanga(Waebrani 4:12)

Neno la Kristo ni nuru(zaburi 119:104)

Neno la Kristo ni afya (Kutoka 15:26,zaburi 107:20)

Neno la Kristo ni uzima(Yoh 6:63)

Neno la Kristo ni mafanikio yetu(zaburi 1:1-3)

Neno la Kristo linatufanya kuwa safi (yoh 15:3)

Neno la Kristo linasimama milele(Mt 24:35)

Neno la Kristo ni chakula cha roho(waebrania 5:12-14,1Pet 2:2.

Baraka (silaha) nyingine ni kuwa Mungu anatuzingira na Ukigo pande zote (Ayubu 1:8-10)huu unaweza kuwa moto au wingu (kutoka 14:24,Zekaria 2:5).

Baraka(silaha) nyingine ya rorhoni ni kuwa Yesu anakuwa wakili wetu(1Yoh 2:1-2,Waefeso 1;14).

Baraka(silaha) nyingine ya rohoni ni kuwa Yesu ametuahidi ushindi(Marko 16:15,Luka 10:19,Isaya 54:17,Warumi 16:20)

Baraka(silaha) nyingine ya rohoni  ni kuwa Yesu anatupigaania tukiwa tumenyamaza(kutokan 14:14,Yer 1:18-19,1Sam 7:3-13).

Baraka(silaha) nyingine ya rohoni ni kuwa Mungu hufanya watu kutuogopa au kutetemeka mbele zetu(kutoka14:25,1Sam 16:4-,Matendo 5:13.

Baraka(silaha) nyingine ni damu ya Yesu. Tunapoitaja damu ya Yesu,kazi za Ibilisi kinyume nasi zinaharibika:   

Waisraeli walikuwa salama kwa sababu ya damu (kutoka 12:22-23)huu ulikuwa mfano wa damu ya Yesu kwetu.

Tumenunuliwa kwa damu ya Yesu(1Pet 1:18-19,ufunuo 1:5,5:9,matendo 20:28).

Damu ya Yesu imetupatanisha na Mungu(wakolosai 1:20-22).

Tunamshinda Shetani kupitia kwa damu ya Yesu(ufunuo 12:10).

Tumekombolewa ‘kurudishwa kutoka kwa utawala wa shetani  hadi kwa Mungu’ kupitia damu ya Yesu(Waefeso 1:7).

Tumepokea msamaha kwa sababu ya damu ya Yesu(waebrania 9:22,1Korr 6:19-20,1Tim 2:6).

Tumehesabiwa haki mbele za Mungu kwa sababu ya damu ya Yesu(1Yoh 1:7,waebrania 10:14,warumi 5:8-9).

Tunatakaswa dhamira kwa sababu ya damu ya Yesu(waebrania 9:14,13:12).

Tuna ujasiri wa kuingia mbele za Mungu kwa sababu ya damui ya Yesu(waebrania 10:19-22,waefeso 2:13).                                                         

HISTORIA FUPI YA MWANDISHI ISAAC SIMBIRI.

Isaac simbiri –mwana wa joash simbiri  na Agnes kavaya  alizaliwa tarehe 11/9/1971 katika kijiji cha Burunga Mugumu Tanzania akawekwa wakfu 18/06/1972 katika Burunga PAG Tanzania.Baada ya wazazi wake kurudi Kenya,Alisomea shule ya msingi ya Oyani iliyokatika kijiji cha kajulu  mtaa wa kanyamkago wilaya  ya migori tangia mwaka  1979 hadi 1989 hapo ndipo alifanya mtihani  wa KCPE. Baba wake ambaye alikuwa mchungaji kwa muda ya miaka 40 alikuwa na vitabu vingi vya ki kristo ndani ya nyumba yake.kila mmoja katika hii familia angewezakujisomea hivyo vitabu kila siku.

Isaac simbiri alijiunga na shule ya upili ya PE-HILL HIGH SCHOOL mwaka wa 1990 ambapo alisoma kidato cha kwanza na cha pili(1991).Aliokoka mwezi wa nane  1993  na akabatizwa katika maji mengi tarehe 19/12/1993 katika Madira PAG Church na Pastor Abinayo  Oyiera.Alimwoa Gladis Kaveza  tarehe 2/10/1994.

SIMBIRI KATIKA HUDUMA

 Isaac Simbiri alianzia kuwa kiongozi wa vijana Baada ya kuokoka  agosti 1993 katika[ PAG]   1995 akajiunga na [ GRACE REVIVAL CHURCH] Nakuendelea na huduma ya uongozi wa vijana hadi 1997. Aliteuliwa kuwa mchungaji 1998 chini ya  GRACE REVIVAL na akiwa pamoja na wahubiri wengine ,alihubiri ndani ya mikutano ya hadhara [crusades] na uinjlisti wa nyumba kwa nyumba [house to house evangelism]  katika mwaka wa 1998 huo alianza kujihusisha katika kujisomea  vitabu mbali mbali vya mafundisho ya injili vilivyo andikwa na wahubiri kama  Tommy Osborn ,Reinard Bonke ,Leo Harris, Zac Poonen  Gerald Rowlands ,Ralf Mahoney ambaye ni wa World map , Na kufikla 1999 alijiunga na wachungaji wengine wa huduma ya Grace revival kwa mafundisho ya wachungaji na akaanza  kuandika kila ujumbe alikuwa ameuhubiri.kufikia  Februari 2002 akaanzisha huduma ya kuhuburi kupitia kwa vitabu majarida [tracts]  ya GOSPEL LITERATURE ORGANIZATION[GLO]  ambayo mwaka wa 2016 septemba iliitwa FAITH AND HOLLINESS [ gospel literature] ORGANIZATION       [FAH-GLO] au kwa ufupi [FAITH AND HOLLINES ORGANIZATION ] . Kati ya mwaka 2002  hadi 2010 alikuwa na huduma ya kanisa na crusades ndogondogo  ambazo alitumia hiyo nafasi kugawa vitabu[tracts ] ambavyo alikuwa ameandika.  Tangia mwaka  huo wa 1999 alikuwa  Ameanza kuandika mafundisho ya Imani na utakatifu, kitabu cha ushuhuda na kitabu cha tafuta ukweli na ameandika kitabu cha kiongozi wa kanisa na kitabu cha familia ya kikristo vyote vikiwa ndani ya kitabu kimoja cha Tarumbeta ya Imani na utakatifu

Mambo mengine yaliyofanyika ni kama yafuatayo

2010:  nilianza kuagiza vitabu vinavyo peanwa bila malipo kutoka kwa huduma kama world map, revival movement association , all nations gospel publishers , Emmanuel  press.

2011: nikajiunga na gideons international ambalo ni shirika la kugawa biblia bila malipo kwa shuleni , hospitalini , gerezani, hotelini na kwa ofisi za kiserikali na kufikia jinni 2019, nilikuwa nimegawa biblia kwa shule sitini , hospitali nyingi na gerezani .

15/ 12/2012: nilinunua kiwanja kidogo[ futi 45 kwa 53] pale  karibu na shule ya upili ya Ragana

Mnamo mwaka 2011 A lianza kuagiza vitabu vinavyopeanwa bila mnmalipo kutoka kwa huduma kama  ALL NATIONS GOSPEL PUBLISHERS , REVIVAL MOVEMENT ASSOCIATION , EMMANUEL PRESS , HERALD OF HIS COMING ,SOON , Na akawa anagawa hivyo vitabu kwa shule ,hospitali , sokoni na maeneo mengine  .Mwaka wa 2011 alijiunga na [GIDEONS INTERNATIONAL] na akaweza Kugawa biblia kwa shule za msingi na za  upili na vyuo mbalimbali , Ofisi za serikali ,hotelini na hospitalini .Na akiwa katika hili kundi aliweza kufikia shule sitin, 2012-2017:  Alikuwa  msimamizi wa huduma ya EMMANUEL PRESS  katika Migori ambalo ni shirika linalo peana mafundisho ya biblia kupitia posta

 kufikia mwaka wa 2019 mwezi wa tano . Kati ya mwaka wa 2014 hadi 2019 Isaac simbiri alijiunga na chuo cha biblia cha Harvest Institute  ambapo alifanya  certificate na Diploma na baadaye akafanya Diploma ya pili kati ya 2017 na 2019 februari katika Apostolic training college ambayo ilikuwa chininya huduma ya KINGDOM AGAPE CENTRE  ambayo alikuwa karani wake napia akawa coordinator wa shirika ambalo lilikuwa linapeana mafundisho ya biblia kupitia posta la  Emmanuel press katika Migori kuanzia mwaka wa 2012 hadi 2017. Mwaka  wa 2018  alihubiri kupitia  redio  ya Onagi na pia akaanza kurekodi ujumbe alikuwa anahubiri. Kuanzia mwezi wa tano mwaka wa 2020,maono yangu yamekuwa kuandaa kanisa la Yesu Kristo ili litembee katika Imani na utakatifu kama njia ya kujiandaa kwa ajili ya unyakuzi,kwa  maana Yesu hakuji kulichukua dhehebu moja,bali anakuja kulinyakua kanisa lake,ambalo ni mimi na wewe tunaomwamini kwa hivyo kuanzia 2020 jina la huduma ni Kanisa La Yesu Kristo badala ya Faith and Holiness Ministry.

KIFO NA HUKUMU YA MWISHO (ZAB 146:3-4) • Siku za mwanadamu ni chache kama majani isaya 40:6-8,job 14:1-2,1 pet 1:24-25. • Mwanadamu ni msafiri na mpitaji.1Pet 2:11,,, • Mtu ni kama mchanga na mvuke yakobo 4:13-15,Mwanzo 3:19, (kwa hivyo mwanadamu asijivune wala kuhangaikia Maisha.Yakobo 4;13. • Mtu akishakufa hawezi kurudi kwake wala kuona mema ayubu 7:1-10,2 Samueli 12:22-23 • Mwanzo wa kufa-Mwanzo 3:19. • Aliye kufa ni mali ya Bwana –Warumi 14:8, mwanzo50:1 lakini mkristo asilie kama watu na mataifa 1 thes 4:13-18. • Wakati mwingine usijihusishe sana na mambo ya mazishi ikiwa yanagongana na huduma ya neno mt 8:22. • Yule hajaokoka pia amekufa kiroho -1 Tim 5:6,kolosai 2:3,Rom 6:11. • Babu zetu walisafirisha maiti na si vibaya kusafirisha maiti leoila si lazima sisi tufanye hivyo, mwanzo50:4-7,25,Kutoka 13:19. • Tuachane na mila zinazo husu mtu aliye kufa -1 Thes 4:16,1 kor15:21- • Maiti(mwili ambao ametokwa na uhai) haujui chochote –ayub7:5-10,Mhubiri 9:5. • Maiti (mwili ambao imetokwa na uhai) hawezi kurudi nyumbani kwake-Ayubu 7: 5-10. • Si lazima maiti azikwe na umati mkubwa wa watu-matendo 5:6, Luka23:50-53. • Mababu walikuwa na mahali pa mazishi (makaburi)-mwanzo 23:10-9. • Maiti huzikwa –matendo 5:6,kumbu34:6, mwanzo 23:10-19. • Vitabu vingine juu ya kifo ni Mhubiri 6:12,1thes 4:13-18,Mwanzo 3:16,1 kor15:12-57,Ufunuo 14:13,30:23,1 pet 1:24,zab 116:15,102:3-4,90:3-10,39:5-10,Yakobo 4:13-14 • Ni afadhali kuiendea nyumba iliyo na matanga.Warumi 12:15,Mhubiri 7:2,4 • Kula dhabihu zilizotolewa kwa wafu ni dhambi zab 106:28, ufu 2:14, hes 25:1-13, kut 34:15, 1 kor 8:10, 10:20-21 Mtu akifa anaenda wapi? Kuna sehemu mbili tofauti ambazo wanaokufa wanaenda kukaa wakingoja kufufuka kwao na hukumu ya mwisho. Kulingana na matendo yao ufunuo 14:13-14 Sehemu hizo ni: 1. Watakatifu kuwa pamoja na Yesu. 2. kuzimu Watakatifu kuwa pamoja na Yesu.  Mungu anafurahia mtu kufa akiwa mwenye haki Zab 116:15. Katika agano la kale watakatifu walipokufa malaika aliwapeleka kwa kifua cha Ibrahim, Luka 16: 22-23 mahali ambapo katika Agano Jipya panaitwa kuwa pamoja na Kristo Wafilipi 1: 20–23; 2Kor. 5: 8. Luka 23: 43, na siku ya hukumu ya mwisho, hawa watakatifu wataishi Yerusalemu mpya milele. Ufunuo 21: 1-5.  anayekufa akiwa ameokolewa anaingia katika uzima wa milele,Mt 25:34,Ufunuo 14:1  Watakatifu ni wale wanaoamwamini Yesu na wanatii neno la Mungu.Mt 7:24-26,Yoh 15:1,10,14,8:30-32,Isaya 66:2,  Yesu hakubaki kuzimu, ila alichukuwa Funguo za kuzimu, Ufunuo 1:18; Matendo 2:27, luka 23:43  Kanisa linashinda Milango ya kuzimu. Mt. 16:18;  Yesu alienda kuwandalia makao mazuri, Yohana 14:1-2; Ufunuo 21:1-5; 22:1-5 KUZIMU: Isaya 14:9-15, Mithali 7: 27, Luka 16: 19-31. Kuzimu ni mahali ambapo watu wanaokufa wakiwa ndani ya dhambi huenda,kukaa vifungoni kwa mateso wakingoja kutupwa kwa ziwa la moto siku ya hukumu.2 wathes 1:4-20, Lk. 16: 23; Mat. 11: 23; Mrk 9: 43-46 Mithali 27:20,32:16, Luka 16:25 Yohana 5:28,29 Mt 22:13,25:41,Ufunuo 21:8.Na Yule Mt 5:22, Mt 10:28, 8:8-10, Lk 12:5 . kuzimu kuna sehemu inayoitwa giza la nje, hapa ni mahali ambapo wana wa Ufalme wanaoasi(wanafiki) watatupwa, ni mahali pa kulia na kusaga meno Mat. 22:13; 8:12; 24:51 jehanam ilitengenezwa kwa ajili ya shetani na Malaika zake, lakini watu wanaotenda dhambi wanaenda kukaa na shetani kwa huo moto milele na milele -Zaburi 9:17 Mithali 7:27,9:18,ISaya 19:12,5:14,34:9,Mariko9;43-48 waebrania 10:26-27,20:12, 22:19,Wagalatia5:19-21, luka 16:9-35,,12:51,mt,23:33,5:22;10,22,10;28. Yesu alipokufa alienda kuzimu akahubiri injili ya neema na kuchukuwa funguo za kuzimu, na hata leo hii bado Yesu ana uwezo wa kuingia na hawezi kukwama huko. 1Pet.3:18-21, 1 Pet 4: 6; Ufunuo 1: 8; Matendo 2: 27 Mifano ya wale wako kuzimu. ( Mahali pa kulia na kusaga meno Ufunuo 14:10-11, Kumbu 32:22, Mark 9:43-48, LK- 12:5, Mt 10:28(Mungu hapendezwi na kifo cha wenye dhambi Ezekiel 18:23) 1. Wanao mwamini Yesu lakini wanaendelea kuishi maisha ya dhambi wakifa wanaenda kuzimu Wagalatia 5:16-19, Mt 22:13, 8:11-12s. 2. Wasioamini Yesu wakifa wanaenda kuzimu., Yoh 3: 18; Zab. 9: 17; Mt. 11: 23Mungu yuko kila mahali, Methali 15: 11; Zab. 139: 7. 3. Malaika walioasi wako vifungoni kuzimu 2Peter 2:4; Yuda 6 inasemakuwa mapepo mengine yatafunguliwa wakati wa mwisho. Ufunuo 9:1-11. 4. Miji zizisoitikia mwito wa toba zitatupwa kuzimu, Mat. 11:23Tajiri alikuwa kuzimu, Luka 16:23 5. Wale wasio mwamini Yesu Kristo kuwa mwokozi wanaenda motoni ikiwa watakufa kabla ya kumwamini Yesu kuwa mwokozi wao-Yoh 3:16-17. 6. Wale wanao mwamini Yesu Kristo kuwa mwokozi wa maisha yao na kujua neno la Mungu lakini hawajatii hilo neno la mungu (injili) ila wanaishi maisha ya dhambi wanaenda motoni- wasipobadilika -2 wathesalonika 1:6-8,Ebr 10:26-27,Luka 12:47-6:46-49,mt 7:21-26. 7. Wale waliomwamini Yesu Kristo na baadaye wakarudi nyuma wanaenda motoni wasipo mrudia mungu tena.2Pet2:20-22,Waebrania10:35-39. 8. Viogozi wa kanisa ambao wamebadilisha neno la mungu kuwa biashara yao na kutoa ili kupongezwa (harambee) .Wanaohubiri kwa ajili ya mshahara tu wakiambia watu watoe pesa au vitu ndipo waombewe na kuhubiriwa jinsi ya kutajirika au kutafuta mali ya dunia pekee. wanaenda motoni wasipo tubu Yakobo 5:1-4, 1 Tim 6:1-10, Mariko 10:17-26 9. Viongozi wakanisa na watu wengine wanaopanga au wanao wasaidia washiriki kupanga / kutimiza mila au utamaduni kama makumbusho ,teroburu, tohara za kienyeji ambazo ndani yake vijana ufundishwa uchawi ,na tohara kwa wasichana, mila ya kufanya ngono kabla ya kupanda mbegu , kulala na maiti, wote wanaenda motoni wasipobadilika Mariko 7:1-9Wakolosai2:8 Waefeso4:22 Zab 106:28. 10. Wote wanaoleta mitindo ya ulimwengu kanisani ambao wakija kanisani wanacheza miziki ya kitamaduni na kufanya harambee iliyo na mizaha, matani,ubishi wakati wa matoleo, na wanawake wanao timiza tamaa ya mwili na tamaa ya macho na kiburi cha maisha (1 Yohana 2:15-17) kupitia kwa kujipamba kwa nje tu kama makahaba kupitia mitindo yakushuka nywele zao, kuvaa vipuli, kutumia marashi, kuvaa mavazi mafupi au yanayoacha miili yao uchi au wanawake wanao vaa mavazi yanayostahili kuvaliwa na wanaume lakini wakaacha kupamba mioyo yao kwa kuwa watakatifu wasipotubu wanaenda motoni mwanzo 35:2-5, kutoka 32:1-3, 33:4-6, kumbu 22:5, isaya 3:16-24, 1pet 3:3-4, 1tim 2:9 11. Wanasiasa na mashabiki wao wanaokwenda kwa waganga ili kupata umaarufu na kutumia jukwaa zao kwa matusi na pia wakija kanisani ili kuombewa na wana ahidi watu ahadi nyingi za uongo huku wakichochea watu kupigana na kuchukiana na kuchochea ukabila wanaenda motoni wasipobadilika Wakolosai 3:5-11, Isaya 8:19-20,Mambo ya Walawi 19:31 Kumbukumbu 18:10-13 12. . Mazoezi ni mazuri kidogo (1Tim 4:8) lakini wakristo pamoja na watu wengine wakiingia mazoezi kama za mbio, kucheza mpira, kuruka ,michezo za kuchekesha watu na wakasahau kuangalia utakatifu badala yake wakaenda kwa waganga ili washinde au wakawa na michezo inayoleta mizaha ,matani, ubishi ,maringo kiburi kutumia madawa ya kulevya na bangi ,kupigana na matusi na kuwaadhimisha wachezaji- wako njiani kuenda motoni wasipotubu- Wagalatia 5:19-21, Zab1:1Kor 15:33, 6:9-10 9). Mzee anayemwacha mkewe na kumwoa mke mwengine pamoja na na mke anayemwacha mumewe na kuolewa na mume mwengine ni wazinzi, Kwa hivyo wanaenda motoni – luka 16:18,,1 Kor 7:10-11,Warumi 7;2-3, Mariko 10:2-12, 1 Kor 7:10 13. Wale walio ndani ya madhehebu ambayo yamekataa kutii neno la Mungu ambayo yanafanya vitu kwa njia tofauti na vile biblia inasema kwa mfano badala ya kubatiza waumini ndani ya maji mengi, wao wanapaka wakristo mafuta au kuwa simamisha chini ya bandera au kuwafanya waruke juu ya moto wakiita hizo vituko kuwa ni ubatizo na pia viongozi wao hupenda kufanya vitu ili kutazamwa na watu na kupongezwa na watu wote wasipobadika wako kwa njia ya kuelekea jehanamu (motoni)Mathayo 7:13-27, 6:1-4, 23:1-16, Yakobo 2:1-9, Luka 14:7-14 14. Mashoga, washerati, wenye kusengenya, wazinzi, wachoyo, wasingiziaji, wasiosamehe, wasiopenda, wasiotii wazazi katika Bwana, walio ndani vyama vinayoitwa vya maendeleo lakini vina sheria zilizo kinyume na biblia; wale wasiojali wajane na mayatima na wasiojiweza na wengine wote watendao maovu hayo wanaenda motoni wasipo tubu- Wakolosai 3:5-10, Warumi 1:23-32, 2 Tim 3:1-6, 1Yoh 3:15, 14. Mark 11:26, Mt 25:41-46, Yakobo 1:27. Isaya 1:17 15. Wafanya biashara na wakulima wanaolima na kuuza bangi,tumbako wale wanaotengeneza sigara na kuuza pombe na walevi na wale wanaofanya kazi kwa kampuni za kutengeneza Pombe na wafanya biashara ,wanaotumia hongo ujanja ,unyangaji , wizi, na wale wanao tumia madawa za waganga kuendesha biashara yao na wale wanaonyang’anya watu mashamba na vitu vingine walivyowauzia, wale wanapora mali ya wengine,na wale hawalipi wafanyi kazi pamoja na wafanya kazi ambao hawafanyi kazi yao kwa uaminifu wote wako njiani kuenda motoni wasipobadilika- Yakobo 5:1-4 Mithali,23:29-30,Habakuk 2:15,Wakolosai3:5-9 Isaya 5:21-22, Amosi 8:4-8, Mika 6:10-11, Yeremia 5:27-28 Siku Ya Hukumu mt25:31-46, ufunuo20:11 Ukifika wakati wa hukumu ya mwisho, kuzimu itapeana wafu walio ndani yake ili watupwe kwenye ziwa la moto, Ufunuo 20:13. Kuzimu itatupwa kwenye ziwa la moto, Ufunuo 20:14 Lile mtu afanye ili kuepuka jehanam Kukosa kutii kile mungu anasema nis dhambi..Adam na Hawa walipotenda dhambi,wanadamu wote wamehesabika kuwa wenye dhambi tangia tumbo la mama yao-Warumi 3:23,Zaburi 51:5. Mshahara ya dhambi ni mauti Warumi 6:23 ila tunapomwamini Yesu Kristo na kutii neno lake tunasamehewa dhambi zetu zote -Warumi 3:24,25.Wale mbao wanajitahidi kutenda matendo mazuri bila kumwamini Yesu Kristo badu wako na dhambi zao. Lazima tumwamini Yesu kwanza ndipo tuhesabiwe haki bure kisha tuendelee kutenda matendo mazuri .Yoh 3:16-20.Inawezekana kuna vitu ambavyo tunafanya sisi wenyewe bila kujua kuwa ni dhambi na hiyo haibadilishi hizo vitu kuwa vizuri na ndiyo sababu kila mara tunafaa kunyenyekea kwa mungu ili kwa uwezo wa Roho mtakatifu, tufunuliwe juu ya dhambi na tudumu katika kutubu na kutafuta kutakaswa na kusamehewa hata na dhambi ambazo hatujui tunapozifanya.Mambo ya Walawi 5:15-17,Zaburi 19:12,Luka 12:48,Yohana 1:6-10,na pamoja na hayo,tujitahidi kujilinda ili shetani asituingize kwa dhambi-1Yohana 3:2-10.Baada ya kumwamini Yesu,haifai tuendelee kutenda dhambi kusudi baada ya kujuwa ukweli-1Kor 5:9-13 Waibrania 10:24-39 1kor 5:16-18,Wahibrania 6:1-10 2Pet2:20-22 ila tunafaa kuchukia dhambi na kuziacha –1Pet 1:13-15,1Petro 4:1-4 Waefeso 4:22-23 1Pet 3:9-11, 1Yohana3:24 1Yohana 2:29 , kwa wale wanaogafulika katika kufanya dhambi-bila wao wenyewe kupenda wasaidiwe kwa upendo kwa kumrudia Mungu, tusifuraie na kuchekelea na kuhukumu wakati mkristo amerudi dhambini-Yakobo 5;19-20,Wagalatia 6:1 1yohana 2:1-2 mt7:1-2, Luka 15:21-27, kumbuka Mungu alimsamehe Daudi dhambi aliposhauriwa kutubu-2Samuel 12:13,Zaburi 51:1-

KUJITENGA NA DHAMBI

KUJITENGA NA DHAMBI

Na Isaac Simbiri

watu wanazaliwa katika dhambi na hata wakitenda matendo mazuri bado wana  dhambi –Warumi3:23,Kwa sababu hiyo Mungu alipenda watu na akamtuma -Yesu ili aje kuwaokoa Yoh3:16.anaye mwamini Yesu  anahesabiwa haki bure Rom6:23.na       kuitwa Mristo(mwana wa Mungu)  –yoh 1:12 matendo 11:26.huyu anafaa kutenda matendo mazuri –Mat 3:8,1pet 4;1-4,2Kor 5:17-wala asi endelee kutenda dhambi –Ebr 10:26,ili awe hivyo inafaa ;- asome neno la Mungu( 1)1 pet2:1-2(2)atafute kuwa mtakatifu-1pet  1:15, 1Yoh5:1-21,1Pet 4:1-4 (3) ajazwe na Roho mtakatifu –Yoh 14;14-26,Matendo 1:8(4) aombe  na kufunga –mt 17:21,Matend 13:1-3,Matendo 13(5)awe na upendonaushirikaEbr.10:25,matendo2:42,46,Mt24:42(6)abatizwe ndani ya maji mengi Mrk1:10 matendo 8::36-40(7)aanze kutoa kwa hiari –Matendo 4:32,2kor9:6-7,1Kor9:27 (8)aheshimu ndoa –Ebr13:4 (9)ahubiri injili-Mt28:19-20 hayo yatamfanya kukua kiroho.  Huyu anafaa kuwa mwaangalifu anapotafuta kanisa la kuin gia ndani kwa sababu siku hizi manabii wengi wa uongo wametokea  Mt24:35-47,Mt7:13-23,na wako ndani ya kanisa atawatambua kwa matunda yao:-Viongozi wengi wa kanisa hawajaokoka na hawana Roho mtakatifu na ndio wanaongoza kanisa-Mt6:39-49,ni wenye k I uongozi na pesa wanaongea juu yakuchangishapesazahazinayakifoaujuuya“harambee”ambayoinapofanyika utaon  a vituko vya mizaha matani,uongo.ubishi mvutano na kuuza na kununua (biashara)kanisani Mrk11:15,16  na jina hilo haliko ndani ya Bibilia,na pesa wanazochangisha kupitia kwa hiyo harambee,hao viongozi ndio hugawana. Hawana mwito wa kuhubiri,kazi yao imebaki kuzika wafu,kutii  ukoo kuliko Mungu,ni watu  wasiojikana,wanamfuatan yesu kwa sababu ya mikate(mshahara )Luka 9:57-62,14:16-33,Yoh 6:26-66,hujiunga na sherehe na vyama vya kuchangiana pesa na watu wa mataifa.2kor6:14-17,amos 3:3,1kor8:1o-11,10 20-22.Hawaongei juu ya mambo hayo nimetaja hapo juu(1-9) hujenga na kupamba mahekalu.Wachungaji wanajitahidi kupata magari ya kisasa ,wengine wanatafuta nguvu za kuhubiri chini ya bahari kwa mashetani  ili wafanye ishara hapa duniani na kupata wafuasi, wanatafuta runinga za kisasa,wanawake huvaa mavazi yanaowapasawanaumenayasiyositirimwiliaumafupi,Kumb5:22,Pet3;1-6,1Tim 2:9-10,wana tafuta kuwa sawa na wanaume.Vijana nao hunyoa nywele zao kwa mitindo ya kisasa na anasa, wanatembea kwa maringo na kiburi.usiku wanatafuta mahali kuna muziki wacheze na kutazama filamu za kishetani.wazee nao wameeingilia kurithi wanawake na kujiongezea wanawake ,aliye na mke mmoja  anatamani kuwa na mke wa pili .Wafanyabiashara wengine wanatumia ujanja na wizi ili wafanikiwe zaidi.Baadhi ya wanasiasa wanatafuta kufanikiwa  kupitia ufisadi.Wewe uliyeokoka huu ni wakati wa kujiangalia(Luka21:34)kwa sababu vitu vya dunia vinapita(Mt6;25-34)Tim6:10-19,Ayubu1:21,Mhubiri4:4-8,Mhubiri11:9-10 Isaya 40:8.Mkristo uache kuvuta sigara,ukulima wa tumbaku,kuuza sigara na bangi, usifanye kazi kwenyevyumba vinavyouza na kutengeneza pombe na  ukahaba,ulawiti,1wak6:910,Isaya5:22,habakuki2:15,Methali20:1,Wag5:19-21efe5:18,Isaya 55:1 uache mila kama makumbusho,kunyoa kwa ajili ya wafu,tohara za kienyeji  ambazo ndani yake uchawi unafundishwa na kuwatesa wanaotairiwa,uache tero buru,kupanda mbegu na kuvuna baada ya ngono na kulala na maiti,kutahiri wasichana,kulazimisha  mjane kurithiwa na mmoja wa jamii, uache magendo,vipimo vya udanganyifu,methali20:1023,uachekunyanganya watu mashambaau kusongeza mipaka ,methali22:28, kupokea na kupeana hongo,Luka3:10-15, kuua na kuiba na ufisadi,kanisa lisiingie kwa siasa bali liombee taifa letu na tupige kura na usitumie mishumaa katika kuomba,.Uache kula damu matendo15:20.uache kuanzisha huduma kwa ajili ya kujitajirisha,ubatizwe bila malipo Mt10;8,3:13-16,Yoh3:22-26,matendo2:37-41,8;34-38,10;47,8:18.Wanawake kanisani waache kuvaa bangili,vipuli,kupaka makucha na midomo rangi,kusuka nywele na mapambo mengine yanayowafanya  kufanana na makahaba1Pet3:1-6.1Tim 2:9Kiongozi kanisani awe na mke mmoja,1 Tim3:1-13,Tito1:5.acha      mila na tamaduni mbaya,mariko7:1-10,Wakolosai 2:8 wacha kushika sheria za dini zinazo pingana na biblia,kol2:8 tembea kama mkristo1Pet4:1-4

UPENDO

UPENDO

1 yohana 2,3,4,5,1 wakorinthon 13-14;1

Musa alileta amri kumi lakini Yesu alikuja na amri moja mpya  ambayo ni upendo yohana 15:12,yohana 13:34.Ukiwa na upendo,una amri zote za Yesu Kristo.Yesu ni upendo 1 yohana 4:7-8,5:2.Kwa hivyo,ukitaka kuwa na upendo,mpokee Yesu moyoni mwako nawe utakuwa umepata upendof,ndipo unakuwa mkristo kamili naye  anatii kila neno lililonenwa na Yesu kristo.Yohana15:3,10,14,Yohana 14:15,Mt 7:24-26.Ikiwa hauna upendo,inamaanisha kuwa hauna Yesu ambaye ni upendo na bila upendo,mambo yote unayofanya si sawa.1wakorintho 13:1-3,14:1.Kila mkristo anafaa kumpenda Mungu na Mwanadamu.

Jinsi ya kumpenda Mungu Luka 10:27

Unampenda Mungu kupitia kutii neno lake.1yohana 5:3,Yohana 15:3,10,14.Yohana 13:14,Mt 7:24-26.

Jinsi ya kumpenda mwanadamu

Ili kumpenda mwanadamu,unafaa kufanya mambo haya:

Jua kuwa Mungu ni upendo 1 Yoh 4:7-8

Jua kuwa Mungu alikupenda kabla umpende 1Yoh 3:16-17,Yohana 3:16

Mpokee Yesu ambaye ni upendo.Yohana 15:4

Muone Yesu ndani ya wanadamu wengine .Mt 25;31-40,

Jua kuwa yote unayomfanyia mwanadamu unamfanyia Yesu.Wakolosai 3:23,Mt 25;40

Jitolee uhai wako kwa ajili yaw engine.1Yoh 3:16,17.4:11

Anza kufanyia watu vitu ungependa wakufanyie.Luka 6:31

Anza kuwaona watu wengine kuwa bora kuliko wewe.Wafilipi 2:3-4

Usiuzuie msaada wako kwa watu kama una uwezo wa kuwasaidia.Mithali 3:27-28.Ujue kuwa watu wote walemavu ,waliorukwa akili na wote wasio na kitu ni watu wa Mungu na pia ujue kuwa Mungu alikuona ukiwa na akili nzuri na nakakupa mali  yako na ya mtu asiye na akili nzuri au maskini na mlemavu ili umtunzie,kwa kuwa huyo angepewa mali,angeiharibu na haingemfaidi kwa muda unaofaa,hivyo Mungu alikupa mali yako nay a huyo mwengine ili uwe kama mlinzi.Kila mara unamuona mtu anakuomba msaada  mpee kwa sababu Mungu alikuweka umtunzie .

Usimchukie mtu na huku unasema kuwa unampenda Mungu[ 1yoh 4:19-20] [luka 6: 27-36 ] [warumi 12: 14-20]

Ili kupenda lazima uwe mtu wa kusamehe na kutolipa baya kwa baya [mrk 11:25-26]mt6;12,14 warumi12;14-20,mt 5:21-26 ,waibrania 13:1-2,luka 17:3-4,

Anza kusaidia watu wote wazuri na wabaya Mt 5:43-45 ,luka 6:27-36,

-Wasaidie Mayatima na wajane yakobo 1:27, 1tim 5:3-11  wala usiende kuridhi mjane na lengo ya kuharibu mali aliyo achiwa na mume wake Mt 23:14

– Wasaidie walemavu, vipofu  na maskini luka 14:12-13 ,3:11. [Waandalie  karamu, wanunulie mavazi na uwape chakula ]. Ikiwa unaishi na mlemavu au yatima au mjane au maskini yeyote usimtumie kwa ajili  yako kufaidika  bila kuangalia kile ambacho anapata kwako . Ukiishi na maskini , yatima , mjane au mototo wa mtu mwingine  mhudumie jinsi unahudumia watu wa familia  yako wala usipendelee  yakobo 2:1-17

– Wasaidie hata watu ambao hauwajui luka 10:25-37

– Wafadhili wageni waibrania 13:2

-Wasaidie watu kutoka makabila mengine luke 10;27-37

-Hudumia / Tembelea wagonjwa yakobo 5:14-16 Mt 25:31-40 kuna wale hawasaidii au kutembelea mtu akiwa mgonjwa  lakini wakisikia kuwa huyo mgonjwa amekufa wanakimbia huko na kujitolea kununua jeneza nzuri na nguo mbayo maiti atavalishwa lakini alipokuwa mgonjwa hawakumsaidia ilia pone hayo ni makosa .Madhehebu mengi yana hazina ya ujenzi na kifo na mazishi lakini hawana hazina ya kuwasaidia wagonjwa ,mayatima, walemavu na wajane hayo ni makosa.

Kopesha watu luka 6:32-36 ,lipa deni warumi13:8 zab 37:21                     -Ukiwa na wafanya kazi watendee haki , walipe mshahara wao na uwafanyishe kazi kwa kiasi kinachofaa  ukiwaruhusu kwenda kanisani, kutembelea watu wa ukoo pamoja na marafiki ,yakobo5:1-6

-Ukiomba kitu cha mtu mrudishie na usingoje aje kufufuata mwenyewe na usidhulumu watu wala  usimnyang’anye mtu shamba au kitu ulichomuuzia ,na usiue kwa sababu haya maovu yana matokeo mabaya [habakuki2:9-12 yeremia 5:27-29  Amos 5:11-12 mika 3:10,6:10-15 ,mwazo 4 :10-12 ,mithali 3:10-11] Toba yasawa kama umemnyanganya mtu kitu nikumrudishia luka 19:8 Isaya 58:

Penda jirani

Kulingana na Yesu,jirani ni yeyote unayekutana naye

katika safari ya maisha-Lk 10:30-37

Mifano ya jirani ni: Familia ,marafiki,maadui,wageni n.k

i)Penda Familia yako

Ni muhimu kwako kuomba na kutakia familia yako kuokolewa wote-Matendo 16:31:34, Yoshua 24:15

Penda ndoa yako-mume na mke wafanye mambo yao yote pamoja-Mrk 10:6-9

Mungu amekataa talaka- 1Kor 7:10-11,Mrk 10:1110:11-12

Heshimu ndoa –Ebr 13:4

Mungu amekataa usherati-1Kor 7:2

(2)Marafiki  zab 27;17/mathayo 17;17

Uwe mwangalifu katika kuchagua marafiki_Zab 119:63

Kuteseka kwa sababu ya rafiki_Yoh 15;13

(3)Maadui mt 5:43_48

Penda adui

Ombea adui ili Mungu ampe kupenda

Usilipishe mabaya_warumu 12:17_21

Usikasirikie adui_wakolosai 3:13

Upigane na shetani aliye ndani ya adui kwa maombi_waefeso 6:10-13

Ikiwa ni wewe ndiye unasababisha jirani kukuchukia,tengeneza uhusiano.

Unaweza kuchukiwa kwa sababu ya wokovu ila uwasamehe na uwaombee na usiwachukie wale wanaokuchukia_mt 7:58-60, Lk 23:34 Yoh 15:18-21,16:1-2,Mt 10:34-37

matokeo ya kusaidia watu

Unapowasaidia wanyonge unamkopesha Mungu naye atalipa Mithali 19;17 na unapokosa kusaidia wanyonge na wewepia utakosa msaada Mithali 28:10 ,26: 27 Warumi 12:17

MATUNDA MENGINE YA UPENDO [ 1 Wakor 13:1

Upendo huvumilia – Ukiwa na upendo utavumilia hali zote ndani ya wokovu

Upendo hufadhili- ukiwa na upendo utasaidia watu

Upendo haujivuni-ukiwa na upendo hautajivuna

Upendo hautafuti mambo yake- ukiwa na upendo unatafuta ufanisi wa wengine

Upendo hauhesabu mabaya –  ukiwa na upendo unafunika ubaya 1pet 4:8, unaendelea hata kusaidia hata adui yako

Upendo haufurahii udhalimu –ukiwa na upendo hautafurahia mizaha, matani,ubishi au kuona mtu anatenda dhambi bali utawahubiria ukweli

2Kor 2:5-11)

Kiongozi wa kanisa akilikosea kanisa.1Timotheo 5:19-20,

Mzushi anayelikosea kanisa .Tito 3:10

Adui wako ,Mathayo 5:43-45,Luka 6:27,Warumi 12;14,17-20,

 Utasamehe kina nani?

Yesu alitusamehe

Baba ,mama awasamehe watoto, kwa mfano,kijana mpotevu alisamehewa.Luka 15:11.

Watoto wasamehe wazazi wao na ndugu zao.Kwa mfano Yusufu .Manzo 45:15,50:15-21.

Majirani wasameheane

Uwasamehe maadui zako,kwa mfano,Stefano aliwaombea msamaha waliomwua.Matendo 7:59-60

Yesu aliwaombea waliomuua msamaha.Luka 23;34

Watu wa familia wasameheane.

Mwajiri na mfanyakazi wasameheane.

Ili kuonyesha umesamehe mtu,endelea kumsaidia ,ogea naye,msalimie na usilipize kisasi.Luka 6;27,Warumi 12:14,17-20, 1Wathesolanike 5:15,.,pia ujifanye kama usiyeona makosa unayotendewa.Mithali 19;11.

Unkimfanyia adui yako mema,naye anaendelea kukutendea mabaya,matendo yako mema kwake yanabadilika kuwa makaa ya moto juu ya kichwa chake.Warumi 12:17-20 na pia mitego anayokuwekea ,mwenyewe huanguka ndani..Mithali 26:27,Esta 5:13,7:9